TAZAMA VIDEO HII MWANZO MWISHO UNIONEE CHOO CHA KISASA KINAVYO KUWA AKIJAI
Жүктеу.....
Пікірлер: 40
@dorahmatitu25545 ай бұрын
Yaaan kaka Mungu akubariki sana wallah. Na akuhifadh upate kutusaidia . Nmeipenda iyo kdgo nakutafuta sana ckupati
@MohamedIbrahim-bn1gz2 ай бұрын
Kazi safi sana
@tatuathmani8835 ай бұрын
Kaka hilo shims lachoo mpaka li akamilika linagalimu kiasigani chapeau ujekwangu mbezi nahitaji shimokama hilo
@vailetharoyce65911 күн бұрын
Gharama yake ni sh.ngapi
@fanni-ck6do5 ай бұрын
well good job solute
@bentybenty23435 ай бұрын
Much luv sir with your team 🎉🎉🎉❤❤
@stellamoses44965 ай бұрын
Mr house choo hicho nampenda kujua gharama Yake tafadhali
@didasseveline90135 ай бұрын
Acheni kudanganya watu kwamba hiyo choo haijai sio kweli labda ukisema inachukuwa muda kujaa
@mussamaulid41134 ай бұрын
Mbona bomba iko juu sana
@MauFundiElectronics5 ай бұрын
unafanya kazi mzuri sana kaka hongereni sana hila jitahidi uje unajibu comment hata kwa uchache hili watu wapate huelewa zaidi sio mpaka wapige simu ahsante 🙏🙏🙏🙏.
@revocatussebastian24272 ай бұрын
Mbona mashimo mafupi inakuaje yasijae
@kaperijohn75375 ай бұрын
Vp huu mfumo kwa yale maeneo yenye maji mengi chini(chemchem) unaweza kuondoa changamoto ya maji kujaa hasa nyakati za mvua?
Пікірлер: 40
Yaaan kaka Mungu akubariki sana wallah. Na akuhifadh upate kutusaidia . Nmeipenda iyo kdgo nakutafuta sana ckupati
Kazi safi sana
Kaka hilo shims lachoo mpaka li akamilika linagalimu kiasigani chapeau ujekwangu mbezi nahitaji shimokama hilo
Gharama yake ni sh.ngapi
well good job solute
Much luv sir with your team 🎉🎉🎉❤❤
Mr house choo hicho nampenda kujua gharama Yake tafadhali
Acheni kudanganya watu kwamba hiyo choo haijai sio kweli labda ukisema inachukuwa muda kujaa
Mbona bomba iko juu sana
unafanya kazi mzuri sana kaka hongereni sana hila jitahidi uje unajibu comment hata kwa uchache hili watu wapate huelewa zaidi sio mpaka wapige simu ahsante 🙏🙏🙏🙏.
Mbona mashimo mafupi inakuaje yasijae
Vp huu mfumo kwa yale maeneo yenye maji mengi chini(chemchem) unaweza kuondoa changamoto ya maji kujaa hasa nyakati za mvua?
Tafadhali hicho Naomba nijuegharamayake
Nakukubali kinoma
Bei mhmm kaka tafadhali
Kaka kamahutojali niambie hikichoo beiyake kukiandaa mpaka kinaisha namie nakihitajia kwangu nikuite
So mnajifanyia advertising ya kazi zenu,,,but tatizo maongezi kwenye show hii ni mengi bri,,anywats congratulations kwa technology hiyo
👍👍👍
Naomba kujua beiyake
Unaelimisha vizuri Lakin una bei ambazo zinamkatisha mtu kujenga
Gharma yake ikoje na mm nimekipenda
Sh ngapi
Yes sir
Kwann ucwekwe tee ap kama emergence faza ikitokea imeziba
Samahani usi zalau mesejiyangu
Gharama Yake kiasi gani?
Kaka ss tunae taka kujenga mikoan inakuaje
Hapo akipanda mboga zitasitawi kweli
Nimekipenda aisee
@moudys
5 ай бұрын
Unapenda chooo
Sasa wa mikoan wanapataje hiyo dizain
Wala apo hamna jipya kwamaana hiyo choo haina tofauti ya mashimo ya septic na soak way pit
How much does it cost
Kaka zingatia mambo ya copyright usipende Sana kutumia nyimbo
Kilichoendelea kwenye hii picha ni nini? Hatukuona finishing yake sasa. Ilo shimo ilikuaje hamjaeleweka vzr.
Yumkini unashauri na kufanya kazi nzuri..lakini hii video kiufundi hauelezei namna choo hicho kinafanya kazi ni kwa vipi hakijai??
Izo choo ni bei gani?
Nime penda
Hapo akipanda mboga zitasitawi kweli
Mpaka kinaisha bei gani