Wako Wapi: Jack Oyoo Sylvester aliyekuwa mtangazaji wa kandanda KBC
Wako Wapi: Jack Oyoo Sylvester aliyekuwa mtangazaji wa kandanda KBC
SUBSCRIBE to our KZread channel for more great videos: www.youtube.com/
Follow us on Twitter: / ktnnews
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
For more great content go to www.standardmedia.co.ke/ktnnews and download our apps:
std.co.ke/apps/#android
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Пікірлер: 121
Jack Oyoo Sylvester nimtangazaji hodari na ana sauti ya kuvutia. Wakati AFC na Gor walikuwa wanacheza kandanda alikuwa anatupa hamasa sana kwa redio, mpaka unajidhania uko kwenye uwanja unatazama mpira. Alikuwa mmoja wao ya watangazaji kama Lenard Mambo Mbotela na Salim Manga wenye niliwapenda sana. Kongole kwa kazi nzuri aliyekuwa akifanya kwa kuwatumbuiza wa Kenya. Asante.
this guy made me learn my journalism talent, love you kaka JOS
Hongera sana kaka Jack Oyoo Sylvester,wanikumbusha mbali❤
Back in the village, during those days of following football on radio, this guy was my god.
Wah. Jack silvesta oyoo Homabay Nyanza kusini. Still looks young and vibrant.
Sauti iliyobarikiwa! The prototype of football commentary in Kenya. The legend. Mad love and respect. Some of us fell in love with soccer because of you.
jack alifanya insha zangu kusomwa class mzima from class 4 to class 8 na high school ,i thank you the legend
Jack amejaliwa sauti nzuri sana na Mwenyezi Mungu ❤❤❤
Oh wow!!! One of a kind. Wish we had more like him and Torome Terike. Brings my childhood memories 90s
Niko hapa Gulu City, Uganda. Namkumbuka sana Jack Oyoo Sylvester nilipokuwa shuleni kule Kisumu miaka zilizopita, naye akanimotisha kuwa mtangazaji hapa Uganda hivi sasa.
@wafulaoteba8798
4 жыл бұрын
Gulu pande gani Mimi Niko gulu
Ahsante KTN. Huyu Bwana licha ya kumjua tangu nikiwa mdogo, sijawahi kumuona. Amenikumbusha enzi zile.
Great legend indeed, long live JOS
Sports commentary extraordinaire! His delivery of Swahili news at KBC radio was epic!
Aha, Jack Oyoo Sylvester ako sawa. I love his energy and spirit. I recall first time I listened to him was way back in 1989. I think Oyoo was just making a transition from teaching profession at Kwoyo Kochia to broadcasting at KBC. Good job, kaka JOS and keep it up.
Hongera Kaka Jos.
wow so beautiful....Jack your really blessed ....
A very unique ,beautiful voice..it reminds me of Billy Omala and David Arap Maiyo....
@moniquewilliams5417
4 жыл бұрын
Blessed Successful umesahau James willy njuguna
Nampenda huyo kakangu sana,mahojiano yenu hayazeeki aisee 🔥🔥🔥🔥🔥👊👊👊
Luo professionalism that i've always admired.
I still listen to his news commentary on KBC radio at 1300hrs.Admirable voice
A legend!
Great interview..Jack Oyoo Silvester sauti nyororo..miss those days.🤔🤔
Mashaaala amenikumbusha my favourite mtanganzaji wa Tbc Salim Bond. Akitangaza mechi ya yanga African na pamba ya mwanza
Golden
Long time but happy to see you kaka JOS👏👏👏👏
Great one!!!
Yuko sawa kabisa
Nilikuwa na shindwe alienda wapi nyakati hizo nilikuwa na penda kadada juu ni nimsikize tena siku hizo juu redio ilikuwa mmoja tuu ingekuwa tuu nikama lazima msikize kadada juu ni kipindi cha kadada sana sana sato and sunday kutoka saa kumi hadi thenesara kumbe bali twatoka.
Ahsante kaka jos.
Wow
Very Unique. HERO
Habari hasi (-) Habari chanya (+) Swadakta kaka Jose
I really mis dis amazing vioce
Nice one
Best voice ever.
Voice is still intact. It gets better like fine wine.
Live long Sir
I heard of him when in baby class cjawaisikia tna na sai nmemalisa college
Proudly Cardinal Otunga alumnus
Mashallah
@leonardelegwa5802
5 жыл бұрын
Ukweli kabisa. Huyu ni mmoja wa watangazaji wakupigiwa mfano. Mola Azidi kukuneemeshea neema yake.
Am happy to see this guy
Proud alumni of the "RED CITY" cardinal Otunga high school - hehe kumbe Sio Mimi tu niligundua kumbe sijui,
@whgwhg9811
5 жыл бұрын
wapi James onyango Joel?
Kaka JOS WOW!
jack thanks so much your one of the legend who can ever forget in this world
In addition he was a radio teacher, long live Kaka jos!!!
JOS you are my mentor,
nice one, nilikua nasikiza habari wakati jack oyoo sylvester alikua anatangazaji habari nilikua nasikia ati mwisho. wakati mwema sylvester.
Hatari sana huyu...
Jack hataki jina lake tena...too bad!!
nakuheshimu sana jack lakini mwalimu wako alifanya kazi vibaya haipaswi kutoa fursa kubwa kwa mwanafunzi anayejua kusoma.... alistahili nafasi hiyo awape zaidi wale ambao hawakuwa na uwezo kama wako wa kusoma.
Hodari sana Jack na Bi Kilobi. Kiswahili ni laugha tamu mno.
