🚨Yanga kukutana na VitalO Fc ya burundi,Ni mpinzani wa Aina gani?Azamfc wanasemaje

#football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube

Пікірлер: 6

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi971624 күн бұрын

    Hakuna timu nyepese katika mashindano haya

  • @AndersonMokiwa-is5ch
    @AndersonMokiwa-is5ch24 күн бұрын

    JAMANI HII REDIO SIJAELEWA NYIE WATANGAZAJI MMEHAMA WASAFI

  • @haslanclassic40
    @haslanclassic4024 күн бұрын

    Uyo anae sema vital'O ya burundi ni mbovu kuliko APR ya Rwanda Afatili mpira ana fatilia Team za ulaya VitalO nibora kuliko APR

  • @user-mr9xp5mr7i

    @user-mr9xp5mr7i

    24 күн бұрын

    Una wazimu wewe tuulize sisi tunaoishi hapa Buyenzi Vital0 ni timu hiyo sasa? Bora ata Ainge Noir APR ni Klabu bora kabisa na inapata msaada wa Jeshi ni Timu ya Jeshi la Kagame Hujui hata ligi ya Burundi ni takataka kabisa

  • @MZAMILUMNYOTI

    @MZAMILUMNYOTI

    24 күн бұрын

    ​@@user-mr9xp5mr7iyanga washa pita mapema Sanaa to Yani

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid658124 күн бұрын

    Mbona nyie waandishi mnakua wabaguzi inamana tanzania JKU haimo?

Келесі