USIWE MLEVI WA MAPENZI SIKU YA 6 PR.MMBAGA

Пікірлер: 92

  • @nicksoltv3889
    @nicksoltv38892 жыл бұрын

    Mchungaji nimebarikiwa sana na huu ujumbe, umenitoa sehemu nakunipeleka sehemu nyingine iliyo bora zaidi. MUNGU akubariki sana

  • @upendoloondokalembekela7748
    @upendoloondokalembekela7748 Жыл бұрын

    Ongera Sana pastor,kwa ujumbe kwetu vijana,Mungu akutie nguvu.

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 Жыл бұрын

    Asante Pastor kwa somo hili. Somo sio tu kwa vijana ata wanandoa ambao wanapenda kuchepuka wanajikuta wakifungamana na wengine na kusababisha ndoa kuvunjika!!

  • @phzhenry666
    @phzhenry6662 жыл бұрын

    Ubarikiwe Pastor kwa masomo mazuri 🙏 Bwana aendelee kukuongoza katika kupambana kuliokoa taifa na ulimwengu kwa ujumla kupitia mafundisho.

  • @upendophilipo5273

    @upendophilipo5273

    2 жыл бұрын

    0

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko13892 жыл бұрын

    Barikiwa sana kwa somo nzuri, Amen 🙏

  • @jamalymbaga9864

    @jamalymbaga9864

    2 жыл бұрын

    To

  • @faithkerubo8746
    @faithkerubo87462 жыл бұрын

    Amen Amen 🙏 barikiwa sana mchungaji

  • @prosperjohn6
    @prosperjohn62 жыл бұрын

    Asante sna mchngaji mimi siyo msabato ila kama ungekuw karibu haki ya Mungu ningekuwa muumini wako

  • @neemafelician5697

    @neemafelician5697

    2 жыл бұрын

    Kuwa tu muumini maana umepata kitu kutoka mchungaji huyo ,chukua namba yake mtafte atakuelekeza vingi ni mchungaji mzuri sana

  • @ernestmhilya960
    @ernestmhilya9602 жыл бұрын

    jamani vitu Kama hv ndo tunahitaji kwa Sasa mungu aendelee kukutia nguvu ya hekima na marifa utujenge zaid

  • @dicksonmunene7267
    @dicksonmunene72672 жыл бұрын

    Thank you for the brainstorming lessons preacher. God bless

  • @negwakomwaipopo1289

    @negwakomwaipopo1289

    2 жыл бұрын

    Mungu akubariki Pastor kwa somo Nzuri

  • @eustina837
    @eustina8372 жыл бұрын

    Barikiwa pastar na mafunzo

  • @funakoshtadash6163
    @funakoshtadash61632 жыл бұрын

    Amina, barikiwa sana mtu wa Mungu

  • @trophywilson7211
    @trophywilson72112 жыл бұрын

    Na Wasabato wengi ili waamini Mpaka unsomee Mathayo na Ufunuo,Waamke,Asante saana ,Ujumbe Mzito

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio2 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana , Mch. Mmbaga!

  • @dasilvajr9647
    @dasilvajr96472 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi kwa kweli somo hili linanigusa sana

  • @silyvianekesa4689
    @silyvianekesa46892 жыл бұрын

    Asante xana aki hii mafunzo ni mzr MUNGU akubariki xana

  • @anipendapetro137
    @anipendapetro1372 жыл бұрын

    Asante mtu wa Mungu, tuombee pia tuvuke salama

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko60638 ай бұрын

    Barikiwa sana pasteur weti kwa mahubiri mazuri sana.

  • @esternaftari8286
    @esternaftari82862 жыл бұрын

    Ni kwel mch nimesikia ujumbe huu hadi nimekutafut kwny cm haupatkn mim cipend Mambo yang kusomek mtandaon

  • @carorinemoses3143
    @carorinemoses31432 жыл бұрын

    Yatosha kusema Ubarikiwe Pastor

  • @alicesidi9601
    @alicesidi96012 жыл бұрын

    Amen 🙏🙏 ubarikiwe Mchungaji

  • @user-kq9je6zf3v
    @user-kq9je6zf3v4 ай бұрын

    Mungu awabariki San mutumishi wa mungu mafundisho mazuri san

  • @maduhunella5011
    @maduhunella50112 жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana pastor swal langu je Kam mama ako hasali itakuaje

  • @etindianziya9482
    @etindianziya94822 жыл бұрын

    Amina. Asante kwa mafundisho hayo Pr.

