TATIZO FULL MOVIE

mzee mbango ni mzee anayeowa wake kila baada ya miezi mitatu na wasijulikane wanaenda wapi fatilia kisa hiki cha kusisimua

Пікірлер: 90

  • @zakia4169
    @zakia416911 ай бұрын

    WOW that's awesome filamu nzuri sana sana nimeipenda sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉mim mgeni hapa nikaribisheni😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Karibu sana tena sana katika familia hii

  • @zakia4169

    @zakia4169

    11 ай бұрын

    @@butuamaginga nimekaribia

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Temebelea pia apa apa ili utazame mwengine au nichek whasap niwe nakutumia link pia karibu sana 0712487874

  • @zakia4169

    @zakia4169

    11 ай бұрын

    @@butuamaginga sawa sawa mkaka

  • @misstee102

    @misstee102

    11 ай бұрын

    @@butuamagingahakuna malipo🤭

  • @winnievictory3774
    @winnievictory37745 ай бұрын

    Wanawake MUNGU atulinde maana tunaolewa na watu hata hatuwajui vizur ila kaz nzur broo umeupiga mwingi👍👍

  • @salmahumoudy8588
    @salmahumoudy858810 ай бұрын

    Nomaaaah saanaa

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    10 ай бұрын

    Shukrani

  • @wambiriwanjenga2115
    @wambiriwanjenga211510 ай бұрын

    From kenya 🇰🇪 kama kawa kikuyu man hiyo movie ni kali

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    10 ай бұрын

    Great to have kenya fun make sure you subscribe this chanel for more movie karibu sana

  • @ZalhaMustapha-yj4os
    @ZalhaMustapha-yj4os5 ай бұрын

    Aisee nikupe hongr kwa mov nzur sana na yenye mafunzo❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    5 ай бұрын

    asante nakuahidi kila kitu

  • @user-ld6xb3hh2h
    @user-ld6xb3hh2h8 ай бұрын

    Watching from Saudia arabia 🇸🇦🇰🇪🇸🇦🇰🇪🇰🇪🇸🇦 Kenya movie nzuri Sanaa tena sana

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    3 ай бұрын

    Shukrani sana

  • @user-oi2nj4pj1i
    @user-oi2nj4pj1i11 ай бұрын

    Ni nzuri saa

  • @queenpenfrancis3066
    @queenpenfrancis306611 ай бұрын

    Safi sana Nzuri san nawakubali nyinyi watu mkifanya kazi moja

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Shukrani sana

  • @Oman-nu2kc
    @Oman-nu2kc11 ай бұрын

    Mzri mno❤

  • @sahenrygoodfilam5579
    @sahenrygoodfilam55799 ай бұрын

    Kaka umetisha

  • @sadickshaban1762
    @sadickshaban176210 ай бұрын

    Mim najua kuoa tu sijui kuacha 😂😂😂

  • @musicworldwide2625
    @musicworldwide262511 ай бұрын

    Mnajuq sana tena sana mzee baba do for sisi sasa endelea mbele kaka hakuna nilipohisi uvivu

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    10 ай бұрын

    Sawa

  • @user-ci5dp1ie2e
    @user-ci5dp1ie2e8 ай бұрын

    Mizimu ikagoneee🎉🎉

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    3 ай бұрын

    Hahahah

  • @AloyceEmanueli
    @AloyceEmanueli11 ай бұрын

    Good job my brother maginga tupe na part2 bas aseeee

  • @furahakenga6619
    @furahakenga661911 ай бұрын

    Asante sana kwa movi nzur sana❤❤

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    10 ай бұрын

    Asante sana

  • @user-vs6sx1pj7m
    @user-vs6sx1pj7m11 ай бұрын

    Safi sana hatuchoki kwasababu tunaamini kwatunacho kifanya

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Hakika

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Shukrani sana

  • @puritykalasinga371
    @puritykalasinga3719 ай бұрын

    Very interesting movie keep up the good work 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    9 ай бұрын

