Ushauri Wangu kwa Wanaoanza Ufugaji wa Kuku 2021

Ushauri Wangu kwa Wanaoanza Ufugaji wa Kuku 2021 ‪@changamkiafursa‬
Ukiniuliza ni kitu gani chakwanza ninachoweza kumshauri yeyote kuhusu ufugaji wa kuku, nitamwambia yafatayo:-
1. Atafute elimu ya ufugaji wa kuku
2. Ajenge banda linaloendana na aina ya kuku anayotaka kufuga
3. Achague aina ya kuku wa kufuga kulingana na mtaji wake.
#changamkiafursa2021

Пікірлер: 53

  • @changamkiafursa
    @changamkiafursa2 жыл бұрын

    *OFA OFA OFA KWA WANACHANGAMKIA FURSA* TUFUGE KUKU WA KIENYEJI ni kitabu (Pdf) cha Muongozo wa ufugaji wa kuku wa kienyeji utakao kupa mwanga wa kufuga kuku wa kienyeji kwa mafanikio kwa kukupa mbinu za namna gani ya kuzuia Magonjwa na kupunguza gharama za uendeshaji wa mradi wako. Sasa pdf inapatikana kwa punguzo la 20%, jipatie nakala yako hiyo kwa kubonyeza link na fata maelekezo. wa.me/message/XOAG2ZZZDYA6J1

  • @aishamussa3245
    @aishamussa32452 жыл бұрын

    Asante sanaaa kwa somo

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Pamoja sana

  • @kigomasuperfarmerstv3972
    @kigomasuperfarmerstv39722 жыл бұрын

    Safi sana mkuu

  • @msakielisaria5474
    @msakielisaria5474 Жыл бұрын

    Safi sana

  • @rubenisayamahenge7096
    @rubenisayamahenge70962 жыл бұрын

    Nimekukubali kaka yuko pamoja Sana

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Pamoja sana

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS2 жыл бұрын

    Asante Sana.

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Pamoja sana

  • @omaribrahim1189
    @omaribrahim11892 жыл бұрын

    Nimeipenda hii

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Asante sana, naiheshimu sapoti yako

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere54912 жыл бұрын

    Nimpo tu

  • @abdallahidarous
    @abdallahidarous2 жыл бұрын

    Naomba kufahamu kwann unawakata mabawa hao vfaranga

  • @rubenisayamahenge7096
    @rubenisayamahenge70962 жыл бұрын

    Nimejifunza Sana nahitaji kukutumia shot video ya ufugaj wangu natumaje

  • @boniphacecharles5118
    @boniphacecharles51182 жыл бұрын

    Asante

  • @seckomeshack6394

    @seckomeshack6394

    2 жыл бұрын

    Nahitaji elimu hii ya ufugaji wa kuku nawapataje

  • @seckomeshack6394

    @seckomeshack6394

    2 жыл бұрын

    Nahitaji nijue jinsi ya kuaandaa banda pamoja na elimu juu ya ulishaji na chanjo

  • @ramazanindege8722
    @ramazanindege87222 жыл бұрын

    Assante saana kwa darasa mwalim.

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Tuko pamoja mwanafunzi

  • @prosperkullaya6721
    @prosperkullaya67212 жыл бұрын

    Nitakutafuta ur the best of best

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Asante na karibu pia

  • @shackschagalu2503
    @shackschagalu25032 жыл бұрын

    Hv Kiongozi hauna group la Whatsapp la ufugaji wa kuku ukiachana na darasan

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Baada ya darasa linabaki kuwa group

  • @banzimbasike5642
    @banzimbasike56422 жыл бұрын

    Kaka naweza kuchanganya kuloila Saso nakuku wakienyeji viranga vyote vya mda mmoja kwenye banda moja

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Unaweza ila kienyeji watanyanyaswa, wataachana kwenye ukuaji

  • @sokoinemchaga9939
    @sokoinemchaga99392 жыл бұрын

    Nakubali sana broo nikianza na mitetea 10 Nita pata kukumia bahada ya mda gani ndugu

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Miezi 6.

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Naamini kwenye miezi 6 inawezekana

  • @mathiasjohn193
    @mathiasjohn1932 жыл бұрын

    Je vifaranga niwape chakula gan wakiwa wadogo

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Wape chick stater tena napendekeza iwe pillet

  • @seckomeshack6394
    @seckomeshack63942 жыл бұрын

    Nahitaji kupata elimu ya uandaaji wa banda na juu ya kuwalinda kuku na magonjwa

  • @eliasenyannko7045

    @eliasenyannko7045

    2 жыл бұрын

    Nimefurahishwa na maelezo mazuri kuhusu ufugaji Bora wakuku hasa was kienyeji

  • @lubagosamhando5434
    @lubagosamhando54342 жыл бұрын

    Kupunguza ukubwa wa mabawa huwa inasaidia nini au inamaana gani kwa kuku wadogo

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Nimejaribu mara kadhaa hakuna umuhimu wowote

  • @maalimsopay1655
    @maalimsopay16552 жыл бұрын

    Hivi kwanini huwa unawaka mabawa vifaranga?

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Bado nafanya utafiti, ukikamilika nitatoa jibu

  • @chachasamburu2455
    @chachasamburu24552 жыл бұрын

    Umenipa mile ninachokitaka

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Asante sana

  • @mozasharif892
    @mozasharif8922 жыл бұрын

    Habar nimependa ufugaji wako hivyo vifaranga vinapatikana wapi

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Wanapatikana kisarawe Pwani

  • @mozasharif892

    @mozasharif892

    2 жыл бұрын

    @@changamkiafursa naomba na namba yako nikiwa tayar nikutafute asante sana

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    0656528455

  • @lubagosamhando5434

    @lubagosamhando5434

    2 жыл бұрын

    @@changamkiafursa vifaranga mnauzaje vya kienyeji

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Ndio

  • @mohammedbinjuma3292
    @mohammedbinjuma32922 жыл бұрын

    Mimi natak nifunge kuku chotara nahitaj elimu

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Karibu darasani, tunafundisha kuku aina zote

  • @mohammedbinjuma3292

    @mohammedbinjuma3292

    2 жыл бұрын

    @@changamkiafursa je nitajiung vipi

  • @mercypeter162
    @mercypeter1622 жыл бұрын

    Swali langu ni kwanini vifaranga wanakatwa mabawa?? Kuna faida gani kuwakata mabawa na kuna hasara gani wasipokatwa mabawa vifaranga???

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Bado nafanya utafiti ukikamilika nitaeleza faida na hasara

  • @mercypeter162

    @mercypeter162

    2 жыл бұрын

    @@changamkiafursa .lakini kwa Sasa sababu ya kuwakata mabawa ni nini??

  • @changamkiafursa

    @changamkiafursa

    2 жыл бұрын

    Kupunguza matimizi ya protein kwenye manyoya ili itumike kujenga mwili

  • @mercypeter162

    @mercypeter162

    2 жыл бұрын

    @@changamkiafursa Asante