  • @robertmomigi2580
    @robertmomigi25802 жыл бұрын

    Thank you so much for the message

  • @eunicenasimiyu4256
    @eunicenasimiyu42562 жыл бұрын

    Haya,hata sikujua hata, Asante sana 🙏

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Жыл бұрын

    Umenifundisha nitabadilika nilikuwa nkali kwa binti yangu,Mungu akubariki

  • @isabellahbwari3168
    @isabellahbwari31682 жыл бұрын

    Barikiwa mchungaji Amen

  • @Petro757
    @Petro757 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi kweli walevi ni wengi

  • @JosephatyDanford
    @JosephatyDanford Жыл бұрын

    Barikiwa sana Mtumishi wa Bwana

  • @phiniaslaurian
    @phiniaslaurian8 сағат бұрын

    😊

  • @bahatiyusuphtv487
    @bahatiyusuphtv4872 жыл бұрын

    Amina

  • @sarahzablon7224
    @sarahzablon72242 жыл бұрын

    Pastor Asante kwa maubiri but naomba advise

  • @Estherm309
    @Estherm3092 жыл бұрын

    Asante sana baba ubarikiwe sana nimepata funzo Bali tulisha aguka

  • @wilsonmdalingwa637

    @wilsonmdalingwa637

    2 жыл бұрын

    As long as umejua ulipokosea hakuna kilicho haribika..

  • @samsonsamwel4236
    @samsonsamwel42362 жыл бұрын

    Amina Pastor

  • @damaslukando8592
    @damaslukando85922 жыл бұрын

    Asante sana tena kwa somo

  • @esthermahatane9923
    @esthermahatane99232 жыл бұрын

    Asanteee Pastor tumekuelewa sana

  • @MarycianaDonald-bx1he
    @MarycianaDonald-bx1he Жыл бұрын

    He jmn Mungu atusaindie

  • @nyabutikeruboruth5835
    @nyabutikeruboruth58358 ай бұрын

    Amen

  • @stevenbrayzze8565
    @stevenbrayzze85652 жыл бұрын

    Brawster!! Kutok Arusha 🇹🇿 Tz, nasikiliza, Barikiwa Sanaa

  • @machingwasitta1129

    @machingwasitta1129

    Жыл бұрын

    Nice

  • @machingwasitta1129

    @machingwasitta1129

    Жыл бұрын

    Nabarikiwa Sana Na hubiri lako

  • @luciashayo9896
    @luciashayo9896 Жыл бұрын

    Hongera paster

  • @faithtunduru4603
    @faithtunduru46032 жыл бұрын

    Am blessed

  • @kucha_home_service7472
    @kucha_home_service74722 жыл бұрын

    Basi Kama ni kweli kufanya tendo la ndoa ni kufungamana basi nahitaji kutubu

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 жыл бұрын

    Ndiyo ,uliyeanza naye Wa Kwanza ndiye uliyefungamana naye

  • @nawandafamito500
    @nawandafamito5002 жыл бұрын

    safi sana mcungaji wetu.

  • @nm1617
    @nm16172 жыл бұрын

    “Hakuna tukio lolote ambalo Mungu hakuleta tahadhari” you said the real truth Pastor. Ila kulewa kunafanya kupuuzia!

  • @venustajohn9546
    @venustajohn95462 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtu wa mungu

  • @vickyayo8712
    @vickyayo87122 жыл бұрын

    Asante mchungaji

  • @benyaminshahanga6178
    @benyaminshahanga61782 жыл бұрын

    Asantee sana pastor

  • @pasteurmardocheemwale2023
    @pasteurmardocheemwale20232 жыл бұрын

    Ah baba ni kweli

  • @albertraphael5172
    @albertraphael5172 Жыл бұрын

    Mbanga hakika upo kwa sababu ya Mungu

  • @HARMONITZ
    @HARMONITZ2 жыл бұрын

    Huo mfano wa ubishi unachekeshaa, anae sinzia na mlevi wa pombee, Lakni hapo kwenye mapenzi kuna wakati najifunga na matamanio yana kaaa kimya kweli lakni baada ya miezi flan mwili unazidisha mihemko. Tunakatazwa ila chakula cha kuzilisha hizo hisia hakipo

