UTACHEKA: Kama uko hivi mwaka huu 2020 usiende kwa CHALII YA R
Комедия
Muendelezo wa video kali za kuchekesha kutoka kwa wachekeshaji waliosajiliwa na kampuni ya Timamu TV, Kupitia channel hii utapata video pekee za comedy!
Follow us on social media:
Timamu Comedy - / timamucomedy
Timamu Movies - / timamumovies
Director: Timoth Conrad
Instagram: / timothconrad
Facebook: / officialtimothconrad
Twitter: / timothconrad
Actor: Hassan Daffur 'Bwana Mjeshi'
Instagram: / hassandaffur
Facebook: / bwanamjeshi-1925841417...
Twitter: / bwanamjeshi
Actor: Brian Mrikaria 'Mr beneficial'
Instagram: / mr_beneficial
Facebook: / mr-beneficial-30764660...
Twitter: / beneficialtz
Пікірлер: 274
Hahhahhaha kama bdo unacheki 2020 gonga like tuwe pamoja
Sitaki utani na kima 😹😹😹😹😹😹😹😻😻😻😻😻😻
aisee hii noma aisee gonga like apa jombi
Kiukweli hawa wajamaa wanatisha kama unawakubali Pita na like
Hamna kitonga ni mlii... mlima wa moto🔥😂😂😂
@jumamussa3943
4 жыл бұрын
Ni moto machalii
@denicekatunzi1098
4 жыл бұрын
😀😀😀
Nyokoooooo weee had mlima wa Moto unaujuwa kafue 😂😂 unapenda vya mteremko
@venancechekawa3080
4 жыл бұрын
Uko vizuri
Gonga like kama unawakubari hawa t comedy
@Ninjaboytz57
4 жыл бұрын
Tunawakubali
@richardcharles5224
4 жыл бұрын
Jabali Tz Hahahaha
@BossMistari
4 жыл бұрын
Jabali Tz Enjoy Your Favourite Official New Video Song... kzread.info/dash/bejne/Y4KTyJqFoKywhMY.html
@tjtv9180
4 жыл бұрын
Jabali Tz mnatisha
😂😂😂😂 Chali ya R nishida Dhuuhh Aki ya Mungu niatari
Hiyo ndio arusha one. Timamu TV mko goodyyy. Like ones
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 😂😂😂😂😂😂😂 Na yy mwenyew anajua kabisa eti nisamehe tuu ohooo eti naomba sabuni yani hamjawahi kinichosha na mimi sijawahi kuwa hoka wallah
@venancechekawa3080
4 жыл бұрын
Uko poa
@fatmafetty4117
4 жыл бұрын
@@venancechekawa3080 yap nko p
@mustafajuma2036
4 жыл бұрын
Haaaa uyu jamaa anavituko mzee anakula ajui nini kimatokea mbele
@fatmafetty4117
4 жыл бұрын
@@mustafajuma2036 🤣🤣🤣🤣
Daah, we chalii anakupa vitu unakubali tu😂😂
Chalii nakubali aseee Mwaka Umeanza vizur..... Nakubal asilimia zote vijana Achen kujilegeza fanyen kaz 🚶
@masoudhamad1047
4 жыл бұрын
Hey mary
@marykimaro6184
4 жыл бұрын
🙋
@masoudhamad1047
4 жыл бұрын
Fanya kweli bas izo namba
@masoudhamad1047
4 жыл бұрын
Thanks....+254au +255?
