Tumefanya Tour PALM VILLAGE, Mall ya kisasa inayotikisa jiji la Dar, ni amazing, kuna kila kitu
Palm Village Mall, ni eneo la kisasa lililopo Mikocheni, Kwa Warioba jijini Dar es Salaam ambalo limeanza kujipatia umaarufu mkubwa. Kuna shopping mall kubwa yenye maduka ya aina mbalimbali, sehemu za kupumzika, makazi ya watu na vitu vingine. Tumefanya tour kukutembeza kwenye sehemu muhimu
Пікірлер: 202
Safi sana Tanzania ya uchumi wa kati mambo yanaonekana kabisa hayana kificho Dar es salaam km UK wataelewa tu ngoja mzee Magu tumuongezee miaka miaka mitano tena atuvushe uchumi wa kati atupeleke uchumi wa juu zaidi.
Sales officer anaifahamu vyema kazi yake she is very good in details...
Camera man he doesn’t know what he is doing. He just shoot nonsense shot.
Naona mliman city imepata mpinzani 😁😁😁😁😁,, Hii mambo ni nomaaa!! Bigup sana PALM VILLAGE!!
@LeeUfudu
4 жыл бұрын
Afadhari mnke ilikuwa kelele tu sasa wengine tutakuwa huku mikocheni B poa kabisa
@mubarakcloudcloud1098
4 жыл бұрын
Hivi mkuki mall nayo vipi Haiwez shindan na mlimani Au kwakua ile ipo ilala district
Nilicho kiona hapa is how this woman knows her work. Well done dada. Kudos to you smart woman.🙏🙏
Inapendeza sana natamani wawekezaji wawekeze zaidi ili nchi yetu izid kupendeza na uchumi kukua lkn pia vijana wengi kupata kazi na kuondokana na matatizo ya watu kua mitaani
Huyo Camera Man wenu kazi imemshinda
Jamani jamani hawa wana habari waende shule. Huyu kijana hana sifa, ana bounce unafikiri ana cheza sindimba. Maswali ya dada umependeza yanahusu nini taarifa ya jengo, jock acha gengeni hapo ulipo ni kazini
TANZANIA Yetu 😍😍😍😍😍I love you more
Pazuri sana yani nimetizama mpaka mwishoo 😍😍😍😍😍😍😍😍hongereni sana
Shukran sana tumpe ndani kuona mambo kama hayo Inshallah tutakuja kutembea huko na kuinjoy
Eheee finally hatuendi mlimani city tena yaani watu wataaja palm uko🙌🙌🙌😃😃😃
Mashalallah mashalallah pazuri sana kama umefika Dubai🇹🇿 💪
Mh mungu kama anajibu maombi anijibie kwa hili nalo omba nimefanya kazi hapo parm virage watu wameiba hela nikasingiziwa mimi yani sitakagi hata kuwaona Hawa watu wawili
Iko sawa👍hongera
Mashaa Allah mambo mazuri dar
Mashallah kuzuri 😘😘😘
Nani anaweka nia kama mimi lazima tufike apo tukapate picha kali 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂gonga like
Je mnapangisha kwa wageni wanaotoka nje wanaokuja kwa wiki, hadi mwezi? Je kama ni ndio je ni kiasi gani?
Mambo ndo haya sasa sio mji mzima unaishia mliman city mmetisha huu ndo uchumi wa kat sasa duh🔥💯✊🏾 wanang tutafte hela tukachil apo na vidampa vyetu vya uswaz😄
@justinecleophas2950
4 жыл бұрын
Ila machaka yapo mzee kama Aura,mkuki,Gsm na mengine ila hili kali sanaaa nimepnda usanifu wake...👏👏👏
Allah aibariki Tanzania yetu pekeyetu🤣🤣🤣🤣🙏🙏
Very nice place! Ila uko juu mie hunipandishi kabisa, nahisi maruwani yatanipanda nijirushe chini niage Dunia na Earth na World 🌍
Drone footage, Hand stabilizer footage are highly recommended, Sky work on it brother
Kazi nzuri sanaaa
Mmesahau kutupa details za apartments costs kama mtu unataka kukaa hapo, but hakijaaribika kitu tutafind out wenyewe, uki find una get
@emmanuelluiso4872
4 жыл бұрын
Vanessa Laizer ukifind unaget SawA Mtoto wa laizer😂
sema huyo jamaa aloshika camera fukuzeni
Daah nme ipenda sana hiyo sehem
Esco, Hatareee sana Mzee Baba 😘
Wao asanteni jamani wa nje tujue pa kufikia kula bata
Mashallah Mashallah tumpe ndani sana jee sio tulio Nchi za nje tunawa kupata nyumba tukijaaliwa huko?
