Ukiingia freemason siyo lazima familia ijiunge, hakuna freemason maskini, epuka matapeli kwa

Пікірлер: 68

  • @japharymagesa735
    @japharymagesa735Ай бұрын

    mr Nice umefikia huku 😢😢😢😢

  • @SaidiShahame-gx3lp
    @SaidiShahame-gx3lpАй бұрын

    Jmn uyo si ni mr nice

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x6 күн бұрын

    Acha mtapeliwe mjini hapa😂😂😂😂😂😂

  • @metro_vevo
    @metro_vevoАй бұрын

    Friimashoni😂😂😂😂😂 Muogopeni Mungu JAMANI 😂

  • @solomonmwanza4614
    @solomonmwanza461424 күн бұрын

    I wish this was in english

  • @Kidbell992
    @Kidbell9922 ай бұрын

    Nyinyi wa puuzi Sana ....tangazeni mungu wacheni ujinga

  • @user-sg3rm4lc1q
    @user-sg3rm4lc1q2 ай бұрын

    Hawa ni ma balozi wa shetani bila malipo 😂

  • @kalambaedwardcharles5737
    @kalambaedwardcharles57374 күн бұрын

    Na ninyi matapeli tu hakuna freemansons anajitangaza

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye94872 ай бұрын

    Hapa kuna mawili kama ni kweli basi nyakati za mwisho ndo hizi na kama sio kweli basi uchizi umetuzidi!

  • @nyotaah
    @nyotaah2 ай бұрын

    Mr Nice ushafulia kitambo bora ungetafuta tu kazi I nyingine kuliko hivi mnavyo jidanganya huwezi rudi tena

  • @charlesshemlimda4493
    @charlesshemlimda4493Ай бұрын

    Huyu mr nice ndio maama alipigwa na dudu baya

  • @hamsomaulid6637
    @hamsomaulid6637Ай бұрын

    Me nice umeishiwa huezi kuwa star kama Zamani

  • @JohnsonDeeX
    @JohnsonDeeX2 ай бұрын

    Hizo sofa walizokalia wamenunua Kwa fundi sele,,😂😂😂 sofa za laki mbili.....Hakuna watu hapo 😂😂😂 😂😂

  • @antonykomba6631
    @antonykomba6631Ай бұрын

    Nyie wote hapo hamna akili hapo kwasababu Ni sawa ukienda kwa mganga. Mganga hakuzindiki wewe tu, ila na familia yako yote hata kama hujaenda nayo

  • @MohammedMtoza
    @MohammedMtoza2 ай бұрын

    Ukikosa bana

  • @MbangusikilamoMbangusimwendika
    @MbangusikilamoMbangusimwendikaАй бұрын

    Nitaipataje. Namba. ya Mr nice

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3umАй бұрын

    Huyu so Mr nice kweli mamae zenu nyiee

  • @littlelunie.7653
    @littlelunie.76532 ай бұрын

    Mr sure mhuni sana😂😂😂

  • @gladysnyambura3947
    @gladysnyambura39472 ай бұрын

    Jibu swali.. unafaa kutoa pesa kujiuga ama vipi?

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru68442 ай бұрын

    Hata nyie ni 😂😂 jamani achani kudanganya watu

  • @officialhopestarmusic959
    @officialhopestarmusic959Ай бұрын

    Watamtoa huyo mr Nice kwanza 😅😅😅

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee82 ай бұрын

    SubhanaAllah

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz71582 ай бұрын

    Shamshia mbona km ni limja mzito

  • @MrRomanticKe
    @MrRomanticKeАй бұрын

    Mimi nataka kujiunga na nyinyi nitawapataje

  • @chrysanthushakaunga6560
    @chrysanthushakaunga65602 ай бұрын

    Hawa tapeli kuweni makini sana hakuna masonic wote mpaka huyo anayejifanya mwandishi feki

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz34222 ай бұрын

    Eti shamshia

  • @lameckaugustine1972
    @lameckaugustine1972Ай бұрын

    Freemason Imani Yao ipo wapi na je km nichama huru toeni utaratibu wakujiunga

  • @jumahili8121
    @jumahili8121Ай бұрын

    Watu tujue hawa ni freemashon na sii freemason. Nenda utapeliwe

  • @Ursain.IKE.jesuis9365
    @Ursain.IKE.jesuis9365Ай бұрын

    SISI NI PAKA YESU KWISHA!!!