  • @user-el3or4jd4q
    @user-el3or4jd4q5 ай бұрын

    Hope channel kizota

  • @merissapati9630
    @merissapati96302 жыл бұрын

    Amen pasta 👏 👏 🙌 🙌

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka29932 жыл бұрын

    Amen 🙏🙏🙏

  • @makurukiraryo2495
    @makurukiraryo24952 жыл бұрын

    Jaman nilikua sijui

  • @mawazojames9729
    @mawazojames97292 жыл бұрын

    asante sana mtumishi

  • @MMUNGAHOSEA
    @MMUNGAHOSEA2 жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @albertochaula1927
    @albertochaula19272 жыл бұрын

    🙏🙏🙏Ameni

  • @euniceboniphace6057
    @euniceboniphace60572 жыл бұрын

    Ninaomba kuongea na ww mchungaji. Naomba namba yakoo.

  • @samwelnyakundi1670
    @samwelnyakundi1670 Жыл бұрын

    Amen 🙏 pastor

  • @saumumbetsa4223

    @saumumbetsa4223

    Жыл бұрын

    J HCG🎉

  • @chaterbim2885
    @chaterbim2885 Жыл бұрын

    najifunza nakuwafundisha wengne zaidi barkiwa PR.mmbaga

  • @joliea2956
    @joliea29562 жыл бұрын

    Asantee

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @stevenbrayzze8565
    @stevenbrayzze85652 жыл бұрын

    🖐️✋

  • @eustina837
    @eustina8372 жыл бұрын

    Nikweli pastar unachofundisha niliona dalili lakini sikuelewa

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 жыл бұрын

    Pole saana

  • @bahatiyusuphtv487
    @bahatiyusuphtv4872 жыл бұрын

    Ubarikiwe

  • @user-ez7bw7wj7j
    @user-ez7bw7wj7j8 ай бұрын

    Mchungaj niombee

  • @gressjoseph5615
    @gressjoseph56152 жыл бұрын

    amina

  • @happyadrian1825

    @happyadrian1825

    2 жыл бұрын

    Nabarikiwa sana PR na somo lako lakini ombi langu kwako naomba SoMo ilo liongezewe muda japo iwe nusu saa badala ya robo saa!Maana nabarikiwa sana natamani iwe Ivo,🙏🙏

  • @hosealaiser1135

    @hosealaiser1135

    2 жыл бұрын

    Amina tunabarikiwa.wengi sana.uwa tunafngwa pasipo kujitambua

  • @esternaftari8286
    @esternaftari82862 жыл бұрын

    Nilitaman leo kuongea na mch. Mbag lakin cm yake haipatikan

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    2 жыл бұрын

    +255 755 932 283 Whatspp

  • @vickyayo8712

    @vickyayo8712

    2 жыл бұрын

    Wamama tunasikia hilo la kuombea

  • @bightmind.tv1
    @bightmind.tv14 ай бұрын

    akimshika tumboni miezi miwili

  • @maksamgroup9380
    @maksamgroup9380 Жыл бұрын

    Naweza pata nakala ya kitabu cha Siri ya Maombi Yanayojibiwa

  • @marygilbert9781
    @marygilbert97814 ай бұрын

    Pastor ninamaswali ya kuuliza private.

  • @marygilbert9781

    @marygilbert9781

    4 ай бұрын

    Nahitaji ushauri zaidi

  • @MlebingeAndrea-hl1wq
    @MlebingeAndrea-hl1wq2 ай бұрын

    Amina

  • @manjalesalu544
    @manjalesalu5442 жыл бұрын

    Amen

  • @albertraphael5172
    @albertraphael5172 Жыл бұрын

    Mbanga hakika upo kwa sababu ya Mungu

  • @bigmandubesamuelndetsa268
    @bigmandubesamuelndetsa2682 жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @georgegasto9324
    @georgegasto93242 жыл бұрын

    Amina

  • @amnamax8676
    @amnamax86762 жыл бұрын

    Amen

Келесі