UTAONA STARING MKOJANI TIN WHITE NAGWA

Комедия

#utaona #comedy #bongo

Пікірлер: 233

  • @musasimba7213
    @musasimba72133 жыл бұрын

    Mimi binafis nawapenda sana hawa jamaa kama nawewe unawakubali kama mm weka like hapo tujuane

  • @omariamiri5556
    @omariamiri55563 жыл бұрын

    Hatimae imetoka like kwa white na mkojan jumlisha group nzima

  • @user-mm5tf7yn6p
    @user-mm5tf7yn6p3 жыл бұрын

    Iyi gaup iko sawa saaana❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @edwinmungai9094
    @edwinmungai90943 жыл бұрын

    Kazi yenu iko Safi kabisa kama ya mheshimiwa magufuli twawapenda 🇰🇪

  • @thegoldonetv9743
    @thegoldonetv97433 жыл бұрын

    Uyooo jamaa mwenye miwan noma xana akipewa nafas zaid naiman ataonyesha alicho nacho zaid

  • @bakarimgeni5424
    @bakarimgeni54243 жыл бұрын

    We mkojo...ah et mkojo We mkojan we ni balaa Allah akuongoze zaidi ya hapo daah stress hupotea haswaa nikikuangalia

  • @saidkimwaga1078
    @saidkimwaga10783 жыл бұрын

    Hawa jamaaa mnakipaji mko vizurii 💥💥💥💥💣

  • @jamilakillo9521
    @jamilakillo95213 жыл бұрын

    Usinitetemeshe bwana 🤣🤣🤣🤣

  • @abdulhamidsalim7907
    @abdulhamidsalim79073 жыл бұрын

    Naomba like zenu jamn leo wakwanzaa kuangaliaa utaona

  • @hasanimikeyo8893

    @hasanimikeyo8893

    3 жыл бұрын

    Ivi mnalipwaga etii mkipata like

  • @minnahjay7676

    @minnahjay7676

    3 жыл бұрын

    @@hasanimikeyo8893 😀😀😀😀😀

  • @maherzain615

    @maherzain615

    3 жыл бұрын

    @@hasanimikeyo8893 nashangaa kisha huitisha haswaa hawangoji wakpewa tu

  • @upendomnzava4353

    @upendomnzava4353

    Жыл бұрын

    U TAONASTARINGMKOJANITNWHITE

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar86083 жыл бұрын

    Shukran kwa burdan ndani ya damam city

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel77523 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 *Mkojani hiyo sio roho mbaya yaani unamroga MTU kisa Draft*

  • @emilytv9526
    @emilytv95263 жыл бұрын

    Yaani nimekuwa wa kwanza lakini like sijapewa!!

  • @regiboytv8794
    @regiboytv87943 жыл бұрын

    Kazi kaliisanaaa daah jamani kama mbele

  • @madpusher2036
    @madpusher20363 жыл бұрын

    Kazi nzuri yan nyie mm ndo ulevi wangu ✌

  • @kassimngoma8321
    @kassimngoma83213 жыл бұрын

    Majirani na ndugu zangu waduruma mpooooo, wa lunga lunga mpooooo, msambweni je

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY3 жыл бұрын

    Mkojan wew nikichwa yan Duh We jamaaaa nilikuwa hata sikuamni kwenye sanaa yako Hila mwaka uh mimi stop nakuvulia mikoba ya comedy Zenye kufundisha

  • @yudapeter4903
    @yudapeter49033 жыл бұрын

    wa leo wa 20 like zangu

  • @yasseeridriss9806
    @yasseeridriss98063 жыл бұрын

    Mumechelewa kutoa hii movie.. imevuja tayari...

  • @OSOONLINETV

    @OSOONLINETV

    3 жыл бұрын

    Quality tofauti

  • @ndabadugitsefuraha7835

    @ndabadugitsefuraha7835

    3 жыл бұрын

    Mkojani izondevu hachani kwanini ao nizakubandikaa mana kila movie ni hivo hivo hazitani

