Video ya Jay Z akiendesha Land Rover Defender yawafanya Zamaradi na Dogo Janja nao wajivunie zao
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii: / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti
Жүктеу.....
Пікірлер: 36
@Hillary_Daudi_Mrema Жыл бұрын
Land Rover Defender 110 Hardtop PUMA. The British Machines. Hili ni Ndugu Jeshi hauwezi kufananisha na Toyota Vibakuli. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
@rachaelkeith5095 Жыл бұрын
Kujeni Arusha..yapo Mengi sana💪
@nurudovino458711 ай бұрын
Hata mm naipenda japo sina hata mia yakumiliki gari ila ninzuri sana haswa kwa family
@alonerider7164 Жыл бұрын
Nunua unachokipenda na kinachokufaa,,sio wanachokipenda na kuwafaa watu wengine.
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Hatariiii na nusu
@swaglishauto846 Жыл бұрын
Guys this car is so expensive in UK 🇬🇧 mume wa queen 👸 Elizabeth ilikuwa ni gari yake number 1 na hata alipokufa basi msafara wake alipandishwa kwenye hiyo gari to be honest that is not a cheep car binafsi i wish one day nimiliki and yeyote alikuwa nayo must proud himself that car is worth 💙 na kila miaka ikienda that car huzidi value its a different car in this world 🌎. SNS TO UK 🇬🇧
@kijeshiabdalla6316 Жыл бұрын
Zamaradi kaelezea maneno mazuri sana, kwa hili nimejifunza kitu kupitia kwake
@rashidchimwenda Жыл бұрын
Watu wengi hawajui kuwa Range Rover ambayo ni gari pendwa ni product inayotokanna na Land Rover. Hizo jamaa wa Arusha wana zi customize na zinakuwa powa sana. Wasouth wanazitumia sana. Ni gari expensive sana kwa sasa pengine kuliko hata magari pendwa ya sasa. Mimi binafsi ni gari yangu pendwa ya siku zote
@Muda27
Жыл бұрын
Acha ujuaji.
@nancyfamilysharesmoments7634
Жыл бұрын
Exactly bonge la gari na expensive pia ni imara Sana inapita hadi barabara mbovu me naipenda Sana mume wangu ndo gari yake pendwa hii.
@andrewmachage9102
Жыл бұрын
Yn hyo range Rover defender new model yke n kali kinyama na hyo ya zamn ilkua kali xn na expensive sema tuh imepitwa na wakt ila chuma ya kaz kaz
@luciagabriel4520 Жыл бұрын
Nilichojifunza tuko tofauti kwny mitazamo yetu mbali na landrover tu endesga baiskel unaonekana mtu asiye na kipato inshort ni kutokuelewa
@zanzibarboyzanzibar509 Жыл бұрын
Wadanganyika bwana😂😂 ya Jay Z ni tofauti na hizo zenu ilimradi msipitwe tu
@yasminoluoch169
Жыл бұрын
Watu mna wivu wah
@donlee9992Күн бұрын
Dogo janja. Mshenz nae😂😂
@archbordygodfrey2614 Жыл бұрын
Arusha matajiri ndo tunaendesha hizi gari...😂,kawaida sana
@piterasifa3757 Жыл бұрын
Hawajui hawa
@user-os2dc7hi7y Жыл бұрын
Unashindwa kuheshimu mumeo,unamuheshimu jay z😢
@kitunganolwebo7570
Жыл бұрын
Hatari, mme haminiki ila jirani akiongea sawa
@fredrickmatiku7783 Жыл бұрын
Land Rover na Range Rover zote ni kampuni moja ya muingereza Uk 🇬🇧
@user-rv7zt6tj3d Жыл бұрын
Hii gari hata mimi naipenda sana coz iko juu yaan defender, jeep na land cruzer nazipenda sana zik juu juu na zinapita barabar aina nyng hasa za tz 🤣🤣 zinapita tu popote mashaallah.
@KingRomyJay Жыл бұрын
kwaiyo unaipenda kitu eti kwa sababu Jay Z ameonakana nayo dah watu bado wanaakili zisizoweza kujitawala na kuchagua kitu unacho anakipenda yeye kama yeye hawa ndy watu wanao sombwa na tamaduni za magharibi kwaiyo Jay z akiwa shoga leo na ww unakuwa shoga au unamruhusu na mwanao awe kama jay z ?
@Megadreamzfx1 Жыл бұрын
Bongo ushamba mwingi sana s/o to dogo janja all the way
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂heri yao
@doreenrabera Жыл бұрын
Ile peer pressure iko TZ
@aediayumgo8546 Жыл бұрын
Bra sky hy Gari S A penyewe huigusi hiyo gari ni kumbukeni kwenye mazishi ya mume wa malkia wa U.K. gari iliyobeba jeneza lake yule alikuwa ni tajir siyo kwamba walikosa magari ghalama kubeba jeneza
@Joshi-LastKing Жыл бұрын
Low self-esteem. Mpaka jay z awaoneshe
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Mbona wananishawishi na mimi nipite nayo. Ila basi salio halisomi kabisa😢
@letisiamakonda3873
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@shakilamasoud2983
Жыл бұрын
@@letisiamakonda3873 🤣🤣🤣🤣
@beatricejohn1659 Жыл бұрын
Hizi land rover zipo moshi uru kishumundu hutumika kubeba ndizi kutoka shamba kupelekwa sokoni..Big up kwa wachaga wazee wa mandolin...😂😂😂halafu utasikia wachanga washamba..ki vipi hapo?
