TONNY WA CHERRY AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA/KUAMBUKIZWA UKIMWI/KUKONDA/UGUMU WA KUISHI NA MWENYE VVU

Ойын-сауық

KIJANA ALIEISHI NA MWANAMKE MWENYE UKIMWI AFUNGUKA ALIVYOISHI NAE HADI KUACHANA KWAO JE AMEPEWA MAAMBUKIZI?FUATILIA INTERVIEW HII HAPA

Пікірлер: 207

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela392612 күн бұрын

    Sihukumu ila kwa maelezo haya inaonekana cherry amepata mubaba mwenye HIV mwenye pesa ndio mana kamuacha kaka wawatu 😢😢

  • @jacklinepeter4158
    @jacklinepeter415810 күн бұрын

    Unajitolea kumpenda mtu na hali yake bado anakuacha pole inaonekana ulimpenda sana maskini

  • @elizabethmwaseba8164
    @elizabethmwaseba816412 күн бұрын

    Tuliokuwa tunasubiri hyo ndoa like hapa😢,dunia ya sasa kila mtu anajipenda mwenyewe wala hawajali upendo wa mwingine

  • @athanasmasmami5389

    @athanasmasmami5389

    11 күн бұрын

    😂😂

  • @janethzacharia7967
    @janethzacharia79676 күн бұрын

    Unamoyo mzuri sana kaka angu kipenzi Mungu atakupa wa kufanana na ww

  • @user-fi7ky7ub6s
    @user-fi7ky7ub6s4 күн бұрын

    Uyo kaka anabusara Sana mungu akupushe na maradhi❤

  • @charlesmtitu5606
    @charlesmtitu560613 күн бұрын

    Jamaa anaongea vizuri sana na kwa busara kubwa . Kale kabinti kamepoteza mtu wa muhimu sana aseeh

  • @frankrobertkomba2318

    @frankrobertkomba2318

    13 күн бұрын

    Mapenz yanasir nying mzee,huwez jua upole huo ni wa public ila akiwa nda sio mtu kabsa.tuache akae nasir yake.ila ndo maana tunakataa kuoa kwa kuonea mtu huruma oa kwasabsbu anavgezo ulivovitaka maana huruma yako itapotea akikuudh lkn vgezo vyako vitakubeba lkn km havpo ndo mwendo umeisha

  • @user-re2em2zd2u

    @user-re2em2zd2u

    12 күн бұрын

    @@frankrobertkomba2318very true

  • @user-ur7pw9ek6s

    @user-ur7pw9ek6s

    11 күн бұрын

    🎉🎉🎉

  • @MS.independent8934

    @MS.independent8934

    5 күн бұрын

    Upo sahihii 💯

  • @kwisa4899
    @kwisa48993 күн бұрын

    Ugomvi hapa ni kwamba mchizi life gumu,mwanamke kashindwa kuwa mvumilivu ndio maana jamaa kakubali matokeo ..

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah115413 күн бұрын

    Ndio maana mausiano yangu Kuweka kwenye media never never never aise pole sana kijana wangu kwa mitian

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    10 күн бұрын

    Hakuna watu wenye kujielewa wanaweza weka jambo lao hadharani

  • @ibrahim.kelvin
    @ibrahim.kelvin12 күн бұрын

    This man is in deep sorrows, pole sana kaka jitahidi kurelease the pain isije ikakuathiri.

  • @user-cr8pr3kn3c
    @user-cr8pr3kn3c12 күн бұрын

    Yani hata sura yake imepoteza nuru

  • @rosehaule6765
    @rosehaule67659 күн бұрын

    Kijana mwanaume haswaa..kalelewa.kwa vijana wa ss angeropoka.vyotee safi

  • @darlenesalum3667

    @darlenesalum3667

    6 күн бұрын

    Yaani na Mimi nilijisemea hivyo kimoyo moyo

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9f11 күн бұрын

    Nitfutieni huyu kaka me namtaka tufnye maisha me mwenyew ymenikuta pia😢

  • @rosemilingi7860

    @rosemilingi7860

    7 күн бұрын

    Pole

  • @BlessedLady-by5hz

    @BlessedLady-by5hz

    4 күн бұрын

    Atakupenda????

