TAFSIRI YA NDOTO UNAPOONA PETE USINGIZINI | UTAKAYEMUITA ATAKUITIKIA AU UNA KIUMBE KILICHOKUPENDA

#RiyadhTvZnz #Zanzibar #Tafsiriyandoto

Пікірлер: 38

  • @Simbawanga-uo3id
    @Simbawanga-uo3idАй бұрын

    Amina

  • @oman1oman179
    @oman1oman1794 ай бұрын

    Waleikumsalam warahmatullaah wabarakatuh

  • @Simbawanga-uo3id
    @Simbawanga-uo3id3 ай бұрын

    Amina Amina

  • @user-nb8fe6ux7j
    @user-nb8fe6ux7j3 ай бұрын

    Alhamdulilah shehe nimeota nimevushwa pete na mtu ninaemfaham

  • @oman1oman179
    @oman1oman1794 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤mimi nimeota pete mbili za dhahabu

  • @VeronicaMushi-ms1tn
    @VeronicaMushi-ms1tn Жыл бұрын

    Asante sana.

  • @user-hp6eb2cl1w
    @user-hp6eb2cl1w5 ай бұрын

    Thanks

  • @dumasbajun0012
    @dumasbajun0012 Жыл бұрын

    Waalaikum Ssalam Maa Shaa ALLAH Shukran Sheikh

  • @solsimaniakanam7843

    @solsimaniakanam7843

    11 ай бұрын

    Salaam mimi nimeota musalaba na pete inamanisha nini

  • @Magdalena-tz7uk
    @Magdalena-tz7ukАй бұрын

    Nimeota nimepewa pete na x wangu yani mzazi mwenzangu lakn akanambia niivae kidole kidogo lkn pia inarangi ya dhahabu kote kidani cha juu umbo la love

  • @MukamusoniHawa-cj2yc
    @MukamusoniHawa-cj2yc Жыл бұрын

    Allahu akbaru

  • @chrimskasal4776
    @chrimskasal47762 жыл бұрын

    Mashallah

  • @aishaomari904
    @aishaomari904Ай бұрын

    Assalam alaykum,nimeota nimevaa pete mbili,ya ndoa na uchumba,ya uchumba ikadondoka halafu nikawa siioni hlf ile ya ndoa ilobaki kidoleni ikawa inanibana sana kwenye kidole

  • @minaa1488
    @minaa1488 Жыл бұрын

    Aslm alkm shekh, Je ukiota unavishwa mkufu

  • @marieclarissangani4006
    @marieclarissangani4006 Жыл бұрын

    Hiyo imenigusa kbs 🙏🙏

  • @annmamakesymon1678
    @annmamakesymon1678 Жыл бұрын

    Nimeota nimevishwa Pete na mama nyangu mzazi.....naomba unifafanulie tafadhali

  • @khadijagazal8700
    @khadijagazal8700 Жыл бұрын

    Habari mtabiri wa ndoto zetu mimi leo nimeota nimevaa pete mbili kwenye kidole kimoja naomba unifafanulie

  • @hamzaalsharif7195
    @hamzaalsharif71953 жыл бұрын

    Maaalim hiyoo imenigusa sana nataka namba zakoo nitazipata vipi ninamengi nataka nikueleze kuhusu hiyo ndoto ya pete ishaAllah

  • @UmmuMariam-gq3qs

    @UmmuMariam-gq3qs

    7 ай бұрын

    Ndoto ya Pete imenigusa nifanye ili Mungu anibarikie

  • @DonarMikidad-mv3gm
    @DonarMikidad-mv3gm8 ай бұрын

    Asalam alaykum Mimi sheh niliota nipo sehemu ya pori alafu nikakuta Pete tatu nikachukuwa zote tatu alafu nikavaa Pete Moja kati ya hizo alafu ikawa nikiivuwa haivuki alafu hiyo Pete inakito Cha kijani kibichi

