KIJANA ALIEISHI NA MWANAMKE MWENYE UKIMWI AFUNGUKA ALIVYOISHI NAE HADI KUACHANA KWAO JE AMEPEWA MAAMBUKIZI?FUATILIA INTERVIEW HII HAPA
Жүктеу.....
Пікірлер: 207
@ashurajengela392612 күн бұрын
Sihukumu ila kwa maelezo haya inaonekana cherry amepata mubaba mwenye HIV mwenye pesa ndio mana kamuacha kaka wawatu 😢😢
@jacklinepeter415810 күн бұрын
Unajitolea kumpenda mtu na hali yake bado anakuacha pole inaonekana ulimpenda sana maskini
@elizabethmwaseba816412 күн бұрын
Tuliokuwa tunasubiri hyo ndoa like hapa😢,dunia ya sasa kila mtu anajipenda mwenyewe wala hawajali upendo wa mwingine
@athanasmasmami5389
11 күн бұрын
😂😂
@janethzacharia79676 күн бұрын
Unamoyo mzuri sana kaka angu kipenzi Mungu atakupa wa kufanana na ww
@user-fi7ky7ub6s4 күн бұрын
Uyo kaka anabusara Sana mungu akupushe na maradhi❤
@charlesmtitu560613 күн бұрын
Jamaa anaongea vizuri sana na kwa busara kubwa . Kale kabinti kamepoteza mtu wa muhimu sana aseeh
@frankrobertkomba2318
13 күн бұрын
Mapenz yanasir nying mzee,huwez jua upole huo ni wa public ila akiwa nda sio mtu kabsa.tuache akae nasir yake.ila ndo maana tunakataa kuoa kwa kuonea mtu huruma oa kwasabsbu anavgezo ulivovitaka maana huruma yako itapotea akikuudh lkn vgezo vyako vitakubeba lkn km havpo ndo mwendo umeisha
@user-re2em2zd2u
12 күн бұрын
@@frankrobertkomba2318very true
@user-ur7pw9ek6s
11 күн бұрын
🎉🎉🎉
@MS.independent8934
5 күн бұрын
Upo sahihii 💯
@kwisa48993 күн бұрын
Ugomvi hapa ni kwamba mchizi life gumu,mwanamke kashindwa kuwa mvumilivu ndio maana jamaa kakubali matokeo ..
@ukhutfatumah115413 күн бұрын
Ndio maana mausiano yangu Kuweka kwenye media never never never aise pole sana kijana wangu kwa mitian
@fahadfaraj6474
10 күн бұрын
Hakuna watu wenye kujielewa wanaweza weka jambo lao hadharani
@ibrahim.kelvin12 күн бұрын
This man is in deep sorrows, pole sana kaka jitahidi kurelease the pain isije ikakuathiri.
@user-cr8pr3kn3c12 күн бұрын
Yani hata sura yake imepoteza nuru
@rosehaule67659 күн бұрын
Kijana mwanaume haswaa..kalelewa.kwa vijana wa ss angeropoka.vyotee safi
@darlenesalum3667
6 күн бұрын
Yaani na Mimi nilijisemea hivyo kimoyo moyo
@user-pp9mp1pz9f11 күн бұрын
Nitfutieni huyu kaka me namtaka tufnye maisha me mwenyew ymenikuta pia😢
@rosemilingi7860
7 күн бұрын
Pole
@BlessedLady-by5hz
4 күн бұрын
Atakupenda????
@user-qq5rx1bl7e13 күн бұрын
Ni kweli kuna muda unaona bora tu mtengane maana kuna vitu huwa haviendi sawa
@estherkimario794011 күн бұрын
Jaman umetoka mzima kwel😭
@miriamdavis3893
5 күн бұрын
Wanaume wanaoambukizwa ukimwi wengi wachafu
@mariagrayson541415 сағат бұрын
Mwenye ukimwi anaishi mwenye cancer sasa tunabakia kuhesabu siku mungu tulinde
@user-pp9mp1pz9f11 күн бұрын
Yaan hya maisha bhna usimuamin mtu wallah yaan unaweza jitoa kwa mtu na akakupa tukio ambalo huwez lisahau maisha yko yote😢
@shanikiwele311111 күн бұрын
Dah kweli umepungua Alton jmn😢
@darlenesalum3667
6 күн бұрын
Ila wanawake sisi kuna muda hata hatujui tunataka nini
@tinajohn6296
3 күн бұрын
@@darlenesalum3667 Ndugu yangu hebu tujifunze, au mpaka watuue
@maryamm776513 күн бұрын
Mapenzi yakuweka kwenye mitandaoni ayadumu
@Zainab-sq1tc
12 күн бұрын
Kwel
@user-vz6kk8id2f11 күн бұрын
Huyu kaka anamaumivu jmn
@user-re2em2zd2u12 күн бұрын
Huyu kaka anaonekana anaumia sana
@GeorgeAkasha-zx2rj
10 күн бұрын
Ww unafikiri kuishi na Muathirika halafu mnaachana unafikiri mchezo? Umejitoa kwa ajili yake
@godfreykasilingi40416 күн бұрын
Mim binafsi tayari nimeshapitia tayar Maisha kama kaka yangu hapo .nikuwa kwenye mausiano ambapo mwezangu alikuwa positive mm negative . Lkni mwisho wasiku mwanamke mda wote ubadilika so unatakiwa kama mwanaume kuishinae Kwa akili snaaa . Mim Bada yakuachanae nilipata mafanikio kimasha Kwa kiasi kikubwa ndani ya mda mchache snaaa .
