TAZAMA VIDEO HII MWANZO MWISHO UNIONEE CHOO CHA KISASA KINAVYO KUWA AKIJAI

Пікірлер: 40

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu25545 ай бұрын

    Yaaan kaka Mungu akubariki sana wallah. Na akuhifadh upate kutusaidia . Nmeipenda iyo kdgo nakutafuta sana ckupati

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz2 ай бұрын

    Kazi safi sana

  • @tatuathmani883
    @tatuathmani8835 ай бұрын

    Kaka hilo shims lachoo mpaka li akamilika linagalimu kiasigani chapeau ujekwangu mbezi nahitaji shimokama hilo

  • @vailetharoyce659
    @vailetharoyce65911 күн бұрын

    Gharama yake ni sh.ngapi

  • @fanni-ck6do
    @fanni-ck6do5 ай бұрын

    well good job solute

  • @bentybenty2343
    @bentybenty23435 ай бұрын

    Much luv sir with your team 🎉🎉🎉❤❤

  • @stellamoses4496
    @stellamoses44965 ай бұрын

    Mr house choo hicho nampenda kujua gharama Yake tafadhali

  • @didasseveline9013
    @didasseveline90135 ай бұрын

    Acheni kudanganya watu kwamba hiyo choo haijai sio kweli labda ukisema inachukuwa muda kujaa

  • @mussamaulid4113
    @mussamaulid41134 ай бұрын

    Mbona bomba iko juu sana

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics5 ай бұрын

    unafanya kazi mzuri sana kaka hongereni sana hila jitahidi uje unajibu comment hata kwa uchache hili watu wapate huelewa zaidi sio mpaka wapige simu ahsante 🙏🙏🙏🙏.

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian24272 ай бұрын

    Mbona mashimo mafupi inakuaje yasijae

  • @kaperijohn7537
    @kaperijohn75375 ай бұрын

    Vp huu mfumo kwa yale maeneo yenye maji mengi chini(chemchem) unaweza kuondoa changamoto ya maji kujaa hasa nyakati za mvua?

  • @stellamoses4496
    @stellamoses44965 ай бұрын

    Tafadhali hicho Naomba nijuegharamayake

  • @salhamlanz9806
    @salhamlanz98065 ай бұрын

    Nakukubali kinoma

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu25545 ай бұрын

    Bei mhmm kaka tafadhali

  • @tatuathmani883
    @tatuathmani8834 ай бұрын

    Kaka kamahutojali niambie hikichoo beiyake kukiandaa mpaka kinaisha namie nakihitajia kwangu nikuite

  • @cleophaxgeremy2148
    @cleophaxgeremy21485 ай бұрын

    So mnajifanyia advertising ya kazi zenu,,,but tatizo maongezi kwenye show hii ni mengi bri,,anywats congratulations kwa technology hiyo

  • @magunomaguno59
    @magunomaguno595 ай бұрын

    👍👍👍

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk5 ай бұрын

    Naomba kujua beiyake

  • @user-yk2sf7vy3x
    @user-yk2sf7vy3x5 ай бұрын

    Unaelimisha vizuri Lakin una bei ambazo zinamkatisha mtu kujenga

  • @LeluumakameMussa-ln5rc
    @LeluumakameMussa-ln5rc5 ай бұрын

    Gharma yake ikoje na mm nimekipenda

  • @user-yx1kh6mj3r
    @user-yx1kh6mj3r5 ай бұрын

    Sh ngapi

  • @hamzamwaya463
    @hamzamwaya4635 ай бұрын

    Yes sir

  • @daudilushinge-bm4fm
    @daudilushinge-bm4fm5 ай бұрын

    Kwann ucwekwe tee ap kama emergence faza ikitokea imeziba

  • @tatuathmani883
    @tatuathmani8835 ай бұрын

    Samahani usi zalau mesejiyangu

  • @stellamoses4496
    @stellamoses44965 ай бұрын

    Gharama Yake kiasi gani?

  • @user-jl4xl3xn8u
    @user-jl4xl3xn8u5 ай бұрын

    Kaka ss tunae taka kujenga mikoan inakuaje

  • @salama1113
    @salama11135 ай бұрын

    Hapo akipanda mboga zitasitawi kweli

  • @aisha5775
    @aisha57755 ай бұрын

    Nimekipenda aisee

  • @moudys

    @moudys

    5 ай бұрын

    Unapenda chooo

  • @AminaKida-ik8fc
    @AminaKida-ik8fc5 ай бұрын

    Sasa wa mikoan wanapataje hiyo dizain

  • @didasseveline9013
    @didasseveline90135 ай бұрын

    Wala apo hamna jipya kwamaana hiyo choo haina tofauti ya mashimo ya septic na soak way pit

  • @stellamoses4496
    @stellamoses44965 ай бұрын

    How much does it cost

  • @user-zb9mk5wv2v
    @user-zb9mk5wv2v5 ай бұрын

    Kaka zingatia mambo ya copyright usipende Sana kutumia nyimbo

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian46735 ай бұрын

    Kilichoendelea kwenye hii picha ni nini? Hatukuona finishing yake sasa. Ilo shimo ilikuaje hamjaeleweka vzr.

  • @rockygappi1018
    @rockygappi10185 ай бұрын

    Yumkini unashauri na kufanya kazi nzuri..lakini hii video kiufundi hauelezei namna choo hicho kinafanya kazi ni kwa vipi hakijai??

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi36695 ай бұрын

    Izo choo ni bei gani?

  • @user-dl1gy9pe1g
    @user-dl1gy9pe1g5 ай бұрын

    Nime penda

  • @salama1113
    @salama11135 ай бұрын

    Hapo akipanda mboga zitasitawi kweli

  • @user-jj3jo1yi3w
    @user-jj3jo1yi3w5 ай бұрын

    Mpaka kinaisha bei gani

Келесі