Tumefanya Tour PALM VILLAGE, Mall ya kisasa inayotikisa jiji la Dar, ni amazing, kuna kila kitu

Palm Village Mall, ni eneo la kisasa lililopo Mikocheni, Kwa Warioba jijini Dar es Salaam ambalo limeanza kujipatia umaarufu mkubwa. Kuna shopping mall kubwa yenye maduka ya aina mbalimbali, sehemu za kupumzika, makazi ya watu na vitu vingine. Tumefanya tour kukutembeza kwenye sehemu muhimu

Пікірлер: 202

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani10604 жыл бұрын

    Safi sana Tanzania ya uchumi wa kati mambo yanaonekana kabisa hayana kificho Dar es salaam km UK wataelewa tu ngoja mzee Magu tumuongezee miaka miaka mitano tena atuvushe uchumi wa kati atupeleke uchumi wa juu zaidi.

  • @louisngaiza
    @louisngaiza4 жыл бұрын

    Sales officer anaifahamu vyema kazi yake she is very good in details...

  • @HenriHSP
    @HenriHSP4 жыл бұрын

    Camera man he doesn’t know what he is doing. He just shoot nonsense shot.

  • @maunyajc2696
    @maunyajc26964 жыл бұрын

    Naona mliman city imepata mpinzani 😁😁😁😁😁,, Hii mambo ni nomaaa!! Bigup sana PALM VILLAGE!!

  • @LeeUfudu

    @LeeUfudu

    4 жыл бұрын

    Afadhari mnke ilikuwa kelele tu sasa wengine tutakuwa huku mikocheni B poa kabisa

  • @mubarakcloudcloud1098

    @mubarakcloudcloud1098

    4 жыл бұрын

    Hivi mkuki mall nayo vipi Haiwez shindan na mlimani Au kwakua ile ipo ilala district

  • @gloria5990
    @gloria59903 жыл бұрын

    Nilicho kiona hapa is how this woman knows her work. Well done dada. Kudos to you smart woman.🙏🙏

  • @latifahjanja6679
    @latifahjanja66794 жыл бұрын

    Inapendeza sana natamani wawekezaji wawekeze zaidi ili nchi yetu izid kupendeza na uchumi kukua lkn pia vijana wengi kupata kazi na kuondokana na matatizo ya watu kua mitaani

  • @IBENGM
    @IBENGM4 жыл бұрын

    Huyo Camera Man wenu kazi imemshinda

  • @MrSaidi57
    @MrSaidi574 жыл бұрын

    Jamani jamani hawa wana habari waende shule. Huyu kijana hana sifa, ana bounce unafikiri ana cheza sindimba. Maswali ya dada umependeza yanahusu nini taarifa ya jengo, jock acha gengeni hapo ulipo ni kazini

  • @zulfaabdallah3217
    @zulfaabdallah32174 жыл бұрын

    TANZANIA Yetu 😍😍😍😍😍I love you more

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath50904 жыл бұрын

    Pazuri sana yani nimetizama mpaka mwishoo 😍😍😍😍😍😍😍😍hongereni sana

  • @mamunote3507
    @mamunote35074 жыл бұрын

    Shukran sana tumpe ndani kuona mambo kama hayo Inshallah tutakuja kutembea huko na kuinjoy

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia10244 жыл бұрын

    Eheee finally hatuendi mlimani city tena yaani watu wataaja palm uko🙌🙌🙌😃😃😃

  • @scolabahame2214
    @scolabahame22144 жыл бұрын

    Mashalallah mashalallah pazuri sana kama umefika Dubai🇹🇿 💪

  • @aminaramadhan8894
    @aminaramadhan88944 жыл бұрын

    Mh mungu kama anajibu maombi anijibie kwa hili nalo omba nimefanya kazi hapo parm virage watu wameiba hela nikasingiziwa mimi yani sitakagi hata kuwaona Hawa watu wawili

  • @roselineawinja6604
    @roselineawinja66044 жыл бұрын

    Iko sawa👍hongera

  • @maryamm7765
    @maryamm77654 жыл бұрын

    Mashaa Allah mambo mazuri dar

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah36444 жыл бұрын

    Mashallah kuzuri 😘😘😘

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath50904 жыл бұрын

    Nani anaweka nia kama mimi lazima tufike apo tukapate picha kali 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂gonga like

  • @samniza1763
    @samniza17634 жыл бұрын

    Je mnapangisha kwa wageni wanaotoka nje wanaokuja kwa wiki, hadi mwezi? Je kama ni ndio je ni kiasi gani?