@Judy-dy4zt10 күн бұрын
Yani nimehumia sana pole Sana kaka mwenyezi mungu yu nawe
@aminamasalu698812 күн бұрын
Tonny anaonekana ana maumivu
@user-pp9mp1pz9f11 күн бұрын
Mimi nilihisi tu hata huyu dada kupata hiyo HIV c sabbu ya kubakwa anaonekna tu hajatulia anasingizia alibakwa me ckuamin tangu ck ya kwanza,dah huyu mkaka wawatu maskin
@naah884
10 күн бұрын
Kweli kabisa hafananii kubakwa bhana😅
@allyahahmed1091
10 күн бұрын
Hakubakwa uyu alikua na bwana ake mchora tatooo kabadilisha sana wanaume hapa kati kati akifika mtandaoni watu wa mungu ya nyoko
@user-pp9mp1pz9f
10 күн бұрын
@@allyahahmed1091 kweli kbsa me amenikera sana
@GeorgeAkasha-zx2rj
10 күн бұрын
@@allyahahmed1091Mkuu unamfahamu sana inaonekana?
@Patricianicholaus248 күн бұрын
Huyu kaka jaman anamaumivu ya mapenzi ila cherry ulichomfanya huyu kaka MUNGU anakuona haki
@annamussa1859 күн бұрын
Huyo Dada ni Malaya hata muonekani wake tu mitatoo unaelewa tu na huo ukimwi muongo yawezekana hata hakubakwa ni umalaya tu Mungu anakajuwa kumpa pigo
@AishaHaji-jn7sg8 күн бұрын
Bora angekaa kimya tu anafanya huyo dada watu wanamtukana sana maskini
@Unju-q4e2 күн бұрын
blaza inabidi utibiwe akili ujue kutofautisha fantasy na reality
@aminaelibrahimu47922 күн бұрын
Pole sana Mungu akupe huo moyo ucichok
@JELSONMAUKI12 күн бұрын
Hii neno vita Suti imeenda kabisa 😅😅😅😅😅😅😅😅
@user-rm1sr3if9n11 күн бұрын
Pole kaka mitihani ya dunia itakwisha
@WemaMchomvu11 күн бұрын
Jamani nimejikuta namuonea huruma Alton
@joycekasimbazi9817
10 күн бұрын
Yaani tumuachie Mungu tu ni mapito
@lilianestephanie78818 күн бұрын
Daaah huyu kaka ni muha huyuu🙌🙌🙌🙌 ex wangu alikuwaga na huo msimamoi😂😂😂😂 kwahiyo tony umemuacha dada wa watu kabisa
@salmabasil385Күн бұрын
Mpaka hapo kwenye kasi tumekuelewa kijana hutaki kujituma kutafuta maisha ndo mana umepauka toka umeachwa msimuhukumu huyo dada kisa matatizo ya kiafya hata kama mtu unashida za kiafya lazima upambane uchumi uwe imara kwanza mapenzi yapo ila kama mtu unaona hataki kupambana acha aende asikucheleweshe
@user-eo4hd8xu6d11 күн бұрын
Yaan apo ukijichanganya kumsema anakufungulia kesi bora umejibu Kwa Akil kubwa.
@agriparose39428 күн бұрын
Huyu dada ninavyomfaham mno ni kisirani mno mkitaka kuamini hilo fuatilieni anavojibu hovyo mashabiki zake kwenye comment
@user-bo2yf5hw7s
7 күн бұрын
Sahihi kabisa ni mjeuri sana me nishamuona sijajua kama ni UGONJWA ndo unafanya awe hvyo
@user-el7ut2qk4e11 күн бұрын
Mara nyingi inawatokea wenye group 0. Mimi sister angu ana maambkizi but mume wake hana.
@isakahissa4130
11 күн бұрын
Sio group dawa wanazotumia now zinafanya UGONJWA usiamie pengine Kama ikitokea mgonjwa akazingatia dawa Mimi nna group B ila nshawai ishi na MTU ndan y miezi Saba ndio nashtuka na bado nkapima Sina yeye anao mbaka Leo Sina ila nilijiona nna bahat kumbe sio Mimi Niyeye anazingatia dawa ndio kilicho niokoa
@NeemaSamson-ti8pc
11 күн бұрын
@@isakahissa4130 kumbe ni kweli inawezekana mtu anayezingatia dawa anakuwa na uwezo mdogo wa kuambukiza mtu mwingine
@hanamakamba37312 күн бұрын
Pole❤
@deborahissaya160113 күн бұрын
Unavojichekesha tu inaonyesha umeumizwa 😂😂😂 pole mwaya msoma nyota
@user-re2em2zd2u
12 күн бұрын
😂😂😂
@dcampafrica
10 күн бұрын
Ila debora
@aminamaulid737111 күн бұрын
Kuna mwenye namba yake Altonny anipatie???
@user-ey5mv1yz3s12 күн бұрын
Duuh, aisee haya maisha mmh,
@ReenKey-d5q7 күн бұрын
Dah!pole sana kaka
@kwisa48993 күн бұрын
ifike sehemu watu wenerohoo nzuri wauwawe wote
@JeniferMassawe-lu3de13 күн бұрын
Anaongea kwa kutumia akili sana na ana busara
@juditholotu72493 күн бұрын
Mungu atakupa mke mwingine
@user-is7ot7bq9x11 күн бұрын
Duh mtihani
@AlliNasra6 күн бұрын
Pole sana Kaka...asikuchanganye huyo hakua mwaminifu huyo...kakutumia Katumia nyota yako mpaka kufikia hapo Leo anajidai mjanja... muache kitamramba huyo na atakukumbuka mshamba huyo.