Yes ,now maduka na majengo ya TZ MAZURI
Esko Kawa kibonge kidogo😂😂😂au macho yangu
Mashaallah
Duh pazuri Sana
Wa kwaza leo like sns
Esco chukua namba kaka Sema muda si nwingi unakimbia bagamoyo kwa mastory ya waganga
HL, WABONGO BANA HIZI SHULE ZETU TAABU, ku keep lecords, na mwandishi nae Fekii, hapangilii vyema mahojiano yake, mfano kwenye intro. Ya apartments hakuingia deep kuulizia gharama na contents za apartments n.k
@IfahamuTanzania
4 жыл бұрын
Yaani we acha tu
Pazuri sana
Yani Jonh kombe magufuli ni mwanaume kbs,iyo mall nikama apa South Africa. Akuna ubishi 👌👌👌👌
@LeeUfudu
4 жыл бұрын
Kwani jpm ndio kaijenga yeye au ni sector binafsi wamewekeza sio kila kitu kimefanywa na yeye tuwe na mipaka ya kumpenda jmani eeeeeeh hatariii
Esco umenenepa na umekuwa na mwili wakikubwaa Allah akupe umri mrefuu aamen
@aminaabdallah3644
4 жыл бұрын
Ameen inshallah 🙏 😘
Nomaa
Bei kupanga naomba kujuwa, kulala na biashara.
Esco nakuaminia Sana Mzee Baba
Palm village noma
This video makes me dizzy. Get a gimbal please
Iko wapi
Mutu akija dar kwa wiki mbili alipia ngapi?maana naona naanza kupata presha ya kufika ndani ya tz
Hahahhahhah ESCO chukua contact kwa bibie uchukue relationship 😂😂
Video camera hajui kucheza na camera according to me But SnS mko poa sana
Camea man arekebishe apetur na settings za Shootings
Shopping mall zote Duniani huwa zinkuwa na ramani unpoingia kukurahisishia kufahamu mpangilio wa maduka haina haja ya kuuliza uliza map direction mall
@mubarakcloudcloud1098
4 жыл бұрын
Sasa mbona hujaeleweka unakosoa Au
@LeeUfudu
4 жыл бұрын
@@mubarakcloudcloud1098 siaelewa mpangilio wa maduka uko vipi yaani unahitaji kuuliza kma anavyofanya muhandishi au !!
🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Esco shikamooo
Camera hongera maana mm sio mtaaalam wa camera
Tanzania ipo vizuri sasa naangalia kutoka south Africa Cape town hongela nch yetu inaelekea pazuli
Mgetaja bei apartment maduka ikupangisha au kununu ingependeza zaidi
As if Ulaya looks like that. Obviously you havn't been to Sweden 😂😂😂😂 This is much nicer than the most apartments here.