  • @awaahassan936
    @awaahassan936 Жыл бұрын

    maalim Mimi niliota nimemeuona muuzaji Pete anauza kisha nikamsimamisha kuna Pete moja ya gold ilipendezea Sana nikamuuliza bei akaniambia.Alisema iyo Pete inatoa husda.basi nikainunua Ila nilipoivaa nikaisi kuvutwa Sana kwenye kidole Ila nilitupa hii inamanisha nini maalim

  • @hamzaalsharif7195
    @hamzaalsharif71953 жыл бұрын

    Aslm alkum

  • @user-ky9lw9ds3f
    @user-ky9lw9ds3f2 ай бұрын

    Nimeota nmebebe abiria na tktk yngu kupaleka alikokuwa anaenda alipotaka kushiku alishuka na kunipa pete ya silver kichwa cha kijani kibichi na dada huyo alitokomea maboromokoni nn maana yke

  • @fahidashishi255
    @fahidashishi2555 ай бұрын

    Nimeota nipo lafiki yngu wakike nikaokota Pete yandoa mwezangu akaniomba nikampaa naendaa mbelee nikaokota Pete yengine lakini apajuu inachapa simba nikaivaa nini maan yke shkhee

  • @DidaHashim-fb8bd
    @DidaHashim-fb8bd Жыл бұрын

    Mm pia nimeota navalishwa pete ya dhahab lkn nikawa nakataa zaid ya mara tatu

  • @htty
    @htty2 жыл бұрын

    Nimeota nimevaa Pete zamaajabu tena mikono yote zakilaana kisha nikaona dada moja Pia yeye amevaa Pete mikono yote vidole vyote kama mimi

  • @njorijanavenand3632
    @njorijanavenand3632 Жыл бұрын

    Mimi nimeota muzungu kanivika pete ya ndoa n'a cheni vya zahabu akaniambia nikiwa nahitaji pesa nimuombe

  • @eriqfat-hkimathi5997
    @eriqfat-hkimathi5997 Жыл бұрын

    A.a na kama nimeota pete zangu za shaba tatu nilizo zipoteza,naregeshewa ndotoni ...inamaana gani ?

  • @kuruthumshaban460
    @kuruthumshaban460 Жыл бұрын

    Nimeota navishwa na mtoto waboss wangu ambaye ashaowa yani nikavua Ile yake ya ndoa akanivisha lakn baada ya mda nikaona kidole kilele kinapete nyengine kama Ile aliyonivisha mwanzo yani zikawa mbili jee inamaana gani.

  • @kuruthumshaban460

    @kuruthumshaban460

    Жыл бұрын

    Baada ya Hapo nikazivua huku nikizitaza nikiwa nafurahi Sana kisha nikazirudishia Tena kwenye kidole Changu nikiwa nimwenye furaha mno

  • @kennedyomollowayodi5414

    @kennedyomollowayodi5414

    Жыл бұрын

    Nataka pete nawza pata

  • @EstherWAWERU-oe2pl
    @EstherWAWERU-oe2pl Жыл бұрын

    Nimeota mume wangu akivalisha x wake Pete inamanisha nn

  • @juliusaloyce5526
    @juliusaloyce5526 Жыл бұрын

    Nimeota nimeokota Peta ya dhahabu

  • @magencheye7916
    @magencheye791610 ай бұрын

    Mi nimota Kuna mutu antaka kunivisha Pete ILa akagaili hii inamaana. Gani?

  • @MukamusoniHawa-cj2yc
    @MukamusoniHawa-cj2yc Жыл бұрын

    Assalam alaikum,ukisema kukutunukia Mali hiyo Ina maana gani?kiswahili changu kidogo!nani anifasirie

  • @saidomari001
    @saidomari001 Жыл бұрын

    Nauliza, kama umelala mara ukiamka waona Pete yako iko kitandani

  • @yunisalfarsi6168
    @yunisalfarsi61682 жыл бұрын

    Nini maana ya kuota mlemavu

  • @Diana-qx5qf
    @Diana-qx5qf Жыл бұрын

    Thanks

Келесі