No video

UJIO WA IMAM MAHDI KUSMAMISHA DOLA KUBWA NA YENYE NGUVU DUNIAN | HUU NI UTABIRI WA MTUME ATATOKEA TU

#RiyadhTvZnz #Zanzibar #ImamMahdi

Пікірлер: 8

  • @hamadfaki2503
    @hamadfaki25032 жыл бұрын

    Riyadh TV sikuhizi hamujatuma mawaidha ya Sheikh Nassor Bachu tunaomba mtutumie tunapenda sana mawaidha yake

  • @abubakarhussein2186

    @abubakarhussein2186

    2 жыл бұрын

    Alaf mkiambiwa shia mnawakufurisha maswahaba mnakataaaa tupe sababu za msingi za kutaka tusimtakie radhi za Allah muawiya?

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 Жыл бұрын

    Mashaallah sheikh wangu

  • @SadatiDauda
    @SadatiDauda3 ай бұрын

    Shekhe muhawiya alikuwa na tamaa wala akuwa na uchungu na dini yake bali akuwa makini na tumbo lake na iweje apupie utawala usiokua wake? Au ujapatasoma khabari yake kabura.

  • @KakaKaka-pr4bn
    @KakaKaka-pr4bn5 ай бұрын

    Muawiya ni Mtu aliyelaaniwa na Mtume Mohammad (saww) yeye ndiye aliyemuua Mjukuu wa Mtume sayidinaa Hassan haiwezekani tumtakia radhi za Allah.

  • @mwamudmohamed5566
    @mwamudmohamed55662 жыл бұрын

    Inasikitisha sana kuona bado mashekhe wanasema radhia lamu anhu kwa mtu Kama muawiya ....mtu ambaye alimuangamiza mjukuu wa mtume Hassan (r.a)

  • @tandalesse4544

    @tandalesse4544

    2 жыл бұрын

    Shia mna shida twawafahamu kwani mpo kama manasara

  • @MunezeroHabiba-td3mv

    @MunezeroHabiba-td3mv

    8 ай бұрын

    ​@@tandalesse4544kwani wewe wafurahishwa na tabiya ya muhawiya ya kuwauwa wadjukuu wa Mtukufu wa daradja S.A.W.W? afu wasema shiaa hao mashiaa ndiye wamthamini Mtume S.A.W.W kwahiyo bas tulizaneni msidjutiye