@DinahAnthony11 күн бұрын
Kwakwel me Nilitaka waachane
@darlenesalum3667
6 күн бұрын
Kwanini jamani
@Chakol123-k7s13 күн бұрын
Nasikia mtu ukiwa na HIV halafu unabadilisha wanaume/wanawake virus 🦠 zinaongezeka sijui kwel??💁 Nilisikia mahali
@Khadija-ne8ul
13 күн бұрын
Kama mwenza hatumii dawa vizuri au hatumii kabisa unakua unapata maambukizi mapya na huateza kulaza virusi
@doymatata4702
12 күн бұрын
Ukweli inawezekana kwa sababu unaojamiiana nao hujui status yake kama atakuwepo MWENYE HIV basi atakupa vyakwake naukweli kilamtu ana aina yake ya VVU KWAKIFUPI NIHIVYO
@Chakol123-k7s
9 күн бұрын
@@Khadija-ne8ul wow Asante Kwa kujua
@Chakol123-k7s
9 күн бұрын
@@doymatata4702 wow Asante Kwa kujua
@salmauae226111 күн бұрын
isaga kumiangu kamu guganile une ndikafu❤❤❤
@bushbabytz11 күн бұрын
huo ufala siwezi ufanya
@vesitinarevocatus733313 күн бұрын
Uyu kaka simsomanyota jamani kumbe ndonalikuwa anaishi na cherry
@gracebuhatwa63592 күн бұрын
Ndio maana mimi sitaki kuweka mausiano yangu kwenye mtandaoni
@IreneMwanaa-zo2wz10 күн бұрын
Pole mtu wa mungu mungu yupo lakini sivizur kuongea jambo ukiwa Katika wakati mgumu unge pata utulivu kidogo!
@edithaeugeni96957 күн бұрын
Hyu dada huo ukimwi aliupataga huko kwa hoteli Dodoma akidanga na wababa anakuja kutudanganya eti alibakwa niuwongoo kabsaa hyu dada anapenda sana wa baba na hapo ndo maana jamaa ana sema vita ya suti imeshinda ni hao wa baba wake wa dodoma wanamwangisha👌👌👌👌👌👌
@AugustinMuswabantu
6 күн бұрын
Ulikuwepo
@zainabufeka87
5 күн бұрын
Ebu mwachen cherry mapenz yanafikaga mwisho
@mwashamleo9996
4 күн бұрын
Unamfahamu vizur?
@Fahilarashid9 күн бұрын
Oooooooo nashidwa byakusema kwl😮😮
@user-vr8fx4vg2r13 күн бұрын
Mwandishi hauko making na kazi yako sauti ya huyo mshikaji haisikikii unazingua bwanaaa
@anifamickidard4555
13 күн бұрын
Jamaa sauti yake ndio iko hivo siku zote
@gracebuhatwa63592 күн бұрын
Sasa naye mwaname ataendelea kuelimisha kuhusu ukimwi wakati anatangatanga leo huku kesho kule.wataambukizwa wengi asee
@EmmanuelKawawa2 күн бұрын
Mbona kwangu haina sauti
@irenemlay976911 күн бұрын
Duuu tunakuogopa aisee
@mixboysofredorfamily6210
11 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum3667
6 күн бұрын
Sasa why umuogope😢😂
@irenemlay9769
6 күн бұрын
@@darlenesalum3667 km hana HIV ni bahati arudi kwa bebe wake
@jeunajuatv8178 күн бұрын
Ht Mm pia mahusiano yangu yapo hatarin zaidi kutokan na mtandao 😅
@Judy-dy4zt10 күн бұрын
😭😭Yani inauma sana
@samiraabdimahamed444911 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@KudratMkangama9 күн бұрын
Mwenye namba zake uyu kaka anipe mimi natafuta mchumba 🥹
@Amina-ig3jw
5 күн бұрын
😅😅😅
@kennedymaster200011 күн бұрын
Itakuwa amepewa ngom
@rukiaiddyyahaya950613 күн бұрын
Sijui kama umepona mbona macho yako kama bizali
@estherminnahboaz6956
13 күн бұрын
Bizari tena😂😂😂 yeye kasema alipenda kwahiyo hajali km atapewa ngoma na mtoto mzurii😅😅😅😅😅
@YvonnegipsonGipson
13 күн бұрын
😆😆😆😆kuna watu mnavitu humu
@rukiaiddyyahaya9506
13 күн бұрын
@@estherminnahboaz6956 mmmh sasa hao wameachana
@zawadgunza2093
12 күн бұрын
😅😅😅
@verobecamfipa8655
11 күн бұрын
Kimeshamlamba uyu akaaanze dozi tu uso tu unaonekana
@lilianestephanie78818 күн бұрын
Anafanana na ex wangu.. yule kaka alijua kunitesaaa mwee to hell huko aliko
@felistersanga79033 күн бұрын
Kaka anaongea vzuri ana hekima na busara sana anajua kuyahifadhi ya ndani na anajua kujbu vzuri sana
@onekisstv84127 күн бұрын
Kwaio mzee baba haya mambo hukuyaona kwenye jicho la tatu au
@petetyohana
3 күн бұрын
Jicho lilifumba kwa muda
@allyahahmed109110 күн бұрын
This lady ni malaya mno basi tu hamjamjuaga kabla hajaanza kua muhubiri wa story za uongo .. story ya kubakwa pia ni uomgo 100%
@leadflavour_tz
6 күн бұрын
😅😂😂