  • @user-qq5rx1bl7e
    @user-qq5rx1bl7e13 күн бұрын

    Ni kweli kuna muda unaona bora tu mtengane maana kuna vitu huwa haviendi sawa

  • @estherkimario7940
    @estherkimario794011 күн бұрын

    Jaman umetoka mzima kwel😭

  • @miriamdavis3893

    @miriamdavis3893

    5 күн бұрын

    Wanaume wanaoambukizwa ukimwi wengi wachafu

  • @mariagrayson5414
    @mariagrayson541415 сағат бұрын

    Mwenye ukimwi anaishi mwenye cancer sasa tunabakia kuhesabu siku mungu tulinde

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9f11 күн бұрын

    Yaan hya maisha bhna usimuamin mtu wallah yaan unaweza jitoa kwa mtu na akakupa tukio ambalo huwez lisahau maisha yko yote😢

  • @shanikiwele3111
    @shanikiwele311111 күн бұрын

    Dah kweli umepungua Alton jmn😢

  • @darlenesalum3667

    @darlenesalum3667

    6 күн бұрын

    Ila wanawake sisi kuna muda hata hatujui tunataka nini

  • @tinajohn6296

    @tinajohn6296

    3 күн бұрын

    ​@@darlenesalum3667 Ndugu yangu hebu tujifunze, au mpaka watuue

  • @maryamm7765
    @maryamm776513 күн бұрын

    Mapenzi yakuweka kwenye mitandaoni ayadumu

  • @Zainab-sq1tc

    @Zainab-sq1tc

    12 күн бұрын

    Kwel

  • @user-vz6kk8id2f
    @user-vz6kk8id2f11 күн бұрын

    Huyu kaka anamaumivu jmn

  • @user-re2em2zd2u
    @user-re2em2zd2u12 күн бұрын

    Huyu kaka anaonekana anaumia sana

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    10 күн бұрын

    Ww unafikiri kuishi na Muathirika halafu mnaachana unafikiri mchezo? Umejitoa kwa ajili yake

  • @godfreykasilingi4041
    @godfreykasilingi40416 күн бұрын

    Mim binafsi tayari nimeshapitia tayar Maisha kama kaka yangu hapo .nikuwa kwenye mausiano ambapo mwezangu alikuwa positive mm negative . Lkni mwisho wasiku mwanamke mda wote ubadilika so unatakiwa kama mwanaume kuishinae Kwa akili snaaa . Mim Bada yakuachanae nilipata mafanikio kimasha Kwa kiasi kikubwa ndani ya mda mchache snaaa .

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt10 күн бұрын

    Yani nimehumia sana pole Sana kaka mwenyezi mungu yu nawe

  • @aminamasalu6988
    @aminamasalu698812 күн бұрын

    Tonny anaonekana ana maumivu

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9f11 күн бұрын

    Mimi nilihisi tu hata huyu dada kupata hiyo HIV c sabbu ya kubakwa anaonekna tu hajatulia anasingizia alibakwa me ckuamin tangu ck ya kwanza,dah huyu mkaka wawatu maskin

  • @naah884

    @naah884

    10 күн бұрын

    Kweli kabisa hafananii kubakwa bhana😅

  • @allyahahmed1091

    @allyahahmed1091

    10 күн бұрын

    Hakubakwa uyu alikua na bwana ake mchora tatooo kabadilisha sana wanaume hapa kati kati akifika mtandaoni watu wa mungu ya nyoko

  • @user-pp9mp1pz9f

    @user-pp9mp1pz9f

    10 күн бұрын

    @@allyahahmed1091 kweli kbsa me amenikera sana

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    10 күн бұрын

    ​@@allyahahmed1091Mkuu unamfahamu sana inaonekana?

