No video

Wakenya watuma salamu kuhusu Mswada wa Fedha

Kinyume na siku za awali za kusomwa kwa makadirio ya bajeti, hii leo baadhi ya wakenya waliamua kuwafikishia ujumbe wabunge na viongozi wakuu, akiwemo rais kupitia mitandaoni na kwenye simu zao za rununu. Kupitia nambari za viongozi ambazo zilisambazwa kwenye mitandano ya kijamii, wananchi waliwashinikiza viongozi kupinga mswada wa fedha mwaka 2024 unaotarajiwa kujadiliwa wiki ijayo.

Пікірлер: 56

  • @fredricmbuu1974
    @fredricmbuu19742 ай бұрын

    Ichungwa you have no moral authority to talk about anything that touches common mwananchi, you have portrayed your true virtue of dishonest and greediness

  • @unbwogable.

    @unbwogable.

    2 ай бұрын

    The most useless mp "mùka wa Ruto "noogle íyo Guok!

  • @Marto-id1xe
    @Marto-id1xe2 ай бұрын

    The problem is not even with increasing of taxes., the problem is we are seeing nothing bad roads everwhere

  • @bigdogo3928

    @bigdogo3928

    2 ай бұрын

    Unaongelea baraba badla ya mkate mbolea na bursaries pia pereka uko

  • @skyhaker4742

    @skyhaker4742

    2 ай бұрын

    ​@@bigdogo3928Kila mtu anaongea juu ya issue pressing sana kwake... All the things make up our frustrations as Kenyans... He is not the enemy... Ruto is...

  • @rockmoneymedia3607

    @rockmoneymedia3607

    2 ай бұрын

    Afadhali wasijenge roads lkni Mkate iwe 50Bob flat Hatuendi safari ovyoovyo kama ruto

  • @JosephKatana-xi3fk

    @JosephKatana-xi3fk

    2 ай бұрын

    @@bigdogo3928 sasa wewe si barabara ndo inasafirisha ile commodities, style up

  • @matts6894
    @matts68942 ай бұрын

    Osoro acts surprised when he insults people every day

  • @benardoenga2876
    @benardoenga28762 ай бұрын

    Osoro simama governor huende nyumbani mapema Kenya kuna shida kila mwaka tax mungu saidia watu wako

  • @ngurenjoki9796
    @ngurenjoki97962 ай бұрын

    Tunawangonjea wacha wapitishe tutapatana

  • @philipchania6342

    @philipchania6342

    2 ай бұрын

    Mnangoja mfanye nini?

  • @Cirus122
    @Cirus1222 ай бұрын

    I thought ni dci juja huyo msee 😂😂

  • @apolloobote4772
    @apolloobote47722 ай бұрын

    Ruto thinks we're stupid, we will take this country down. Let them pass this nonsense bill and to mps who will vote in favor of this bill, forget that parliament nonsense.

  • @Patoh254Somie

    @Patoh254Somie

    2 ай бұрын

    You will not we! Tribal boy

  • @JosephKatana-xi3fk

    @JosephKatana-xi3fk

    2 ай бұрын

    @@Patoh254Somie 🤔

  • @Collins29
    @Collins292 ай бұрын

    The only public participation that is there is the messages sent to them by Kenyans. We don't recognise the one that will be tabled in parliament.

  • @kennedyochieng9732
    @kennedyochieng97322 ай бұрын

    mpigs mna tuchesea sana nyinyi tuta kutana kwa debe

  • @nesbitmiriti4366

    @nesbitmiriti4366

    2 ай бұрын

    Wote ni sawa ruto,gachagua, Raila,uhunye,labda tupate kiongozi kama kibaki.

