Ukiziona hizi dalili 12! Ujue ini lako tayari limeshaharibika, linahitaji msaada
Moja ya maradhi hatari kwa afya ni magonjwa yanayoshambulia ini. Ini linaweza kupatwa na maradhi mbalimbali ikiwemo kutengeneza makovu au cirrhosis, Kuvimba, majeraha yanayotokana na dawa, vyakula na pombe.
Yapo mambo mengi yanayoweza kusababisha maradhi ya ini ikiwemo pombe, virusi wa homa ya ini, kitambi, uzito mkubwa na mafuta mengi mwilini.
Kama moja ya kiungo muhimu cha mwili, maradhi ya ini yanaweza kusababisha athari mbalimbali za kiafya kama vile shinikizo la damu, mwili kuvimba, kuharibika kwa mishipa ya damu, kisukari na matatizo ya figo.
Vidio hii imeelezea dalili 13 za mwanzo za ugonjwa wa ini ambazo ukiziona basi wahi hospitali maana mambo yameshaanza kuharibika.
Follow us on:
Facebook: / mshaniwellness
Instagram: / mshani_wellness
Twitter(X): / mshaniwellness
TikTok: www.tiktok.com/@mshani_wellne...
Contact: 0743039890
Пікірлер: 17
Kama una ugonjwa huo kamua maji ya tangawizi kunywa asubuhi na jioni nusu au robo kikombe ndani ya siku saba utanishukuru.
Subuhana Allah mwili wangu unawasha sana hata mate yangu yana Chunvi nyingi tena kali nisipo tema haraka iyo mate Ina choma meno mpaka imengolewa juu ya kuvunjika ovio
Tobaa mimi naumwa chini ya Bega tu
Duh
Mim nawaswa na mikono na usoni na cna rashes zosote naesa kua na shida gani
Doooh
Naomba namba zako mkuu
Y up
Aha, nimechoka
@mshaniwellness
25 күн бұрын
Umechoka na nn ndugu?
@Teaching356
24 күн бұрын
Umechoka!!!! au ulitaka kuandika umecheka ukakosea!
Hongera sana dr nimejifunza kitu. Nimekupenda umeenda strate hujapiga blaa blaa. Tunazuiaje sasa ini lisiharibike?
@mshaniwellness
18 күн бұрын
check hii video kzread.info/dash/bejne/pp2jttl9qdmWgpc.html
@mecksondeoneclassic8635
18 күн бұрын
Je nn chanzo Cha tatz na vip matibabu yake yakoje
Tangawiz naweka sukar au
Dalili ni 12, mbona umeraja 10 tuu
@mshaniwellness
18 күн бұрын
Hizo zinakutosha boss