@user-sb7lz9xp4v
5 күн бұрын
Kabisaaaa
@user-iy7xy1np7c
2 күн бұрын
Una ushahidi wowote kuthibitisha kauli yako?Kama huna chunga mdomo wako
@allyahahmed1091
2 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c acha umalaya period
@allyahahmed1091
2 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c unavyopenda ushahidi usingetuletea hata case uliofungua wakati unabakwa aso jua nani bwana gooo
@MwanjiNzala-mo5ni7 күн бұрын
Kwan mlipata.watoto wangap.nae
@VeronicaSteven-of1qe7 күн бұрын
Mwambieni aje tupendane na mm 😂😂😂😂
@MwanjiNzala-mo5ni7 күн бұрын
Yaan kaka kaumia.huyu😢😢
@JeremiahJohn-tt2ij2 күн бұрын
Bileke bigende bindi bilozaa😢😢
@user-hm1nt4mj4n13 күн бұрын
Kiki tu
@mwashamleo99964 күн бұрын
Nahis baada ya kupata aitime mitandaon ndo akapata mwingine
@athanasmasmami538911 күн бұрын
Huyu basi tena tushampoteza 😢nenda kajiandikishe dirisha la dawa😂
@verobecamfipa8655
11 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nanaleetz
10 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum3667
6 күн бұрын
Il watu mna nini?😂😂😂
@zuwenahassan362413 күн бұрын
Siamnini mpaka nimsikie Mwanamke
@LubnaGeorge-re4yp9 күн бұрын
Huyu Kaka alifat u umarufu Kwa yule dada muathiririk
@happyalbert508912 күн бұрын
Du!
@user-yn3kg8ip2h3 күн бұрын
Una moyo sana kaka mimi sina moyo huo
@rukaya-jg7hj6 күн бұрын
Amefuata wenye pesa kwa tafsir ya haraka
@lydiajuma0111 күн бұрын
Mapenz usenge
@user-uv3hy1yj3j
7 күн бұрын
Mapenzi matamu bana
@SaimonKazimoto-xt1zo13 күн бұрын
Dem akiwa mgonjwa anasumbua Anenda mbio sana
@JescaEzekieli-vd9ly
12 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-ur7pw9ek6s
11 күн бұрын
😂😂😂
@azizauheche5944
4 күн бұрын
😂😂
@mwashamleo99964 күн бұрын
Hata siamin nyie😢
@annakbunga837712 күн бұрын
Kwani ungekaa kimya ingekuwaje
@NeemaSamson-ti8pc
11 күн бұрын
Ndio hapo sasa sio kila kitu lazima aongee kuna vingine vya kukaa kimya
@hajistshariast6335
11 күн бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@hajistshariast6335
11 күн бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@greenermichael20572 күн бұрын
Watu sijui tukoje unapata MTU anakupenda na virusi vyako unamkimbia
Sasa kwani hapo kasema kaathirika uwe unasikiliza kwa makini
@VeronicaRugoyi9 күн бұрын
Kimekuramba😂
@ruqaiamohammed34513 күн бұрын
😳😳🙆🏾♂️🙆🏾♂️wameachana ? Hapana ctaki kuàmin ngoja kwanza nikatie maji mwilin 🚶♀️🚶♀️🚶♀️inawezekana kweli ni uongo wa kutafuta kiki ya nyimbo 😂😂
@Official83640
13 күн бұрын
Kweli demu kafuta picha zote walizokuwa wote😂😂😂
@ruqaiamohammed345
13 күн бұрын
@@Official83640 daah aisee mapenz haya 🙌🏿🙌🏿kweli usinene ugamara
@darlenesalum3667
6 күн бұрын
@@Official83640mmmh
@rehemamoyo418213 күн бұрын
Amechit Cherry
@Humanity21216
11 күн бұрын
We umemuona akicheat?
@rehemamoyo418213 күн бұрын
Wakwanza
@ramadhanhassan930811 күн бұрын
Huwezi ishi na muathirika kama huna tatizo la Akili
@fatihiyadossa375
11 күн бұрын
We kaka nakwambia tema mate chini usiongee Ivo Kwasababu watu awajapata elimu kuusu ukimwi watu wanishi negative anda positive 😅😅😅nahakuna anaemuam ukizaa mwenzake inategemea na dam kila mtu akiswma aweke mambo yake waI kwenye huu mtandao kwajili ya huu ugonjwa sijui kama watu wangeamini lkn vipo kwenye jamii ytu
@verobecamfipa8655
11 күн бұрын
Sio kweli kuna mwanajeshi mmoja iringa alikuwa ameathirika na alikuwa anadate na demu mkali kishenzi kutoka singida na walizaaa mtoto mmjo mwanamke na Mtoto hawana vvu mpaka xaiz ila yule mwanajeshi amefariki tayari😭😭
@hajistshariast6335
11 күн бұрын
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
@hajistshariast6335
11 күн бұрын
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
@GeorgeAkasha-zx2rj
10 күн бұрын
Hii comment 100%
@vee42969 күн бұрын
Mbona hii video kwangu haina sauti kwanini?