  • @JohnGakenge-es5gr
    @JohnGakenge-es5gr2 ай бұрын

    Taxes we really pay bt lets consider the basic needs of our Kenyans people course (+ of -)= empty saving

  • @SimplelifeS22
    @SimplelifeS222 ай бұрын

    Mimi nimekasika sana Mungu kuja uwaone

  • @babuuosama8752
    @babuuosama87522 ай бұрын

    Wabunge Pitisheni Huo Mswada wenu Wa Mkuki Kwa Nguruwe Tamu . Mukipitisha Wakenya Tayari Kufanya kama Zimbabwe Same MUGABE WAY " WE ARE READY 😮waiting IT "

  • @Jack-tw3th
    @Jack-tw3th2 ай бұрын

    2027 si mbali

  • @bigdogo3928
    @bigdogo39282 ай бұрын

    Na izo deals za USA south Korea izo trillions zimeenda wapi

  • @adeshmunir5401
    @adeshmunir54012 ай бұрын

    Amerix to the world

  • @JanesOuma-ch2rx
    @JanesOuma-ch2rx2 ай бұрын

    Uda nikama watoto

  • @jmmtm
    @jmmtm2 ай бұрын

    Ichug'wa, kuria na Ndindi think they own Mt Kenya region, Mt Kenya region is behind Rigg G.

  • @user-wr9kt8mz1m
    @user-wr9kt8mz1m2 ай бұрын

    Hii sio serekali ujinga ndio uko hapo

  • @Syddohmusic
    @Syddohmusic2 ай бұрын

    Rhumba Japani

  • @shafikarzai321
    @shafikarzai3212 ай бұрын

    Ruto ongeza ushuru 😂😂😂 si walikuchagua😂😂😂 Uhuru once said mukadhani ako gauge 😂😂😂

  • @user-wr9kt8mz1m
    @user-wr9kt8mz1m2 ай бұрын

    Rytk na wahinga wako twawangoja Ibakura utajua

  • @MzeeBoru
    @MzeeBoru2 ай бұрын

    If you see osoro talking like this just know that the everything about infamous finance bill has being agreed on...kenyans on their own

  • @steuerveronicah9676
    @steuerveronicah96762 ай бұрын

    Sio poa

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid76942 ай бұрын

    Hhh waziri ndumu aka bange

  • @dandaggy066
    @dandaggy0662 ай бұрын

    Zakayo ave mercy on this nation

  • @kamsexsohluvebuoy7696
    @kamsexsohluvebuoy76962 ай бұрын

    Shame on this people called police,you mean this activist sendind message they way its surppse to be then he gets arestted, waende haiti washike watu hivyo

  • @JanesOuma-ch2rx
    @JanesOuma-ch2rx2 ай бұрын

    Tomechoka

  • @user-wr9kt8mz1m
    @user-wr9kt8mz1m2 ай бұрын

    Wabunge sio viongozi twawangoja

  • @muriithijoel2705
    @muriithijoel27052 ай бұрын

    Simple now can't coment anything ako kwa mesha ugali ni mingi 😅

  • @user-wr9kt8mz1m
    @user-wr9kt8mz1m2 ай бұрын

    Ichungwa hana mana kwa wakenya

  • @Cench6217
    @Cench62172 ай бұрын

    Ihate iyo ishungwa

  • @tonnyshillings4433
    @tonnyshillings4433Ай бұрын

    That watchmn must be the most silly

  • @jameskinuthia4311
    @jameskinuthia43112 ай бұрын

    Sio matusi ni ukweli

  • @nesbitmiriti4366
    @nesbitmiriti43662 ай бұрын

    Unless we get a leader like kibaki,rest are all political animal including Rao,wanajuana.

  • @briodiaz-qv1iv
    @briodiaz-qv1iv2 ай бұрын

    Tumefika Mwisho

  • @SomoIya-qh7jz
    @SomoIya-qh7jz2 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @dandaggy066

    @dandaggy066

    2 ай бұрын

    Wht is or about love apo😠🤷

  • @bernardkanyumu2197
    @bernardkanyumu21972 ай бұрын

    I don't care

  • @user-pt6og4fl2l

    @user-pt6og4fl2l

    2 ай бұрын

    ngombe ww unalewa na mzazi

  • @dandaggy066

    @dandaggy066

    2 ай бұрын

    ​@@user-pt6og4fl2l😂😂😂