Ushauri Wangu kwa Wanaoanza Ufugaji wa Kuku 2021
Ushauri Wangu kwa Wanaoanza Ufugaji wa Kuku 2021 @changamkiafursa
Ukiniuliza ni kitu gani chakwanza ninachoweza kumshauri yeyote kuhusu ufugaji wa kuku, nitamwambia yafatayo:-
1. Atafute elimu ya ufugaji wa kuku
2. Ajenge banda linaloendana na aina ya kuku anayotaka kufuga
3. Achague aina ya kuku wa kufuga kulingana na mtaji wake.
#changamkiafursa2021
Пікірлер: 53
*OFA OFA OFA KWA WANACHANGAMKIA FURSA* TUFUGE KUKU WA KIENYEJI ni kitabu (Pdf) cha Muongozo wa ufugaji wa kuku wa kienyeji utakao kupa mwanga wa kufuga kuku wa kienyeji kwa mafanikio kwa kukupa mbinu za namna gani ya kuzuia Magonjwa na kupunguza gharama za uendeshaji wa mradi wako. Sasa pdf inapatikana kwa punguzo la 20%, jipatie nakala yako hiyo kwa kubonyeza link na fata maelekezo. wa.me/message/XOAG2ZZZDYA6J1
Asante sanaaa kwa somo
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Pamoja sana
Safi sana mkuu
Safi sana
Nimekukubali kaka yuko pamoja Sana
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Pamoja sana
Asante Sana.
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Pamoja sana
Nimeipenda hii
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Asante sana, naiheshimu sapoti yako
Nimpo tu
Naomba kufahamu kwann unawakata mabawa hao vfaranga
Nimejifunza Sana nahitaji kukutumia shot video ya ufugaj wangu natumaje
Asante
@seckomeshack6394
2 жыл бұрын
Nahitaji elimu hii ya ufugaji wa kuku nawapataje
@seckomeshack6394
2 жыл бұрын
Nahitaji nijue jinsi ya kuaandaa banda pamoja na elimu juu ya ulishaji na chanjo
Assante saana kwa darasa mwalim.
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Tuko pamoja mwanafunzi
Nitakutafuta ur the best of best
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Asante na karibu pia
Hv Kiongozi hauna group la Whatsapp la ufugaji wa kuku ukiachana na darasan
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Baada ya darasa linabaki kuwa group
Kaka naweza kuchanganya kuloila Saso nakuku wakienyeji viranga vyote vya mda mmoja kwenye banda moja
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Unaweza ila kienyeji watanyanyaswa, wataachana kwenye ukuaji
Nakubali sana broo nikianza na mitetea 10 Nita pata kukumia bahada ya mda gani ndugu
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Miezi 6.
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Naamini kwenye miezi 6 inawezekana
Je vifaranga niwape chakula gan wakiwa wadogo
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Wape chick stater tena napendekeza iwe pillet
Nahitaji kupata elimu ya uandaaji wa banda na juu ya kuwalinda kuku na magonjwa
@eliasenyannko7045
2 жыл бұрын
Nimefurahishwa na maelezo mazuri kuhusu ufugaji Bora wakuku hasa was kienyeji
Kupunguza ukubwa wa mabawa huwa inasaidia nini au inamaana gani kwa kuku wadogo
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Nimejaribu mara kadhaa hakuna umuhimu wowote
Hivi kwanini huwa unawaka mabawa vifaranga?
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Bado nafanya utafiti, ukikamilika nitatoa jibu
Umenipa mile ninachokitaka
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Asante sana
Habar nimependa ufugaji wako hivyo vifaranga vinapatikana wapi
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Wanapatikana kisarawe Pwani
@mozasharif892
2 жыл бұрын
@@changamkiafursa naomba na namba yako nikiwa tayar nikutafute asante sana
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
0656528455
@lubagosamhando5434
2 жыл бұрын
@@changamkiafursa vifaranga mnauzaje vya kienyeji
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Ndio
Mimi natak nifunge kuku chotara nahitaj elimu
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Karibu darasani, tunafundisha kuku aina zote
@mohammedbinjuma3292
2 жыл бұрын
@@changamkiafursa je nitajiung vipi
Swali langu ni kwanini vifaranga wanakatwa mabawa?? Kuna faida gani kuwakata mabawa na kuna hasara gani wasipokatwa mabawa vifaranga???
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Bado nafanya utafiti ukikamilika nitaeleza faida na hasara
@mercypeter162
2 жыл бұрын
@@changamkiafursa .lakini kwa Sasa sababu ya kuwakata mabawa ni nini??
@changamkiafursa
2 жыл бұрын
Kupunguza matimizi ya protein kwenye manyoya ili itumike kujenga mwili
@mercypeter162
2 жыл бұрын
@@changamkiafursa Asante