@deomassawetz
7 күн бұрын
Tumia Airphone
@mwaminishakalili4120
5 күн бұрын
Simu lako taka bwana😂😂😂
@user-so3gy2io8l10 күн бұрын
Chalii wa pugu hahhahaha
@franciscomalimi8070
3 күн бұрын
Mzee nimewaza sana huyu Jamaa mbona kma namfahamu havi au namfananisha, dogo Alisoma olevel pugu secondary
@beatricemallya384712 күн бұрын
Uyo baba Gandi ndo alikua anamcheat Sana mpenzi wake 😓ila wanyakyusa !!! Ukiwaona km watu kumbe ovyo tu🚮
@Humanity21216
11 күн бұрын
Umemuona akicheat au alimradi umecomment
@NeemaSamson-ti8pc
11 күн бұрын
We koma wanyakyusa tumefanya nn ndugu? Tabia sio kabila mfano malaya unaweza kumkuta kwenye kabila lolote lile kama unachagua watu kwa kigezo cha kabila unakosea sana
@user-cm6ts4qi3b13 күн бұрын
Aliambiwa huyu jamaa akajifanya anampenda sana nyoooo
@DativaMbowe
13 күн бұрын
Na amekonda 😢😢
@siamoye4549
13 күн бұрын
Inawezekana na wewe uliyenaye ni muathirika ila hajakuambia
@nancyg8664
13 күн бұрын
@@siamoye4549mh, inatisha asee
@Official8364013 күн бұрын
Bado Kiredio na Isha Mashauzi nao kitawaramba maana wanapenda kujiachia mitandaoni na mahusiano yao
@patriciaboniface9975
12 күн бұрын
Mmh kiredio na nani
@Official83640
12 күн бұрын
@@patriciaboniface9975 Mpenzi wake
@zawadgunza2093
12 күн бұрын
😅😅😅😂😂
@MalaikaBright-rv6yb
12 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Official83640
12 күн бұрын
@@patriciaboniface9975 Na mpenzi wake kacharuka kuonyesha huba lake
@lilianestephanie78818 күн бұрын
Usione wapenzi wanacheka mmmmmh nyie hii dunia hadaa
Пікірлер: 207
Sihukumu ila kwa maelezo haya inaonekana cherry amepata mubaba mwenye HIV mwenye pesa ndio mana kamuacha kaka wawatu 😢😢
Unajitolea kumpenda mtu na hali yake bado anakuacha pole inaonekana ulimpenda sana maskini
Tuliokuwa tunasubiri hyo ndoa like hapa😢,dunia ya sasa kila mtu anajipenda mwenyewe wala hawajali upendo wa mwingine
@athanasmasmami5389
11 күн бұрын
😂😂
Unamoyo mzuri sana kaka angu kipenzi Mungu atakupa wa kufanana na ww
Uyo kaka anabusara Sana mungu akupushe na maradhi❤
Jamaa anaongea vizuri sana na kwa busara kubwa . Kale kabinti kamepoteza mtu wa muhimu sana aseeh
@frankrobertkomba2318
13 күн бұрын
Mapenz yanasir nying mzee,huwez jua upole huo ni wa public ila akiwa nda sio mtu kabsa.tuache akae nasir yake.ila ndo maana tunakataa kuoa kwa kuonea mtu huruma oa kwasabsbu anavgezo ulivovitaka maana huruma yako itapotea akikuudh lkn vgezo vyako vitakubeba lkn km havpo ndo mwendo umeisha
@user-re2em2zd2u
12 күн бұрын
@@frankrobertkomba2318very true
@user-ur7pw9ek6s
11 күн бұрын
🎉🎉🎉
@MS.independent8934
5 күн бұрын
Upo sahihii 💯
Ugomvi hapa ni kwamba mchizi life gumu,mwanamke kashindwa kuwa mvumilivu ndio maana jamaa kakubali matokeo ..
Ndio maana mausiano yangu Kuweka kwenye media never never never aise pole sana kijana wangu kwa mitian
@fahadfaraj6474
10 күн бұрын
Hakuna watu wenye kujielewa wanaweza weka jambo lao hadharani
This man is in deep sorrows, pole sana kaka jitahidi kurelease the pain isije ikakuathiri.
Yani hata sura yake imepoteza nuru
Kijana mwanaume haswaa..kalelewa.kwa vijana wa ss angeropoka.vyotee safi
@darlenesalum3667
6 күн бұрын
Yaani na Mimi nilijisemea hivyo kimoyo moyo
Nitfutieni huyu kaka me namtaka tufnye maisha me mwenyew ymenikuta pia😢
@rosemilingi7860
7 күн бұрын
Pole
@BlessedLady-by5hz
4 күн бұрын
Atakupenda????
