"WAJANJA WAPO TAMISEMI KAZI YAO NI KUIBA PESA USIKU" - MBUNGE TABASAMU AKIWASHA BUNGENI
"WAJANJA WAPO TAMISEMI KAZI YAO NI KUIBA PESA USIKU" - MBUNGE TABASAMU AKIWASHA BUNGENI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 191
Yes Dectactorshp is the key to success R.I.P Magufuli
Mungu anawaona,ipo aiku na mlaaniwe ,mfe kwa mateso makubwa haki ya Mungu
Duh Watanzania ni kweli mabilioni hayo Yako Kwa watu binafsi ? Ndiyo maana Magufuli aliijenga nchi yetu.
@elbattawy2864
8 ай бұрын
alijenga airport chato pia
Baba alisema “ Mtanikumbuka tena kwa Mazuri ” sasa nakukumbuka hapa kusingekuwa na mjadala zaidi kurudishwa pesa zetu.Rest in Peace MAGU for sure we still need you indeed
Wabunge wazarendo ni Hawa sasa, safi San,Tena Wasafi media endeeni kutembea majimbon kuibua hoja ,mtafka mbali San 🔥🙏
Hakika kanda ya ziwa tuna wawakilishi bora sanaaaa
Tabasam uko vizur nimekuelwa sana
Kuja kuwa vizur tanzania hii katka utendaji kazi ningum sanaaaa mifumo ya inchi inatengeneza wawatumishi kuwa waizi
Shida ni huyo mama yenu anayelinda wezi. Kaka watoto ni wezi na mama anawalinda, principle ya maisha inatuambia mama ndiye mwizi number moja.
Umetusemea sana mkuu
Leo hatlist Bunge limechangamka
hizi hela zinazoonekana zimeibiwa kila leo alaf kuna watu masikini wanaoteswa na mamlaka na hawa viongozi kujinenepea tu.kazi tunayo
Hii nchi jaman mpeni MAKONDA awanyoooshe
Hay bana
Sawaa baba kwel hiyo haiwezekani bn💯👏👏
Majbu ya hayo wafanyayo wataadhibiwa na Mungu tu mbona Kaz wanayo
Aisee nimependa sana uyu mzee, ujinga nauweka wazi awa wabunge wakiongea ayo yanayojiita mawaziri wanawazaru wanabiki kuchekatu, afu mbona kama wabunge wa Kanda ya ziwa ndo wakosiriaz sana.
@rosemuhandoofficial5676
8 ай бұрын
Mwenzangu hata Mimi nashangaa
Wabunge Hawa wasubiri mwaka 2025 mawaziri wawajibishwe maisha magumu hawamsaidii mama
Mungu fungua mioyo ya watu hawa wanene ya kweli kwani siku za kuishi wanadamu zinahesabiwa wengine kama wataishi milele¡
Inauma sana watu wanatunyonya
Hii nchi bila kutawaliwa na wasukuma tutaendelea kua masikini mpaka mwisho ukiangalia watu wanao wanao ongea ukweli niwasukuma2
@daudimaniseli759
8 ай бұрын
Kweli kabsa
@tusajigwe7491
8 ай бұрын
Sanaa
@emariusrush3285
8 ай бұрын
ukweli ndio huo
@makongoflm6184
8 ай бұрын
Msukuma Mpina Tabasamu Wapo makini wasukuma
Uko sahihi kabisa
Mungu akutunze
wanyongwe wezi wote tubaki wasafi
Hongera sana mbunge umeongea❤
Ngoja nienderee kuskiliza nyimbo ya @neywamitego
Mbona tulixhalijuwa ilo mnahanda mzngl 2025
Ni wizi kila uchao.Inauma sana
Watumishi kutuongezea mishahara mmeshindwamnajisifia kuiba JEHANAMU INAWAHUSU
HONGERA SANA MH. TABASAMU. WIZI UMEZIDI. TULISHANGAA SANA SWALA LA BANDARI WOOOTE MKASEMA NDIYOOO. UKALI HUU UNGEONESHWA KWENYE DPWORLD. MUARABU INAKUWAJE ARUDI TENA KURUDI KWETU? KWENU NINYI KURUDI TENA INAKUWA NGUMU SANA.