My sister am also looking for those people _Oyoo
Jack oyoo na ali salim Manga hao ni magwiji. Waalikeni siku moja ya mechi kali tujikumbishe.
Siezi ziwia machozi yani nikumkumbuka kaka jose oyooo Silvester mashaa llah hicho nikipaji ulijaliwa nacho
@demajuma5430
4 жыл бұрын
Walai pia Mimi nmemwaga
Shupavu Sana Oyoo🇰🇪 Mjaluo muislamu!
Mkali wao
Mtangazaji hodari sana, Kaka Jos ni mmoja wa watangazaji ninao waenzi hadi wa leo
Kazi bomba kabisa,dah...hiki ni kipaji aki amama!!
Role model wangu kweli......ametia fora xana......
Hizo siku utangazaji wa mpira ulikuwa imara...ungeskiliza utangazaji usichoke...Mungu akubariki kaka.
amenikumbusha mtangazaji Matata Sana, Billy Omala!
This guy is still good, hongera Jack Oyoo
Sauti nzuri kama kawaida Jack Oyoo...pia ananikumbusha Muhammad juma Njuguna...akina Tindo Mhando, Leonard Mambo Mbotela and Gatei na wengine wengi...congratulations Jack Silvesta
@onesmuskiio1544
5 жыл бұрын
Mohamed Juma Njuguna ni wa kutajwa?
@theartofsubtlety
5 жыл бұрын
Kumbe Kuna mtu anakumbuka Daniel Njuguna Gatei
@kijanawajanaevanswakhungu4641
4 жыл бұрын
Halafu rolie rolio,bill omala & so on
@b.3940
4 жыл бұрын
Salim Juma, Mohammed Juma Njuguna, Job Isaac Mwamto, John Gitonga, na Tema pia; now that was talent.
@b.3940
4 жыл бұрын
@@onesmuskiio1544 ila ni wivu unao ama ulikuwa hujazaliwa
Waaauuuu mzee nilipatana na nawewe kwa hoteli moja Kwale 2009
I really miss Jack oyoo
Huyu ndiye mtangazaji pekee wa soccer hawa wengine ni waigizaji
Namkumbuka huyu Mtangazaji mashuhuri,alinifurahisha saaaanaaa kwa misamiati aliyoitumia katika utangazaji wa kambumbu.
kaka joz asante kwakujitokeza baba wa lugha
Jack oyoo silvester homabay kusini mwa nyanza,cant forget those years
Wakenya, kiswahili kitamu.. mbona tusi ki enzi kama lugha letu la taifa .
🤣🤣🤣sauti tamu sana
wapi mtangazaji benard Otieno?
Kweli ckuwa nakula ukiwa unatangaza akh.
@demajuma5430
4 жыл бұрын
You are my twin, nlikua namfuata kwa taarifa,Mpira na ulimwengu wa mchezo,sijasahau ukumbi was spoti na buridisho tosha
Salim Manga naye alipotelea wapi?
ahaha. Gor tu ndo ingefunga wa kwanza..
@daveondiekaaron2204
5 жыл бұрын
Because we always do
😀😀😀😀😆😆wow gold
Nilteeni charles omuga kabisae
wa kumbe tunaweza kuwa washwahili
Kiswahili mufti kaka jos bingwa Wa lugha duh! twakuli
Namkumbuka kana jana na leo...
anakaa mchanga bado
Mimi najua Jack Oyoo ndie alikua mtangazaji bora wa kabumbu wa kiswahili duniani
Kaka jos forever!!
Huyu alikuwa kioo katika maisha yangu.....akiwa na Ustadhi Wala Bin Wala.
Gwiji.
Tutafutieni Salim Manga
Huyu jack oyoo ktn ntv mwangoja nini ?? Apewe kazi hapo sasa
Wewe ni hodari nakumbumbuka zile mechi za Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati....... Tangu mwaka 1994 nikiwa darasa la PILI nasikiliza KBC na RTD
Lau panda kutuzwa kwa bidii yake alikilala juu ya kitanda cha dhahabu,Kaka Jos alitamba ndani ya fani ya Lugha na ugwiji katika utangaza Wa mpira.Kaka jos umekita ndani ya nyoyo zetu
Nilikua fun wako jack...nikiwa mdogo nilipeda matagazo ya habari sana
Mtangazaji stadi.Lugha sanifu.
Ata mimi nilikuwa najifunza kutangaza kama jack oyoo Sylvester wakati wa harambee stars
Hujawahi omba kazi sababu, uliiweka lugha mbele na kuji amini...kadri na wale wame ki enzi lugha za mabeberu, tuna wasahau haraka kama vile walivyo tokea....
Huyu na peter Drully
Jack oyo,Ali Salim manga na mambo mbotela hawa ndio watangazaji wakandada sio hawa wa siku hizi ni bure kabisa
Ebu Leta Charles omunga kabisaye
Jamaa anaongea bila kusita na anatupa mistari tupu tu.. wengine hata wapewe miaka sita na kamusi hawawezi fikia haya.. ni vibaya sana tribalism inatumaliza hivi - kama huyo dorothy ana-hustle kutafuta kazi licha ya kuwa na uwezo basi ni hali mbaya sana tuliomo
Hassan Jumaa na Bahaaj hawamo,lugha zao hamnazo
Unanikumbusha mbali xana usangi Kilimanjaro nilikua na mpata sana k,b,c from Tanzania
@maryarivizamwami
3 жыл бұрын
Kweli kabisa!
Jack sauti yako na iheshimu na ufasaha wa kiswahili nimeikubali umefika kileleta