UTAMU WA PWANI:MSIPEKENYUE SIMU/UKIOLEWA NDIO UMECHAGULIWA/UKIWA NA MAPENZI YA KWELI JIAMINI!!

Follow us on instagram : / thinkers_tv
: / utamu_wa_pwan
Kwa Matangazo / Habari Tupigie/ Tuma ujumbe kwa namba 07 19 71 13 66
#UTAMUWAPWANI
#TANGARAHA
#TANGANAMAENDELEO
#TANGAYETUSOTE
#KARIBUTANGA
#yanga #simba #wasafi #wcb #thinkerstv #niyeye #milladayo #pwani#azamtv

Пікірлер: 50

  • @zenaali5475
    @zenaali547511 ай бұрын

    Nawapenda kweli mahabbty znguuu

  • @fatmahaji7661
    @fatmahaji76614 ай бұрын

    Nimejifunza jambo...asanten sanaaaaa👌

  • @uwlaalmas7727
    @uwlaalmas77273 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa mnaelimisha, nawapenda bure Wallah 🥰

  • @mwinyibakarisenkopwa931
    @mwinyibakarisenkopwa9313 жыл бұрын

    Hongera nyote kina dada(Blandina na Malkia wa Huba) kwa kutoa elimu maridhawa.

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi98443 жыл бұрын

    Tenaaaa najifunza mengi kupitia nyie nawapenda sana 💓💓wape habali yao

  • @stellahsabaya3257
    @stellahsabaya32573 жыл бұрын

    Shukrani kwenu kwa mafunzo mema

  • @shawwalmsati3405
    @shawwalmsati34053 жыл бұрын

    Malkia pamoja na Blandina maashallah mwaelimisha kama tutakavyo wanaume. Wapeni somo hao hawajui na hawajijui. Nitafutieni mke mlomfundisha ninyi wenyewe

  • @victoriamwendwa8021
    @victoriamwendwa80212 жыл бұрын

    Msisahau magonjwa yapo jamani....nile nivae mwisho nife na ukimwi

  • @happychristopher1067

    @happychristopher1067

    2 жыл бұрын

    Hapo sasa shogang

  • @umiy1971

    @umiy1971

    Жыл бұрын

    Hapo sasa kama vile kwenu ulikuwa huli huvai

  • @mbonimayange207
    @mbonimayange2072 жыл бұрын

    Hi my sister mashallah thanks so much

  • @ashourahsaleh8958
    @ashourahsaleh89583 жыл бұрын

    Swadaktaa👌👌 mmenena panapo all in all nawapenda vipenz vyangu

  • @shufaamasanja9123
    @shufaamasanja9123 Жыл бұрын

    Madada nyie hapo nawapenda sana mungu awabariki daima.

  • @nasmanasma572
    @nasmanasma5722 жыл бұрын

    Mashallah kabisa

  • @fatushabdi2786
    @fatushabdi27863 жыл бұрын

    HahahHhahHhHHhaHahHhaah yani wanipa burudani 🤣🤣

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb3 жыл бұрын

    Nikweli maneno kuntu 🔥🔥🔥🔥

  • @imeldangoda554

    @imeldangoda554

    2 жыл бұрын

    Na nyinyi madada mmeolewa lakini😁😁😁😁

  • @khamisahatally7745
    @khamisahatally77453 жыл бұрын

    Dah nawapenda Sana mnanifunza vingi nyie

  • @rosedavid8450
    @rosedavid8450 Жыл бұрын

    Hapo mmeongea

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 Жыл бұрын

    Nawapenda Sana 😘😘

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman93342 жыл бұрын

    Jamani mahabbty mkono huo upokeeni..hicho kigongo kipo kamili..wanawake tujiamini ..ukiolewa umechaguliwa muombee kheri mume sio kila siku roho juu mara kupekua cm..jiamini na mwamini mumeo..Tanga rahaaaa jamani

