Waasi wa M23 wazidi kushikilia maeneo zaidi Mashariki mwa DRC

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 24

  • @festohaule9716
    @festohaule971618 күн бұрын

    Kagame yupo kazini na alishasema atatangaza vita na Congo!!! Hivo vita vimeaanza tayari!!!!

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi223218 күн бұрын

    Walienda kuishtaki apple.... GPS tunaomba uchambuzi connection hiyo inakuwaje??

  • @MohamedAhmada-ie7ke
    @MohamedAhmada-ie7ke18 күн бұрын

    Nacheka kama mazuri kongo hebu mkaribisheni mrus mtoeni uyo anae chukua dhahabu 2 na kufadhili watu silaha

  • @salehkhalfan7345

    @salehkhalfan7345

    18 күн бұрын

    Wagner wakiingia miez kadhaa tu hamn m23 wala 25

  • @celifpower4993

    @celifpower4993

    18 күн бұрын

    @@salehkhalfan7345mbona hao wgn wapo kitambo uko cng na hwajafanya chochote

  • @mtzhalisi2232

    @mtzhalisi2232

    18 күн бұрын

    Kweli kabisa mzee

  • @Gody360
    @Gody36018 күн бұрын

    Congo lini itatulia

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi223218 күн бұрын

    Marekani huyo

  • @momboi2
    @momboi217 күн бұрын

    Kenya tuliwaachia wenyewe watatue😅😅😅mlikataa dialogue

  • @vibetz9991
    @vibetz999117 күн бұрын

    Mimi Spiderman, kesho naenda huko kuwashugulikia,,, kuweni watulivu

  • @STEVEN-f6g
    @STEVEN-f6g17 күн бұрын

    Hawa waasi wana boss wao si rahisi kuishinda serikali..

  • @kwisa4899
    @kwisa489917 күн бұрын

    Jpm angekua kiongozi wa congo wangenyooka

  • @AndelaDelfina
    @AndelaDelfina18 күн бұрын

    Hii vita ni siasa za marekani na Rwanda. Ubaya wa kongo hawana umoja na wamekosa raisi wakuwatetea. Raisi wa kongo hajui kujitolea kwaajili ya kongo yupo bize kusafiri na kufunya hanasa. Wengine wako bize kuiba mali ya inchi.yaani kila mtu anajifikiria. Hawana uzalendo kabisa

  • @Ryannkae

    @Ryannkae

    17 күн бұрын

    Ujiwi kama mke wake ni rwande? Na hiyo ndo mazara ya kuhowa mtoto waaduwi tako na kuna siku mkewe ashawayi tamka kuusu hilo eti atakama mumewe akufukuza wa rwande basi atakaye kuja nyuma yake atafauli hilo kumbe mumewe anashindwa kwasa bb ameowana na wa rwande ajuwi afanye nini

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten956017 күн бұрын

    Tatizo congo wao kwa wao ni wanafiki

  • @user-op5gz7vj6w
    @user-op5gz7vj6w18 күн бұрын

    Wachuukuee inchi nzima watawalee wao kama talebaniiiii tuuh

  • @billskeez92
    @billskeez9217 күн бұрын

    GPS tunaomba habari za DRC vyanzo vya vita hiyo in deep Zaidi kama njisi mnavyo fanya Kenya

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda497017 күн бұрын

    Kinachoenderea ni kama vile bwana putting anavyomega ucraine ndivyo marekani wanavyoiteka congo kupitia kagamee😢

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum200418 күн бұрын

    Siraha zao zinashukia bandar IPI Rwanda hawana bandar

  • @mtzhalisi2232

    @mtzhalisi2232

    18 күн бұрын

    Wana kiwanja cha ndege

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif946517 күн бұрын

    ruto atapewa billions of dollars atatuma polisi wetu huko😂

  • @jumamussantuiche

    @jumamussantuiche

    17 күн бұрын

    Polisi weno kwenda kongo watakuwa pamoja na m23.

  • @hanspop6961

    @hanspop6961

    17 күн бұрын

    Police wenu waendelee na Gen z

Келесі