@shamsahaji6202
Жыл бұрын
Ninkweli hata mkwe wangu naye anaitumia kubeba mazao lol
@drmdee Жыл бұрын
Gar la pepee tulilowai kumiliki
@billiamwilliamtv6505 Жыл бұрын
Jay-Z anafirwa na nyinyi chukulieni Poa kufilwa mkafilwe
Пікірлер: 36
Land Rover Defender 110 Hardtop PUMA. The British Machines. Hili ni Ndugu Jeshi hauwezi kufananisha na Toyota Vibakuli. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Kujeni Arusha..yapo Mengi sana💪
Hata mm naipenda japo sina hata mia yakumiliki gari ila ninzuri sana haswa kwa family
Nunua unachokipenda na kinachokufaa,,sio wanachokipenda na kuwafaa watu wengine.
Hatariiii na nusu
Guys this car is so expensive in UK 🇬🇧 mume wa queen 👸 Elizabeth ilikuwa ni gari yake number 1 na hata alipokufa basi msafara wake alipandishwa kwenye hiyo gari to be honest that is not a cheep car binafsi i wish one day nimiliki and yeyote alikuwa nayo must proud himself that car is worth 💙 na kila miaka ikienda that car huzidi value its a different car in this world 🌎. SNS TO UK 🇬🇧
Zamaradi kaelezea maneno mazuri sana, kwa hili nimejifunza kitu kupitia kwake
Watu wengi hawajui kuwa Range Rover ambayo ni gari pendwa ni product inayotokanna na Land Rover. Hizo jamaa wa Arusha wana zi customize na zinakuwa powa sana. Wasouth wanazitumia sana. Ni gari expensive sana kwa sasa pengine kuliko hata magari pendwa ya sasa. Mimi binafsi ni gari yangu pendwa ya siku zote
@Muda27
Жыл бұрын
Acha ujuaji.
@nancyfamilysharesmoments7634
Жыл бұрын
Exactly bonge la gari na expensive pia ni imara Sana inapita hadi barabara mbovu me naipenda Sana mume wangu ndo gari yake pendwa hii.
@andrewmachage9102
Жыл бұрын
Yn hyo range Rover defender new model yke n kali kinyama na hyo ya zamn ilkua kali xn na expensive sema tuh imepitwa na wakt ila chuma ya kaz kaz
Nilichojifunza tuko tofauti kwny mitazamo yetu mbali na landrover tu endesga baiskel unaonekana mtu asiye na kipato inshort ni kutokuelewa
Wadanganyika bwana😂😂 ya Jay Z ni tofauti na hizo zenu ilimradi msipitwe tu
@yasminoluoch169
Жыл бұрын
Watu mna wivu wah
Dogo janja. Mshenz nae😂😂
Arusha matajiri ndo tunaendesha hizi gari...😂,kawaida sana
Hawajui hawa
Unashindwa kuheshimu mumeo,unamuheshimu jay z😢
@kitunganolwebo7570
Жыл бұрын
Hatari, mme haminiki ila jirani akiongea sawa
Land Rover na Range Rover zote ni kampuni moja ya muingereza Uk 🇬🇧
Hii gari hata mimi naipenda sana coz iko juu yaan defender, jeep na land cruzer nazipenda sana zik juu juu na zinapita barabar aina nyng hasa za tz 🤣🤣 zinapita tu popote mashaallah.
kwaiyo unaipenda kitu eti kwa sababu Jay Z ameonakana nayo dah watu bado wanaakili zisizoweza kujitawala na kuchagua kitu unacho anakipenda yeye kama yeye hawa ndy watu wanao sombwa na tamaduni za magharibi kwaiyo Jay z akiwa shoga leo na ww unakuwa shoga au unamruhusu na mwanao awe kama jay z ?
Bongo ushamba mwingi sana s/o to dogo janja all the way
😂😂😂😂😂😂heri yao
Ile peer pressure iko TZ
Bra sky hy Gari S A penyewe huigusi hiyo gari ni kumbukeni kwenye mazishi ya mume wa malkia wa U.K. gari iliyobeba jeneza lake yule alikuwa ni tajir siyo kwamba walikosa magari ghalama kubeba jeneza
Low self-esteem. Mpaka jay z awaoneshe
Mbona wananishawishi na mimi nipite nayo. Ila basi salio halisomi kabisa😢
@letisiamakonda3873
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@shakilamasoud2983
Жыл бұрын
@@letisiamakonda3873 🤣🤣🤣🤣
Hizi land rover zipo moshi uru kishumundu hutumika kubeba ndizi kutoka shamba kupelekwa sokoni..Big up kwa wachaga wazee wa mandolin...😂😂😂halafu utasikia wachanga washamba..ki vipi hapo?
@shamsahaji6202
Жыл бұрын
Ninkweli hata mkwe wangu naye anaitumia kubeba mazao lol
Gar la pepee tulilowai kumiliki
Jay-Z anafirwa na nyinyi chukulieni Poa kufilwa mkafilwe
@kakaaignas3675
Жыл бұрын
Vp mzeee punguza stres
@nancyfamilysharesmoments7634
Жыл бұрын
@@kakaaignas3675 kweli kabisa stress