VIWANJANI 09/07/2024 | 'Ma-pro' wanne ambao Simba SC inatakiwa kuwatema kuelekea 2024/25

Спорт

SIMBA SC: Pata uchambuzi kuhusu usajili wa wachezaji wa kigeni waliosajiliwa Simba SC hadi sasa (08/07/2024) kikosi kikiwa kinakwenda nchini Misri kwa ajili ya kambi ya pre-season.
Hadi sasa wameshasajiliwa wapya saba, ambao wanafanya jumla kuwe na wachezaji zaidi ya 12 (16) wa kigeni...hivyo kuna wanne wanaotakiwa kuchinjwa...
Wachambuzi Geofrey Mwamnyanyi na ....wanatoa maoni yao juu ya nani wanaotakiwa kuwatemwa kuelekea msimu ujao 2024/25.
Je, wewe ungependa nani atemwe?????

Пікірлер: 5

  • @levigodi
    @levigodi14 күн бұрын

    Ila kwa Mimi cjapenda San kwa kumuacha kanuti

  • @HogaTuli
    @HogaTuli14 күн бұрын

    Napenda sana mnavyochambua jaman

  • @IbraahimuMadege
    @IbraahimuMadege14 күн бұрын

    Mie leo wa kwanza naomben like zenu

  • @mwanangusana
    @mwanangusana14 күн бұрын

    Will le Andre Esomba Onana ...jina kubwa 😂😂

  • @official_wadex
    @official_wadex14 күн бұрын

    Huyo huyo onana ndo tulikuwa tunasubili

Келесі