TAZAMA BALAA ALILOFANYA DIAMOND PLATNUMZ ARUSHA, RAIS SAMIA APIGA MAKOFI
Ойын-сауық
TAZAMA BALAA ALILOFANYA DIAMOND PLATNUMZ ARUSHA, RAIS SAMIA APIGA MAKOFI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 296
Tanzanian 🇹🇿 people the best peaceful people I’ve seen in my life🫶 Rwanda loves you🇷🇼💙
@peternassari7634
10 ай бұрын
We love you more 🇹🇿 🇷🇼 ❤️
Congo sending love to Tanzania ❤
Msanii bora Diamond Platnumz
Kumbe wanajua kwamba diamond ndio mwanamziki mkubwa Tanzania na duniani
@stevenbaraka2570
Жыл бұрын
Huyo ndie yupo nchini pekeake wenzake wote wanawakilisha nje ya nchi
@fredrickmatiku7783
Жыл бұрын
Wasaniii wakubwa wako BET marekani
Oya mwanangu unatisha Toka zamani.Mdogomdogo imenibamba sana☺️☺️☺️☺️ D'HALAND💖💖💖
Diamond nakukubali sanaaaaa❤❤❤
Ximbaaa 🔥🔥 much respect
Love diamond so much❤❤❤❤❤❤
Muito obrigado meu senhor diamond
DIAMOND PLATNUMZ🔥🔥🔥🔥
👍👍👍👍❤️❤️❤️❤️❤️❤️ Daimond plantumz 🦁 Simba 👋👋👋
Diamond kama ❤❤ 💎
Huyu jamaa ninachomkubali pia tukiacha mziki no comfindance ya kuongea yaan good speech
Diamond platnmz diamond platnmz uko juu sanA brother
@samielvutsipa52
Жыл бұрын
Okay
@samielvutsipa52
10 ай бұрын
Big b
Vzr xanaa wakubwa nilikuwa naomba nyimbo zangu ziwe zinapigwa kwenye wasafi tv
@BAGIDADI
Жыл бұрын
Naimani ombilangu litakubaliwa
Nakubali simbaaaaaaa🔥🔥🔥
Simba kama Simba hua nakuelew sanaaa🤙
@user-ux7ch9jl8q
Жыл бұрын
Huyu niyanga siyo simba
Linapikuja suala la nidham ya maisha jamaa anawatoa wapinzani kwenye reli
Mwenyewe TEJA,mungu akuondolee
Wavuta bangi kama Harmonize sio mfano mzuli kwa vijana wetu...😅😅😅
@fabicshofficial
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@ezekiambise2595
Жыл бұрын
Mpuuzi kweli
@silageorge1638
Жыл бұрын
tena wanavuta adharani😂😂😂
@user-sw8xh9qm3e
Жыл бұрын
This is so ironic teja kutumbuiza kwenye tamasha la madawa ya kulevya 😂😂😂😂😂😂
@jay-nyeye1900
Жыл бұрын
@@user-sw8xh9qm3e haya mambo ya aibu 🤣🤣🤣
Mungu akubless
Mwanafunzi kashinda mwalimu wake amonize akaenjoy diamond😂😂konde boy Ako juu💪
Wow
very good perfomance
Tunashukuru kuwaimbiisha mashabliki wa yanga simba simba simba
i love the shoes
Simbaaa ❤❤
Msanii wa MUUNGANO JAMHURI TANZANIA,TUMEMWONA KUTOKA KENYA
🎉❤
Sahihi mwanetu
Pambana vijana riziki ipo mbele yenu❤❤❤
Go forward Chibu!!