  • @centralboytz4240
    @centralboytz42404 жыл бұрын

    Mambo ndo haya sasa sio mji mzima unaishia mliman city mmetisha huu ndo uchumi wa kat sasa duh🔥💯✊🏾 wanang tutafte hela tukachil apo na vidampa vyetu vya uswaz😄

  • @justinecleophas2950

    @justinecleophas2950

    4 жыл бұрын

    Ila machaka yapo mzee kama Aura,mkuki,Gsm na mengine ila hili kali sanaaa nimepnda usanifu wake...👏👏👏

  • @zulfaabdallah3217
    @zulfaabdallah32174 жыл бұрын

    Allah aibariki Tanzania yetu pekeyetu🤣🤣🤣🤣🙏🙏

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer43634 жыл бұрын

    Very nice place! Ila uko juu mie hunipandishi kabisa, nahisi maruwani yatanipanda nijirushe chini niage Dunia na Earth na World 🌍

  • @theauthenticswahilians
    @theauthenticswahilians4 жыл бұрын

    Drone footage, Hand stabilizer footage are highly recommended, Sky work on it brother

  • @EddyEdyuseEddyOneTv
    @EddyEdyuseEddyOneTv4 жыл бұрын

    Kazi nzuri sanaaa

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer43634 жыл бұрын

    Mmesahau kutupa details za apartments costs kama mtu unataka kukaa hapo, but hakijaaribika kitu tutafind out wenyewe, uki find una get

  • @emmanuelluiso4872

    @emmanuelluiso4872

    4 жыл бұрын

    Vanessa Laizer ukifind unaget SawA Mtoto wa laizer😂

  • @florianlpk7018
    @florianlpk70184 жыл бұрын

    sema huyo jamaa aloshika camera fukuzeni

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74914 жыл бұрын

    Daah nme ipenda sana hiyo sehem

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63654 жыл бұрын

    Esco, Hatareee sana Mzee Baba 😘

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus93034 жыл бұрын

    Wao asanteni jamani wa nje tujue pa kufikia kula bata

  • @mamunote3507
    @mamunote35074 жыл бұрын

    Mashallah Mashallah tumpe ndani sana jee sio tulio Nchi za nje tunawa kupata nyumba tukijaaliwa huko?

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi43854 жыл бұрын

    Yes ,now maduka na majengo ya TZ MAZURI

  • @officialzu3772
    @officialzu37724 жыл бұрын

    Esko Kawa kibonge kidogo😂😂😂au macho yangu

  • @khasamkonde
    @khasamkonde4 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita29954 жыл бұрын

    Duh pazuri Sana

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything78484 жыл бұрын

    Wa kwaza leo like sns

  • @kadyuwegeyetv5310
    @kadyuwegeyetv53104 жыл бұрын

    Esco chukua namba kaka Sema muda si nwingi unakimbia bagamoyo kwa mastory ya waganga

  • @isaachayes9783
    @isaachayes97834 жыл бұрын

    HL, WABONGO BANA HIZI SHULE ZETU TAABU, ku keep lecords, na mwandishi nae Fekii, hapangilii vyema mahojiano yake, mfano kwenye intro. Ya apartments hakuingia deep kuulizia gharama na contents za apartments n.k

  • @IfahamuTanzania

    @IfahamuTanzania

    4 жыл бұрын

    Yaani we acha tu

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath50904 жыл бұрын

    Pazuri sana

  • @justinjoshua1059
    @justinjoshua10594 жыл бұрын

    Yani Jonh kombe magufuli ni mwanaume kbs,iyo mall nikama apa South Africa. Akuna ubishi 👌👌👌👌

