VILLE MORTE UVIRA/ BAVIRA Wapinga Kushimikwa Kwa Mwami Wa Banyamulenge Mu Groupement Ya Bijombo

MGOMO HUU UMEPELEKEA MPAKA SASA KUBOMOWA KANISA LA BANYAMULENGE UVIRA, WATU WAMEESHIMU AMRI HII YA MGOMO BARIDI AMBAO MPAKA SASA HALI BADO AIJAWA SAWA MAANA WATU WANAANGAIKA NA USAFIRI, CHAKULA NA KAZALIKA

Пікірлер: 14

  • @williammsenwa2627
    @williammsenwa26272 жыл бұрын

    Si walisemaga wa bembe ndo wanapenda vita, Habari ndo hiyo sasa

  • @descarteskashindi571
    @descarteskashindi5712 жыл бұрын

    Asante ac company tv pour nous informer en temps réel.

  • @josephmabundi1742
    @josephmabundi17422 жыл бұрын

    Ndiyo tunakubali

  • @bukurupeterjeano5958
    @bukurupeterjeano59582 жыл бұрын

    Tafazali na waomba pia wakimaliza maandamano ya bijombo waelekeye mu plaine juu ya warundi na wasii sana hatutaki kutawaliwa na wageni kwa hatuwa zama cheferie kama inch zingine huku ugenini tuliko.kama tutachangiya ingine makazi sawa ila isiwe mambo ya ma cheferie asante.

  • @ramazanisandro8762
    @ramazanisandro87622 жыл бұрын

    Wa congomani mufunguwe matcho tchillombo anataka kuuzisha iyi Congo...

  • @nyembomajidi3027
    @nyembomajidi30272 жыл бұрын

    mazungumuzo ni wote waende kambini niwakimbinzi sio wenyeji

  • @didiersaidiilombe6268
    @didiersaidiilombe62682 жыл бұрын

    Mulisemaka wabembe wanapendaka vita, na hawahonaki mbali, wakati wako na piganisha Wanyarwanda. Leo sasa Munakubali kama wanyarwanda siyo wazuri. Nabado Mutakubali kama wa bembe ni wa prophète.

  • @wilonjawilonja1790
    @wilonjawilonja17902 жыл бұрын

    Les bantous nous sommes des idiots, BIJOMBO devient problème comme LA Commune de #MINEMBWE, ILS nous faut un changement de mentalité au 21eme sicles!!!!!

  • @vyuguruzumwangumwereka
    @vyuguruzumwangumwereka2 жыл бұрын

    Sisi wote wa africa, acheni tuchangiye bulongo

  • @nyembomajidi3027

    @nyembomajidi3027

    2 жыл бұрын

    ndio sisi ni wafrica Lakini kuna wengine wanatumia ujanja ujanja si vizuri ukifika ku inchi lengine tafazali tuwe na eshima na ku eshimu Sheria utazikuta kwa zile inchi na utaishi na Amani Lakini uki aza ujanja na utaona ujanja zaidi ya ujanja unaotafuta.

  • @danielheri2246
    @danielheri22462 жыл бұрын

    Uvira ni shida sana

  • @bugaleriziki5633
    @bugaleriziki56332 жыл бұрын

    Kwanini inch yetu iko ivi tumemukosea nini Mungu kweli ili tukose amani mu inch yetu kwanini wanatuyima haki yetu ya mwenye inch ni ayibu sana kusikia ivyo mbona zengine inch mwenye inch anapewa haki jamene Congo

  • @bugaleriziki5633
    @bugaleriziki56332 жыл бұрын

    Lini tutapata Rais wakuongoza inch yetu kweli

  • @sakabakaaigle6129
    @sakabakaaigle61292 жыл бұрын

    Tjrs Sud-Sud Kivu people not educated enough raison pour laquelle immaturite esilaka te peuple longtemps prive d’éducation njo mana ils transmettent haine génération par génération mais pas leur faute pcq 60 ans après l’indépendance lack of leadership l’impunité for them it’s a culture, Moi regardant de loin nakanisi cette haine ita finir à une situation irréversible conséquence mbaya sana juu ces petits nombre des rwandais tutsis sont haï depuis 1964 , solution quelle ve nini bandugu moi voix détruisons notre pays for nothing, bazungu cherchent bouc émissaire ba détaché zaire yetu à travers immaturité yetu banduku angalisho

Келесі