UPETE: MOROCCO VS FRANCE USIYOYAJUA
Ойын-сауық
Embe letu paru tulilosubiri likwive wamelitungua na kulila kwa chumvi kabla halijafikia! Limechewa juu kwa juu! Morocco aliyetarajiwa kuweka ndoto iwe hai naye yamemshinda... Kaondolewa na Ufaransa!
Binafsi, Wamefanya kila kitu... Kuwakosa wachezaji wanne muhimu wa kikosi cha kwanza kwa wakati mmoja ilikuwa ngumu kwa kocha Walid!
Kolo Muani ndiye aliyepiga tumaini pekee lililokuwa limesalia! Yes, Alijikwaa sufuria la wali wa shughuli na sasa umemwagika wote kwenye majivu 🤭🙌 (jokes).
Пікірлер: 14
Nadharet upete anajua sana napenda anavyotangaza nikija kuwa prayer ntampa zawadi
Huyu Mwamba dah! akienda AZAM TV itakuwa ni zaidi ya raha
Jamaaa anajua xana
@faridjr0
Жыл бұрын
sanaaa 💪
Jamaa Ni fundi Ana vionjo vya kipekee
Huyu jamaa ndo mtangazaji bora hapa Tanzania
Mwambaaaaaa upeteee🔥
Nazareth upete hv ulizaliwa mwaka gan na siku gan maana haya unayoyafanya ni Kama malaika
nazareth kwasasa ni mtangazaj wa kuvutia
Jamaa huyu ni mwamba
❤
Rupete unajua aiseee ni hatari
MUNGU AKUTUNZE NA AKUBARIKI ZAIDI.
Maxhallah Maxhallah Maxhallah Maxhallah