  • @LeeUfudu

    @LeeUfudu

    4 жыл бұрын

    Kwani jpm ndio kaijenga yeye au ni sector binafsi wamewekeza sio kila kitu kimefanywa na yeye tuwe na mipaka ya kumpenda jmani eeeeeeh hatariii

  • @azizaalmas9624
    @azizaalmas96244 жыл бұрын

    Esco umenenepa na umekuwa na mwili wakikubwaa Allah akupe umri mrefuu aamen

  • @aminaabdallah3644

    @aminaabdallah3644

    4 жыл бұрын

    Ameen inshallah 🙏 😘

  • @vom84
    @vom844 жыл бұрын

    Nomaa

  • @francissamson7594
    @francissamson75944 жыл бұрын

    Bei kupanga naomba kujuwa, kulala na biashara.

  • @lapozzydone5203
    @lapozzydone52034 жыл бұрын

    Esco nakuaminia Sana Mzee Baba

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi43854 жыл бұрын

    Palm village noma

  • @emmishj498
    @emmishj4983 жыл бұрын

    This video makes me dizzy. Get a gimbal please

  • @aminakawawa1935
    @aminakawawa19354 жыл бұрын

    Iko wapi

  • @solangekubota9487
    @solangekubota94874 жыл бұрын

    Mutu akija dar kwa wiki mbili alipia ngapi?maana naona naanza kupata presha ya kufika ndani ya tz

  • @recker2920
    @recker29204 жыл бұрын

    Hahahhahhah ESCO chukua contact kwa bibie uchukue relationship 😂😂

  • @maxmillanasel
    @maxmillanasel4 жыл бұрын

    Video camera hajui kucheza na camera according to me But SnS mko poa sana

  • @rolax1999
    @rolax19993 жыл бұрын

    Camea man arekebishe apetur na settings za Shootings

  • @LeeUfudu
    @LeeUfudu4 жыл бұрын

    Shopping mall zote Duniani huwa zinkuwa na ramani unpoingia kukurahisishia kufahamu mpangilio wa maduka haina haja ya kuuliza uliza map direction mall

  • @mubarakcloudcloud1098

    @mubarakcloudcloud1098

    4 жыл бұрын

    Sasa mbona hujaeleweka unakosoa Au

  • @LeeUfudu

    @LeeUfudu

    4 жыл бұрын

    @@mubarakcloudcloud1098 siaelewa mpangilio wa maduka uko vipi yaani unahitaji kuuliza kma anavyofanya muhandishi au !!

  • @missmwayway4704
    @missmwayway47044 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Esco shikamooo

  • @kadyuwegeyetv5310
    @kadyuwegeyetv53104 жыл бұрын

    Camera hongera maana mm sio mtaaalam wa camera

  • @rashidialiuwali939
    @rashidialiuwali9394 жыл бұрын

    Tanzania ipo vizuri sasa naangalia kutoka south Africa Cape town hongela nch yetu inaelekea pazuli

  • @dn.n4983
    @dn.n49834 жыл бұрын

    Mgetaja bei apartment maduka ikupangisha au kununu ingependeza zaidi

  • @emmishj498
    @emmishj4983 жыл бұрын

    As if Ulaya looks like that. Obviously you havn't been to Sweden 😂😂😂😂 This is much nicer than the most apartments here.

  • @johnmlay4759

    @johnmlay4759

    3 жыл бұрын

    Though many will denie that

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi43854 жыл бұрын

    Hii kweli nzuri mana vihuduma vya mtaani vile vyote vipi Haas hahaha nyinyi wakali

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath50904 жыл бұрын

    Esco bby umenenepa 🤔🤔

  • @bongowoodtv7327
    @bongowoodtv73274 жыл бұрын

    Esco unaonekana very unproffessional ...kama hautojirekebisha basi sns hapakufai......hautulii katika interview...au baridi😂😂😂😂

