Usalama umeendelea kuyumbishwa na vijana mjini Mombasa

Licha ya mageuzi katika idara ya Usalama mjini Mombasa, magenge yameendelea kuzuka hasa katika maeneo ya Kisauni na Nyali. Vijana wenye umri kati ya miaka 13 Hadi 18 ndio wanaodaiwa kushiriki uvamizi huku makundi hayo yakibadili mbinu. Je nini kinachochangia kuzuka tena Kwa makundi haya.

Пікірлер: 42

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv29934 жыл бұрын

    Msa inahitaji wale polisi wa Eastleigh mhalifu akipatikana kanyaga kichwa piga risasi mpaka akufded.

  • @annaswedy5712

    @annaswedy5712

    4 жыл бұрын

    Haha weee

  • @almubarak3108

    @almubarak3108

    4 жыл бұрын

    Wanahitaji mpangani 6...

  • @dubabaxakatv2993

    @dubabaxakatv2993

    4 жыл бұрын

    mmubarak kabisa

  • @SophhhiaOnono

    @SophhhiaOnono

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @naimastadi3133

    @naimastadi3133

    4 жыл бұрын

    Exactly

  • @mnyalumykt1980
    @mnyalumykt19804 жыл бұрын

    Hawa watoto wanajificha sehemu ya utange.... police washirikiane na wakazi wa utange wawape information ya hawa watoto.....mtaa wa maweni utange ndo waliko jificha

  • @daprince7545

    @daprince7545

    4 жыл бұрын

    Asante Sana mnyalu

  • @briandeflugel9055
    @briandeflugel90552 жыл бұрын

    Mzee Najib umeongea point kabisa

  • @nancynyagaka4432
    @nancynyagaka44324 жыл бұрын

    Hawa watoto ni watu tunawajua wengine ni vile mtu uwesi msema hila msa akuna rahaa ikifika saa moja rohoo mkononi yaani ni mungu 2

  • @topadeng8222
    @topadeng82224 жыл бұрын

    Anayeshikwa aauliwe .....

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool42354 жыл бұрын

    Brings marua back Brings marua back Brings marua back

  • @mbithepauline3686
    @mbithepauline36864 жыл бұрын

    Msa imegeuka na kuwa kama Nairobi,,, khee,, jameni Mola tulinde

  • @mariamhassan1723
    @mariamhassan17234 жыл бұрын

    Upuuzi mkubwa baada ya kuua munapata faida gani

  • @charlesrachier5444
    @charlesrachier54444 жыл бұрын

    Wapigwe risasi

  • @gaddafijnrmuammar

    @gaddafijnrmuammar

    4 жыл бұрын

    Wakiuliwa wazazi utawaskia wakilaumu idhara ya usalama

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno17964 жыл бұрын

    CC TV NGAPI WATU HUVUNJA

  • @elizabethbusche2572
    @elizabethbusche25724 жыл бұрын

    Joho.! Is a joke. Next time mombasa vote wisely.

  • @kareemalamoody6345
    @kareemalamoody63454 жыл бұрын

    Uwa wote Hao

  • @achkobekudevela9563
    @achkobekudevela95634 жыл бұрын

    Ukosefu Waa ajira unachangia vijana hawana kazi...

  • @officialifruit_x7549
    @officialifruit_x75494 жыл бұрын

    Joho ndio anaongoza haya magengi ya mauwaji hakuna mwengine uhakika uwazi

  • @uncensoredbluehawk6335
    @uncensoredbluehawk63354 жыл бұрын

    Haki Africa mnangoja nini?safisheni area

  • @technician139
    @technician1394 жыл бұрын

    Na venye nsis wako wengi mombasa kazi yao ni gani

  • @francismay1620
    @francismay16204 жыл бұрын

    Awa wanaitaji risasi ya kichwa akuna la mwanangu, mwanangu c muhuni kitu gani

  • @davyndila1241
    @davyndila12414 жыл бұрын

    DCI mwaga CID coast & all this kind of criminals give an authorization "shot on the spot". It will give good lesson to many. No need court cases.

  • @Purity493
    @Purity4934 жыл бұрын

    Omg!!!!

  • @kelvinchabs6702

    @kelvinchabs6702

    4 жыл бұрын

    Wamrudishe marwa

  • @SophhhiaOnono
    @SophhhiaOnono4 жыл бұрын

    Hapa lazima wakazi waungani ndio hili tatizo litapunguwa

  • @sadiaabed6687
    @sadiaabed66874 жыл бұрын

    Mm naona kuna watu wakubwa ndio wanawaongoza tena inaonyesha nipolisi maana mtu wakawaida hakuna

  • @sadiaabed6687
    @sadiaabed66874 жыл бұрын

    Hawa polisi wasipokee misgahara tuu waekwe kila mahali huko mombasa wasilale pilisi tena pia inawezekana kuna polisi pia wamo kwahio nawanajuwa kama mangenge watavamia

  • @sadiaabed6687
    @sadiaabed66874 жыл бұрын

    Wachakufunguliwa saa kumi na mbili tuu wangefunguwa saa moja kweupee

  • @charlesrachier5444
    @charlesrachier54444 жыл бұрын

    Piga risasi

  • @danielmacharia5945
    @danielmacharia59454 жыл бұрын

    Magenge haya yanafadhiliwa na nani,tuna walinda usalama,jee mkono wa sheria uko wpi? mlipa kodi analipa ushuru,vikosi vya usalama viko wapi,Kenya is a peaceful country,pls don't fool us.

  • @gaddafijnrmuammar
    @gaddafijnrmuammar4 жыл бұрын

    Hahaaa.... Mtachinjwa sana....

  • @gaddafijnrmuammar

    @gaddafijnrmuammar

    4 жыл бұрын

    @Mansoor Nandlal askari wakifanya kazi yao mwalalama.... Ona sasa ukiskia imekuuma tafta humans right

  • @asmaabugalala1856
    @asmaabugalala18564 жыл бұрын

    Joho kazi yake nini

  • @tureali7061
    @tureali70614 жыл бұрын

    Magenge yakiua ama kujeruhi, lawama 'polisi wanalala'. Mwanagenge akipigwa risasi na polisi, MUHURI, KNCHR,IPOA wanapiga nduru eti polisi kaua 'vijana wetu' kiholela.

  • @wandisha6097

    @wandisha6097

    4 жыл бұрын

    Kweli sijui wakenya Wanataka nini

  • @anthonyodeba4137

    @anthonyodeba4137

    4 жыл бұрын

    Double standards on the sides of human rights groups.

  • @AhmedAli-jm5yu
    @AhmedAli-jm5yu4 жыл бұрын

    Ni magenge kutoka bara especially central ndio wanavuruga coast

  • @awkamau8797
    @awkamau87974 жыл бұрын

    NA JOHO NI BBI USIKU NA MCHANA

  • @fauzishma8033

    @fauzishma8033

    4 жыл бұрын

    Kwani Joho ni police atae kuja mitaani kuatafuta hao majambazi wacha chuki zako