  • @OmanOman-ik9sp

    @OmanOman-ik9sp

    3 жыл бұрын

    @@ndabadugitsefuraha7835 kwani zinakukela😂😂😂😂😂

  • @Citytv2014
    @Citytv20143 жыл бұрын

    Nilisubir sana hii kitu wazee

  • @mustafajr9546
    @mustafajr95463 жыл бұрын

    Mkojani tunakungoja hapa mwembe tayari stage...😂😂😂

  • @mwarabuwakusini5656
    @mwarabuwakusini56563 жыл бұрын

    Hahahahahahahahaha wachaga nazani hapa tumeelewana vizuri tu. Safi sana mkojani 😂😂😂😂😂😂😂

  • @godfreymahavile4688
    @godfreymahavile46883 жыл бұрын

    Mkojani leo umenifanya nime comment mara tatu! 😀😀😀😀😀

  • @mwenyembiozakenyingisana4105
    @mwenyembiozakenyingisana41053 жыл бұрын

    Anayeanza kucoment halafu aangalie movie hii kama mimi namtaka hapa.Love from mombasa Kenya 🇰🇪

  • @tumaramadhanghulaam247

    @tumaramadhanghulaam247

    3 жыл бұрын

    😟😟😟

  • @nyimbizikamtima7671
    @nyimbizikamtima76713 жыл бұрын

    Aliyesikia Loma na mulume wao hahahaa Kanda ya ziwa moja iyo

  • @noelmassawe6424
    @noelmassawe64243 жыл бұрын

    First

  • @fadhilkassim2602
    @fadhilkassim26023 жыл бұрын

    Burudani sana kamuua mtu kisa kafungwa supper

  • @zamoyonimangile4402
    @zamoyonimangile44023 жыл бұрын

    Mkojani. Mkojani dah hatar thana🤣🤣🤣

  • @kemalswaleh9527
    @kemalswaleh95273 жыл бұрын

    Mashallah 😂😂😂😂😂😂😂mkojani umenimaliza kote ulikokutaja utasema waishi huku kote ulipo taja kisauni magogoni mtaani mwangu umenimaliza mkojani mombasa waijuwa vizuri 😚😚😚😚😍😍😍👆👌👍Cecilia kutoka kenya mombasa kisauni

  • @kizaanthony9162
    @kizaanthony91623 жыл бұрын

    Usiku tunakuwa marubani dah mkojani we mngese sana

  • @madollarmadollar6461
    @madollarmadollar64613 жыл бұрын

    Wazii tumeshukuru xana mkojani qwa kutujali na episode hii

  • @mtitagirloriginal6890
    @mtitagirloriginal68903 жыл бұрын

    Na Mim naombeni mnifundishe ili niwe naigiza napenda Ila siwez☹️☹️

  • @kizymussa6202

    @kizymussa6202

    3 жыл бұрын

    Mambo VP Nitumie no yak me muigizaj

  • @athumanomary2971

    @athumanomary2971

    3 жыл бұрын

    Pole

  • @sumaiyashila932
    @sumaiyashila9323 жыл бұрын

    huyu mchaga nimempenda bure kwa misimamo duka lazima lijae

  • @madpusher2036
    @madpusher20363 жыл бұрын

    Sijawah kufungwa super 🤣🤣

  • @kanjutv9721
    @kanjutv97213 жыл бұрын

    Hahahaaa,ety mariakan na magogon wapi na wapi isee

  • @kassimngoma8321

    @kassimngoma8321

    3 жыл бұрын

    Hapo sasa, wakati magogoni ipo mkinga tanga

  • @kanjutv9721

    @kanjutv9721

    3 жыл бұрын

    @@kassimngoma8321 mkojan anazngua bahnaaaa.

  • @kassimngoma8321

    @kassimngoma8321

    3 жыл бұрын

    @@kanjutv9721 😂😂😂

  • @kassimngoma8321

    @kassimngoma8321

    3 жыл бұрын

    @@kanjutv9721 ila anajua kuigiza

  • @kanjutv9721

    @kanjutv9721

    3 жыл бұрын

    @@kassimngoma8321 hahaahaaa, ndo utamu wenyew huooo, yaan kujitoa akili kama kote iseeeee

