TAFSIRI YA NDOTO UNAPOONA PETE USINGIZINI | UTAKAYEMUITA ATAKUITIKIA AU UNA KIUMBE KILICHOKUPENDA
#RiyadhTvZnz #Zanzibar #Tafsiriyandoto
Жүктеу.....
Пікірлер: 38
@Simbawanga-uo3idАй бұрын
Amina
@oman1oman1794 ай бұрын
Waleikumsalam warahmatullaah wabarakatuh
@Simbawanga-uo3id3 ай бұрын
Amina Amina
@user-nb8fe6ux7j3 ай бұрын
Alhamdulilah shehe nimeota nimevushwa pete na mtu ninaemfaham
@oman1oman1794 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤mimi nimeota pete mbili za dhahabu
@VeronicaMushi-ms1tn Жыл бұрын
Asante sana.
@user-hp6eb2cl1w5 ай бұрын
Thanks
@dumasbajun0012 Жыл бұрын
Waalaikum Ssalam Maa Shaa ALLAH Shukran Sheikh
@solsimaniakanam7843
11 ай бұрын
Salaam mimi nimeota musalaba na pete inamanisha nini
@Magdalena-tz7ukАй бұрын
Nimeota nimepewa pete na x wangu yani mzazi mwenzangu lakn akanambia niivae kidole kidogo lkn pia inarangi ya dhahabu kote kidani cha juu umbo la love
@MukamusoniHawa-cj2yc Жыл бұрын
Allahu akbaru
@chrimskasal47762 жыл бұрын
Mashallah
@aishaomari904Ай бұрын
Assalam alaykum,nimeota nimevaa pete mbili,ya ndoa na uchumba,ya uchumba ikadondoka halafu nikawa siioni hlf ile ya ndoa ilobaki kidoleni ikawa inanibana sana kwenye kidole
@minaa1488 Жыл бұрын
Aslm alkm shekh, Je ukiota unavishwa mkufu
@marieclarissangani4006 Жыл бұрын
Hiyo imenigusa kbs 🙏🙏
@annmamakesymon1678 Жыл бұрын
Nimeota nimevishwa Pete na mama nyangu mzazi.....naomba unifafanulie tafadhali
@khadijagazal8700 Жыл бұрын
Habari mtabiri wa ndoto zetu mimi leo nimeota nimevaa pete mbili kwenye kidole kimoja naomba unifafanulie
@hamzaalsharif71953 жыл бұрын
Maaalim hiyoo imenigusa sana nataka namba zakoo nitazipata vipi ninamengi nataka nikueleze kuhusu hiyo ndoto ya pete ishaAllah
@UmmuMariam-gq3qs
7 ай бұрын
Ndoto ya Pete imenigusa nifanye ili Mungu anibarikie
@DonarMikidad-mv3gm8 ай бұрын
Asalam alaykum Mimi sheh niliota nipo sehemu ya pori alafu nikakuta Pete tatu nikachukuwa zote tatu alafu nikavaa Pete Moja kati ya hizo alafu ikawa nikiivuwa haivuki alafu hiyo Pete inakito Cha kijani kibichi
@awaahassan936 Жыл бұрын
maalim Mimi niliota nimemeuona muuzaji Pete anauza kisha nikamsimamisha kuna Pete moja ya gold ilipendezea Sana nikamuuliza bei akaniambia.Alisema iyo Pete inatoa husda.basi nikainunua Ila nilipoivaa nikaisi kuvutwa Sana kwenye kidole Ila nilitupa hii inamanisha nini maalim
@hamzaalsharif71953 жыл бұрын
Aslm alkum
@user-ky9lw9ds3f2 ай бұрын
Nimeota nmebebe abiria na tktk yngu kupaleka alikokuwa anaenda alipotaka kushiku alishuka na kunipa pete ya silver kichwa cha kijani kibichi na dada huyo alitokomea maboromokoni nn maana yke
@fahidashishi2555 ай бұрын
Nimeota nipo lafiki yngu wakike nikaokota Pete yandoa mwezangu akaniomba nikampaa naendaa mbelee nikaokota Pete yengine lakini apajuu inachapa simba nikaivaa nini maan yke shkhee
@DidaHashim-fb8bd Жыл бұрын
Mm pia nimeota navalishwa pete ya dhahab lkn nikawa nakataa zaid ya mara tatu
@htty2 жыл бұрын
Nimeota nimevaa Pete zamaajabu tena mikono yote zakilaana kisha nikaona dada moja Pia yeye amevaa Pete mikono yote vidole vyote kama mimi
@njorijanavenand3632 Жыл бұрын
Mimi nimeota muzungu kanivika pete ya ndoa n'a cheni vya zahabu akaniambia nikiwa nahitaji pesa nimuombe
@eriqfat-hkimathi5997 Жыл бұрын
A.a na kama nimeota pete zangu za shaba tatu nilizo zipoteza,naregeshewa ndotoni ...inamaana gani ?
@kuruthumshaban460 Жыл бұрын
Nimeota navishwa na mtoto waboss wangu ambaye ashaowa yani nikavua Ile yake ya ndoa akanivisha lakn baada ya mda nikaona kidole kilele kinapete nyengine kama Ile aliyonivisha mwanzo yani zikawa mbili jee inamaana gani.