  • @Patricianicholaus24
    @Patricianicholaus248 күн бұрын

    Huyu kaka jaman anamaumivu ya mapenzi ila cherry ulichomfanya huyu kaka MUNGU anakuona haki

  • @annamussa185
    @annamussa1859 күн бұрын

    Huyo Dada ni Malaya hata muonekani wake tu mitatoo unaelewa tu na huo ukimwi muongo yawezekana hata hakubakwa ni umalaya tu Mungu anakajuwa kumpa pigo

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg8 күн бұрын

    Bora angekaa kimya tu anafanya huyo dada watu wanamtukana sana maskini

  • @Unju-q4e
    @Unju-q4e2 күн бұрын

    blaza inabidi utibiwe akili ujue kutofautisha fantasy na reality

  • @aminaelibrahimu4792
    @aminaelibrahimu47922 күн бұрын

    Pole sana Mungu akupe huo moyo ucichok

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI12 күн бұрын

    Hii neno vita Suti imeenda kabisa 😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-rm1sr3if9n
    @user-rm1sr3if9n11 күн бұрын

    Pole kaka mitihani ya dunia itakwisha

  • @WemaMchomvu
    @WemaMchomvu11 күн бұрын

    Jamani nimejikuta namuonea huruma Alton

  • @joycekasimbazi9817

    @joycekasimbazi9817

    10 күн бұрын

    Yaani tumuachie Mungu tu ni mapito

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie78818 күн бұрын

    Daaah huyu kaka ni muha huyuu🙌🙌🙌🙌 ex wangu alikuwaga na huo msimamoi😂😂😂😂 kwahiyo tony umemuacha dada wa watu kabisa

  • @salmabasil385
    @salmabasil385Күн бұрын

    Mpaka hapo kwenye kasi tumekuelewa kijana hutaki kujituma kutafuta maisha ndo mana umepauka toka umeachwa msimuhukumu huyo dada kisa matatizo ya kiafya hata kama mtu unashida za kiafya lazima upambane uchumi uwe imara kwanza mapenzi yapo ila kama mtu unaona hataki kupambana acha aende asikucheleweshe

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d11 күн бұрын

    Yaan apo ukijichanganya kumsema anakufungulia kesi bora umejibu Kwa Akil kubwa.

  • @agriparose3942
    @agriparose39428 күн бұрын

    Huyu dada ninavyomfaham mno ni kisirani mno mkitaka kuamini hilo fuatilieni anavojibu hovyo mashabiki zake kwenye comment

  • @user-bo2yf5hw7s

    @user-bo2yf5hw7s

    7 күн бұрын

    Sahihi kabisa ni mjeuri sana me nishamuona sijajua kama ni UGONJWA ndo unafanya awe hvyo

  • @user-el7ut2qk4e
    @user-el7ut2qk4e11 күн бұрын

    Mara nyingi inawatokea wenye group 0. Mimi sister angu ana maambkizi but mume wake hana.

  • @isakahissa4130

    @isakahissa4130

    11 күн бұрын

    Sio group dawa wanazotumia now zinafanya UGONJWA usiamie pengine Kama ikitokea mgonjwa akazingatia dawa Mimi nna group B ila nshawai ishi na MTU ndan y miezi Saba ndio nashtuka na bado nkapima Sina yeye anao mbaka Leo Sina ila nilijiona nna bahat kumbe sio Mimi Niyeye anazingatia dawa ndio kilicho niokoa

  • @NeemaSamson-ti8pc

    @NeemaSamson-ti8pc

    11 күн бұрын

    ​@@isakahissa4130 kumbe ni kweli inawezekana mtu anayezingatia dawa anakuwa na uwezo mdogo wa kuambukiza mtu mwingine

  • @hanamakamba373
    @hanamakamba37312 күн бұрын

    Pole❤

  • @deborahissaya1601
    @deborahissaya160113 күн бұрын

    Unavojichekesha tu inaonyesha umeumizwa 😂😂😂 pole mwaya msoma nyota

  • @user-re2em2zd2u

    @user-re2em2zd2u

    12 күн бұрын

    😂😂😂

  • @dcampafrica

    @dcampafrica

    10 күн бұрын

    Ila debora

  • @aminamaulid7371
    @aminamaulid737111 күн бұрын

    Kuna mwenye namba yake Altonny anipatie???