@marykimaro6184
4 жыл бұрын
+255
You guys are the best men😂😂😂😂😂
gonga like...kwa chaliiii ya R
@basilisamayyo9973
4 жыл бұрын
Chaliii you made ma day
@esthermussa3099
4 жыл бұрын
Og san
@frenkmvungi5860
4 жыл бұрын
Umetisha
@leonardmhando2339
3 жыл бұрын
Sory hivi hiyo nyimbo arioimba anaitwa nani
Hivi vichwa😂😂😂😂
Nilitaka nishangae huu ukarimu wa chalii vip?😂😂😂
@officialrockrhymes1858
4 жыл бұрын
hiyo haipo
@adbashtv6701
4 жыл бұрын
0788996844 Nilichogundua cheki WhatsApp
Wako vizuri jamaa nawakubali sana hongera kwao B blees
jamaa ana write tuy 🤣🤣🤣🤣🤣af Chalii hajagundua
😄😄 ngoja nkuwashiie jombii
Hahaha -- sema ukweli nijue vizuri
hii nouma sana....hakuna kitonga ni mlima wa mto 😂😂😂
Gonga like kama unawakubali awaa jamaaaaa
Nan kagundua beneficial alikua amesahau kuandka ndzi🍌🍌2 mjeshi akamkumbusha😂😂😂😂
@yohanamollel3585
3 жыл бұрын
Challli R atamlipisha jamaa
Guys hata mm nataka kuanzisha platform ya pranks video hapa Tanzania plzzz naomba support yako kwakuweza kusubscribe hapa👉kzread.info/dron/fqOIzgLcMq0A5DJdCCR72g.html 🙏🙏
@abdulazizkhamisabdallah
4 жыл бұрын
Cheka Point_ abdulaziz_vlogs 👈👈
@movies-uz5bb
4 жыл бұрын
Utafungwa
@abdulazizkhamisabdallah
4 жыл бұрын
Adonie Adoncam 😀😀 hapana
@richardtv8339
4 жыл бұрын
@@movies-uz5bb cyo kufungwa wabongo watamuwa tulivyo na hasira 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂Nimecheka jamn hadi machozi kafuwe ukimaliza kuosha vyombo majeshi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jiandae kulipa siunaona Chali Anaandika Siyo bre
Ila mzee baba umefukia hatar 😁😁🤣🤣
Nimeipenda! Kali sana ila pale anaposema "Naona unaandika?" wangesubiri hadi mwisho ili iwe surprise tosha! Sisemi hivi kudhalilisha ila ni kujengana tu roho safi.Tena nime-subscribe.
@ramadhanimwijage7677
4 жыл бұрын
Ilikuwa Powa zaid alijua labda jamaa anajikumbusha alijebra!
Mlimaaa wa motoo...atoeee io kimango..........mpe soap
beneficial is a 🐐🔥🔥
Nawakubali
Siku yoyote Beneficial akiwa mkarimu kwako lazima uvute aerial, uwe makini maana lipo linakuja. Hapo anaandika andika...duh! Kula vyote kisha agiza juisi ya mwisho, akiondoka kwenda kuandaa, sepa jombi sepa, toka nduki.
@fatmafetty4117
4 жыл бұрын
😂😂😂😂 Ana andika kumbe Ana maana yake duh
@petrosully828
4 жыл бұрын
bab imeish hy mwak 2019
@petrosully828
4 жыл бұрын
anapg mahesb bb ucion anaandk
@BossMistari
4 жыл бұрын
mla chake Enjoy My New Official Video Song... kzread.info/dash/bejne/Y4KTyJqFoKywhMY.html From Chugastan.
@aboubakarmgongo5730
4 жыл бұрын
@@BossMistari Imeisha iyo!
mlima wa moto!!! hahahahaha!!!!! mjeda ee umeniuwa mbavu
😂 😂 😂 Chalii umetishaaaa
@maikourio9702
4 жыл бұрын
Ni motooooo
❤️🥂♥️🥳❤️🥂😍nawapenda sana
Ah kmk simtembelei rafiki yeyote mwaka huu who is with me put a like
Yechu yechu dingiii😂😂☑️
😂🤣😂🤣😂 nzur sana hii chug boy
Hahahah!! Hayo mamisosi kwl mtu hatayalipia
Atar faya from manyara 😁😁😁😁😁
Nitogeshe hela yangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Moto San👍👍
😂😂😂😂☝️sawa bhna
😂😂😂😂😂😂😂 Yani nyieeeeee
Nzuri r chuga ipo roon kwang
Hahaha hii ya motooo
Heee hustuki tu bwana mjeshi
Bwana mjeshe maongezi yako yananinogea sana.
