Kipindi nakipa asilimia 150%. Endeleeni kutupa uhondo. Much love from Sweden
@saumusalimuhassan7728 жыл бұрын
Duuh! we kweli ni mwanamke wa shoka, hongera sana dada Ester
@michaelmshana91756 жыл бұрын
naelewa kwa nguvu sana hii imenoga yaan imekaa poa sana
@huaweimct86968 жыл бұрын
dada dinah kipindi chako ni noma yani ni uhondo.
@apolinemalungano58548 жыл бұрын
Tuwekeye nyingi uhondo mtamu
@hajrayussouf65738 жыл бұрын
da Dina uhondo wa kiba ujatuwekea na bi hindu plzzzz mana so kwa uhondo huu
@Just_Florence7 жыл бұрын
sasa dada mbona aunty Ezekiel bad kwenye kipindi,nipo mbali lakini nafolo kipindi sana
@almarose34268 жыл бұрын
kaniinspire mdada,
@leilayussouf11728 жыл бұрын
swebe jaman ukiwa haupo kipitindi hakinogo unanifarahisha had bc
@rukiahussein97378 жыл бұрын
kipindi kizuri big up Dina na mgeni ila swebe akiwepo huwa anaaribu kipindi 😜
@cheupegmailcomHhcheupe
8 жыл бұрын
biashara muhimu wenzangu nawauliza nyinyi mloangalia uhondo atakaesoma comment yangu jamani anijibu, ni biashara gani naeza fanya kila siku niwe sikosi shilingi.
@rukiahussein9737
8 жыл бұрын
+cheupe gmail.com. Hh112233cheupe fanya biashara ya chakula siku zote huwa haimtupi mtu
@cheupegmailcomHhcheupe
8 жыл бұрын
+Rukia Hussein asante sana dadangu lakini mimi daa kifua chanisumbua sana na pesa nilionayo kuandika mtu sina huo wezo dadangu
@rukiahussein9737
8 жыл бұрын
+cheupe gmail.com. Hh112233cheupe siyo lazima ya moto hata kiduka cha mtaani ukauza vitu km unga,mafuta,Michele na mahitaji muhimu ya majumbani
@cheupegmailcomHhcheupe
8 жыл бұрын
+Rukia Hussein asante dadangu kwa mchango wako kupoteza mda wako kunijibu nashkuru daa, palipo pazito Allah akufanyie wepesi
Пікірлер: 17
Kipindi nakipa asilimia 150%. Endeleeni kutupa uhondo. Much love from Sweden
Duuh! we kweli ni mwanamke wa shoka, hongera sana dada Ester
naelewa kwa nguvu sana hii imenoga yaan imekaa poa sana
dada dinah kipindi chako ni noma yani ni uhondo.
Tuwekeye nyingi uhondo mtamu
da Dina uhondo wa kiba ujatuwekea na bi hindu plzzzz mana so kwa uhondo huu
sasa dada mbona aunty Ezekiel bad kwenye kipindi,nipo mbali lakini nafolo kipindi sana
kaniinspire mdada,
swebe jaman ukiwa haupo kipitindi hakinogo unanifarahisha had bc
kipindi kizuri big up Dina na mgeni ila swebe akiwepo huwa anaaribu kipindi 😜
@cheupegmailcomHhcheupe
8 жыл бұрын
biashara muhimu wenzangu nawauliza nyinyi mloangalia uhondo atakaesoma comment yangu jamani anijibu, ni biashara gani naeza fanya kila siku niwe sikosi shilingi.
@rukiahussein9737
8 жыл бұрын
+cheupe gmail.com. Hh112233cheupe fanya biashara ya chakula siku zote huwa haimtupi mtu
@cheupegmailcomHhcheupe
8 жыл бұрын
+Rukia Hussein asante sana dadangu lakini mimi daa kifua chanisumbua sana na pesa nilionayo kuandika mtu sina huo wezo dadangu
@rukiahussein9737
8 жыл бұрын
+cheupe gmail.com. Hh112233cheupe siyo lazima ya moto hata kiduka cha mtaani ukauza vitu km unga,mafuta,Michele na mahitaji muhimu ya majumbani
@cheupegmailcomHhcheupe
8 жыл бұрын
+Rukia Hussein asante dadangu kwa mchango wako kupoteza mda wako kunijibu nashkuru daa, palipo pazito Allah akufanyie wepesi
Tuwekeye nyingi uhondo mtamu