Viongozi wa ODM Busia waunga mkono mazungumzo
Viongozi wa chama cha ODM katika kaunti ya Busia wanaunga mkono kauli ya kinara wa chama hicho Raila Odinga kuhusu mazungumzo ya kitaifa. Aidha wanamtaka Raila kuhakikisha kuwa malalamishi ya vijana yamechukuliwa kwa uzito kwenye mazungumzo hayo
Пікірлер: 17
WE DON'T WANT TALK. WE WANT ACTION.. 🥹😪😭💔
Is Raila a Gen Z😢😢
raila is not a Gen z,as a genz we are not interested na hii tabia yake ya kununuliwa pesa kila mwaka
@RoyKevin-f4t
23 күн бұрын
Wacha ujinga kwani wewe ni nani,,,hata sisi ni gen z
Yes. Fight for your Stomachs. Ruto can have talks with Raila. They will be going together.
Kenya has moved
This are the faces and voices we don't need now that raila odinga has always been paid so that anyamazie uovu this time he should not get involved achana na vijana walete mabadiliko kwa njia Zao wenyewe
What are youuuu saayyyiiing
No, desolved parliament, then call New elections that's the medicine , Baba wisdom
Hakuna mazungumzo tunataka, Raila is not our leader. Tumekua na mazungumzo mingi lakini hamna matokeo
@RoyKevin-f4t
23 күн бұрын
Wewe kwenda uko,,,ambia nyanya yako
Kwendeni huko Raila wa nini ujinga tu
Raila were watching you!!!
No dialogue first tell otuoma to get development
Viongoz jmn kueni na huruma na wananchi tunaumia😢 vyanyi kwa vitendo uchumi umekua mngumu jmn watu wanakufa 😢😢 sisi tunataka mabadiliko kwenye nchi yetu Vijana wapewe kz vitu vipunguzwe bei jmn 😢😢tunaumia
Nyinyi wazee endeni huko na azimio yenu, raila kufanya mazungumzo na ruto haitasimamisha msukimo wetu
I support the Dialogue ,