Vr goog bro
The PLATINUMZ❤❤
Wakati mwenyewe midawa imemvaa kama yote nyoooooo😂😂 hauna lakutufundisha weye
🔥🔥🔥🔥
Diamond on Balenciaga ❤❤
Tanzania hawana energy,,ingekua kenya 🇰🇪 hapo igekua vumbiii
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
nyie tumewachoka kila kitu nyie ty basi dunia nzima yenu
❤❤❤❤
Diamond ndiye king of kings
@dalikinelesoni7375
Жыл бұрын
Huna akili ew king kwenye mdako
@dibah8936
11 ай бұрын
@@dalikinelesoni7375kama utaki dedy tu nduguyangu huu ndio ukweli wenyewe hata km unauma
🙌🙌🙌
Umetisha
Simba 💪💪
🔥🔥🔥🔥 Simba still hot
🌹🎶🎻🎵👍
Huyo usalama anavyoangalia Buti la diamond 😂
Mbona nasikia sauti za wanawake ndo wanaitikia tu😅😅😅😂😂😂 I'm not here for negativity sorry😂😂😂😂😂
❤
❤❤
Daaaaaaa
Hongela Bab lao
Unaweza mondi
diamond platnumz simba la ma simba dangote☝️✌️
Diamond Ni mzito Yani moto kubwa
Nakubali 🦁
Anamwimbiaa Samia amtongozee,angekuwepo#@harmonize-tz mnge elewa kwanz huyo Domo kapoaa
Fire 🔥
Allooooo weeeeee 😂 kitu kipya
❤❤❤❤❤Simbaaa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mfano gani mzuri ambao utakuwa Nuru Kwa mwanao katika kaburini Kyle hakuna diamond bobuu😢😢😢😢
Weweeeeeeer
Simbaaaaaaaaa 🔥 🔥
simbaaaa❤
Nampenda Diamond ila hakufaa hii concert Kwa maana yeye mwenyewe ni mlevi sio role model kwa watu wasiolewa, ni hoja yangu tu nawezakosolewa
✊
MATATIZO YA WASANII WETU NYIMBO HAZIENDANI NA MAUDHUIII
@Allykoroshotv
Жыл бұрын
Shida ya hapo ni kuinjoi na c mauzoi ya tukio kama ni mauzui ni mlisho mpoto
@davidibrahim9138
Жыл бұрын
Hayo ni majungu yako acha majungu
@pillyseleman8090
Жыл бұрын
Kabisaaa nyimbo haziko kwa maudhui
@davidibrahim9138
Жыл бұрын
@@pillyseleman8090 kaimbe kwaya kama unataka maudhui
Lion 🦁🦁♌
❤❤❤❤❤
kumbe wanajua namba1 mondiiii
nakubali sana
Diamomde nimukumbwa Tanzania si African
Kutokujua wapi mashairi unatakiwa uyaimbe na wapi sasa watu wamekaa unaanza kuimba nyimbo za kuwachezesha 🙆🙌
Kiatu kanunua wap n mimi nkanunue jman
Shooo mbovu nyimbo haziendani na tukio
Ameuaaaaaass
Huyu ajabamba show..Alikiba uwa anaimba nyimbo zenye zinaambatana na show
Diamond
babalaooooooo
director Kenny had a very hard recording time🤣🤣🤣
Askari nimewaona wanamtafuta anakutokea anatokea upande gn ha ha daimond
Kilandage Ata vuta nini mkizuia cha Alusha ??
Content content content,. Tusisahau content
Taifa moja nguv mojaa✋✋✋
Mwamba kabisa✊🏾
❤❤simba❤❤
😢
ACHENI uongo bhana Daimond Arusha haja wahi kubalika Heri weusi hari hat mario sahii kidg au jeymelodi Daimond sahii ni mzee bhana akashindane na burn boy huko njee Hakuamsha wala nn tulizrn sis tulio huku Arusha han majabu tena
Shoooo mbovu hakuna lolote play back music
@kurumwagodfrey7052
Жыл бұрын
Mpeleke dadaako akapige SI yupo mbona Hana ushawishi
Shoo kal
Nyimbo za beer mnaimba kwa tamasha la kupinga mihadarati😂😂
Chuga bana wana vibes zao
Vibe
Kijana wa nguvu
Nyakati tulizonazo Ni za hatari ....hizi nyimbo zinaimbwa kwa majukwaa makubwa ya heshima ...ufunuo 12:12
@samielvutsipa52
Жыл бұрын
Kwanini unasema vibaya mondi wewe mjinga
Unyama
Yaani hii nchi ccm waliona hawawezi wenyewe mpaka Diamond
Mmmm
Simba❤
Ila ww ujakaa sawa 2 imba nyimbo zinazo endana na kampeni alisi acha mambo hayo mpoto mwamba jikite kuelemisha jamii ili ata ukishakufa nyimbo zako zidumu mbona nyimbo zako zazamani zilikuwa vzr zinazidi zasahizi ningekuwa mchambuzi wa msc nigesema ww ni wamwisho apa bogo kwa mashaili yako kaka ivyo ludi kwenye mstali elimisha jamii katika mashaili yako jina unalo ila bado mashabiki wako unatuagusha aseee