No video
Ukiujua ukweli huu Hata simba hawezi kukufanya chochote!! Askofu Gwajima
Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Пікірлер: 77
Lucky is Tanzania for God to raise you a powerful man of God full of teachings of the holy spirit.....full of revelation........
Huu ndio Ukweli .Neema ya Kupata MAARIFA kila mwenye mwili Kamata.BwanaYesu asante sana kwa ajili Dr.
Ningependa kama pastor Gwanjima angelikuwa na huduma kama hii hapa inching Kenya.
Karama ya kinabii sasa imejidhihirisha waziwazi ndani yako Bishop Josephat Gwajima.
Amen...nabarikiwa sana na huduma yako mtumishi wa mungu...
Blessed in kenya
BABA MHESHIMIWA ASKOFU GWAJIMA UNANIBARIKI MARANYI UKITOA INJILI UBARIKIWE SANA MUTU WA MUNGU THI'S WONDERFUL SERVICE
NAKUONA UKIWA RAIS WA TANZANIA NA ITAKUWA KATIKA JINA LA YESU KRISTO AMEN.
@SamwelJoseph-yk3cw
10 ай бұрын
Ameeeeni
Amen 🙏🏿🙏🏿 baraka mtu wamungu
Mungu akutunze sana
Asante kwa mahibiri. Dada mnenaji nabii kazi amenena kwa lugha ndio ila tafsiri lazima iwe kwakufaidia kanisa. Pia kufuatana naneno la Mungu angapashwa funika kichwa sisemi kama mwana sheria ila awe na sura ya mujakazi inje pia ndani wala sihukumu apana kachunguze maandiko
Baba watu wote wange ishi kama mke wako bila mapambo Mungu ageonekana anatembea life kanisani eeh Mungu ubarikiwe Baba yetu Gwajima
Hapà gwajima umenena,🙏🙏
Amen may God bless you more grace you all in christ
Shukurani sana Mchungaji Gwajima
I am very blessed for this church
Amen Amen dady Mungu akufikishe apendapo
Ameeen a man of God
Ameeeeeeeeeeen aaaaaameeeeeeeeeen.
❤ nimebarikiwa.
Amen MUNGU akubariki sana
Amen.
UKIIJUA KWELI INAKUWEKA HURU, Mimi ni Mwana-wa-Mungu- nimezaliwa, na Roho Mtakatifu, Siyo mwili na mavumbi ni mavumbi,
Asante sana Baba kwa kazi
I love you dady
Gory
Amen
Amen mtu wa mbinguni
Powerful Dady
Amen amen 🙏🏾
Kwa.jina la Yesu imekuwa
Mungu akutunze
Mutumishi wa mungu amen
Amina kubwa
Amen my Papa
Mungu akuimalishe daima hakika ulizaliwa kwa ajili ya haya
Saw
Ayayayayyayayyayayyayaya🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kudhihilika kama mwana wa Mungu amen
Ameeen
Kuna huyo dada akianza kunena kwa Lugha huwa nahisi uvuvio na nguvu ya ajabu sana. Mungu azidi kumtia nguvu. Huwa napenda sana. 🔥🔥🔥
@mwigarleysaid5406
2 жыл бұрын
👍👋💪
Amen,Amen, Amen.
Amina Baba nimepokea
Haleluya👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Amen!
Amen 🙏
Hallelujah
Aamen Aamen
Amen .. Mm ni Roho..
❤
@essaukapufi424
3 ай бұрын
Asante sana baba!
ameeeen
Roho wa ndani inuka uawagaze
Amina
Asanteeee
@kijangwaallyzonh2241
3 жыл бұрын
Ameen mtushi wamungu gwajima
Amina mimi ni mtu wa mbinguni 🔥🔥
Amina!mimi ni mtu wa roho,
Ameeen. Hakika nikisema imeshakuwa
Natamani kupata number ya mzee wangu mpendwa mheshimiwa ASKOFU GWAJIMA tafazali nisaidieni jamani
mwana wa Mungu hatendi dhambi, mchungaji anamaanisha kuwa mwamini ni mtakatifu daima na hana dhambi, sababu mwamini ni roho na roho zetu ni za mbinguni daima, mwamini kwaio usijione mtenda dhambi hata km unazitenda kimwili, Mungu hakutambui tena kimwili anakutambua kiroho, hio ndo asili yetu .
Aman Dady ubalikiwe
Sheria ya mwili n dhambi na mauti lkn Sheria ya Roho n uzima na aman
Huuu ni ujumbe kabambe unaotua rohoni tu, akili haiambui kitu.halllelujah
Hiyo ni kweli Baba shetani alitupiga chenga tukamsahau mtu wa mbinguni
Hahaha mzee unaongeya kweli.tuwatosha tena watumishi wapi wakujuwa kutufuza ivi
Amen
Ameeen
Amina
@gedeonkabeshakabesha769
3 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana na Bwama wetu Yesu kristo kwa mahuri yote na kufuata Sana Mungu akuzidishie , ila neno huburi juya utakaso watu wajazwe roho mtakatifu , kataza ule dada anaye sema kwa lugha Sana aache kusuka nywele wengine waache kuchoma waishi utakaso Aksanti mwana wa Mungu
@samwelijoseph5679
3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu, ameen 🙏
Ameeen
Amen
Amen
Amen