Yaaan mm mtuh km huyoo cjuiii namtimua km mbwaaaaa yaaaan
Falcon Stratergy ni moja ya stratergy ambayo imesaidia watu wengi sana ikiwemo sisi wenyewe katika kujifunza biashara ya FOREX kutokana na unique approach yake katika Technical Analysis ya FOREX MARKET. Strategy hii imeandaliwa na founder wa FALCON TRADING COMMUNITY ambaye ni raia wa uingereza MARK HUTCHINSON ambaye ametrade FOREX kwa miaka 10😇 ....... Ili kuipata strategy hii lazima uwe member wa FALCON COMMUNITY ,na ada ya kujiunga ili uwe member ni Pounds 97 {300,000 tsh} kwa mwezi au pound 247 {750,000 tsh} kwa miezi mitatu😫😢.. Lakini sisi kama vijana tunatambua kuna watu wengi wanatamia kujifunza FOREX na kuweza kuendesha maisha yao kwa uhuru {FINANCIAL FREEDOM} lakini kwa sababu za kiuchumi wameshindwa kujifunza coz siyo kila mtu anaweza lipia FOREX COURSE kwa laki 2 au 3 au zaidi , na wapo baadhi wamepoteza pesa zao kwa matrader wengine ambao wanawafundisha nusu nusu na baadae kuwaacha kwenye mataa..😒. Hivyo basi tumeona tusaidie watu ambao wangependa kujifunza FOREX ila hawana uwezo wa kulipa malaki au mamilioni.. Kwa Tsh 24,000\= tu tutakupatia FULL FALCON FOUNDATION COURSE kuanzia mwanzo kabisa yaani introduction to FOREX mpaka mwisho🤩,ambayo kwa kawaida inapatikana kwa Tsh 300,000 kama ni member wa FALCON COMMUNITY ya bwana MARK🤔. Lakini sisi tutakupatia kwa 24,000Tsh tu,na utakua ume-save Tsh 270,000😊. Lakini pia tutakuadd kwenye group letu la whatsapp ambako utakutana na traders wengine hivyo tutakua tukibadilishana mawazo na kushare analysis zetu pamoja na Weekly webnair ambazo tutakua tukianalyze pair mbali mbali kwa pamoja kila jumapili... Malengo ya kufanya hivi ni kusaidia vijana wengi wapate Financial Freedom na kujipatia kipato cha kuendesha maisha kupitia biashara ya FOREX.. Wasiliana nasi kupitia whatsapp number +255737550632 @BeesFx
😌😌😌chalii nlijua leo kashukiwa na malaika wa ukarimu kumbe doooh 😂😂😂😂
@afelistmichael4371
4 жыл бұрын
Rahma Khassani 😂😂😂.mm mwenyewe nilikuwa najiuliza ukarimu wote huu wa chalii kuna shida itakuja mbeleni 😁😁😁😂
@rahmakhassani4148
4 жыл бұрын
Afelist Michael 😂😂😂😂😂😂
@afelistmichael4371
4 жыл бұрын
Rahma Khassani 😅😅😅😂😂
@afelistmichael4371
4 жыл бұрын
Rahma Khassani unalipia hadi kuangalia tv wakat ww ni mgeni 😲😲
Ndo huyoooo yeye chaliii
Nimependa sana kinyimb hicho msan gan huyo
Makin Sana chaliii
haha tunacheka ki 2020 sema kdg mbadilishe cku moja moja tumechoka kila siku mjeshi ndo anaonewaga yeye
Umetisha chuga hakuna vya bule
Wah Chali wa R 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
You guys are creative ❤
Hivi nilinawa eee duuuuu
Yan bwana mjesh bogaz kwel.. 😂😂
Nimecheka sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiiiihahahhahah
Nakubali san
Ahhh hatar Sana wazee
Good comedy 2020 I loked it
Nakukubali sana chsli angu yani nakupa comment yahela yote haikatai haikatoksi
Huhuh akiamungu uyu afai
Hahahaha...Noma sana
pole jombi😂😂😂😂
Tamu eeenheeee 😂😂😂
Kizazi sana hii
Mjeshi ukimaliza utajuta kwenye kulipa
Ni shida atoe kimango ajui chali kaprinti
Kweli mwaka umeanza vizuri
Sijashiba kama breakfast bwana mjesh jaman
Kumanina zenu mnaoomba like wot3 was3n3 sana ais3 wenyemali eenyewe hawajaomba we unakuja kuwaj3 acha usenge umekasilika nifate msenge sikuzote ww
@raxmedia6805
4 жыл бұрын
Amna cha bule 2020
Sawa mzee bb
Unajua beneficial
Hahahaha nahisi analipa
....oraaaaa oraaaa......aisee jombiii unkija kua mkarimuuu kiniajeee...kumbee unachoraa ayo maniajee...apo fas ya io karatasiii....... Kumbe mwishoniii apo kun libiliii ....hahahahaha laaanaaaaa...NAWAKUBLI LAANA..
Charii mbona wamkazia jamaa yeye tumemis kisambaachake bwana
Nimechekaa kwa nguvu hatar
🤣🤣🤣🤣pilau mwenzake ndizi🤣🤣🤣🤣
Nakubali mkubwa
og sanaa
Nawaelew san wazee
Wakwanza Ku view
Ni mlima wa moto.
hafai chalii
Naomba sabuni🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Vita imeanza uku wanyabi vs char ya r
Kali ya mwaka
😂😂😂😂😂😂kula kwa bills machali ya R
Atar sana ful misifa
Top hiyo broo
Nomaaaasss
Mlima wa moto
Hahaha aina kabaya
Mjeshi nàkukubàli sana
Nakubali