  • @naominandy3244
    @naominandy32443 жыл бұрын

    Mkojaniii 😂😅🔥🔥🔥🔥

  • @mamafaty6190
    @mamafaty61903 жыл бұрын

    Mkojan unaongea wewe tyuuuu 😂😂😂

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff3 жыл бұрын

    😂😂😂😂 eti hawa wachaga vp kwenye ela 😂😂

  • @salumshakespeare
    @salumshakespeare3 жыл бұрын

    Duuuh!!!! Mkpjani nowma

  • @abdikombo8176
    @abdikombo81763 жыл бұрын

    Oyeeeeee

  • @World_Of_Fashion257
    @World_Of_Fashion2573 жыл бұрын

    😦🤣🤣 akh Mkojani hahha 🇧🇮

  • @saxannjo6173
    @saxannjo61733 жыл бұрын

    THE BEST

  • @maherzain615
    @maherzain6153 жыл бұрын

    Mkojani wajiboost kwa Karanga mbichi na soda.hahaha mwenye najua najiboost vp

  • @husseinjbigo3847
    @husseinjbigo38473 жыл бұрын

    Duuh ! Mkovizur xana aise

  • @officialraajtz4116
    @officialraajtz41163 жыл бұрын

    Uyu mjumbe mwenye miwani anaktu kikubwa Sana nimemuona kweny wajumbe kama wajumbe asee huyu jamaa Yuko vzuri 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💥

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya83843 жыл бұрын

    Mkonjani 😂😂😂😂😂😂✌️✌️✌️✌️✌️

  • @ganduboy6033
    @ganduboy60333 жыл бұрын

    Kazi kali haipingwi miaka 100%

  • @godfreymahavile4688
    @godfreymahavile46883 жыл бұрын

    Mnazingu siku zote izo, ila kazi nzuli 😁😁😁😁😁

  • @janethpiniel2911
    @janethpiniel29113 жыл бұрын

    Umeua babu ✌✌👌👌👌noma xana mbembe

  • @g.boyog3645
    @g.boyog36453 жыл бұрын

    oso online Tv. maoni yangu. funga sehemu ya download ili msiwe mna sema kila. ijuma 3 br. maana kuna sehemu nisha hiyona hiii mimi. utaona

  • @rukiaramadhani4651
    @rukiaramadhani46513 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 wengine cc uck hatulali ety marubani tunaruka mkojani bhn

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe3 жыл бұрын

    Daaah mbarikiwe maan nilikuwa na kiu sana

  • @ibodezanzibar8
    @ibodezanzibar83 жыл бұрын

    Shilng 50 . ataonaaa hahhaah

  • @charliechaplin3359
    @charliechaplin33593 жыл бұрын

    Wow nyie ni next level oso online mnatupa burudani Mkojani tin nyie noma

  • @mchafuchacoma820
    @mchafuchacoma8203 жыл бұрын

    Motooo sanaaaaa

  • @awadhkatema6979
    @awadhkatema69793 жыл бұрын

    No1

  • @iddkatundu910
    @iddkatundu9103 жыл бұрын

    Huyo mwenye miwani usimuache mkojani maana ni hatari

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY3 жыл бұрын

    Naisubil part2

  • @Swafarsy
    @Swafarsy3 жыл бұрын

    Bwana mkojani mambo bul bul ukiigiza uchawi big up brother

  • @christopherofficialpemba6187
    @christopherofficialpemba61873 жыл бұрын

    Safi sana kazi nzuri

  • @ramarmsita4742
    @ramarmsita47423 жыл бұрын

    MnatishA

  • @nyimbizikamtima7671
    @nyimbizikamtima76713 жыл бұрын

    Mmechelewa sana kutoa movie mbn kpnd hiki mmefelly sana mnatucheleweshea mambo

  • @yusram5145
    @yusram51453 жыл бұрын

    🔥🔥🔥😊

  • @nyimbizikamtima7671
    @nyimbizikamtima76713 жыл бұрын

    OUFWA mandondo moko wa kwetu

  • @dukeamos9483
    @dukeamos94833 жыл бұрын

    Noma sana hivi vichwa

  • @petroniadismas5130
    @petroniadismas51303 жыл бұрын

    Hahaha uwa mnanichekesha sana nyie

  • @aureliaswai1616
    @aureliaswai16163 жыл бұрын

    Niliisubili kwa hamu atimae reo hiyoooo👍👍

  • @madollarmadollar6461
    @madollarmadollar64613 жыл бұрын

    Leo tuko nao mpaka mwisho tupieni zote

  • @madollarmadollar6461

    @madollarmadollar6461

    3 жыл бұрын

    Mkojani hio nzuri hongera xana kumbe unakujua mombasa kama Dar yote kama umeskia mkojani akitaja home mariakani gonga like wanatutambua tanzania