    Thanks so much

  • @user-bx9wf9kt5z
    @user-bx9wf9kt5z11 ай бұрын

    ❤❤Hakika movie ni tamu mungu abless

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Asante sana

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    10 ай бұрын

    Ok

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    10 ай бұрын

    Asante sana

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni229011 ай бұрын

    Nzuri mno

  • @dannylee2121
    @dannylee21213 ай бұрын

    Big up kwako umetsha

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    3 ай бұрын

    Shukrani mkuu

  • @AhmedChitema-ed8ik
    @AhmedChitema-ed8ik11 ай бұрын

    Nice

  • @user-od6mu5yr4e
    @user-od6mu5yr4e11 ай бұрын

    Ndoukome kupenda wazeee😅😅😅

  • @bettywanja1888
    @bettywanja188811 ай бұрын

    Good job 👏

  • @BrandinaYona-dd5ln
    @BrandinaYona-dd5ln11 ай бұрын

    Kazi nzuri sana aiseee

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Asante

  • @HawaAbdallah-uv4vs
    @HawaAbdallah-uv4vs11 ай бұрын

    Mhmhmmm noma

  • @batuli8665
    @batuli866511 ай бұрын

    Ww kaka unajua unajua tena🥰🥰

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Asante sana

  • @user-mj1ox9tm1c
    @user-mj1ox9tm1c10 ай бұрын

    Bonge moja la movie iko poa xaana

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    10 ай бұрын

    Shukrani sana ijayo ni tamthilia ya maumivu sana

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    10 ай бұрын

    Utafurahi kama ume subscribe bas uta ejoy sana

  • @bensonchance2718
    @bensonchance271811 ай бұрын

    Kazi iko vizur

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Shukrani

  • @jazztonemusic8115
    @jazztonemusic811511 ай бұрын

    Kaka maginga toboooo iloooooooooooooooooooo HONGERA SANA BOSS

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Shukrani

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Likowapi

  • @Vascomadaso
    @Vascomadaso5 ай бұрын

    Safy

  • @sf2tv
    @sf2tv11 ай бұрын

    Kazi zuli tukaze kijana

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    10 ай бұрын

    Shukrani

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is11 ай бұрын

    Kaz nzuri sana ❤❤

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Asante

  • @user-fd8ce8ct2m
    @user-fd8ce8ct2m11 ай бұрын

    Kumbe inauma babu

  • @Deamediatz
    @Deamediatz11 ай бұрын

    Nakuamini dady sina shaka na wewe🔥

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Nakubaliana na wewe sikupingi asante

  • @user-xv9me9lm6g

    @user-xv9me9lm6g

    11 ай бұрын

    Tuletee movie ya jinamizi please

  • @user-xv9me9lm6g

    @user-xv9me9lm6g

    11 ай бұрын

    Sultan tamba musa banzi

  • @Ezekiel224
    @Ezekiel22410 ай бұрын

    good job

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    10 ай бұрын

    Thanks

  • @mwanaharusichizikalama7790
    @mwanaharusichizikalama779011 ай бұрын

    Wow amazing ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Thaks u

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Thanks

  • @jenniferdadili4197
    @jenniferdadili419710 ай бұрын

    Nzuli sana❤❤

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    10 ай бұрын

    Asante sana

  • @sammasadika9598
    @sammasadika959811 ай бұрын

    imewenza sana ❤

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Shukrani tembelea chini utakutana nazo nyengine kali

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Peluzi kwa chini baada ya hii tumekuwekea ntengine uwiyangalia

  • @zakia4169

    @zakia4169

    11 ай бұрын

    ​@@butuamagingaBrother tupee next part 😂😂😂

  • @jamillahassan3405
    @jamillahassan340511 ай бұрын

    Wow ❤❤❤❤

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    10 ай бұрын

    Thanks

  • @ssa4542
    @ssa454211 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @juliethenry9507
    @juliethenry950711 ай бұрын

    Kuna sehemu ya pili🫣n swali tu.... Tamu sana 😊

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Asante sana

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Hapana aina sehemu ya pili bos

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    10 ай бұрын

    Hapana

  • @shafiimhagama2494
    @shafiimhagama249411 ай бұрын

    jitahid bos mandevuu

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Ok bos

  • @furahayaafrica9003
    @furahayaafrica900311 ай бұрын

    Tuna feli wapi kk

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    Swala la mda tu kaka

  • @butuamaginga

    @butuamaginga

    11 ай бұрын

    😊😊😊😊😊