  • @user-ey5mv1yz3s
    @user-ey5mv1yz3s12 күн бұрын

    Duuh, aisee haya maisha mmh,

  • @ReenKey-d5q
    @ReenKey-d5q7 күн бұрын

    Dah!pole sana kaka

  • @kwisa4899
    @kwisa48993 күн бұрын

    ifike sehemu watu wenerohoo nzuri wauwawe wote

  • @JeniferMassawe-lu3de
    @JeniferMassawe-lu3de13 күн бұрын

    Anaongea kwa kutumia akili sana na ana busara

  • @juditholotu7249
    @juditholotu72493 күн бұрын

    Mungu atakupa mke mwingine

  • @user-is7ot7bq9x
    @user-is7ot7bq9x11 күн бұрын

    Duh mtihani

  • @AlliNasra
    @AlliNasra6 күн бұрын

    Pole sana Kaka...asikuchanganye huyo hakua mwaminifu huyo...kakutumia Katumia nyota yako mpaka kufikia hapo Leo anajidai mjanja... muache kitamramba huyo na atakukumbuka mshamba huyo.

  • @DinahAnthony
    @DinahAnthony11 күн бұрын

    Kwakwel me Nilitaka waachane

  • @darlenesalum3667

    @darlenesalum3667

    6 күн бұрын

    Kwanini jamani

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s13 күн бұрын

    Nasikia mtu ukiwa na HIV halafu unabadilisha wanaume/wanawake virus 🦠 zinaongezeka sijui kwel??💁 Nilisikia mahali

  • @Khadija-ne8ul

    @Khadija-ne8ul

    13 күн бұрын

    Kama mwenza hatumii dawa vizuri au hatumii kabisa unakua unapata maambukizi mapya na huateza kulaza virusi

  • @doymatata4702

    @doymatata4702

    12 күн бұрын

    Ukweli inawezekana kwa sababu unaojamiiana nao hujui status yake kama atakuwepo MWENYE HIV basi atakupa vyakwake naukweli kilamtu ana aina yake ya VVU KWAKIFUPI NIHIVYO

  • @Chakol123-k7s

    @Chakol123-k7s

    9 күн бұрын

    @@Khadija-ne8ul wow Asante Kwa kujua

  • @Chakol123-k7s

    @Chakol123-k7s

    9 күн бұрын

    @@doymatata4702 wow Asante Kwa kujua

  • @salmauae2261
    @salmauae226111 күн бұрын

    isaga kumiangu kamu guganile une ndikafu❤❤❤

  • @bushbabytz
    @bushbabytz11 күн бұрын

    huo ufala siwezi ufanya

  • @vesitinarevocatus7333
    @vesitinarevocatus733313 күн бұрын

    Uyu kaka simsomanyota jamani kumbe ndonalikuwa anaishi na cherry

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa63592 күн бұрын

    Ndio maana mimi sitaki kuweka mausiano yangu kwenye mtandaoni

  • @IreneMwanaa-zo2wz
    @IreneMwanaa-zo2wz10 күн бұрын

    Pole mtu wa mungu mungu yupo lakini sivizur kuongea jambo ukiwa Katika wakati mgumu unge pata utulivu kidogo!

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni96957 күн бұрын

    Hyu dada huo ukimwi aliupataga huko kwa hoteli Dodoma akidanga na wababa anakuja kutudanganya eti alibakwa niuwongoo kabsaa hyu dada anapenda sana wa baba na hapo ndo maana jamaa ana sema vita ya suti imeshinda ni hao wa baba wake wa dodoma wanamwangisha👌👌👌👌👌👌

  • @AugustinMuswabantu

    @AugustinMuswabantu

    6 күн бұрын

    Ulikuwepo

  • @zainabufeka87

    @zainabufeka87

    5 күн бұрын

    Ebu mwachen cherry mapenz yanafikaga mwisho

  • @mwashamleo9996

    @mwashamleo9996

    4 күн бұрын

    Unamfahamu vizur?

  • @Fahilarashid
    @Fahilarashid9 күн бұрын

    Oooooooo nashidwa byakusema kwl😮😮

  • @user-vr8fx4vg2r
    @user-vr8fx4vg2r13 күн бұрын

    Mwandishi hauko making na kazi yako sauti ya huyo mshikaji haisikikii unazingua bwanaaa

  • @anifamickidard4555

    @anifamickidard4555

    13 күн бұрын

    Jamaa sauti yake ndio iko hivo siku zote

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa63592 күн бұрын

    Sasa naye mwaname ataendelea kuelimisha kuhusu ukimwi wakati anatangatanga leo huku kesho kule.wataambukizwa wengi asee

