"WAJANJA WAPO TAMISEMI KAZI YAO NI KUIBA PESA USIKU" - MBUNGE TABASAMU AKIWASHA BUNGENI

"WAJANJA WAPO TAMISEMI KAZI YAO NI KUIBA PESA USIKU" - MBUNGE TABASAMU AKIWASHA BUNGENI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 191

  • @storytownTv
    @storytownTv8 ай бұрын

    Yes Dectactorshp is the key to success R.I.P Magufuli

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion60478 ай бұрын

    Mungu anawaona,ipo aiku na mlaaniwe ,mfe kwa mateso makubwa haki ya Mungu

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene28748 ай бұрын

    Duh Watanzania ni kweli mabilioni hayo Yako Kwa watu binafsi ? Ndiyo maana Magufuli aliijenga nchi yetu.

  • @elbattawy2864

    @elbattawy2864

    8 ай бұрын

    alijenga airport chato pia

  • @gudimbwana8088
    @gudimbwana80888 ай бұрын

    Baba alisema “ Mtanikumbuka tena kwa Mazuri ” sasa nakukumbuka hapa kusingekuwa na mjadala zaidi kurudishwa pesa zetu.Rest in Peace MAGU for sure we still need you indeed

  • @frankymagatory1338
    @frankymagatory13388 ай бұрын

    Wabunge wazarendo ni Hawa sasa, safi San,Tena Wasafi media endeeni kutembea majimbon kuibua hoja ,mtafka mbali San 🔥🙏

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga15188 ай бұрын

    Hakika kanda ya ziwa tuna wawakilishi bora sanaaaa

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard21358 ай бұрын

    Tabasam uko vizur nimekuelwa sana

  • @alexnyasangakahela
    @alexnyasangakahela8 ай бұрын

    Kuja kuwa vizur tanzania hii katka utendaji kazi ningum sanaaaa mifumo ya inchi inatengeneza wawatumishi kuwa waizi

  • @malcomx4067
    @malcomx40678 ай бұрын

    Shida ni huyo mama yenu anayelinda wezi. Kaka watoto ni wezi na mama anawalinda, principle ya maisha inatuambia mama ndiye mwizi number moja.

  • @jojujjokyussa4699
    @jojujjokyussa46998 ай бұрын

    Umetusemea sana mkuu

  • @victoriamefya6287
    @victoriamefya62878 ай бұрын

    Leo hatlist Bunge limechangamka

  • @nimrodimao
    @nimrodimao8 ай бұрын

    hizi hela zinazoonekana zimeibiwa kila leo alaf kuna watu masikini wanaoteswa na mamlaka na hawa viongozi kujinenepea tu.kazi tunayo

  • @StevenMgassa
    @StevenMgassa8 ай бұрын

    Hii nchi jaman mpeni MAKONDA awanyoooshe

  • @teadaudi874
    @teadaudi8748 ай бұрын

    Hay bana

  • @Westetv
    @Westetv8 ай бұрын

    Sawaa baba kwel hiyo haiwezekani bn💯👏👏

  • @user-pf2yx1ps1z
    @user-pf2yx1ps1z8 ай бұрын

    Majbu ya hayo wafanyayo wataadhibiwa na Mungu tu mbona Kaz wanayo

  • @josiacharles2778
    @josiacharles27788 ай бұрын

    Aisee nimependa sana uyu mzee, ujinga nauweka wazi awa wabunge wakiongea ayo yanayojiita mawaziri wanawazaru wanabiki kuchekatu, afu mbona kama wabunge wa Kanda ya ziwa ndo wakosiriaz sana.

  • @rosemuhandoofficial5676

    @rosemuhandoofficial5676

    8 ай бұрын

    Mwenzangu hata Mimi nashangaa

  • @SurusiMnene-dy8gq
    @SurusiMnene-dy8gq8 ай бұрын

    Wabunge Hawa wasubiri mwaka 2025 mawaziri wawajibishwe maisha magumu hawamsaidii mama

  • @gilianmwandago6684
    @gilianmwandago66848 ай бұрын

    Mungu fungua mioyo ya watu hawa wanene ya kweli kwani siku za kuishi wanadamu zinahesabiwa wengine kama wataishi milele¡

  • @mchopacalvin2986
    @mchopacalvin29868 ай бұрын

    Inauma sana watu wanatunyonya

  • @user-kf2tp5dq8r
    @user-kf2tp5dq8r8 ай бұрын

    Hii nchi bila kutawaliwa na wasukuma tutaendelea kua masikini mpaka mwisho ukiangalia watu wanao wanao ongea ukweli niwasukuma2

