Kagame yupo kazini na alishasema atatangaza vita na Congo!!! Hivo vita vimeaanza tayari!!!!
@mtzhalisi223218 күн бұрын
Walienda kuishtaki apple.... GPS tunaomba uchambuzi connection hiyo inakuwaje??
@MohamedAhmada-ie7ke18 күн бұрын
Nacheka kama mazuri kongo hebu mkaribisheni mrus mtoeni uyo anae chukua dhahabu 2 na kufadhili watu silaha
@salehkhalfan7345
18 күн бұрын
Wagner wakiingia miez kadhaa tu hamn m23 wala 25
@celifpower4993
18 күн бұрын
@@salehkhalfan7345mbona hao wgn wapo kitambo uko cng na hwajafanya chochote
@mtzhalisi2232
18 күн бұрын
Kweli kabisa mzee
@Gody36018 күн бұрын
Congo lini itatulia
@mtzhalisi223218 күн бұрын
Marekani huyo
@momboi217 күн бұрын
Kenya tuliwaachia wenyewe watatue😅😅😅mlikataa dialogue
@vibetz999117 күн бұрын
Mimi Spiderman, kesho naenda huko kuwashugulikia,,, kuweni watulivu
@STEVEN-f6g17 күн бұрын
Hawa waasi wana boss wao si rahisi kuishinda serikali..
@kwisa489917 күн бұрын
Jpm angekua kiongozi wa congo wangenyooka
@AndelaDelfina18 күн бұрын
Hii vita ni siasa za marekani na Rwanda. Ubaya wa kongo hawana umoja na wamekosa raisi wakuwatetea. Raisi wa kongo hajui kujitolea kwaajili ya kongo yupo bize kusafiri na kufunya hanasa. Wengine wako bize kuiba mali ya inchi.yaani kila mtu anajifikiria. Hawana uzalendo kabisa
@Ryannkae
17 күн бұрын
Ujiwi kama mke wake ni rwande? Na hiyo ndo mazara ya kuhowa mtoto waaduwi tako na kuna siku mkewe ashawayi tamka kuusu hilo eti atakama mumewe akufukuza wa rwande basi atakaye kuja nyuma yake atafauli hilo kumbe mumewe anashindwa kwasa bb ameowana na wa rwande ajuwi afanye nini
@hamzafishten956017 күн бұрын
Tatizo congo wao kwa wao ni wanafiki
@user-op5gz7vj6w18 күн бұрын
Wachuukuee inchi nzima watawalee wao kama talebaniiiii tuuh
@billskeez9217 күн бұрын
GPS tunaomba habari za DRC vyanzo vya vita hiyo in deep Zaidi kama njisi mnavyo fanya Kenya
@donaldmgunda497017 күн бұрын
Kinachoenderea ni kama vile bwana putting anavyomega ucraine ndivyo marekani wanavyoiteka congo kupitia kagamee😢
@zuberisalum200418 күн бұрын
Siraha zao zinashukia bandar IPI Rwanda hawana bandar
@mtzhalisi2232
18 күн бұрын
Wana kiwanja cha ndege
@muzafarsharif946517 күн бұрын
ruto atapewa billions of dollars atatuma polisi wetu huko😂
Пікірлер: 24
Kagame yupo kazini na alishasema atatangaza vita na Congo!!! Hivo vita vimeaanza tayari!!!!
Walienda kuishtaki apple.... GPS tunaomba uchambuzi connection hiyo inakuwaje??
Nacheka kama mazuri kongo hebu mkaribisheni mrus mtoeni uyo anae chukua dhahabu 2 na kufadhili watu silaha
@salehkhalfan7345
18 күн бұрын
Wagner wakiingia miez kadhaa tu hamn m23 wala 25
@celifpower4993
18 күн бұрын
@@salehkhalfan7345mbona hao wgn wapo kitambo uko cng na hwajafanya chochote
@mtzhalisi2232
18 күн бұрын
Kweli kabisa mzee
Congo lini itatulia
Marekani huyo
Kenya tuliwaachia wenyewe watatue😅😅😅mlikataa dialogue
Mimi Spiderman, kesho naenda huko kuwashugulikia,,, kuweni watulivu
Hawa waasi wana boss wao si rahisi kuishinda serikali..
Jpm angekua kiongozi wa congo wangenyooka
Hii vita ni siasa za marekani na Rwanda. Ubaya wa kongo hawana umoja na wamekosa raisi wakuwatetea. Raisi wa kongo hajui kujitolea kwaajili ya kongo yupo bize kusafiri na kufunya hanasa. Wengine wako bize kuiba mali ya inchi.yaani kila mtu anajifikiria. Hawana uzalendo kabisa
@Ryannkae
17 күн бұрын
Ujiwi kama mke wake ni rwande? Na hiyo ndo mazara ya kuhowa mtoto waaduwi tako na kuna siku mkewe ashawayi tamka kuusu hilo eti atakama mumewe akufukuza wa rwande basi atakaye kuja nyuma yake atafauli hilo kumbe mumewe anashindwa kwasa bb ameowana na wa rwande ajuwi afanye nini
Tatizo congo wao kwa wao ni wanafiki
Wachuukuee inchi nzima watawalee wao kama talebaniiiii tuuh
GPS tunaomba habari za DRC vyanzo vya vita hiyo in deep Zaidi kama njisi mnavyo fanya Kenya
Kinachoenderea ni kama vile bwana putting anavyomega ucraine ndivyo marekani wanavyoiteka congo kupitia kagamee😢
Siraha zao zinashukia bandar IPI Rwanda hawana bandar
@mtzhalisi2232
18 күн бұрын
Wana kiwanja cha ndege
ruto atapewa billions of dollars atatuma polisi wetu huko😂
@jumamussantuiche
17 күн бұрын
Polisi weno kwenda kongo watakuwa pamoja na m23.
@hanspop6961
17 күн бұрын
Police wenu waendelee na Gen z