  • @veeJesus

    @veeJesus

    4 жыл бұрын

    Kwendraaaa yupo vzr mbona futa licoment lako ngombe mweus

  • @konsolatatutu423

    @konsolatatutu423

    4 жыл бұрын

    @@veeJesus 😂😂😂😂umenipa furaha ya week nzima, ati licoment lako

  • @nyovestkaslati5971
    @nyovestkaslati59713 жыл бұрын

    Daaah camera man alilewa nini

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything78484 жыл бұрын

    nyumbani kumenoga yani dar kira siku inazidi kuwa mnzuri kwakweli hivi vitu mm nimekuja kuviona kwa warabu walhai lakini ss naona kira siku dar yetu inawaka

  • @amurimusema4908
    @amurimusema49083 жыл бұрын

    Aliyesikia ugonjwa wa Komedi badala ya Covid kama mimi mkono juu.😝

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop10184 жыл бұрын

    Duuh hilo jengo kali kibabe

  • @khasamkonde
    @khasamkonde4 жыл бұрын

    Tz kamabele

  • @danielarapmoi3041
    @danielarapmoi30414 жыл бұрын

    Camera man mshamba

  • @josephinemmbando3978
    @josephinemmbando39783 жыл бұрын

    😘😘😘😘😘♥️🔥

  • @maryamselemanabdalah4086
    @maryamselemanabdalah40864 жыл бұрын

    Kama Dubai tunaona hivi juu juu

  • @jrlamar8925
    @jrlamar89254 жыл бұрын

    Kwa rafudhi ya huyo dada ni Muhaya bila shaka

  • @khamisomar6943
    @khamisomar69434 жыл бұрын

    umesikia still bado mara ngapi

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free4 жыл бұрын

    3 dislikes?hao ni wapinzani wa CCM,Magufuli 2020,

  • @phillipmatola6964
    @phillipmatola69643 жыл бұрын

    Bei gani

  • @IbrahimMohamed-fk5cc
    @IbrahimMohamed-fk5cc4 жыл бұрын

    Jamaa wetu wa Camera afuate mazungumzo pia wakumbuke kufanya Editing

  • @khamisimalaydzzo6931
    @khamisimalaydzzo69314 жыл бұрын

    Umesahau kutuonyeshe hizo apartments

  • @solangekubota9487
    @solangekubota94874 жыл бұрын

    Mutupe beyi please sisi mkwanja tumepanga bwan

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline65754 жыл бұрын

    Kamera man kachemka vibayaaa

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi43854 жыл бұрын

    ZANZIBAR TUNAKWAMA WAPI

  • @hpp3729
    @hpp37294 жыл бұрын

    Nilikuwa na mpango kwenda Dubai kuangalia khariffa abbuja Sasa itabidi nianzie apo

  • @anahna6788
    @anahna67884 жыл бұрын

    YAANI NI BONGE LA KIZAZI SANA HII NDIYO TZ YA JPM

  • @billybaraka9212
    @billybaraka92129 ай бұрын

    Mfundisheni huyo mpiga picha wenu jinsi ya kuenenda na matukio anajiendea tu bora liende

  • @alimasssaidi5922
    @alimasssaidi59224 жыл бұрын

    Tanzania uchumu wa katiiiiii

  • @mimiapa8436
    @mimiapa84364 жыл бұрын

    Esco shavu dodo

  • @MrSaidi57
    @MrSaidi574 жыл бұрын

    Nani anataka kujua wewe ni hodari? Weka siku yako binafsi uanze kueleza sifa zako za Marathon n.k

  • @mu-crzymahez9229
    @mu-crzymahez92294 жыл бұрын

    mmetsh

  • @abdllamahafoudh9658
    @abdllamahafoudh96584 жыл бұрын

    Zanzibar tunahitaji vitu kama hivi lakini sijui tumekosa nn ss

  • @lipymuscat4779

    @lipymuscat4779

    4 жыл бұрын

    zanzibar tunazo sehemu nzuri kuliko hizo..mfano melia hotel...

  • @FocusNewsTanzania1994
    @FocusNewsTanzania19944 жыл бұрын

    "Wakuu wa Wilaya na Mikoa Tanzania hawana adabu, wamkosea heshima Magufuli."Mchambuzi. Kwa habari zaidi bonyeza link hapo chini. kzread.info/dash/bejne/YqKizNuBpsvUeaQ.html

  • @hadija846
    @hadija8464 жыл бұрын

    Mjengo umejengwa na kampuni ya China au?