Ni kweli kuna muda unaona bora tu mtengane maana kuna vitu huwa haviendi sawa
Jaman umetoka mzima kwel😭
@miriamdavis3893
5 күн бұрын
Wanaume wanaoambukizwa ukimwi wengi wachafu
Mwenye ukimwi anaishi mwenye cancer sasa tunabakia kuhesabu siku mungu tulinde
Yaan hya maisha bhna usimuamin mtu wallah yaan unaweza jitoa kwa mtu na akakupa tukio ambalo huwez lisahau maisha yko yote😢
Dah kweli umepungua Alton jmn😢
@darlenesalum3667
6 күн бұрын
Ila wanawake sisi kuna muda hata hatujui tunataka nini
@tinajohn6296
3 күн бұрын
@@darlenesalum3667 Ndugu yangu hebu tujifunze, au mpaka watuue
Mapenzi yakuweka kwenye mitandaoni ayadumu
@Zainab-sq1tc
12 күн бұрын
Kwel
Huyu kaka anamaumivu jmn
Huyu kaka anaonekana anaumia sana
@GeorgeAkasha-zx2rj
10 күн бұрын
Ww unafikiri kuishi na Muathirika halafu mnaachana unafikiri mchezo? Umejitoa kwa ajili yake
Mim binafsi tayari nimeshapitia tayar Maisha kama kaka yangu hapo .nikuwa kwenye mausiano ambapo mwezangu alikuwa positive mm negative . Lkni mwisho wasiku mwanamke mda wote ubadilika so unatakiwa kama mwanaume kuishinae Kwa akili snaaa . Mim Bada yakuachanae nilipata mafanikio kimasha Kwa kiasi kikubwa ndani ya mda mchache snaaa .
Yani nimehumia sana pole Sana kaka mwenyezi mungu yu nawe
Tonny anaonekana ana maumivu
Mimi nilihisi tu hata huyu dada kupata hiyo HIV c sabbu ya kubakwa anaonekna tu hajatulia anasingizia alibakwa me ckuamin tangu ck ya kwanza,dah huyu mkaka wawatu maskin
@naah884
10 күн бұрын
Kweli kabisa hafananii kubakwa bhana😅
@allyahahmed1091
10 күн бұрын
Hakubakwa uyu alikua na bwana ake mchora tatooo kabadilisha sana wanaume hapa kati kati akifika mtandaoni watu wa mungu ya nyoko
@user-pp9mp1pz9f
10 күн бұрын
@@allyahahmed1091 kweli kbsa me amenikera sana
@GeorgeAkasha-zx2rj
10 күн бұрын
@@allyahahmed1091Mkuu unamfahamu sana inaonekana?
Huyu kaka jaman anamaumivu ya mapenzi ila cherry ulichomfanya huyu kaka MUNGU anakuona haki
Huyo Dada ni Malaya hata muonekani wake tu mitatoo unaelewa tu na huo ukimwi muongo yawezekana hata hakubakwa ni umalaya tu Mungu anakajuwa kumpa pigo
Bora angekaa kimya tu anafanya huyo dada watu wanamtukana sana maskini
blaza inabidi utibiwe akili ujue kutofautisha fantasy na reality
Pole sana Mungu akupe huo moyo ucichok
Hii neno vita Suti imeenda kabisa 😅😅😅😅😅😅😅😅
Pole kaka mitihani ya dunia itakwisha
Jamani nimejikuta namuonea huruma Alton
@joycekasimbazi9817
10 күн бұрын
Yaani tumuachie Mungu tu ni mapito
Daaah huyu kaka ni muha huyuu🙌🙌🙌🙌 ex wangu alikuwaga na huo msimamoi😂😂😂😂 kwahiyo tony umemuacha dada wa watu kabisa
Mpaka hapo kwenye kasi tumekuelewa kijana hutaki kujituma kutafuta maisha ndo mana umepauka toka umeachwa msimuhukumu huyo dada kisa matatizo ya kiafya hata kama mtu unashida za kiafya lazima upambane uchumi uwe imara kwanza mapenzi yapo ila kama mtu unaona hataki kupambana acha aende asikucheleweshe
Yaan apo ukijichanganya kumsema anakufungulia kesi bora umejibu Kwa Akil kubwa.
Huyu dada ninavyomfaham mno ni kisirani mno mkitaka kuamini hilo fuatilieni anavojibu hovyo mashabiki zake kwenye comment
@user-bo2yf5hw7s
7 күн бұрын
Sahihi kabisa ni mjeuri sana me nishamuona sijajua kama ni UGONJWA ndo unafanya awe hvyo
Mara nyingi inawatokea wenye group 0. Mimi sister angu ana maambkizi but mume wake hana.
@isakahissa4130
11 күн бұрын
Sio group dawa wanazotumia now zinafanya UGONJWA usiamie pengine Kama ikitokea mgonjwa akazingatia dawa Mimi nna group B ila nshawai ishi na MTU ndan y miezi Saba ndio nashtuka na bado nkapima Sina yeye anao mbaka Leo Sina ila nilijiona nna bahat kumbe sio Mimi Niyeye anazingatia dawa ndio kilicho niokoa
@NeemaSamson-ti8pc
11 күн бұрын
@@isakahissa4130 kumbe ni kweli inawezekana mtu anayezingatia dawa anakuwa na uwezo mdogo wa kuambukiza mtu mwingine
Pole❤
Unavojichekesha tu inaonyesha umeumizwa 😂😂😂 pole mwaya msoma nyota
@user-re2em2zd2u
12 күн бұрын
😂😂😂
@dcampafrica
10 күн бұрын
Ila debora
Kuna mwenye namba yake Altonny anipatie???
Duuh, aisee haya maisha mmh,
Dah!pole sana kaka
ifike sehemu watu wenerohoo nzuri wauwawe wote
Anaongea kwa kutumia akili sana na ana busara
Mungu atakupa mke mwingine
Duh mtihani
Pole sana Kaka...asikuchanganye huyo hakua mwaminifu huyo...kakutumia Katumia nyota yako mpaka kufikia hapo Leo anajidai mjanja... muache kitamramba huyo na atakukumbuka mshamba huyo.
