UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA, ZEGE HALILALI, KAZI INAENDELEA

Пікірлер: 21

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu37832 жыл бұрын

    Hongera Sana mama na serekali yako ama kweli kazi iendelee

  • @jacobomgaka8360
    @jacobomgaka83602 жыл бұрын

    Furaha yangu ni kuona njozi zikitimizwa Mungu ibariki Tanzania

  • @sabbob574
    @sabbob5742 жыл бұрын

    Asante for bringing this. Kweli kazi inaendelea. Hongera TRC

  • @NDEWARA
    @NDEWARA2 жыл бұрын

    Big up TRC. Big up Raisi wetu mpendwa Mama Samia. KAZI IENDELEEE

  • @mimiraia2531

    @mimiraia2531

    2 жыл бұрын

    Magufuli alisaini mkataba wa RELI hii huko Chato Akiwa na waziri wa mambo ya nje wa China. Huyo mama anatoka wapi hapo?!

  • @NDEWARA

    @NDEWARA

    2 жыл бұрын

    Pole sana Mimi raia. Jambo usilolijua litakusumbua sana. Anayejenga hiyo reli sass ni Magufuli?

  • @brianm3160

    @brianm3160

    2 жыл бұрын

    @@NDEWARA Roho inamuuma mama anapiga kazi💪

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    2 жыл бұрын

    @@NDEWARA hahaha anajenga uko uko aliko

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba65022 жыл бұрын

    Safi speed ni nzuri na msimuliaji yuko vizuri kiswahili chake, muendelee hivyohivyo

  • @mkude
    @mkude2 жыл бұрын

    Hongera mama Samia suluhu na hongereni TRC kwa usimamizi mzuri.

  • @michaelpaulo5639
    @michaelpaulo56392 жыл бұрын

    Hongera ajira ipo

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba65022 жыл бұрын

    Kwa hiyo ben mwanantala mlimfukuza? Mbona slikuwa anatangaza reli vizuri sana

  • @shijankwabi4843
    @shijankwabi4843 Жыл бұрын

    Helloo

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa94832 жыл бұрын

    Anafaa kwenye siasa huyu ana kipaji

  • @hajiiddi1085
    @hajiiddi10852 жыл бұрын

    Weka video tuonekisha sauti iwe kama background!

  • @kamalofanuel8120
    @kamalofanuel81202 жыл бұрын

    Nimeanza kumpenda Samia wacha tuone

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    2 жыл бұрын

    Na utazid kumpenda maana uyo mama ana msimamo sana tna Sana mtamuelewa 2

  • @ramadhanhussein3464
    @ramadhanhussein34642 жыл бұрын

    Hivi mradi ukiisha hizo nyumba watakaa akina nani, maana mkandarasi na wafanyakazi watakuwa washamaliza nakuondoka?

  • @richshayo4924

    @richshayo4924

    2 жыл бұрын

    Wanaweza kaa watumishi, wafanyakazi, mafundi, askari. Fire, watu wa kutoa huduma mbalibali kwa ajili ya services inahitaji watumishi wa Aina mbalimbali

  • @vfacilitator8398

    @vfacilitator8398

    2 жыл бұрын

    Ni kweli. Mara nyingine serikali inatoa kambi kama hizo kwa taasisi za serikali, kama vile Chuo cha Waalimu, Chuo cha Wauguzi, Kitivo Kishiriki cha Chuo Kikuu, au hata nyumba za watumishi wa serikali wa Wilaya.

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb2 жыл бұрын

    Ujinga ni pale unazungumzia kipande cha 5 alafu unaonyesha na video za kipande cha 2.

Келесі