WAKULIMA KATA ZA MTWANGO NA KICHIWA WALIOFYEKEWA MAHINDI WANENA MAZITO WATUMA SALAMU KAWA MH RAIS
SIKU CHACHE BAADA YA MAMALAKA YA MAJI MJI WA MAKAMBAKO MAKUWASA KUFYEKA MAHINDI YA WAKULIMA KATIKA BONDE LA MTO FUKULWA KWENYE KATA ZA MTWANGO NA KICHIWA WILAYANI NJOMBE ZAIDI YA EKARI 15 VIONGOZI WA SERIKALI ZA VIJIJI NA KATA KWA KUSHIRIKIANA NA WANANCHI WAMEIOMBA SERIKALI KUINGILIA KATI JAMBO HILO ILI KUEPUSHA HASARA AMBAZO WAKULIMA HAO WANAPATA KATIKA MISIMU WA KILIMO.
TARIFA ZAIDI NA PROSPER MFUGALE NJOMBE MTWANGO
WAKULIMA HAO WAKIZUNGUMZA NA ITV WAMESEMA MAHINDI HAYO YALIYOFYEKWA YALIPANDWA NA KUKUZIWA MBOLEA ZA RUZUKU ZILIZOTOLEWA NA SERIKALI NA KUWA WAKO HATARINI KUKUMBWA BAA LA NJAA.
Cue in wakulima
DIWANI VITI MAALUMU KATA YA MTWANGO ROIDA WANDELAGE AKIZUNGUMZA KWENYE MKUTANO WA HADHARA NA WAKULIMA HAO AMESEMA
Cue inroida wandelage ndiwan viti maalumu kata ya Mtwango na Edwin swale mbunge jimbo la lupembe
MKURUGENZI WA MAMLAKA YA MAJI MJI MDOGO WA MAKAMBAKO MAKUWASA MHANDISI ALFONCE LUFYAGILE AMEZUNGUMZIA SAKATA HILO KWA NJIA YA KWA KUWA ALIKUWA NJE YA OFISI KIKAZI.
Cue in sauti ya alphonce lufyagile mkurugenzi MAKUWASA
Пікірлер: 17
Njombe TV mbarikiwe sanaa kumbe tulichelewa sanaa nimeona umuhimu wa habari za Mkoa wetu
Mzee umeongea vizuri sana na inawezekana huyo meneja wa maji ni mpinzani.haitskii mema serikali yetu
Hovyosana
manager awalipe fidia wakulima
Mmmh mpaka kufyeka mimea kwa yeyote aliyewahi kulima ni uuajii bila kupepesa maneno mahindi ni temporary sio mazao ya kudumu asamehewejeee kwa hilii ufyeke mazaooo duuu
Ndo wafekewe chakulaaa?????
Kukata mahindi ya Mtanzania mmoja huyo meneja ni sawa na kutuambia Watanzania kufeni
Komesha hao wanna ccm inakula kwao
Unafyekaje chakula
Huyo manager wa maji makambako hana utu na amelelewa tamilia ya kitajiri yaani ni wakishua
Viongozi wapuuzi namna hii wangepata demotion ill iwe fundisho
Jaman kuna sheria lazima kuwe na utu, mtoto wa mkulima huwa naumia sana haya nikiyaona,unafyeka mahindi kweli utapata unachokitaka baba
Haowario husika wamatwe kabisa
Serikali wapo sahihi,lakini walikuwa wapi wakati hao wakulima wakiandaa hayo mashamba,kwanini hiyo hasara isibebwe nawatumishi wa halimashauri toka kwenye mishahara ya watumishi wa halimashauri walioshindwa kuzuia hilo wanaoona ni tatizo leo?
Wenda. Kichaa. Kimemkuta.
Hao watu walilipwa fidia kuzuiwa kulima? Kwa sababu kama eneo si oevu mradi umekuja umewakuta inakuwaje wazuiwe bila fidia?
Mahindi yanapandwa yeye yuko anayaona nahawakukatazwa.