  • @EmmanuelKawawa
    @EmmanuelKawawa2 күн бұрын

    Mbona kwangu haina sauti

  • @irenemlay9769
    @irenemlay976911 күн бұрын

    Duuu tunakuogopa aisee

  • @mixboysofredorfamily6210

    @mixboysofredorfamily6210

    11 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @darlenesalum3667

    @darlenesalum3667

    6 күн бұрын

    Sasa why umuogope😢😂

  • @irenemlay9769

    @irenemlay9769

    6 күн бұрын

    @@darlenesalum3667 km hana HIV ni bahati arudi kwa bebe wake

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv8178 күн бұрын

    Ht Mm pia mahusiano yangu yapo hatarin zaidi kutokan na mtandao 😅

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt10 күн бұрын

    😭😭Yani inauma sana

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed444911 күн бұрын

    😢😢😢😢😢

  • @KudratMkangama
    @KudratMkangama9 күн бұрын

    Mwenye namba zake uyu kaka anipe mimi natafuta mchumba 🥹

  • @Amina-ig3jw

    @Amina-ig3jw

    5 күн бұрын

    😅😅😅

  • @kennedymaster2000
    @kennedymaster200011 күн бұрын

    Itakuwa amepewa ngom

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya950613 күн бұрын

    Sijui kama umepona mbona macho yako kama bizali

  • @estherminnahboaz6956

    @estherminnahboaz6956

    13 күн бұрын

    Bizari tena😂😂😂 yeye kasema alipenda kwahiyo hajali km atapewa ngoma na mtoto mzurii😅😅😅😅😅

  • @YvonnegipsonGipson

    @YvonnegipsonGipson

    13 күн бұрын

    😆😆😆😆kuna watu mnavitu humu

  • @rukiaiddyyahaya9506

    @rukiaiddyyahaya9506

    13 күн бұрын

    @@estherminnahboaz6956 mmmh sasa hao wameachana

  • @zawadgunza2093

    @zawadgunza2093

    12 күн бұрын

    😅😅😅

  • @verobecamfipa8655

    @verobecamfipa8655

    11 күн бұрын

    Kimeshamlamba uyu akaaanze dozi tu uso tu unaonekana

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie78818 күн бұрын

    Anafanana na ex wangu.. yule kaka alijua kunitesaaa mwee to hell huko aliko

  • @felistersanga7903
    @felistersanga79033 күн бұрын

    Kaka anaongea vzuri ana hekima na busara sana anajua kuyahifadhi ya ndani na anajua kujbu vzuri sana

  • @onekisstv8412
    @onekisstv84127 күн бұрын

    Kwaio mzee baba haya mambo hukuyaona kwenye jicho la tatu au

  • @petetyohana

    @petetyohana

    3 күн бұрын

    Jicho lilifumba kwa muda

  • @allyahahmed1091
    @allyahahmed109110 күн бұрын

    This lady ni malaya mno basi tu hamjamjuaga kabla hajaanza kua muhubiri wa story za uongo .. story ya kubakwa pia ni uomgo 100%

  • @leadflavour_tz

    @leadflavour_tz

    6 күн бұрын

    😅😂😂

  • @user-sb7lz9xp4v

    @user-sb7lz9xp4v

    5 күн бұрын

    Kabisaaaa

  • @user-iy7xy1np7c

    @user-iy7xy1np7c

    2 күн бұрын

    Una ushahidi wowote kuthibitisha kauli yako?Kama huna chunga mdomo wako

  • @allyahahmed1091

    @allyahahmed1091

    2 күн бұрын

    @@user-iy7xy1np7c acha umalaya period

  • @allyahahmed1091

    @allyahahmed1091

    2 күн бұрын

    @@user-iy7xy1np7c unavyopenda ushahidi usingetuletea hata case uliofungua wakati unabakwa aso jua nani bwana gooo

