HUU WIMBO NIZAIDI YA UINJILISTI,,,,,, MBARIKIWE SANA UNABIIII
@familiayetu6705 Жыл бұрын
huu wimbo kila nikisikiliza nashawishika kurudi nyumbani kwenye makambi By Magubo🎉❤
@cherotichirine9 ай бұрын
Leave alone the song, am touched with the lady in blue dress.
@hemedmngazija23755 жыл бұрын
Mubarikiwe sana nimuona mwalim Joseph Japo
@ngwandusdaughter88705 жыл бұрын
Mungu awabariki mzidi kumtumikia daima nawapenda sana
@macochieng58724 жыл бұрын
Kama mbinguni tutaimba zaidi basi wapendwa tutende mapenzi ya Mwenyenzi tukaurithi ule ufalme wa Mungu.
@ezekielokeyo23643 жыл бұрын
I respect this song and the composer. Excellent piece of work serving GOD.
@ruthkosgey91765 жыл бұрын
Bubombi♨️♨️♨️♨️♨️❤❤❤❤.Amazing song with a great message to the world. Be blessed brethrens.
@ronaldauka4165 Жыл бұрын
I love the song. Wonderfully played. God bless you Brothers and sisters
@rubias29782 жыл бұрын
Ni kweli , lakini mungu atusaidie
@brightonoduk20583 жыл бұрын
Quite a nice song..na walipotelea wapi¿ almost 10 years then they drop this 💥song😌😄.
@ochangamigwanga41004 жыл бұрын
rafiki yangu santos nimefurahi kukuona ukiendelea kumtumikia Mungu kwa njia hii ya uimbaji.nimekumbuka tulipokuwa elimu ya sekondari ukiwa mwenyekiti wa ASSA nikiwa katibu wako na tukiwa na timu nzuri na kubwa ya kwaya.nimefurahi sana Mungu akubari sana
@phibijuilus77482 жыл бұрын
Amen 🙏 ninawakumbuka sana kpndI munanigana na nyambori kwenye makambi kila mwaka/7
@rubias29782 жыл бұрын
Ameni mbarikiwe
@atienonyarkisa17712 жыл бұрын
Aminaaa💕🔥🙏Simple beautiful people with rich vocals
@sharonowino36772 жыл бұрын
Arara Awuor amazing amina👏
@lb_media20144 жыл бұрын
nzur walipotelea wap jaman
@ochangamigwanga41004 жыл бұрын
Asanteni sana kwaya yetu ya bubombi,kazi nzuri sana na Mungu atukuzwe
@makendamercy67594 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na huu wimbo mbarikiwe muimbe mpaka mbinguni
@kennedyotieno14804 жыл бұрын
Can't get enough of this song..am always playing it..Amen
@lynnkogei64223 жыл бұрын
Tales of crazy kennar brought me here
@sixbertbryan5155
2 жыл бұрын
Enyewe kennar amenileta hapa
@gitinkwiyohana22924 жыл бұрын
Asante kwa wimbo mzuri na mwema. Mungu awabariki.
@charlsmarwa53003 жыл бұрын
Amen amen. Hats off kwa Imelda
@andrewonsare1861 Жыл бұрын
Wapi sauti
@sharonowino36772 жыл бұрын
Amazing 👏
@edwinodhiambo77334 жыл бұрын
A nice song, sang with a lot of passion. May God be praised in it.
@dorothytaboi56065 жыл бұрын
This is so wonderful..keep it up saints..God bless you
@farajamabeche66023 жыл бұрын
Bubombi unabii
@calvinmzangwamali80923 жыл бұрын
ma favorate song🇿🇦
@georgekarani6983 жыл бұрын
Actually your expression matches the mission. Good works God bless
@mosesotieno17993 жыл бұрын
Wonderful pieces. I'm glad to see my friend and music teacher (Juma) still doing a wonderful work.
@annahbwai44714 жыл бұрын
Furaha kuona dadangu kwenye group. Aamen!