Kwakwel me Nilitaka waachane
@darlenesalum3667
6 күн бұрын
Kwanini jamani
Nasikia mtu ukiwa na HIV halafu unabadilisha wanaume/wanawake virus 🦠 zinaongezeka sijui kwel??💁 Nilisikia mahali
@Khadija-ne8ul
13 күн бұрын
Kama mwenza hatumii dawa vizuri au hatumii kabisa unakua unapata maambukizi mapya na huateza kulaza virusi
@doymatata4702
12 күн бұрын
Ukweli inawezekana kwa sababu unaojamiiana nao hujui status yake kama atakuwepo MWENYE HIV basi atakupa vyakwake naukweli kilamtu ana aina yake ya VVU KWAKIFUPI NIHIVYO
@Chakol123-k7s
9 күн бұрын
@@Khadija-ne8ul wow Asante Kwa kujua
@Chakol123-k7s
9 күн бұрын
@@doymatata4702 wow Asante Kwa kujua
isaga kumiangu kamu guganile une ndikafu❤❤❤
huo ufala siwezi ufanya
Uyu kaka simsomanyota jamani kumbe ndonalikuwa anaishi na cherry
Ndio maana mimi sitaki kuweka mausiano yangu kwenye mtandaoni
Pole mtu wa mungu mungu yupo lakini sivizur kuongea jambo ukiwa Katika wakati mgumu unge pata utulivu kidogo!
Hyu dada huo ukimwi aliupataga huko kwa hoteli Dodoma akidanga na wababa anakuja kutudanganya eti alibakwa niuwongoo kabsaa hyu dada anapenda sana wa baba na hapo ndo maana jamaa ana sema vita ya suti imeshinda ni hao wa baba wake wa dodoma wanamwangisha👌👌👌👌👌👌
@AugustinMuswabantu
6 күн бұрын
Ulikuwepo
@zainabufeka87
5 күн бұрын
Ebu mwachen cherry mapenz yanafikaga mwisho
@mwashamleo9996
4 күн бұрын
Unamfahamu vizur?
Oooooooo nashidwa byakusema kwl😮😮
Mwandishi hauko making na kazi yako sauti ya huyo mshikaji haisikikii unazingua bwanaaa
@anifamickidard4555
13 күн бұрын
Jamaa sauti yake ndio iko hivo siku zote
Sasa naye mwaname ataendelea kuelimisha kuhusu ukimwi wakati anatangatanga leo huku kesho kule.wataambukizwa wengi asee
Mbona kwangu haina sauti
Duuu tunakuogopa aisee
@mixboysofredorfamily6210
11 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum3667
6 күн бұрын
Sasa why umuogope😢😂
@irenemlay9769
6 күн бұрын
@@darlenesalum3667 km hana HIV ni bahati arudi kwa bebe wake
Ht Mm pia mahusiano yangu yapo hatarin zaidi kutokan na mtandao 😅
😭😭Yani inauma sana
😢😢😢😢😢
Mwenye namba zake uyu kaka anipe mimi natafuta mchumba 🥹
@Amina-ig3jw
5 күн бұрын
😅😅😅
Itakuwa amepewa ngom
Sijui kama umepona mbona macho yako kama bizali
@estherminnahboaz6956
13 күн бұрын
Bizari tena😂😂😂 yeye kasema alipenda kwahiyo hajali km atapewa ngoma na mtoto mzurii😅😅😅😅😅
@YvonnegipsonGipson
13 күн бұрын
😆😆😆😆kuna watu mnavitu humu
@rukiaiddyyahaya9506
13 күн бұрын
@@estherminnahboaz6956 mmmh sasa hao wameachana
@zawadgunza2093
12 күн бұрын
😅😅😅
@verobecamfipa8655
11 күн бұрын
Kimeshamlamba uyu akaaanze dozi tu uso tu unaonekana
Anafanana na ex wangu.. yule kaka alijua kunitesaaa mwee to hell huko aliko
Kaka anaongea vzuri ana hekima na busara sana anajua kuyahifadhi ya ndani na anajua kujbu vzuri sana
Kwaio mzee baba haya mambo hukuyaona kwenye jicho la tatu au
@petetyohana
3 күн бұрын
Jicho lilifumba kwa muda
This lady ni malaya mno basi tu hamjamjuaga kabla hajaanza kua muhubiri wa story za uongo .. story ya kubakwa pia ni uomgo 100%
@leadflavour_tz
6 күн бұрын
😅😂😂
@user-sb7lz9xp4v
5 күн бұрын
Kabisaaaa
@user-iy7xy1np7c
2 күн бұрын
Una ushahidi wowote kuthibitisha kauli yako?Kama huna chunga mdomo wako
@allyahahmed1091
2 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c acha umalaya period
@allyahahmed1091
2 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c unavyopenda ushahidi usingetuletea hata case uliofungua wakati unabakwa aso jua nani bwana gooo
Kwan mlipata.watoto wangap.nae
Mwambieni aje tupendane na mm 😂😂😂😂
Yaan kaka kaumia.huyu😢😢
Bileke bigende bindi bilozaa😢😢
Kiki tu
Nahis baada ya kupata aitime mitandaon ndo akapata mwingine
Huyu basi tena tushampoteza 😢nenda kajiandikishe dirisha la dawa😂
@verobecamfipa8655
11 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nanaleetz
10 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum3667
6 күн бұрын
Il watu mna nini?😂😂😂
Siamnini mpaka nimsikie Mwanamke
Huyu Kaka alifat u umarufu Kwa yule dada muathiririk
Du!