  • @lightnesselirehema1464

    @lightnesselirehema1464

    4 жыл бұрын

    Hapana

  • @konsolatatutu423
    @konsolatatutu4234 жыл бұрын

    Iyo shopping mall ipo Dar sehem gani?

  • @theafricanprincevivecongo8632

    @theafricanprincevivecongo8632

    4 жыл бұрын

    Kigoma😁

  • @konsolatatutu423

    @konsolatatutu423

    4 жыл бұрын

    @@theafricanprincevivecongo8632 😏😏😏😏mxiuuuuuuuuuuuuuuiii

  • @SM-fu1yv

    @SM-fu1yv

    4 жыл бұрын

    Mikocheni kwa walioba

  • @allthings1302
    @allthings13024 жыл бұрын

    .

  • @alesnema9596
    @alesnema95964 жыл бұрын

    Uraya hakuna mbawo dukani baba zinatundikwako chakura Kama Ivo lakini tymejitaidi

  • @theafricanprincevivecongo8632

    @theafricanprincevivecongo8632

    4 жыл бұрын

    Unaongea lugha gani

  • @kamanda007
    @kamanda0074 жыл бұрын

    Camera man is useless umetupotezea muda.... that's Miami

  • @samniza1763
    @samniza17634 жыл бұрын

    I hope kuna wifi.

  • @johel882

    @johel882

    4 жыл бұрын

    Huna akili

  • @samniza1763

    @samniza1763

    4 жыл бұрын

    @@johel882 really! Who does that? Or is the language problem?

  • @samniza1763

    @samniza1763

    4 жыл бұрын

    Well wenye business hope wameelewa swali langu, watajibu. You don't matter to me.

  • @Nyamisango
    @Nyamisango4 жыл бұрын

    Esco was annoying in this interview or whatever u call it 😒

  • @princenewton
    @princenewton4 жыл бұрын

    I really love to see Tanzania's making progress that's amazing 👏.🇰🇪but Y'all know we got way better than that😅😍

  • @streetview3045

    @streetview3045

    4 жыл бұрын

    i dont think if Tz is competing with his fellow poor Neighbor we gat nothing to learn frm u. but umeanza vzr ulipo maliza sasa dah wakenya 😂😂

  • @hopechidera

    @hopechidera

    4 жыл бұрын

    @@streetview3045 eti his fellow poor neighbor😂😂😂

  • @streetview3045

    @streetview3045

    4 жыл бұрын

    Zimuzor Chidera 😂😂 alafu ukiona kwenye maisha mtu anapenda kujicompare na ww ujue u have more to offer than him

  • @subrynerysegerow1323

    @subrynerysegerow1323

    4 жыл бұрын

    StreetView hapo ndo utaelewa vizuri wakenya wana wivu roho mbaya yan mshamba sana huyu fala 😂😂

  • @princenewton

    @princenewton

    4 жыл бұрын

    @@streetview3045 😂😂😂it's was just a joke bro♥️👊upinzani lazima ukuepo

  • @tiamo726
    @tiamo7264 жыл бұрын

    Nataka kuhamia tz ntafanyaje??

  • @bernardoleonard7331

    @bernardoleonard7331

    3 жыл бұрын

    Kwenu wap?

  • @tiamo726

    @tiamo726

    3 жыл бұрын

    @@bernardoleonard7331 kenya

  • @bernardoleonard7331

    @bernardoleonard7331

    3 жыл бұрын

    @@tiamo726 Kwanini unataka kuamia Tz bro

  • @tiamo726

    @tiamo726

    3 жыл бұрын

    @@bernardoleonard7331 napenda tz nataka kuhamia huko

  • @bernardoleonard7331

    @bernardoleonard7331

    3 жыл бұрын

    @@tiamo726 karibu Sana we don't recognize tribes we are one karibu Sana tunawapenda wakenya brothers.

  • @msasaniboyrais598
    @msasaniboyrais5984 жыл бұрын

    ipo maeneo ngani

  • @emmanuelluiso4872

    @emmanuelluiso4872

    4 жыл бұрын

    Msasani boy #Rais mikocheni B

Келесі