Viongozi wa ODM Busia waunga mkono mazungumzo

Viongozi wa chama cha ODM katika kaunti ya Busia wanaunga mkono kauli ya kinara wa chama hicho Raila Odinga kuhusu mazungumzo ya kitaifa. Aidha wanamtaka Raila kuhakikisha kuwa malalamishi ya vijana yamechukuliwa kwa uzito kwenye mazungumzo hayo

Пікірлер: 17

  • @daveondiekaaron2204
    @daveondiekaaron220423 күн бұрын

    WE DON'T WANT TALK. WE WANT ACTION.. 🥹😪😭💔

  • @zakayomuhindi3726
    @zakayomuhindi372623 күн бұрын

    Is Raila a Gen Z😢😢

  • @josiahotiso1328
    @josiahotiso132823 күн бұрын

    raila is not a Gen z,as a genz we are not interested na hii tabia yake ya kununuliwa pesa kila mwaka

  • @RoyKevin-f4t

    @RoyKevin-f4t

    23 күн бұрын

    Wacha ujinga kwani wewe ni nani,,,hata sisi ni gen z

  • @ring-tone278
    @ring-tone27823 күн бұрын

    Yes. Fight for your Stomachs. Ruto can have talks with Raila. They will be going together.

  • @user-ek3hk2xr6y
    @user-ek3hk2xr6y23 күн бұрын

    Kenya has moved

  • @wekhoyostephen9729
    @wekhoyostephen972923 күн бұрын

    This are the faces and voices we don't need now that raila odinga has always been paid so that anyamazie uovu this time he should not get involved achana na vijana walete mabadiliko kwa njia Zao wenyewe

  • @heyzborn1719
    @heyzborn171923 күн бұрын

    What are youuuu saayyyiiing

  • @MartinOchiengLigawa
    @MartinOchiengLigawa23 күн бұрын

    No, desolved parliament, then call New elections that's the medicine , Baba wisdom

  • @iddsadi831
    @iddsadi83123 күн бұрын

    Hakuna mazungumzo tunataka, Raila is not our leader. Tumekua na mazungumzo mingi lakini hamna matokeo

  • @RoyKevin-f4t

    @RoyKevin-f4t

    23 күн бұрын

    Wewe kwenda uko,,,ambia nyanya yako

  • @catherineikovwa3401
    @catherineikovwa340123 күн бұрын

    Kwendeni huko Raila wa nini ujinga tu

  • @kwobabrenda90
    @kwobabrenda9023 күн бұрын

    Raila were watching you!!!

  • @danielmaunga1760
    @danielmaunga176023 күн бұрын

    No dialogue first tell otuoma to get development

  • @user-oy5fn8du4u
    @user-oy5fn8du4u23 күн бұрын

    Viongoz jmn kueni na huruma na wananchi tunaumia😢 vyanyi kwa vitendo uchumi umekua mngumu jmn watu wanakufa 😢😢 sisi tunataka mabadiliko kwenye nchi yetu Vijana wapewe kz vitu vipunguzwe bei jmn 😢😢tunaumia

  • @dennismasinde669
    @dennismasinde66923 күн бұрын

    Nyinyi wazee endeni huko na azimio yenu, raila kufanya mazungumzo na ruto haitasimamisha msukimo wetu

  • @obungafelistas960
    @obungafelistas96023 күн бұрын

    I support the Dialogue ,

Келесі