  • @mohaarifiyabalozi448
    @mohaarifiyabalozi4482 ай бұрын

    Hey nataka kujiunga nipe mchongo

  • @user-ls1zs7bt1n

    @user-ls1zs7bt1n

    24 күн бұрын

    kuma wew

  • @mpsanga2914
    @mpsanga2914Ай бұрын

    Sasa mbona uyo bwege mchaga bado anamaisha magumu acheni utapeli

  • @MohammedMtoza
    @MohammedMtoza2 ай бұрын

    Ukikosa aibu bana

  • @geofreykatale2204
    @geofreykatale2204Ай бұрын

    Kuna tofauti Kati freemason na freemashoni haaahaa

  • @user-ez7lk3it5s
    @user-ez7lk3it5s2 ай бұрын

    Mst.naic.amekutwa.nani.kujuinga.chama.chamshetan.uokoke.kwajina.rayesu

  • @user-et1so2il3z

    @user-et1so2il3z

    Ай бұрын

    Kajiunga bas wakt na wao wako na njaa tuu

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu88732 ай бұрын

    Matapeli wakubwa nyinyi .mr nice tapeli mkubw huyu shetani utaumwa tena

  • @shivobs4485
    @shivobs4485Ай бұрын

    Ameona utapeli ndio sahihi kwake

  • @GetrudaSanga
    @GetrudaSanga2 ай бұрын

    Iyo Ni sili Sasa mbona mpo hadhalan ivo acheni kudanganya watu

  • @user-qm3pi7vx9u
    @user-qm3pi7vx9u2 ай бұрын

    Kuna watu wapinda!!😢😢

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee82 ай бұрын

    Innalillah wa Inna illah rajiun

  • @user-uu1xj4zz5j
    @user-uu1xj4zz5j2 ай бұрын

    Na nyinyi mataper pia

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale3742 ай бұрын

    Lengo lakutangaza hadharan ni lipi labda

  • @caetanodesousa8257
    @caetanodesousa82572 ай бұрын

    Ajuda me lá meus irmão eu também quero me juntar nessa companhia.

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843Ай бұрын

    Njaa izo zinawasumbua

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo94762 ай бұрын

    Ibada ya shetani sanamu

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494Ай бұрын

    Afya ya akili

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale3742 ай бұрын

    Kama mnamaanisha nyny ni freemashon hapo nakubali lakin nyny cyo free mason

  • @khalidngokhokupokoli8088
    @khalidngokhokupokoli80882 ай бұрын

    Sielewi

  • @user-rg5bj2bt4s
    @user-rg5bj2bt4sАй бұрын

    Helo

  • @omarizuberi2300
    @omarizuberi23002 ай бұрын

    Na endapo mtapata mtu anatumia picture zenu kulaghai watu kwenye mitandao adhabu yake ni gani?

  • @mrok284
    @mrok284Ай бұрын

    Allah awape hidaya.

  • @Matokeo2023
    @Matokeo2023Ай бұрын

    Freemashoni!

  • @SamuelMusongole
    @SamuelMusongoleАй бұрын

    Hacheni ujinga

  • @user-samweli
    @user-samweli2 ай бұрын

    Huyu jamaa ni mwizi hakuna ukweli ametapeli hela za watu bule hana lolote mbwa huyu

  • @HELLENNdungo

    @HELLENNdungo

    6 күн бұрын

    Unaongeanga ukweli kaka jamaa mgani

  • @Revelation1412.
    @Revelation1412.2 ай бұрын

    MNAZUNGUMZA HAYA KWASABABU HAMJAFAHAMU NINYI NI AKINA NANI; UDONGO, MAVUMBI HILO NDILO JINA LENU,,JUENI KUWA IPO SIKU KWENYE ASILI YENU MTARUDI.,..TUMIENI MUDA WENU KUMTAFUTA MUNGU ILI MPATE UZIMA WA MILELE... HAKUNA FAIDA MTAKAYOPATA KWAKUWA MATAJIRI KWASABABU BADO MTARUDI MAVUMBINI. YOHANA 3:16

  • @Connection_onlineTV
    @Connection_onlineTV2 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @owagatonny6558
    @owagatonny65582 ай бұрын

    freemason ni wapumbavu

  • @rashidmilanzi253
    @rashidmilanzi2532 ай бұрын

    Achen uongo

  • @towil0
    @towil02 ай бұрын

    BS

  • @user-gf7rs6vy4b
    @user-gf7rs6vy4b2 ай бұрын

    Uyo bro ni anazo kweli

  • @stephenruth050
    @stephenruth0502 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @user-kc5ug2ez8u
    @user-kc5ug2ez8uАй бұрын

    Frimason ipo lakini sio ya kujitangaza hivyo apo mmebugi

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala33922 ай бұрын

    😂FreeMashoni😂

  • @nantaembanusurupia5674

    @nantaembanusurupia5674

    2 ай бұрын

    😂😂 zipo mbili freemasonry na freemashoni 😂😂😂

  • @ErickZillah
    @ErickZillah2 ай бұрын

    Nahitaji kujiunga na chama hulu nawapataje mkuu mawasiliano yenu

  • @Mariam-qq4sz
    @Mariam-qq4szАй бұрын

    😂😂😂😂

Келесі