🚨Uchambuzi Wasaffm,Taarifa za Elie MPANZU Kutua Simba,Msemaji wa As vita Afunguka, kunaofa ya Simba?

#football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube

Пікірлер: 26

  • @eliashagai7920
    @eliashagai792026 күн бұрын

    Njaaa mbaya Sana,mwacheni mpanzu ale Bata Msimbazi

  • @Mohammed-uu5dt
    @Mohammed-uu5dt8 күн бұрын

    Wakwanza leo naombeni like

  • @SteveKalugula
    @SteveKalugula23 күн бұрын

    Kweli

  • @mwemajulius5036
    @mwemajulius503626 күн бұрын

    😢😢😢😢

  • @KorneliCpiran
    @KorneliCpiran26 күн бұрын

    Siba itakuwa ya moto

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h26 күн бұрын

    Wewe unachangia sh. ngapi ili kuvunja mkataba wa mpanzu, mayele na fei ?.

  • @KorneliCpiran
    @KorneliCpiran26 күн бұрын

    Moo ni bos

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale26 күн бұрын

    Eheeee eeeee eeee eeee Jinga Moja wewe

  • @user-fq5nl6hs8u
    @user-fq5nl6hs8u26 күн бұрын

    Wabongo munalaumu tu toen ela

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota389126 күн бұрын

    Jamani motuletee huyu Mesi

  • @ramadhanimohamedi1397

    @ramadhanimohamedi1397

    22 күн бұрын

    Huyo mwamba akitua simba kazi imekamilika wengi ndo kiu yetu

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila26 күн бұрын

    Kinawauma chama wenu na kii wetu vipi nani kinaye muuma

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe754326 күн бұрын

    MO TUNAOMBA UKAVUNJE MKATABA WA MPANZU NA MAYELE NA FEI TOTO JAMANI MBONA TUTAFURAHI SANA

  • @DM_15

    @DM_15

    26 күн бұрын

    Niwachezaji wazur lakini kwa mayelle hatuwezi tena kwa sababu kule misiri sasahivi yeye ndio top score hivyo siorahisi kumuachia arudi huku nafei toto billion 5 siohela ya kuchezakalata hio 😂😂

  • @rajabuhamadi

    @rajabuhamadi

    26 күн бұрын

    Shida sio kuvunja Bali wao pia wanataka mazuri aendelee ndio maana wamempa marambili pesa ya pesa Simba walio muaidi so atamuachia

  • @renatusblandes1131

    @renatusblandes1131

    26 күн бұрын

    Kuna nafasi Moja ya kimataifa imebaki

  • @ramadhanimohamedi1397

    @ramadhanimohamedi1397

    22 күн бұрын

    Bosi anafeli wapi kwa hizi mashine hasa mpanzu asee

  • @user-xd7hs1ri5i
    @user-xd7hs1ri5i26 күн бұрын

    Duuuu hii Simba tia tia maji tu

  • @muksinimbaruku1233

    @muksinimbaruku1233

    26 күн бұрын

    Utaelewa tu

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l26 күн бұрын

    AMESHINDWA KUVUNJA MKATABA WA LAMECK LAWI WA COASTAL ? IWEJE MAYELA?? MO anasubiri mkataba wake uishe!

  • @honesthenry901
    @honesthenry90125 күн бұрын

    Bas onana ataendelea kuwepo

  • @ramadhanimohamedi1397

    @ramadhanimohamedi1397

    22 күн бұрын

    Onana hata akiondoka leo hana athari ampishe mpanzu huyo ni fundi wa boli

  • @RamadhanAlly-qg9hq
    @RamadhanAlly-qg9hq26 күн бұрын

    Moo Hana pesa ameokotaokota tu huyuu mo tumpee thank youu Simba mi ananikeka Sana usajilii vunjaa mikataba wachezaji wa maana

  • @andekisyenasibu312

    @andekisyenasibu312

    26 күн бұрын

    Wew mweny pesa umemsajili nan? Hauna hata kad ya uanachama unabak kubwabwaja. Unaichangia nn club?

  • @HappyDominoes-jf1ji

    @HappyDominoes-jf1ji

    23 күн бұрын

    Moo hana hela kama hujui kitu uwe unatazamiwa mdomo utakuponza 😮😮

  • @HappyDominoes-jf1ji

    @HappyDominoes-jf1ji

    23 күн бұрын

    Tumpe thank you afu simba itadhaminiwa na b _ _ _ ako

Келесі