@naomikemunto6653 жыл бұрын
Can see Peris still strong in the Lord hongera saana
@calvinceowiti427 Жыл бұрын
So powerful to God be glory
@massuchess2 жыл бұрын
These are Tanzanian Luos
@MAGWARO14 жыл бұрын
Si wote wamwitao Bwana Bwana watakao uona Ufalme wa Mungu, wengi watasema Bwana kwa jina lako tulihubiri, Wengi watatamani kuingia mbinguni kumbe walificha dhambi zao, walipenda kuipita njia ile pana wapitao wenye kiburi, njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba nayo ni ya kujikana nafsi×2 Bwana awataka wanyenyekevu watakaomwabudu kwa roho na kweli siyo wamwitao Bwana Bwana huku moyoni wakishikilia mapokeo, wamwabudu bure, siku hiyo wengi watalia kwa jina lako tulifanya miujiza, watakaoingia mbinguni ni walotenda mapenzi take, itakuwa ni kilio kusaga meno wengi wakikataliwa.×2 Bwana huchunguza ndani ya moyo awapenda wamwabuduo bila hila wenye dhambi watubuo awapenda na awasamehe, bali moyo wenye hila ni chukizo kwa Bwana, una heri kama ungetubu, anakuja kubagua kondoo na mbuzi, kwa uzima na kwa mauti, acha mzaha nafasi ingalipo ng'ang'ania Ufalme wa Mungu.×2
@gctvmedia
4 жыл бұрын
Thanks alot for the lyrics , good job
@MAGWARO1
4 жыл бұрын
I love the song too much
@japhetndoro6533 Жыл бұрын
Good choir
@lamsbon80724 жыл бұрын
Bubombi ni ileile jamani. Tafuteni platform kwenye media za kanisa na matukio. Ni moja ya kwaya bora tangu tangu na tangu
@evansongoto8032 жыл бұрын
Prosperity in God's word and exhortation . Be blessed.
@charlesaraka2506
Жыл бұрын
😂😂ll😅
@wagrandykez45705 жыл бұрын
Great song...♥️
@mercyjeptoo81695 жыл бұрын
wow...nice song..may God bless you
@yvonnej904 жыл бұрын
Well done my brothers and sisters,God bless you all.
@ruthokinda7407
4 жыл бұрын
Powerful Message loud n clear Sweet voices.God bless.
@yvonnej904 жыл бұрын
to God be the glory.
@richardmisogalya94993 жыл бұрын
safi
@esthermabeche6720 Жыл бұрын
Ber gadiera,
@edwinomondi64154 жыл бұрын
Very powerful singing
@ernestgundo99203 жыл бұрын
Beautiful
@hellenadaniel52004 жыл бұрын
Akika kwaya yetu ya Bubombii mkovizuri mmnanikumbusha Mbali Sana mbarikiwe
@asontowenger75263 жыл бұрын
Nice song
@JeffsonNganga5 жыл бұрын
wow what a great song
@emmanuelmwanga9664
4 жыл бұрын
Bubombi mko vizuri sana , God bless you
@erickmageta5044 жыл бұрын
Uwero wer manyasi matek
@erickwanjira1423 жыл бұрын
Amen
@sheilaombongi80864 жыл бұрын
Aminaa
@jamespaul86885 жыл бұрын
Praise the Lord
@makendamercy6759
4 жыл бұрын
Amen
@erickmageta5044 жыл бұрын
Yawa jothurwa jo mbombi dakwanemoko manyien no 2;3;4 eke emtandao?
@erickmageta5044 жыл бұрын
Wende moko dakugol v2 ga v3 emikoa hoko koni okwanegi
@gctvmedia
4 жыл бұрын
Tumeanza mwendo sasa
@oukomeshack7882
4 жыл бұрын
Amen
@yvonnej904 жыл бұрын
i love this song very much,i would like to know what it means in english ,can you tell me please,tkank you so much
@yvonnej90
4 жыл бұрын
I am still waiting for the answer to the question,please reply,it's very important,I would like to know what I am singing about.i learn all your songs and the way I hear them,so I would love to know the meaning to the words of the songs in my language which is English ,thank you God bless.
Пікірлер: 71
HUU WIMBO NIZAIDI YA UINJILISTI,,,,,, MBARIKIWE SANA UNABIIII
huu wimbo kila nikisikiliza nashawishika kurudi nyumbani kwenye makambi By Magubo🎉❤
Leave alone the song, am touched with the lady in blue dress.
Mubarikiwe sana nimuona mwalim Joseph Japo
Mungu awabariki mzidi kumtumikia daima nawapenda sana
Kama mbinguni tutaimba zaidi basi wapendwa tutende mapenzi ya Mwenyenzi tukaurithi ule ufalme wa Mungu.
I respect this song and the composer. Excellent piece of work serving GOD.
Bubombi♨️♨️♨️♨️♨️❤❤❤❤.Amazing song with a great message to the world. Be blessed brethrens.
