No video

UVUNAJI ASALI MCHANA KWA URAHISI / UFUGAJI WA NYUKI KISASA/JIFUNZE NA STAFFORD E. NKUBHAGANA/MIZINGA

#asali #honey #honestreview #ufugaji #beekeepers
Uvunaji asali mchana kisasa bila kuwauwa nyuki (kulina asali kisasa bila kuwauwa nyuki)
Hii itakusaidia kijifunza namna ya kuvuna asali bila kuwauwa nyuki maana uvunaji wa zamani nyuki walikua wakiuawa sana, walikuwa wakichomwa moto ili wapate asali bila kung'atwa na nyuki, ila hapa tunavuna kisasa na kuwaacha nyuki kuendelea kuzalisha asali tena katika mzinga ule ule uliopakua asali, hii husaidia ili uwe unavuna asali mara kwa mara.
Tunatoa darasa la kutengeneza mizinga ya kisasa na kuuza mavazi ya kuvunia asali na kukagua mizinga +255 766 635 126
Ufugaji nyuki kisasa
Fuga nyuki kisasa
Kulina asali
Ukaguzi wa mizinga

Пікірлер: 9

  • @asamwaipyana5905
    @asamwaipyana59052 ай бұрын

    Asante Kwa mafunzo

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Жыл бұрын

    Ahsante, nimejifunza

  • @user-tv8ck4pc3m
    @user-tv8ck4pc3m11 ай бұрын

    Napataje smoker ya kuvunia awali?

  • @danielmwakyoma4290
    @danielmwakyoma4290 Жыл бұрын

    Samahani kwann mnatumia tumbaku wakati tumbaku sionzuri kiafya

  • @gilidasmafipa7771

    @gilidasmafipa7771

    Жыл бұрын

    Asante kwa elim munayoítoa

  • @nkubhagana-nafco5477

    @nkubhagana-nafco5477

    Жыл бұрын

    ile tumbaku sio ya lazima sana ila pia Haina madhara kutokana na anayepuliziwa moshi ni nyuki na sio asali. so asali inakuwa salama na pia huwa ipo sealed pia.

  • @bonifacemorro6153
    @bonifacemorro61535 ай бұрын

    Malkin wa nyuki wakati huo anakuwa wapi? Mwalimu Staford uko wapi simu yako plse

  • @ntwiromedia

    @ntwiromedia

    5 ай бұрын

    +255 766 635 126

  • @saimonwantango9569
    @saimonwantango95696 ай бұрын

    Niko bwani kibiti nina pori je kunafaa kwa ufugaji?