Mbunge WA sengerema nimekuelewa saaana
Hapa bungen ambaye sio mwz naomba ajitokeze hadharan yesu yu karbu kurudi
@tusajigwe7491
8 ай бұрын
😅😂😂
@EsitaDavid2-wp1uf
8 ай бұрын
Kweli ndugu ni wakati wa TOBA.
Wabunge wengi mnacheka Mahalia pa kuhuzunika msipoangalia kama ni hivi wengi hamtarudi bungeni mtakataliwa na baadhi ya majimbo.Nchi imerudi kuwa shamba la bibi Tena chukueni hatua Hawa wezi wakamatwe kwanza wajihudhuru.
Tatizo ndiyo hilo uwizi uwezi kwisha,mtu akiiba anahamishiwa sehemu nyingine
Mnayoyasema bungeni niyakweli hakikisheni Hela anazotoa mama zinakaguliwa wapigaji ni wengi
😮
Mimi nasikiliza bunge langu😊
Anayeendekeza wezi yupo nae mnamjua tena mnamwabudu na kumtukuza, adui wa nne wa Taifa letu ni UNAFIKI.
Fact
Hao wanaocheka jambo la kulia wao wanacheka hata haiwaumi.ccm mjitathimin kabsa hii si sawa inakuwaje waliondolewa then wakarudishwa Ili waibe so tusiwalaum maana hakuna wa kumfunga paka kengere waachen watuibie hela ambazo Rais wetu anakopa alafu sis tukalipe mikopo na riba juu ila mjue Mungu anawaona alafu mnatuambia mna din
Fanyeni kazi acheni kubebana mtapata heshima
Nyie wote ni walewale msitizuge , lakini endeleeni is he akuwa kawaida , ebu pumzikeni basi waingie wengine tuone nao
Kumbe nchi yangu ndiyo inayonifanya niwe maskini🎉
Nch hii n hatar sana
😢
Hiyo sawa na kumkimbiza mwizi ukimfikia unamsalimia na kakuibia kweli hafu unarudi zako. Sasa ulikuwa unamkimbiza ili iweje sasa!!!
Daaa, viongozi wa hii nchi sijui wanatuchukuliaje.
Lakini pia kuna mama amefungwa miaka 22 kisa nyama ya swala Iringa😢😢😢😢
Lakini mama samia hasikii vilio vya wabunge akawatumbua waliotajwa kwenye taarifa ya CAG
Siasa ni utajiri Afrika, unaingia maskini unakaa miaka 4-5 unatoka tajiri, mtachomwa huko motoni
Ccm aisee kazi ipo
Hawa wabunge ni wanafiki.wanataka kura zetu.hakuna lolote hapo.wote wezi tu
Hii ni dhambi kubwa
Mnalea wezi😂
Awe wezi wapo wapi toka
Yaan awamu ya 6 inawapigaji wengi kuliko awamu 4
Hii nchi inawezi wengi sna hasa hawa viongozi wetu na wanaosema wengi hawapat hyo migawo
Spika wenu ndo failure namba moja, ninyi wabunge ni failure namba mbili, ndo maana mmebaki kupiga mkofi tu wakati hela za wananchi zinaliwa, vuneni mlichopanda!.
Mm nasema bila kitu kinacho itwa katiba mpya katiba mpya katiba mpya katiba mpya katiba mpya mtaendelea kuoiga kelele mpaka yesu atakapo rudi
Unaffiliated unawaponza watanzania. Mfn ..waziri au mmbunge flan akiwa upande flani na akiwa mwizi ,utaona watu wa kule alipo wakimsimamia ili aendelee kuweoo
Samia amenyamaza tu nchi inaungua.! Kazi yake kuwagawia waarabu kinachobaki. Aibu.!!!
Sawa bhana endeleen kuupiga mwingi
Hao wezi na mafisadi, wakamatwe,washitakiwe na wataifishwe mali zao. Hao ni wahujumu uchumi wasifukuzwe kazi to, haisaidii.