@johnmlay4759
3 жыл бұрын
Though many will denie that
Hii kweli nzuri mana vihuduma vya mtaani vile vyote vipi Haas hahaha nyinyi wakali
Esco bby umenenepa 🤔🤔
Esco unaonekana very unproffessional ...kama hautojirekebisha basi sns hapakufai......hautulii katika interview...au baridi😂😂😂😂
@veeJesus
4 жыл бұрын
Kwendraaaa yupo vzr mbona futa licoment lako ngombe mweus
@konsolatatutu423
4 жыл бұрын
@@veeJesus 😂😂😂😂umenipa furaha ya week nzima, ati licoment lako
Daaah camera man alilewa nini
nyumbani kumenoga yani dar kira siku inazidi kuwa mnzuri kwakweli hivi vitu mm nimekuja kuviona kwa warabu walhai lakini ss naona kira siku dar yetu inawaka
Aliyesikia ugonjwa wa Komedi badala ya Covid kama mimi mkono juu.😝
Duuh hilo jengo kali kibabe
Tz kamabele
Camera man mshamba
😘😘😘😘😘♥️🔥
Kama Dubai tunaona hivi juu juu
Kwa rafudhi ya huyo dada ni Muhaya bila shaka
umesikia still bado mara ngapi
3 dislikes?hao ni wapinzani wa CCM,Magufuli 2020,
Bei gani
Jamaa wetu wa Camera afuate mazungumzo pia wakumbuke kufanya Editing
Umesahau kutuonyeshe hizo apartments
Mutupe beyi please sisi mkwanja tumepanga bwan
Kamera man kachemka vibayaaa
ZANZIBAR TUNAKWAMA WAPI
Nilikuwa na mpango kwenda Dubai kuangalia khariffa abbuja Sasa itabidi nianzie apo
YAANI NI BONGE LA KIZAZI SANA HII NDIYO TZ YA JPM
Mfundisheni huyo mpiga picha wenu jinsi ya kuenenda na matukio anajiendea tu bora liende
Tanzania uchumu wa katiiiiii
Esco shavu dodo
Nani anataka kujua wewe ni hodari? Weka siku yako binafsi uanze kueleza sifa zako za Marathon n.k
mmetsh
Zanzibar tunahitaji vitu kama hivi lakini sijui tumekosa nn ss
@lipymuscat4779
4 жыл бұрын
zanzibar tunazo sehemu nzuri kuliko hizo..mfano melia hotel...
"Wakuu wa Wilaya na Mikoa Tanzania hawana adabu, wamkosea heshima Magufuli."Mchambuzi. Kwa habari zaidi bonyeza link hapo chini. kzread.info/dash/bejne/YqKizNuBpsvUeaQ.html
Mjengo umejengwa na kampuni ya China au?
@lightnesselirehema1464
4 жыл бұрын
Hapana
Iyo shopping mall ipo Dar sehem gani?
@theafricanprincevivecongo8632
4 жыл бұрын
Kigoma😁
@konsolatatutu423
4 жыл бұрын
@@theafricanprincevivecongo8632 😏😏😏😏mxiuuuuuuuuuuuuuuiii
@SM-fu1yv
4 жыл бұрын
Mikocheni kwa walioba
.
Uraya hakuna mbawo dukani baba zinatundikwako chakura Kama Ivo lakini tymejitaidi
@theafricanprincevivecongo8632
4 жыл бұрын
Unaongea lugha gani
Camera man is useless umetupotezea muda.... that's Miami
I hope kuna wifi.
@johel882
4 жыл бұрын
Huna akili
@samniza1763
4 жыл бұрын
@@johel882 really! Who does that? Or is the language problem?
@samniza1763
4 жыл бұрын
Well wenye business hope wameelewa swali langu, watajibu. You don't matter to me.
Esco was annoying in this interview or whatever u call it 😒
I really love to see Tanzania's making progress that's amazing 👏.🇰🇪but Y'all know we got way better than that😅😍
@streetview3045
4 жыл бұрын
i dont think if Tz is competing with his fellow poor Neighbor we gat nothing to learn frm u. but umeanza vzr ulipo maliza sasa dah wakenya 😂😂
@hopechidera
4 жыл бұрын
@@streetview3045 eti his fellow poor neighbor😂😂😂
@streetview3045
4 жыл бұрын
Zimuzor Chidera 😂😂 alafu ukiona kwenye maisha mtu anapenda kujicompare na ww ujue u have more to offer than him
@subrynerysegerow1323
4 жыл бұрын
StreetView hapo ndo utaelewa vizuri wakenya wana wivu roho mbaya yan mshamba sana huyu fala 😂😂
@princenewton
4 жыл бұрын
@@streetview3045 😂😂😂it's was just a joke bro♥️👊upinzani lazima ukuepo
Nataka kuhamia tz ntafanyaje??
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
Kwenu wap?
@tiamo726
3 жыл бұрын
@@bernardoleonard7331 kenya
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
@@tiamo726 Kwanini unataka kuamia Tz bro
@tiamo726
3 жыл бұрын
@@bernardoleonard7331 napenda tz nataka kuhamia huko
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
@@tiamo726 karibu Sana we don't recognize tribes we are one karibu Sana tunawapenda wakenya brothers.
ipo maeneo ngani
@emmanuelluiso4872
4 жыл бұрын
Msasani boy #Rais mikocheni B