  • @saumumraja3942
    @saumumraja3942 Жыл бұрын

    Kweliii

  • @aminakitsao2819
    @aminakitsao28192 жыл бұрын

    Hongera swahiba yani mwanamke kujiamini

  • @fortunatus3209
    @fortunatus32092 жыл бұрын

    Naipenda hiyo na wa kwangu anasikiliza kwa makini

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72572 жыл бұрын

    Hahaha last seen🤣🤣

  • @alhabsialhabsi1098
    @alhabsialhabsi10982 жыл бұрын

    Asanteni sana

  • @razigirazigi5437

    @razigirazigi5437

    2 жыл бұрын

    Poa uko vizuri mmniko Saudi lakini nimejifunza.mingi

  • @umiy1971
    @umiy1971 Жыл бұрын

    Mapenzi nipe nikupe , yaani afanyiwe yeye tu ? Na kwa nini simu ya mwanamme inakuwa bomu la nuclear ? Hivi Tatizo ni mke au mwanamme mwenyewe ? Kama ananiheshimu na ananipenda anakasirikaje Mie kushika simu yake ?

  • @miriambendera9938
    @miriambendera993811 ай бұрын

    Hatariii mume sio wampiga mpiraaa

  • @elitaelias6859
    @elitaelias68593 жыл бұрын

    Nikweli wadada mpo vizur sana nawapenda sanaa😘😘😘

  • @malikiawahuba6500

    @malikiawahuba6500

    3 жыл бұрын

    Tunawapenda Sana endeleeni kutufatilia mntajifunza zaid

  • @shemsakiza8263
    @shemsakiza8263 Жыл бұрын

    Kweli somo wamie

  • @FauziakaramaSaid-gr4xc
    @FauziakaramaSaid-gr4xc Жыл бұрын

    Shukran kwa kipindi yenu .lakini make up unanatia hata mwezi wa ramadhan

  • @naimahnuhu4319
    @naimahnuhu4319 Жыл бұрын

    Jmni hlo limenishinda , cm yke lazima nitaishika, maana hta yeye yangu anaipekua ,

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb26102 жыл бұрын

    Sim yamume usicunguzi Swadakta yani nikweli

  • @aika3024
    @aika30242 жыл бұрын

    Mbona Choes🙌🏻 Mbona ENGILISHI kingi leo😂

  • @brynfleek3543

    @brynfleek3543

    Жыл бұрын

    asanteeeeeeee

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72572 жыл бұрын

    Kwaitwa kwa Musa🤣🤣🤣

  • @georgehare9397
    @georgehare93972 жыл бұрын

    Pia wanaume waache kuchunguza wake zao

  • @rahmagunda5292
    @rahmagunda52922 жыл бұрын

    Sio wote jamn unakuta wewe unajua mapenzi mume hajui Mapenzi tena mkali jamn tunaumia tuna wapenda waume zetu tunataka kujua labda wanawake wengine ....mwanaume abembelezek ....

  • @rahmagunda5292

    @rahmagunda5292

    2 жыл бұрын

    Yeye hakujal kwa chochote kili kazi kulia tu ...mm nataka kipindi chenu mutufundishe watu wote ....leo wanawake, kesho wanaume, na wawo hawajui mapenzi tuna nyanyasika mwanaume hata hajui kupetipeti jamn...na wao wafundisheni.

  • @gladysokwaro9957
    @gladysokwaro99572 жыл бұрын

    😂😂💪💪

  • @angledickson9440
    @angledickson94402 жыл бұрын

    nimeelewa kabisa

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72572 жыл бұрын

    Wanawake wengi kelele ndani ya nyumba hadi kero

  • @donnyismael1652
    @donnyismael16522 жыл бұрын

    Natamani uwe kingwi Wang mm natwa Mrs ISMAEL Niko misugusugu

  • @saudamohamed7539

    @saudamohamed7539

    2 жыл бұрын

    Hata mimi wallah sijui wanapatikana wapi

  • @rachealmutanu2531
    @rachealmutanu25312 жыл бұрын

    Kweli...haloo

  • @silasncebere380
    @silasncebere3802 жыл бұрын

    Wengine hawafanyi lolote nyumbani..mke ufanye kazi ulishe mpaka uyo mume alafu cm yake pia watu tele

  • @imeldangoda554

    @imeldangoda554

    2 жыл бұрын

    Hahahahha

  • @mshihiliramadhani9088
    @mshihiliramadhani90882 жыл бұрын

    Halooooooo😂😂😂😂❤❤❤❤💋twawapenda piaaa

Келесі