@kuruthumshaban460
Жыл бұрын
Baada ya Hapo nikazivua huku nikizitaza nikiwa nafurahi Sana kisha nikazirudishia Tena kwenye kidole Changu nikiwa nimwenye furaha mno
@kennedyomollowayodi5414
Жыл бұрын
Nataka pete nawza pata
@EstherWAWERU-oe2pl Жыл бұрын
Nimeota mume wangu akivalisha x wake Pete inamanisha nn
@juliusaloyce5526 Жыл бұрын
Nimeota nimeokota Peta ya dhahabu
@magencheye791610 ай бұрын
Mi nimota Kuna mutu antaka kunivisha Pete ILa akagaili hii inamaana. Gani?
@MukamusoniHawa-cj2yc Жыл бұрын
Assalam alaikum,ukisema kukutunukia Mali hiyo Ina maana gani?kiswahili changu kidogo!nani anifasirie
@saidomari001 Жыл бұрын
Nauliza, kama umelala mara ukiamka waona Pete yako iko kitandani
Пікірлер: 38
Amina
Waleikumsalam warahmatullaah wabarakatuh
Amina Amina
Alhamdulilah shehe nimeota nimevushwa pete na mtu ninaemfaham
❤❤❤❤❤❤❤❤mimi nimeota pete mbili za dhahabu
Asante sana.
Thanks
Waalaikum Ssalam Maa Shaa ALLAH Shukran Sheikh
@solsimaniakanam7843
11 ай бұрын
Salaam mimi nimeota musalaba na pete inamanisha nini
Nimeota nimepewa pete na x wangu yani mzazi mwenzangu lakn akanambia niivae kidole kidogo lkn pia inarangi ya dhahabu kote kidani cha juu umbo la love
Allahu akbaru
Mashallah
Assalam alaykum,nimeota nimevaa pete mbili,ya ndoa na uchumba,ya uchumba ikadondoka halafu nikawa siioni hlf ile ya ndoa ilobaki kidoleni ikawa inanibana sana kwenye kidole
Aslm alkm shekh, Je ukiota unavishwa mkufu
Hiyo imenigusa kbs 🙏🙏
Nimeota nimevishwa Pete na mama nyangu mzazi.....naomba unifafanulie tafadhali
Habari mtabiri wa ndoto zetu mimi leo nimeota nimevaa pete mbili kwenye kidole kimoja naomba unifafanulie
Maaalim hiyoo imenigusa sana nataka namba zakoo nitazipata vipi ninamengi nataka nikueleze kuhusu hiyo ndoto ya pete ishaAllah
@UmmuMariam-gq3qs
7 ай бұрын
Ndoto ya Pete imenigusa nifanye ili Mungu anibarikie
Asalam alaykum Mimi sheh niliota nipo sehemu ya pori alafu nikakuta Pete tatu nikachukuwa zote tatu alafu nikavaa Pete Moja kati ya hizo alafu ikawa nikiivuwa haivuki alafu hiyo Pete inakito Cha kijani kibichi
maalim Mimi niliota nimemeuona muuzaji Pete anauza kisha nikamsimamisha kuna Pete moja ya gold ilipendezea Sana nikamuuliza bei akaniambia.Alisema iyo Pete inatoa husda.basi nikainunua Ila nilipoivaa nikaisi kuvutwa Sana kwenye kidole Ila nilitupa hii inamanisha nini maalim
Aslm alkum
Nimeota nmebebe abiria na tktk yngu kupaleka alikokuwa anaenda alipotaka kushiku alishuka na kunipa pete ya silver kichwa cha kijani kibichi na dada huyo alitokomea maboromokoni nn maana yke
Nimeota nipo lafiki yngu wakike nikaokota Pete yandoa mwezangu akaniomba nikampaa naendaa mbelee nikaokota Pete yengine lakini apajuu inachapa simba nikaivaa nini maan yke shkhee
Mm pia nimeota navalishwa pete ya dhahab lkn nikawa nakataa zaid ya mara tatu
Nimeota nimevaa Pete zamaajabu tena mikono yote zakilaana kisha nikaona dada moja Pia yeye amevaa Pete mikono yote vidole vyote kama mimi
Mimi nimeota muzungu kanivika pete ya ndoa n'a cheni vya zahabu akaniambia nikiwa nahitaji pesa nimuombe
A.a na kama nimeota pete zangu za shaba tatu nilizo zipoteza,naregeshewa ndotoni ...inamaana gani ?
Nimeota navishwa na mtoto waboss wangu ambaye ashaowa yani nikavua Ile yake ya ndoa akanivisha lakn baada ya mda nikaona kidole kilele kinapete nyengine kama Ile aliyonivisha mwanzo yani zikawa mbili jee inamaana gani.
@kuruthumshaban460
Жыл бұрын
Baada ya Hapo nikazivua huku nikizitaza nikiwa nafurahi Sana kisha nikazirudishia Tena kwenye kidole Changu nikiwa nimwenye furaha mno
@kennedyomollowayodi5414
Жыл бұрын
Nataka pete nawza pata
Nimeota mume wangu akivalisha x wake Pete inamanisha nn
Nimeota nimeokota Peta ya dhahabu
Mi nimota Kuna mutu antaka kunivisha Pete ILa akagaili hii inamaana. Gani?
Assalam alaikum,ukisema kukutunukia Mali hiyo Ina maana gani?kiswahili changu kidogo!nani anifasirie
Nauliza, kama umelala mara ukiamka waona Pete yako iko kitandani
Nini maana ya kuota mlemavu
Thanks