UPETE: MOROCCO VS FRANCE USIYOYAJUA

Ойын-сауық

Embe letu paru tulilosubiri likwive wamelitungua na kulila kwa chumvi kabla halijafikia! Limechewa juu kwa juu! Morocco aliyetarajiwa kuweka ndoto iwe hai naye yamemshinda... Kaondolewa na Ufaransa!
Binafsi, Wamefanya kila kitu... Kuwakosa wachezaji wanne muhimu wa kikosi cha kwanza kwa wakati mmoja ilikuwa ngumu kwa kocha Walid!
Kolo Muani ndiye aliyepiga tumaini pekee lililokuwa limesalia! Yes, Alijikwaa sufuria la wali wa shughuli na sasa umemwagika wote kwenye majivu 🤭🙌 (jokes).

Пікірлер: 14

  • @JohnHatibu
    @JohnHatibu17 күн бұрын

    Nadharet upete anajua sana napenda anavyotangaza nikija kuwa prayer ntampa zawadi

  • @nicodemmabala1904
    @nicodemmabala1904 Жыл бұрын

    Huyu Mwamba dah! akienda AZAM TV itakuwa ni zaidi ya raha

  • @faridmakwinya5630
    @faridmakwinya5630 Жыл бұрын

    Jamaaa anajua xana

  • @faridjr0

    @faridjr0

    Жыл бұрын

    sanaaa 💪

  • @denisally6781
    @denisally6781 Жыл бұрын

    Jamaa Ni fundi Ana vionjo vya kipekee

  • @networkeryuzzo09
    @networkeryuzzo094 ай бұрын

    Huyu jamaa ndo mtangazaji bora hapa Tanzania

  • @annakuziganika7615
    @annakuziganika7615 Жыл бұрын

    Mwambaaaaaa upeteee🔥

  • @mwangobelejunior2862
    @mwangobelejunior2862 Жыл бұрын

    Nazareth upete hv ulizaliwa mwaka gan na siku gan maana haya unayoyafanya ni Kama malaika

  • @user-jn2he1rh8m
    @user-jn2he1rh8m4 ай бұрын

    nazareth kwasasa ni mtangazaj wa kuvutia

  • @cristophtttisack3549
    @cristophtttisack3549 Жыл бұрын

    Jamaa huyu ni mwamba

  • @eliyajohn4388
    @eliyajohn43885 ай бұрын

  • @BarakaAmos-ue4ht
    @BarakaAmos-ue4ht11 ай бұрын

    Rupete unajua aiseee ni hatari

  • @lucymwanjala5524
    @lucymwanjala5524 Жыл бұрын

    MUNGU AKUTUNZE NA AKUBARIKI ZAIDI.

  • @sultankingboy9757
    @sultankingboy9757 Жыл бұрын

    Maxhallah Maxhallah Maxhallah Maxhallah

Келесі