  • @daudimaniseli759

    @daudimaniseli759

    8 ай бұрын

    Kweli kabsa

  • @tusajigwe7491

    @tusajigwe7491

    8 ай бұрын

    Sanaa

  • @emariusrush3285

    @emariusrush3285

    8 ай бұрын

    ukweli ndio huo

  • @makongoflm6184

    @makongoflm6184

    8 ай бұрын

    Msukuma Mpina Tabasamu Wapo makini wasukuma

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi22058 ай бұрын

    Uko sahihi kabisa

  • @edsonpetro3754
    @edsonpetro37548 ай бұрын

    Mungu akutunze

  • @chambasclinton7456
    @chambasclinton74568 ай бұрын

    wanyongwe wezi wote tubaki wasafi

  • @user-um8hq9bt3v
    @user-um8hq9bt3v8 ай бұрын

    Hongera sana mbunge umeongea❤

  • @muhidinisalihina2091
    @muhidinisalihina20918 ай бұрын

    Ngoja nienderee kuskiliza nyimbo ya @neywamitego

  • @lawijosephezekieli1078
    @lawijosephezekieli10788 ай бұрын

    Mbona tulixhalijuwa ilo mnahanda mzngl 2025

  • @mweyoms5548
    @mweyoms55488 ай бұрын

    Ni wizi kila uchao.Inauma sana

  • @user-nz9eb4ud6y
    @user-nz9eb4ud6y8 ай бұрын

    Watumishi kutuongezea mishahara mmeshindwamnajisifia kuiba JEHANAMU INAWAHUSU

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo8 ай бұрын

    HONGERA SANA MH. TABASAMU. WIZI UMEZIDI. TULISHANGAA SANA SWALA LA BANDARI WOOOTE MKASEMA NDIYOOO. UKALI HUU UNGEONESHWA KWENYE DPWORLD. MUARABU INAKUWAJE ARUDI TENA KURUDI KWETU? KWENU NINYI KURUDI TENA INAKUWA NGUMU SANA.

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu42478 ай бұрын

    Mbunge WA sengerema nimekuelewa saaana

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip34268 ай бұрын

    Hapa bungen ambaye sio mwz naomba ajitokeze hadharan yesu yu karbu kurudi

  • @tusajigwe7491

    @tusajigwe7491

    8 ай бұрын

    😅😂😂

  • @EsitaDavid2-wp1uf

    @EsitaDavid2-wp1uf

    8 ай бұрын

    Kweli ndugu ni wakati wa TOBA.

  • @LucasNtalima-wq6ok
    @LucasNtalima-wq6ok8 ай бұрын

    Wabunge wengi mnacheka Mahalia pa kuhuzunika msipoangalia kama ni hivi wengi hamtarudi bungeni mtakataliwa na baadhi ya majimbo.Nchi imerudi kuwa shamba la bibi Tena chukueni hatua Hawa wezi wakamatwe kwanza wajihudhuru.

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka25898 ай бұрын

    Tatizo ndiyo hilo uwizi uwezi kwisha,mtu akiiba anahamishiwa sehemu nyingine

  • @user-vc7jp1zw8b
    @user-vc7jp1zw8b8 ай бұрын

    Mnayoyasema bungeni niyakweli hakikisheni Hela anazotoa mama zinakaguliwa wapigaji ni wengi

  • @amosjoseph8780
    @amosjoseph87808 ай бұрын

    😮

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan73468 ай бұрын

    Mimi nasikiliza bunge langu😊

  • @wollefernando1257
    @wollefernando12578 ай бұрын

    Anayeendekeza wezi yupo nae mnamjua tena mnamwabudu na kumtukuza, adui wa nne wa Taifa letu ni UNAFIKI.

  • @casmuiddy7304
    @casmuiddy73048 ай бұрын

    Fact

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta15978 ай бұрын

    Hao wanaocheka jambo la kulia wao wanacheka hata haiwaumi.ccm mjitathimin kabsa hii si sawa inakuwaje waliondolewa then wakarudishwa Ili waibe so tusiwalaum maana hakuna wa kumfunga paka kengere waachen watuibie hela ambazo Rais wetu anakopa alafu sis tukalipe mikopo na riba juu ila mjue Mungu anawaona alafu mnatuambia mna din

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba3138 ай бұрын

    Fanyeni kazi acheni kubebana mtapata heshima

  • @GilbertJulius-vm3pk
    @GilbertJulius-vm3pk8 ай бұрын

    Nyie wote ni walewale msitizuge , lakini endeleeni is he akuwa kawaida , ebu pumzikeni basi waingie wengine tuone nao

  • @masoudymichael
    @masoudymichael8 ай бұрын

    Kumbe nchi yangu ndiyo inayonifanya niwe maskini🎉

  • @lanezboy7016
    @lanezboy70168 ай бұрын

    Nch hii n hatar sana

  • @letustalk.tuongee2186
    @letustalk.tuongee21868 ай бұрын

    😢

  • @celestinermantenga2463
    @celestinermantenga24638 ай бұрын

    Hiyo sawa na kumkimbiza mwizi ukimfikia unamsalimia na kakuibia kweli hafu unarudi zako. Sasa ulikuwa unamkimbiza ili iweje sasa!!!

