Vita Ukrain! Marekani anaiogopa Urusi kuliko Kitu Chochote, Hofu ya NUCLEAR yatanda, Putin ajiapiza

Пікірлер: 39

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616Ай бұрын

    Huyu mzee anavitu vingi vya kutufundisha,,Mungu amjalie afya njema❤❤❤

  • @theopant916
    @theopant916Ай бұрын

    Huyu mzee ni tunu kama huna D mbili huwezi elewaa! Respect gwigo tuko pamoja ktk stone twn uguja tnakupat vzrii

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699Ай бұрын

    NASA hawezi kwenda mwezini bila luksa na msada wa mawasiliano kutoka Urusi, Viva Rusia

  • @mkongwekarim3036
    @mkongwekarim3036Ай бұрын

    Huyu mzee yuko vizr sana

  • @pascalmanyama2304
    @pascalmanyama2304Ай бұрын

    Gwido endelea kumuhoji mzee Hamduni taratibu,wala usiwe na haraka kama wachambuzi wa bongo,hapo kuna madini mengi mno!,tutajua mengi.

  • @user-od1xx3tk9y
    @user-od1xx3tk9yАй бұрын

    Tunahitaji mwendelezo gwido mzee ana madin mengi nadhan wana Yuhoma na Timu Urusi tutapata faida nying sana

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443Ай бұрын

    Huyu Mzee ananizidi sana historical geography!

  • @mwenebatuetabo5515
    @mwenebatuetabo551510 күн бұрын

    Umenikatiza uhondo, nahomba mwendelezo, mzee big up saaana

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDanielАй бұрын

    Nawasikiliza vizuri sana ktk Illinois Chicago.

  • @gauchogaucho7583
    @gauchogaucho7583Ай бұрын

    Mzee yupoo vzurii saanaa

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560Ай бұрын

    Mze yupo vizuri

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030Ай бұрын

    Mzee huyu amebobea sana katika geopolitics. . Hongera sana Mzee Hamdun.

  • @MustaphaManole
    @MustaphaManole11 күн бұрын

    Big up sana mzee mchambuzi wa siasa za ulimwengu

  • @hanspop6961
    @hanspop6961Ай бұрын

    Shukran Gwido kwa darasa Zuri tunakufatilia tuendelee na Epsode

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443Ай бұрын

    Asante sana Mzee kwa elimu

  • @wilondjacare
    @wilondjacareАй бұрын

    Nawapata vizuri sana nikiwa marekani

  • @YUHOMADIGITALFORUMS

    @YUHOMADIGITALFORUMS

    Ай бұрын

    karibu sana

  • @DennisMakwega
    @DennisMakwegaАй бұрын

    Nawaelewa sana sana,nikiwa India

  • @HamisiGatuso
    @HamisiGatuso12 күн бұрын

    Upo sawa unajua sana

  • @bukuruetienne3726
    @bukuruetienne3726Ай бұрын

    Kuna inchi mumesahau ambayo ni Slovenia ilikuwa ugoslovanija

  • @SaidyMwajeka
    @SaidyMwajekaАй бұрын

    Good father nice

  • @alisalimo2861
    @alisalimo286120 күн бұрын

    mzee uki vizuri lakini sauti

  • @MordAlly-ng8jj
    @MordAlly-ng8jjАй бұрын

    Mzee Hamduni ni diamond, ukimuona hudhani kabisa km anajua mambo mengi namba hii. Tena anaelewa kupindukia. Watu wengi wa sasa hawana wanachojua zaidi ya ku Google tu.

  • @HassanJambia
    @HassanJambiaАй бұрын

    Huyu mzee dah

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688Ай бұрын

    Mzee nakukumbusha mombasa ni mali ya visiwa vya zanzibar leo tunaambiwa ni kenya

  • @aziza9093
    @aziza9093Ай бұрын

    ❤❤❤

  • @jumashimba9620
    @jumashimba9620Ай бұрын

    Mayote

  • @KurusumuMatola
    @KurusumuMatolaАй бұрын

    Dah mzee anachambua hatar

  • @thadeombani7869
    @thadeombani786923 күн бұрын

    Hiyo episod ya 4 iko wapi mbona hamjaitoa toeni bas tunawafuatilia

  • @user-bw6cd7ml1i
    @user-bw6cd7ml1iАй бұрын

    Gwido huyu mzee umemtoa tz hii hawa ndio wanatakiwa ndio washauri wazuri kwa serikali yetu

  • @user-ob6ji1pc1c
    @user-ob6ji1pc1cАй бұрын

    Mzee ww mmmh

  • @kdloon2030
    @kdloon2030Ай бұрын

    Alaska mrusi alimuuzia United States of Gaymerica!

  • @GwakisaMwangosi-go2ru
    @GwakisaMwangosi-go2ruАй бұрын

    Mnaandika kichwa Cha habar kingine maada nyingone

  • @SaidyMwajeka
    @SaidyMwajekaАй бұрын

    😂❤🎉🎉

  • @Kalunirashidi
    @KalunirashidiАй бұрын

    uyumze kitabu chaekima

  • @twaalibkeya859
    @twaalibkeya859Ай бұрын

    Mr Alex, naomba kumuuliza mzee Hamduni! Je? Amewai kushika nyazifa yyote ktk serekali yetu ya Tanganyika au Tanzania?

  • @twaalibkeya859

    @twaalibkeya859

    Ай бұрын

    Coz hyu mzee ni hazina

  • @yuhomatvmedia

    @yuhomatvmedia

    Ай бұрын

    Yes

  • @bukuruetienne3726
    @bukuruetienne3726Ай бұрын

    Kuna inchi mumesahau ambayo ni Slovenia ilikuwa ugoslovanija

Келесі