WACONGO WATAPELI MUNISHI
Музыка
WACONGO TENA WANAKILI WIMBO WA MUNISHI BILA MAKUBALIANO
Mara hii siyo BANYAMULENGE ni WABEMBE wa Kinshasa
Wengine wanasema eti wanaiba kulipa dollars alizowapora Malebo
Mimi ni Munishi siyo Malebo isitoshe Malebo Aliokoka
Mtumishi Munishi Sitakubali wanipokonye wimbo wangu. Wauache ulivyokuwa kama uliwafikia Congo ukawabariki wasijifanye wanauongezea upako sitaki.
Wameuweka KZread kwa kisingizio wananisaidia kuhubiri.
Hapana watunge nyimbo zao huo tayari watu walishausikia. watafute mafunuo mapya.
ushauri wangu kwao ni, Ukipenda wimbo wa mtu unausikiliza na kucheza na unauacha kama ulivyo.
Kuingia Studio na kurekodi upya Audio na Kisha kuchukua video na kuuzindua upya wimbo huo bila makubaliano na mwenye wimbo, huo ni wizi uliopangwa ukapangika na kutekelezwa hadharani.
YAANI NI WIZI WA KUTUMIA NGUVU.
Au mtu akiiba sadaka Kanisani tunamwita mtakatifu Mwizi? Au tumwite Mwizi tu?
Пікірлер: 9
Pasha injili ya Yesu. Wamekusaidia kusambaza neno la Mwenyezi Mungu
Waache kukutapeli waheko Mchungaji Munishi! Tulipenda sana nyimbo zako jinsi zilivyo! Wakuombe kwanza ruhusa!
Hii imeeenda!hii imeeenda!hii imeeenda.
Kwa kweli biasha ni biasha tu kabisa, walio tunga nyimbo za tenzi na za okovu watasema je jameni
Hauwezi ita benzako ma tapeli, nyimbo zakusifu Mungu, kila mtu anaweza zi imba ndugu Munishi
Sikuhizi watunzi ni wachche, kazi iko ni kurejerea za wenyewe😂😂😂
Eti
Piga Ripoti kwa KZread