  • @dinahshirima8515
    @dinahshirima85153 жыл бұрын

    Mbembe leo umepatikana 😂😂😂😂

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya83583 жыл бұрын

    Hamna kaz mbovu

  • @dinahshirima8515
    @dinahshirima85153 жыл бұрын

    Mbabe wa mwaluvanda leo kalogwa kisa 50 ya duka jamani mkojani kwanini umemloga mbembe😂😂

  • @ngatialennylenny2386
    @ngatialennylenny23863 жыл бұрын

    Hapo sasa Mombasa

  • @wilondjarama1427
    @wilondjarama14273 жыл бұрын

    Nawakubali sana

  • @udakutv1024
    @udakutv10243 жыл бұрын

    Mbembe Asitufokeee huyooo mkojani

  • @aineaelias8430
    @aineaelias84302 жыл бұрын

    Mhhhh mwembe tayali

  • @SamsonEnock-ds5ry
    @SamsonEnock-ds5ry11 ай бұрын

    Nawakubar sana😊😊😊🎉

  • @jofreymathayo1708
    @jofreymathayo17083 жыл бұрын

    Kari sana

  • @bubaboy25
    @bubaboy253 жыл бұрын

    😲😲😲😲 Nmewah cjachelewa achia like kama unaikubal hii movie

  • @mapesa1425
    @mapesa14253 жыл бұрын

    Mkojan upo vzr ila ukilewa sifa utaaribu

  • @livelive2865
    @livelive28653 жыл бұрын

    gud job🍻🍻

  • @japharyomary9594
    @japharyomary95943 жыл бұрын

    Saut ya kikojani inapoteaaaa hyooo inakujaaa ya kipupwe ttzo nn mkojani

  • @ibodezanzibar8
    @ibodezanzibar83 жыл бұрын

    Thé best of thé best

  • @jwhitemchina2184
    @jwhitemchina21843 жыл бұрын

    Ndio nimepata maana ya utaona kwakeli yani daaaah

  • @husnamponda2057
    @husnamponda20572 жыл бұрын

    Honger mkojan😘

  • @talazain1017
    @talazain10173 жыл бұрын

    Nomaaa sanaaa

  • @bbrsssaad1282
    @bbrsssaad12823 жыл бұрын

    Nmewahi leo

  • @sabrinasabrina3974
    @sabrinasabrina39743 жыл бұрын

    Eti tunarukaa n htr😂😂😂😂😂

  • @hawarajab5597
    @hawarajab55973 жыл бұрын

    😲 ila sijachelewa sana

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole40003 жыл бұрын

    Jamani Mkojani 😂😂😂

  • @delva9327
    @delva93273 жыл бұрын

    Nc bro

  • @TonnyJoseph-zn5jo
    @TonnyJoseph-zn5jo Жыл бұрын

    Mkojanii anamataizii daaah

  • @iddkatundu910
    @iddkatundu9103 жыл бұрын

    Mkojani ni nouma sana ila meddy mwambie kuna mtu anaitwa idd katundu, na kundi lake la lawama waliwavurunga wagosi uko tanga mpaka dogori limeishia kati na mkoba haujakabidhiwa mtu😈

  • @dianadavince2249
    @dianadavince22492 жыл бұрын

    nawakubali sanaaa!!

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani52373 жыл бұрын

    Dah kazi nzuri nainjoi sanaaaa

  • @mgogokagongo1387
    @mgogokagongo13873 жыл бұрын

    Mkojan duuuh!! ukweli unatisha sana

  • @wasafi_charts1771
    @wasafi_charts17713 жыл бұрын

    Like za mkojan apaaa

  • @hansperson1012

    @hansperson1012

    3 жыл бұрын

    👍👍👍👍

  • @sumazebest5758
    @sumazebest57583 жыл бұрын

    Mko vizuri sana nawapenda mno hawo jamaa

  • @kitengomawe7683
    @kitengomawe76833 жыл бұрын

    Nawakubali wanangu sema nn bro ata se tunavipaji tunaomba sapoti

  • @midianobed9001
    @midianobed90013 жыл бұрын

    Nimewah kabisa

  • @georgejujuman163
    @georgejujuman1633 жыл бұрын

    Nimekukubali mjita mwenzangu

  • @wistoncharles209
    @wistoncharles2093 жыл бұрын

    Hapo sawa

Келесі