Nikweli kabisa atahapa Mkoa wa Geita nishida Wana leta Pesa kwa ajili ya ujenzi wa barabal a za mitaa wanakula tuu pakusemea akuna
Nyie ..sijui tu kodi ni laana hiyo..
Nishambalabibi mugao wawajukuu.
assume watu wanakula mabilion na wengine wanahangaika watu mna roho mbaya sana hata shetan anajiuliza
Tunaowaamini ndo hao wanatuangamiza nchi ipo papaya sana watu wachache wanamfifisha Mama etu Samia Suluhu Hassan
Manaa acha upolee aseee chukuwa atuwa aseee acha upolee mamaaa wanao tunatesekaaa
Viongozi wanaotumwa kupambana nauwizi.haondio wezi namba moja haiji kukoma hata siku moja. Dawa nikatiba mpia tu
Upigaji unaoendelea maofisini hasa Manispaa na Halimashauri ni matokeo ya "kikokoto"hakitoi hatima njema huko mwishoni.
mafuta yenyewe wauzaji timu msoga Tabasamu unahangaika bure
Kuna majitu majizi kweli kweli,
Mzee magu alisema akiondoka yatarudi yale yale
Jamani watanzania mnaojua pos ni nini???
Bunge la chama Cha Ccm haliko siriasi. Mambo ya msingi wao wanacheka. Hawana uchungu na nchi hii
hela zimeliwa na chama cha upinzani amaa??? sijaelewa ndugu zangu naomba nieleeweshwe please
Kweli Majaliwa angekua na mamlaka bhac. Mambo yangeenda
Wabunge elimu ndogo asilimia mia moja wako vizur, Rais wa kwanza Zanzibar Marhemu mzee Karume alisema watakuja wasomi, na leo tunaona matokeo ya wasomi wanavyokula nchi
Wabunge wenye Elimu ndogo ndyo watetezi wa Taifa. Madgree wao ni bata na kuiba tu
Mwaka wa tano sina Ajira afu kuna mtu zinapiga billion 4 kwenye halmashauri dah kumamae 🥶🥶
Tanzania nchi ya kikuma watoto wao wanatusumbua mtaani na ma V8 kumbe wanaiba
@Ambwene
8 ай бұрын
Wasenge sana kaka
Tabasamu sema usiogope sema sekta zote hovyo waziri mkuu ndiyo qlistahil awe Rais mama hawezi kitu huyo kazi yake kurimotiwa
Hapa bado unamkuta kijana anapenda ccm ndio unajiuliza anajielewa kweli,kwa pesa hizi kweli vijana wangeweza kua tegemezi mpaka leo wanatukanwa kua ni wazembe na wazururaji kumbe pesa zao zinaliwa na ccm wasioweza kuwajibishana kazi kutuwekea zogo tu hapa
Kumbe watu wanajua kuongea ivi. Dah. Nilijua ccm hawaongeagi
Watanganyika haya maisha munaytka wenyewe 😅😅 Ccm haitoki madarakani adi mufanye mamuzi maguu dhulma haileti maendeleo kupiga kura haisaid kuwatoa Ccm madarakani
Kimeumana mapema kabla hata hajaanza kuchangia
Naomba furaha na makofi yaongezeke na huku viti viendelee kuzunguka.
Wabunge Kama hawa ndo wanatakiwa sasa sio wabunge wa kupongezana kila today
Wanamtesa CAG
Tunazungukwa hapa kwa kuwa uchaguz umekaribia...wazee wa kupiga bila kupingwa ..mbunge ni mpina
Mimi nadhani waendelee kuiba ili watufondosheee na sisi huku mafundi 😂😂😂
Mbona hamtaji wala kuumia na kodi za watanzania?
Hii bunge na mawaziri wake ingefutwa kabisa maana huwa siwaelewi
Tarura ni problem
Bado hajamsema, mpaka mseme 😂
Hampiganii Katiba maanayake mnabaliki wizi
Nyie fanyenii usenge tunawngoj ukuu
Kimeumana😂
Eafungwa wote wepewe msamaha watoke nje wangie wa mabilioni ndani