Ukiziona hizi dalili 12! Ujue ini lako tayari limeshaharibika, linahitaji msaada

Moja ya maradhi hatari kwa afya ni magonjwa yanayoshambulia ini. Ini linaweza kupatwa na maradhi mbalimbali ikiwemo kutengeneza makovu au cirrhosis, Kuvimba, majeraha yanayotokana na dawa, vyakula na pombe.
Yapo mambo mengi yanayoweza kusababisha maradhi ya ini ikiwemo pombe, virusi wa homa ya ini, kitambi, uzito mkubwa na mafuta mengi mwilini.
Kama moja ya kiungo muhimu cha mwili, maradhi ya ini yanaweza kusababisha athari mbalimbali za kiafya kama vile shinikizo la damu, mwili kuvimba, kuharibika kwa mishipa ya damu, kisukari na matatizo ya figo.
Vidio hii imeelezea dalili 13 za mwanzo za ugonjwa wa ini ambazo ukiziona basi wahi hospitali maana mambo yameshaanza kuharibika.
Follow us on:
Facebook: / mshaniwellness
Instagram: / mshani_wellness
Twitter(X): / mshaniwellness
TikTok: www.tiktok.com/@mshani_wellne...
Contact: 0743039890

Пікірлер: 17

  • @Teaching356
    @Teaching35624 күн бұрын

    Kama una ugonjwa huo kamua maji ya tangawizi kunywa asubuhi na jioni nusu au robo kikombe ndani ya siku saba utanishukuru.

  • @hajatihajati5357
    @hajatihajati535722 күн бұрын

    Subuhana Allah mwili wangu unawasha sana hata mate yangu yana Chunvi nyingi tena kali nisipo tema haraka iyo mate Ina choma meno mpaka imengolewa juu ya kuvunjika ovio

  • @rukiamohammed2123
    @rukiamohammed212318 күн бұрын

    Tobaa mimi naumwa chini ya Bega tu

  • @halimajay606
    @halimajay60627 күн бұрын

    Duh

  • @user-dv2wl3gh4n
    @user-dv2wl3gh4n20 күн бұрын

    Mim nawaswa na mikono na usoni na cna rashes zosote naesa kua na shida gani

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816Ай бұрын

    Doooh

  • @philiptz118
    @philiptz11827 күн бұрын

    Naomba namba zako mkuu

  • @FatumaHussein-mb7gn
    @FatumaHussein-mb7gn29 күн бұрын

    Y up

  • @kanikikavughojorima
    @kanikikavughojorima25 күн бұрын

    Aha, nimechoka

  • @mshaniwellness

    @mshaniwellness

    25 күн бұрын

    Umechoka na nn ndugu?

  • @Teaching356

    @Teaching356

    24 күн бұрын

    Umechoka!!!! au ulitaka kuandika umecheka ukakosea!

  • @saumumunisi8013
    @saumumunisi801318 күн бұрын

    Hongera sana dr nimejifunza kitu. Nimekupenda umeenda strate hujapiga blaa blaa. Tunazuiaje sasa ini lisiharibike?

  • @mshaniwellness

    @mshaniwellness

    18 күн бұрын

    check hii video kzread.info/dash/bejne/pp2jttl9qdmWgpc.html

  • @mecksondeoneclassic8635

    @mecksondeoneclassic8635

    18 күн бұрын

    Je nn chanzo Cha tatz na vip matibabu yake yakoje

  • @TatuAbeli
    @TatuAbeli23 күн бұрын

    Tangawiz naweka sukar au

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad743520 күн бұрын

    Dalili ni 12, mbona umeraja 10 tuu

  • @mshaniwellness

    @mshaniwellness

    18 күн бұрын

    Hizo zinakutosha boss

Келесі