  • @saidiomari708
    @saidiomari7088 ай бұрын

    Daaa, viongozi wa hii nchi sijui wanatuchukuliaje.

  • @billgatejuniour8797
    @billgatejuniour87978 ай бұрын

    Lakini pia kuna mama amefungwa miaka 22 kisa nyama ya swala Iringa😢😢😢😢

  • @reginamashauri3884
    @reginamashauri38848 ай бұрын

    Lakini mama samia hasikii vilio vya wabunge akawatumbua waliotajwa kwenye taarifa ya CAG

  • @dennischarles8524
    @dennischarles85248 ай бұрын

    Siasa ni utajiri Afrika, unaingia maskini unakaa miaka 4-5 unatoka tajiri, mtachomwa huko motoni

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber75708 ай бұрын

    Ccm aisee kazi ipo

  • @ChotaChacha-ho9jd
    @ChotaChacha-ho9jd8 ай бұрын

    Hawa wabunge ni wanafiki.wanataka kura zetu.hakuna lolote hapo.wote wezi tu

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene28748 ай бұрын

    Hii ni dhambi kubwa

  • @masoudymichael
    @masoudymichael8 ай бұрын

    Mnalea wezi😂

  • @BakariBuma
    @BakariBuma8 ай бұрын

    Awe wezi wapo wapi toka

  • @khadijaabdala6876
    @khadijaabdala68768 ай бұрын

    Yaan awamu ya 6 inawapigaji wengi kuliko awamu 4

  • @idrisakassim3533
    @idrisakassim35338 ай бұрын

    Hii nchi inawezi wengi sna hasa hawa viongozi wetu na wanaosema wengi hawapat hyo migawo

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v8 ай бұрын

    Spika wenu ndo failure namba moja, ninyi wabunge ni failure namba mbili, ndo maana mmebaki kupiga mkofi tu wakati hela za wananchi zinaliwa, vuneni mlichopanda!.

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi34128 ай бұрын

    Mm nasema bila kitu kinacho itwa katiba mpya katiba mpya katiba mpya katiba mpya katiba mpya mtaendelea kuoiga kelele mpaka yesu atakapo rudi

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab72388 ай бұрын

    Unaffiliated unawaponza watanzania. Mfn ..waziri au mmbunge flan akiwa upande flani na akiwa mwizi ,utaona watu wa kule alipo wakimsimamia ili aendelee kuweoo

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha2438 ай бұрын

    Samia amenyamaza tu nchi inaungua.! Kazi yake kuwagawia waarabu kinachobaki. Aibu.!!!

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango93858 ай бұрын

    Sawa bhana endeleen kuupiga mwingi

  • @usajemwambene
    @usajemwambene8 ай бұрын

    Hao wezi na mafisadi, wakamatwe,washitakiwe na wataifishwe mali zao. Hao ni wahujumu uchumi wasifukuzwe kazi to, haisaidii.

  • @metuselajoram7659
    @metuselajoram76598 ай бұрын

    Nikweli kabisa atahapa Mkoa wa Geita nishida Wana leta Pesa kwa ajili ya ujenzi wa barabal a za mitaa wanakula tuu pakusemea akuna

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v8 ай бұрын

    Nyie ..sijui tu kodi ni laana hiyo..

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u8 ай бұрын

    Nishambalabibi mugao wawajukuu.

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial8 ай бұрын

    assume watu wanakula mabilion na wengine wanahangaika watu mna roho mbaya sana hata shetan anajiuliza

  • @michaelbrighton983
    @michaelbrighton9838 ай бұрын

    Tunaowaamini ndo hao wanatuangamiza nchi ipo papaya sana watu wachache wanamfifisha Mama etu Samia Suluhu Hassan

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js8 ай бұрын

    Manaa acha upolee aseee chukuwa atuwa aseee acha upolee mamaaa wanao tunatesekaaa

  • @jofreysaimoni4964
    @jofreysaimoni49648 ай бұрын

    Viongozi wanaotumwa kupambana nauwizi.haondio wezi namba moja haiji kukoma hata siku moja. Dawa nikatiba mpia tu

  • @user-gu7zs6et7o
    @user-gu7zs6et7o8 ай бұрын

    Upigaji unaoendelea maofisini hasa Manispaa na Halimashauri ni matokeo ya "kikokoto"hakitoi hatima njema huko mwishoni.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74388 ай бұрын

    mafuta yenyewe wauzaji timu msoga Tabasamu unahangaika bure

  • @kulwageorge-eb9eg
    @kulwageorge-eb9eg8 ай бұрын

    Kuna majitu majizi kweli kweli,

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango93858 ай бұрын

    Mzee magu alisema akiondoka yatarudi yale yale

  • @johnchuwa2888
    @johnchuwa28888 ай бұрын

    Jamani watanzania mnaojua pos ni nini???