I love the song. Wonderfully played. God bless you Brothers and sisters
Ni kweli , lakini mungu atusaidie
Quite a nice song..na walipotelea wapi¿ almost 10 years then they drop this 💥song😌😄.
rafiki yangu santos nimefurahi kukuona ukiendelea kumtumikia Mungu kwa njia hii ya uimbaji.nimekumbuka tulipokuwa elimu ya sekondari ukiwa mwenyekiti wa ASSA nikiwa katibu wako na tukiwa na timu nzuri na kubwa ya kwaya.nimefurahi sana Mungu akubari sana
Amen 🙏 ninawakumbuka sana kpndI munanigana na nyambori kwenye makambi kila mwaka/7
Ameni mbarikiwe
Aminaaa💕🔥🙏Simple beautiful people with rich vocals
Arara Awuor amazing amina👏
nzur walipotelea wap jaman
Asanteni sana kwaya yetu ya bubombi,kazi nzuri sana na Mungu atukuzwe
Nabarikiwa Sana na huu wimbo mbarikiwe muimbe mpaka mbinguni
Can't get enough of this song..am always playing it..Amen
Tales of crazy kennar brought me here
@sixbertbryan5155
2 жыл бұрын
Enyewe kennar amenileta hapa
Asante kwa wimbo mzuri na mwema. Mungu awabariki.
Amen amen. Hats off kwa Imelda
Wapi sauti
Amazing 👏
A nice song, sang with a lot of passion. May God be praised in it.
This is so wonderful..keep it up saints..God bless you
Bubombi unabii
ma favorate song🇿🇦
Actually your expression matches the mission. Good works God bless
Wonderful pieces. I'm glad to see my friend and music teacher (Juma) still doing a wonderful work.
Furaha kuona dadangu kwenye group. Aamen!
Can see Peris still strong in the Lord hongera saana
So powerful to God be glory
These are Tanzanian Luos
Si wote wamwitao Bwana Bwana watakao uona Ufalme wa Mungu, wengi watasema Bwana kwa jina lako tulihubiri, Wengi watatamani kuingia mbinguni kumbe walificha dhambi zao, walipenda kuipita njia ile pana wapitao wenye kiburi, njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba nayo ni ya kujikana nafsi×2 Bwana awataka wanyenyekevu watakaomwabudu kwa roho na kweli siyo wamwitao Bwana Bwana huku moyoni wakishikilia mapokeo, wamwabudu bure, siku hiyo wengi watalia kwa jina lako tulifanya miujiza, watakaoingia mbinguni ni walotenda mapenzi take, itakuwa ni kilio kusaga meno wengi wakikataliwa.×2 Bwana huchunguza ndani ya moyo awapenda wamwabuduo bila hila wenye dhambi watubuo awapenda na awasamehe, bali moyo wenye hila ni chukizo kwa Bwana, una heri kama ungetubu, anakuja kubagua kondoo na mbuzi, kwa uzima na kwa mauti, acha mzaha nafasi ingalipo ng'ang'ania Ufalme wa Mungu.×2
@gctvmedia
4 жыл бұрын
Thanks alot for the lyrics , good job
@MAGWARO1
4 жыл бұрын
I love the song too much
Good choir
Bubombi ni ileile jamani. Tafuteni platform kwenye media za kanisa na matukio. Ni moja ya kwaya bora tangu tangu na tangu
Prosperity in God's word and exhortation . Be blessed.
@charlesaraka2506
Жыл бұрын
😂😂ll😅
Great song...♥️
wow...nice song..may God bless you
Well done my brothers and sisters,God bless you all.
@ruthokinda7407
4 жыл бұрын
Powerful Message loud n clear Sweet voices.God bless.
to God be the glory.
safi
Ber gadiera,
Very powerful singing
Beautiful
Akika kwaya yetu ya Bubombii mkovizuri mmnanikumbusha Mbali Sana mbarikiwe
Nice song
wow what a great song
@emmanuelmwanga9664
4 жыл бұрын
Bubombi mko vizuri sana , God bless you
Uwero wer manyasi matek
Amen
Aminaa
Praise the Lord
@makendamercy6759
4 жыл бұрын
Amen
Yawa jothurwa jo mbombi dakwanemoko manyien no 2;3;4 eke emtandao?
Wende moko dakugol v2 ga v3 emikoa hoko koni okwanegi
@gctvmedia
4 жыл бұрын
Tumeanza mwendo sasa
@oukomeshack7882
4 жыл бұрын
Amen
i love this song very much,i would like to know what it means in english ,can you tell me please,tkank you so much
@yvonnej90
4 жыл бұрын
I am still waiting for the answer to the question,please reply,it's very important,I would like to know what I am singing about.i learn all your songs and the way I hear them,so I would love to know the meaning to the words of the songs in my language which is English ,thank you God bless.
Horgi wahuru KZread gite emohale sani odong'e
@gctvmedia
4 жыл бұрын
Wadwa tiyone kwayani nyaka wathoo koro.
Amen
Amen