WACONGO WATAPELI MUNISHI

Музыка

WACONGO TENA WANAKILI WIMBO WA MUNISHI BILA MAKUBALIANO
Mara hii siyo BANYAMULENGE ni WABEMBE wa Kinshasa
Wengine wanasema eti wanaiba kulipa dollars alizowapora Malebo
Mimi ni Munishi siyo Malebo isitoshe Malebo Aliokoka
Mtumishi Munishi Sitakubali wanipokonye wimbo wangu. Wauache ulivyokuwa kama uliwafikia Congo ukawabariki wasijifanye wanauongezea upako sitaki.
Wameuweka KZread kwa kisingizio wananisaidia kuhubiri.
Hapana watunge nyimbo zao huo tayari watu walishausikia. watafute mafunuo mapya.
ushauri wangu kwao ni, Ukipenda wimbo wa mtu unausikiliza na kucheza na unauacha kama ulivyo.
Kuingia Studio na kurekodi upya Audio na Kisha kuchukua video na kuuzindua upya wimbo huo bila makubaliano na mwenye wimbo, huo ni wizi uliopangwa ukapangika na kutekelezwa hadharani.
YAANI NI WIZI WA KUTUMIA NGUVU.
Au mtu akiiba sadaka Kanisani tunamwita mtakatifu Mwizi? Au tumwite Mwizi tu?

Пікірлер: 9

  • @Bauer12345
    @Bauer123453 ай бұрын

    Pasha injili ya Yesu. Wamekusaidia kusambaza neno la Mwenyezi Mungu

  • @faustinlukoondoole
    @faustinlukoondoole3 ай бұрын

    Waache kukutapeli waheko Mchungaji Munishi! Tulipenda sana nyimbo zako jinsi zilivyo! Wakuombe kwanza ruhusa!

  • @stephennguta5970
    @stephennguta59703 ай бұрын

    Hii imeeenda!hii imeeenda!hii imeeenda.

  • @erastoshengezi5742
    @erastoshengezi57423 ай бұрын

    Kwa kweli biasha ni biasha tu kabisa, walio tunga nyimbo za tenzi na za okovu watasema je jameni

  • @achillenamikomachilinlin1314
    @achillenamikomachilinlin13143 ай бұрын

    Hauwezi ita benzako ma tapeli, nyimbo zakusifu Mungu, kila mtu anaweza zi imba ndugu Munishi

  • @josephnyakundi2905
    @josephnyakundi29052 ай бұрын

    Sikuhizi watunzi ni wachche, kazi iko ni kurejerea za wenyewe😂😂😂

  • @BIMTV360
    @BIMTV3603 ай бұрын

    Eti

  • @joshuaonyi3819
    @joshuaonyi38193 ай бұрын

    Piga Ripoti kwa KZread

Келесі