  • @user-rl4nv7ls4e
    @user-rl4nv7ls4e8 ай бұрын

    Bunge la chama Cha Ccm haliko siriasi. Mambo ya msingi wao wanacheka. Hawana uchungu na nchi hii

  • @godsson5954
    @godsson59548 ай бұрын

    hela zimeliwa na chama cha upinzani amaa??? sijaelewa ndugu zangu naomba nieleeweshwe please

  • @deogratiusdominick8882
    @deogratiusdominick88828 ай бұрын

    Kweli Majaliwa angekua na mamlaka bhac. Mambo yangeenda

  • @juliussuleiman3999
    @juliussuleiman39998 ай бұрын

    Wabunge elimu ndogo asilimia mia moja wako vizur, Rais wa kwanza Zanzibar Marhemu mzee Karume alisema watakuja wasomi, na leo tunaona matokeo ya wasomi wanavyokula nchi

  • @petermilol2104
    @petermilol21048 ай бұрын

    Wabunge wenye Elimu ndogo ndyo watetezi wa Taifa. Madgree wao ni bata na kuiba tu

  • @iambaizo
    @iambaizo8 ай бұрын

    Mwaka wa tano sina Ajira afu kuna mtu zinapiga billion 4 kwenye halmashauri dah kumamae 🥶🥶

  • @Shite_mohs
    @Shite_mohs8 ай бұрын

    Tanzania nchi ya kikuma watoto wao wanatusumbua mtaani na ma V8 kumbe wanaiba

  • @Ambwene

    @Ambwene

    8 ай бұрын

    Wasenge sana kaka

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74388 ай бұрын

    Tabasamu sema usiogope sema sekta zote hovyo waziri mkuu ndiyo qlistahil awe Rais mama hawezi kitu huyo kazi yake kurimotiwa

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir99658 ай бұрын

    Hapa bado unamkuta kijana anapenda ccm ndio unajiuliza anajielewa kweli,kwa pesa hizi kweli vijana wangeweza kua tegemezi mpaka leo wanatukanwa kua ni wazembe na wazururaji kumbe pesa zao zinaliwa na ccm wasioweza kuwajibishana kazi kutuwekea zogo tu hapa

  • @user-iw7nq3cg1v
    @user-iw7nq3cg1v8 ай бұрын

    Kumbe watu wanajua kuongea ivi. Dah. Nilijua ccm hawaongeagi

  • @gangmore9091
    @gangmore90918 ай бұрын

    Watanganyika haya maisha munaytka wenyewe 😅😅 Ccm haitoki madarakani adi mufanye mamuzi maguu dhulma haileti maendeleo kupiga kura haisaid kuwatoa Ccm madarakani

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema79128 ай бұрын

    Kimeumana mapema kabla hata hajaanza kuchangia

  • @tiijuma795
    @tiijuma7958 ай бұрын

    Naomba furaha na makofi yaongezeke na huku viti viendelee kuzunguka.

  • @deusisiame2855
    @deusisiame28558 ай бұрын

    Wabunge Kama hawa ndo wanatakiwa sasa sio wabunge wa kupongezana kila today

  • @user-us7qc4cj1p
    @user-us7qc4cj1p8 ай бұрын

    Wanamtesa CAG

  • @ellyitete938
    @ellyitete9388 ай бұрын

    Tunazungukwa hapa kwa kuwa uchaguz umekaribia...wazee wa kupiga bila kupingwa ..mbunge ni mpina

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat63528 ай бұрын

    Mimi nadhani waendelee kuiba ili watufondosheee na sisi huku mafundi 😂😂😂

  • @levissanga8867
    @levissanga88678 ай бұрын

    Mbona hamtaji wala kuumia na kodi za watanzania?

  • @danielkanso
    @danielkanso8 ай бұрын

    Hii bunge na mawaziri wake ingefutwa kabisa maana huwa siwaelewi

  • @dianasamson9311
    @dianasamson93118 ай бұрын

    Tarura ni problem

  • @Mpili307
    @Mpili3078 ай бұрын

    Bado hajamsema, mpaka mseme 😂

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp8 ай бұрын

    Hampiganii Katiba maanayake mnabaliki wizi

  • @saidmabanga388
    @saidmabanga3888 ай бұрын

    Nyie fanyenii usenge tunawngoj ukuu

  • @ahamadasalym5892
    @ahamadasalym58928 ай бұрын

    Kimeumana😂

  • @omarisadiki770
    @omarisadiki7708 ай бұрын

    Eafungwa wote wepewe msamaha watoke nje wangie wa mabilioni ndani

Келесі