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni7 күн бұрын

    Kwan mlipata.watoto wangap.nae

  • @VeronicaSteven-of1qe
    @VeronicaSteven-of1qe7 күн бұрын

    Mwambieni aje tupendane na mm 😂😂😂😂

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni7 күн бұрын

    Yaan kaka kaumia.huyu😢😢

  • @JeremiahJohn-tt2ij
    @JeremiahJohn-tt2ij2 күн бұрын

    Bileke bigende bindi bilozaa😢😢

  • @user-hm1nt4mj4n
    @user-hm1nt4mj4n13 күн бұрын

    Kiki tu

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo99964 күн бұрын

    Nahis baada ya kupata aitime mitandaon ndo akapata mwingine

  • @athanasmasmami5389
    @athanasmasmami538911 күн бұрын

    Huyu basi tena tushampoteza 😢nenda kajiandikishe dirisha la dawa😂

  • @verobecamfipa8655

    @verobecamfipa8655

    11 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @nanaleetz

    @nanaleetz

    10 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @darlenesalum3667

    @darlenesalum3667

    6 күн бұрын

    Il watu mna nini?😂😂😂

  • @zuwenahassan3624
    @zuwenahassan362413 күн бұрын

    Siamnini mpaka nimsikie Mwanamke

  • @LubnaGeorge-re4yp
    @LubnaGeorge-re4yp9 күн бұрын

    Huyu Kaka alifat u umarufu Kwa yule dada muathiririk

  • @happyalbert5089
    @happyalbert508912 күн бұрын

    Du!

  • @user-yn3kg8ip2h
    @user-yn3kg8ip2h3 күн бұрын

    Una moyo sana kaka mimi sina moyo huo

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj6 күн бұрын

    Amefuata wenye pesa kwa tafsir ya haraka

  • @lydiajuma01
    @lydiajuma0111 күн бұрын

    Mapenz usenge

  • @user-uv3hy1yj3j

    @user-uv3hy1yj3j

    7 күн бұрын

    Mapenzi matamu bana

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo13 күн бұрын

    Dem akiwa mgonjwa anasumbua Anenda mbio sana

  • @JescaEzekieli-vd9ly

    @JescaEzekieli-vd9ly

    12 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @user-ur7pw9ek6s

    @user-ur7pw9ek6s

    11 күн бұрын

    😂😂😂

  • @azizauheche5944

    @azizauheche5944

    4 күн бұрын

    😂😂

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo99964 күн бұрын

    Hata siamin nyie😢

  • @annakbunga8377
    @annakbunga837712 күн бұрын

    Kwani ungekaa kimya ingekuwaje

  • @NeemaSamson-ti8pc

    @NeemaSamson-ti8pc

    11 күн бұрын

    Ndio hapo sasa sio kila kitu lazima aongee kuna vingine vya kukaa kimya

  • @hajistshariast6335

    @hajistshariast6335

    11 күн бұрын

    ​@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani

  • @hajistshariast6335

    @hajistshariast6335

    11 күн бұрын

    ​@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani

  • @greenermichael2057
    @greenermichael20572 күн бұрын

    Watu sijui tukoje unapata MTU anakupenda na virusi vyako unamkimbia

  • @esthermalamsha2847

    @esthermalamsha2847

    Күн бұрын

    Ni shida

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q12 күн бұрын

    Jamani ww siulihojiwa wasafi ukasema hujaambukizwa

  • @Zainab-sq1tc

    @Zainab-sq1tc

    12 күн бұрын

    😅😊

  • @hajistshariast6335

    @hajistshariast6335

    11 күн бұрын

    Sasa kwani hapo kasema kaathirika uwe unasikiliza kwa makini

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi9 күн бұрын

    Kimekuramba😂

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed34513 күн бұрын

    😳😳🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️wameachana ? Hapana ctaki kuàmin ngoja kwanza nikatie maji mwilin 🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️inawezekana kweli ni uongo wa kutafuta kiki ya nyimbo 😂😂

  • @Official83640

    @Official83640

    13 күн бұрын

    Kweli demu kafuta picha zote walizokuwa wote😂😂😂

  • @ruqaiamohammed345

    @ruqaiamohammed345

    13 күн бұрын

    @@Official83640 daah aisee mapenz haya 🙌🏿🙌🏿kweli usinene ugamara

  • @darlenesalum3667

    @darlenesalum3667

    6 күн бұрын

    ​@@Official83640mmmh

  • @rehemamoyo4182
    @rehemamoyo418213 күн бұрын

    Amechit Cherry

  • @Humanity21216

    @Humanity21216

    11 күн бұрын

    We umemuona akicheat?