Una moyo sana kaka mimi sina moyo huo
Amefuata wenye pesa kwa tafsir ya haraka
Mapenz usenge
@user-uv3hy1yj3j
7 күн бұрын
Mapenzi matamu bana
Dem akiwa mgonjwa anasumbua Anenda mbio sana
@JescaEzekieli-vd9ly
12 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-ur7pw9ek6s
11 күн бұрын
😂😂😂
@azizauheche5944
4 күн бұрын
😂😂
Hata siamin nyie😢
Kwani ungekaa kimya ingekuwaje
@NeemaSamson-ti8pc
11 күн бұрын
Ndio hapo sasa sio kila kitu lazima aongee kuna vingine vya kukaa kimya
@hajistshariast6335
11 күн бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@hajistshariast6335
11 күн бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
Watu sijui tukoje unapata MTU anakupenda na virusi vyako unamkimbia
@esthermalamsha2847
Күн бұрын
Ni shida
Jamani ww siulihojiwa wasafi ukasema hujaambukizwa
@Zainab-sq1tc
12 күн бұрын
😅😊
@hajistshariast6335
11 күн бұрын
Sasa kwani hapo kasema kaathirika uwe unasikiliza kwa makini
Kimekuramba😂
😳😳🙆🏾♂️🙆🏾♂️wameachana ? Hapana ctaki kuàmin ngoja kwanza nikatie maji mwilin 🚶♀️🚶♀️🚶♀️inawezekana kweli ni uongo wa kutafuta kiki ya nyimbo 😂😂
@Official83640
13 күн бұрын
Kweli demu kafuta picha zote walizokuwa wote😂😂😂
@ruqaiamohammed345
13 күн бұрын
@@Official83640 daah aisee mapenz haya 🙌🏿🙌🏿kweli usinene ugamara
@darlenesalum3667
6 күн бұрын
@@Official83640mmmh
Amechit Cherry
@Humanity21216
11 күн бұрын
We umemuona akicheat?
Wakwanza
Huwezi ishi na muathirika kama huna tatizo la Akili
@fatihiyadossa375
11 күн бұрын
We kaka nakwambia tema mate chini usiongee Ivo Kwasababu watu awajapata elimu kuusu ukimwi watu wanishi negative anda positive 😅😅😅nahakuna anaemuam ukizaa mwenzake inategemea na dam kila mtu akiswma aweke mambo yake waI kwenye huu mtandao kwajili ya huu ugonjwa sijui kama watu wangeamini lkn vipo kwenye jamii ytu
@verobecamfipa8655
11 күн бұрын
Sio kweli kuna mwanajeshi mmoja iringa alikuwa ameathirika na alikuwa anadate na demu mkali kishenzi kutoka singida na walizaaa mtoto mmjo mwanamke na Mtoto hawana vvu mpaka xaiz ila yule mwanajeshi amefariki tayari😭😭
@hajistshariast6335
11 күн бұрын
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
@hajistshariast6335
11 күн бұрын
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
@GeorgeAkasha-zx2rj
10 күн бұрын
Hii comment 100%
Mbona hii video kwangu haina sauti kwanini?
@deomassawetz
7 күн бұрын
Tumia Airphone
@mwaminishakalili4120
5 күн бұрын
Simu lako taka bwana😂😂😂
Chalii wa pugu hahhahaha
@franciscomalimi8070
3 күн бұрын
Mzee nimewaza sana huyu Jamaa mbona kma namfahamu havi au namfananisha, dogo Alisoma olevel pugu secondary
Uyo baba Gandi ndo alikua anamcheat Sana mpenzi wake 😓ila wanyakyusa !!! Ukiwaona km watu kumbe ovyo tu🚮
@Humanity21216
11 күн бұрын
Umemuona akicheat au alimradi umecomment
@NeemaSamson-ti8pc
11 күн бұрын
We koma wanyakyusa tumefanya nn ndugu? Tabia sio kabila mfano malaya unaweza kumkuta kwenye kabila lolote lile kama unachagua watu kwa kigezo cha kabila unakosea sana
Aliambiwa huyu jamaa akajifanya anampenda sana nyoooo
@DativaMbowe
13 күн бұрын
Na amekonda 😢😢
@siamoye4549
13 күн бұрын
Inawezekana na wewe uliyenaye ni muathirika ila hajakuambia
@nancyg8664
13 күн бұрын
@@siamoye4549mh, inatisha asee
Bado Kiredio na Isha Mashauzi nao kitawaramba maana wanapenda kujiachia mitandaoni na mahusiano yao
@patriciaboniface9975
12 күн бұрын
Mmh kiredio na nani
@Official83640
12 күн бұрын
@@patriciaboniface9975 Mpenzi wake
@zawadgunza2093
12 күн бұрын
😅😅😅😂😂
@MalaikaBright-rv6yb
12 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Official83640
12 күн бұрын
@@patriciaboniface9975 Na mpenzi wake kacharuka kuonyesha huba lake
Usione wapenzi wanacheka mmmmmh nyie hii dunia hadaa
😂😂😂😂