VITOA SUMU MWILINI-ANTIOXIDANT SEHEMU YA 1 - DR. HESPERANCE D. KILONZO
Жүктеу.....
Пікірлер: 9
@atupakisyekyando890 Жыл бұрын
Mungu akubariki Sana dr kwa masomo mazuri ya afya.kweli tumekula na kunywa vitu vingi visivyo faa.hata viungo vya miili yetu inauma kwa ajili ya vyakula na vinywaji.Mungu atusaidie
@joshuaswai8203 Жыл бұрын
Dr Mungu amekuwa upande wako hasa naomba sana ubarikiwe na Mungu ktk baraka zote
@happinessmaregesi253 Жыл бұрын
Dr asante sana kwa somo zuri 🙏🙏
@obedimunguachiza8434 Жыл бұрын
Nakufuata taratibu Dr Hesperance Kilonzo kutokea Sweden, ila somo hili linakatikakatika siku sikii vizuri Dr🙏
Пікірлер: 9
Mungu akubariki Sana dr kwa masomo mazuri ya afya.kweli tumekula na kunywa vitu vingi visivyo faa.hata viungo vya miili yetu inauma kwa ajili ya vyakula na vinywaji.Mungu atusaidie
Dr Mungu amekuwa upande wako hasa naomba sana ubarikiwe na Mungu ktk baraka zote
Dr asante sana kwa somo zuri 🙏🙏
Nakufuata taratibu Dr Hesperance Kilonzo kutokea Sweden, ila somo hili linakatikakatika siku sikii vizuri Dr🙏
Ni nn kinacho sababisha miguu kuuma
Ni nn inasababisha mtu kuwa paralised miguu
🙏
@obedimunguachiza8434
Жыл бұрын
Naomba mwendelezo wa somo hili tafadhali 🙏
Niko dar es salaam tz