  • @rehemamoyo4182
    @rehemamoyo418213 күн бұрын

    Wakwanza

  • @ramadhanhassan9308
    @ramadhanhassan930811 күн бұрын

    Huwezi ishi na muathirika kama huna tatizo la Akili

  • @fatihiyadossa375

    @fatihiyadossa375

    11 күн бұрын

    We kaka nakwambia tema mate chini usiongee Ivo Kwasababu watu awajapata elimu kuusu ukimwi watu wanishi negative anda positive 😅😅😅nahakuna anaemuam ukizaa mwenzake inategemea na dam kila mtu akiswma aweke mambo yake waI kwenye huu mtandao kwajili ya huu ugonjwa sijui kama watu wangeamini lkn vipo kwenye jamii ytu

  • @verobecamfipa8655

    @verobecamfipa8655

    11 күн бұрын

    Sio kweli kuna mwanajeshi mmoja iringa alikuwa ameathirika na alikuwa anadate na demu mkali kishenzi kutoka singida na walizaaa mtoto mmjo mwanamke na Mtoto hawana vvu mpaka xaiz ila yule mwanajeshi amefariki tayari😭😭

  • @hajistshariast6335

    @hajistshariast6335

    11 күн бұрын

    Tatizo wengi wetu elimu hatuna

  • @hajistshariast6335

    @hajistshariast6335

    11 күн бұрын

    Tatizo wengi wetu elimu hatuna

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    10 күн бұрын

    Hii comment 100%

  • @vee4296
    @vee42969 күн бұрын

    Mbona hii video kwangu haina sauti kwanini?

  • @deomassawetz

    @deomassawetz

    7 күн бұрын

    Tumia Airphone

  • @mwaminishakalili4120

    @mwaminishakalili4120

    5 күн бұрын

    Simu lako taka bwana😂😂😂

  • @user-so3gy2io8l
    @user-so3gy2io8l10 күн бұрын

    Chalii wa pugu hahhahaha

  • @franciscomalimi8070

    @franciscomalimi8070

    3 күн бұрын

    Mzee nimewaza sana huyu Jamaa mbona kma namfahamu havi au namfananisha, dogo Alisoma olevel pugu secondary

  • @beatricemallya3847
    @beatricemallya384712 күн бұрын

    Uyo baba Gandi ndo alikua anamcheat Sana mpenzi wake 😓ila wanyakyusa !!! Ukiwaona km watu kumbe ovyo tu🚮

  • @Humanity21216

    @Humanity21216

    11 күн бұрын

    Umemuona akicheat au alimradi umecomment

  • @NeemaSamson-ti8pc

    @NeemaSamson-ti8pc

    11 күн бұрын

    We koma wanyakyusa tumefanya nn ndugu? Tabia sio kabila mfano malaya unaweza kumkuta kwenye kabila lolote lile kama unachagua watu kwa kigezo cha kabila unakosea sana

  • @user-cm6ts4qi3b
    @user-cm6ts4qi3b13 күн бұрын

    Aliambiwa huyu jamaa akajifanya anampenda sana nyoooo

  • @DativaMbowe

    @DativaMbowe

    13 күн бұрын

    Na amekonda 😢😢

  • @siamoye4549

    @siamoye4549

    13 күн бұрын

    Inawezekana na wewe uliyenaye ni muathirika ila hajakuambia

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    13 күн бұрын

    ​@@siamoye4549mh, inatisha asee

  • @Official83640
    @Official8364013 күн бұрын

    Bado Kiredio na Isha Mashauzi nao kitawaramba maana wanapenda kujiachia mitandaoni na mahusiano yao

  • @patriciaboniface9975

    @patriciaboniface9975

    12 күн бұрын

    Mmh kiredio na nani

  • @Official83640

    @Official83640

    12 күн бұрын

    @@patriciaboniface9975 Mpenzi wake

  • @zawadgunza2093

    @zawadgunza2093

    12 күн бұрын

    😅😅😅😂😂

  • @MalaikaBright-rv6yb

    @MalaikaBright-rv6yb

    12 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @Official83640

    @Official83640

    12 күн бұрын

    @@patriciaboniface9975 Na mpenzi wake kacharuka kuonyesha huba lake

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie78818 күн бұрын

    Usione wapenzi wanacheka mmmmmh nyie hii dunia hadaa

  • @SalimaBuneku
    @SalimaBuneku13 күн бұрын

    😂😂😂😂

Келесі