Slave Becomes A King- Darassa | Jukebox
Музыка
Enjoy the latest Album of Darassa "Slave Becomes A King''
#Darassa #SlaveBecomesAKing #DarassaSongs
1- Proud Of you ft. Alikiba- 00:00
2- Waiter ft. Mr. Burudani- 3:40
3- Umeniroga ft. Kassim Mganga- 6:07
4- Nimetumwa Pesa ft. Bill Nas & Ben Pol - 09:27
5- Loyalty ft. Mario & Nandy- 12:32
6- Size Yao ft. Ft. Dogo Janja- 15:58
7- Usiniletee shida ft. Femy One- 19:17
8- Blessings ft. Abbah & Mr. Ttoch- 22:36
9- Love Is Free ft. Winy- 25:42
10- Hands Up ft. Maua Sama- 28:20
11- Lock Me Down ft. Jaiva- 31:31
12- My Life ft. Chibwa & Marisa- 34:50
13- Utantoa Roho ft. Juma Kakare & Eddy Kenzo & B2C- 37:57
14- Hasso- 41:28
15- Nikiondoka- 45:01
16- Segedance ft. Rich Mavovo- 47:40
17- Shemeji ft. Baraka De Price- 51:25
18- Hatter: 54:35
19- Nana ft. G-Boy- 57:59
20- Boss it ft. Ben Pol- 1:01:54
21- I like It ft. Sho Madjozi- 1:04:34
Follow Me on:
Instagram: / darassacmg255
Twitter: / darassa_cmg
Digital Distribution and Promotion by Ziiki Media
Пікірлер: 1 100
Team kiba tujuane tafadhali
Ambao tupo tunaisikiliza twende sambamba wadau (like tu nijue kama upo)
Best Album from Tanzania ,asante Darassa kwa kazi bora.
Tunaomkubali king sizioni like zenu fanya halaka uchelewe👍
Aliekubali kiba kaua 🔥 twende
Vitu vitamu ndiovinavyo galamiwa. dadadaaaaaak!
Mashabiki wa mziki...mzuri wapo kwa kingkiba...kuna kitu umejiongza mwanangu..kwaku mshirikisha huyu mwamba nice song
DARASSA DARASSA,,,,IS A REAL MC,REAL RAPPER AMBAE ANATISHA SIKU ZOTE,,,,KWA IDEA,UANDISHI,STYLE NA KILA KITU.TUNGO ADIMU SANA na huwezi choka kumsikiliza huyu jamaa.Tukubali tu kwamba DARASSA ni Genius wa hii game,Kama unamkubali DARASSA WEKE LIKEEEEE👍👍
Don't proud other king kiba and slave king Alikiba x darsa mtisha Ndio team za kibabe Like kwa ngoma Kali hii
@kingsmusicfans1416
3 жыл бұрын
YEEEEBABA
Mr burudani kakutana na king wa music like kwa king
@kingsmusicfans1416
3 жыл бұрын
YEEEEBABA
@alibrown508
3 жыл бұрын
Yah
@shukranipicha4004
3 жыл бұрын
Pamoja mwamba kumbe ww unajua kama jebe hapo nampin nishida ila kib
@mwanaidiissah3574
3 жыл бұрын
Kiba 👑
@chudabad6539
3 жыл бұрын
@@mwanaidiissah3574 shidaaa
Wimbo mzr sn biggest kwa wote Da and Al
Sasa wewe ndie ulie funga mwaka kaka salute
Yeebaba mfalume king kiba atabaki kua juuu ajawahi kosea 🔥
Welldone Femmy one. Haujatuangusha kama +254, good girl.
1,2,5,6,9,10,13 nmezielewa Sanaa King of Hip hop Darasa 🔥💯
King kiba alitumwa ajeaimbe mziki kwasababu hio sauti kalisana 🔥🔥🔥🔥.
Darassa pia ni team kiba... Imagine hit 21 hakuna artist kutoka pande zile...Team kiba hands uppppppppppp
@perfectmelodiz3345
3 жыл бұрын
Ana hela???
@enockkifaru4121
3 жыл бұрын
@@perfectmelodiz3345 Darassa na king kiba wote wana uwezo wa kumudu vyema maisha yao... Pia mxiki
@tibeitajoseph6646
3 жыл бұрын
Tunasikiliza mziki mzr ww unaleta utimu hapa ...mpumbavu sanaaaaa ...wimbo no.18 hatter unakuhusu mbulula ww
@enockkifaru4121
3 жыл бұрын
@@tibeitajoseph6646 text yangu haijatukana mtu... Na mziki ni ushabiki.. Niko hapa kwaajili ya mziki alioimba king kiba.. King kakutana na king.... Vitu vya kifalme zaidi.. Ukiitaji kutukana.. Tafuta mtu Mngine... Team kiba hapa.. Mziki mzuriii
@enockkifaru4121
3 жыл бұрын
@@tibeitajoseph6646 text yangu haijatukana mtu... Na mziki ni ushabiki.. Niko hapa kwaajili ya mziki alioimba king kiba.. King kakutana na king.... Vitu vya kifalme zaidi.. Ukiitaji kutukana.. Tafuta mtu Mngine... Team kiba hapa.. Mziki mzuriii
Sijaanza skiza hizi nyimbo ila the fact that umetoa hizi nyimbo Kwa pamoja . Full respect
Darasa darasa darasa nimekuita mara tatu unajua bro mix king kiba🔥🔥🔥🔥
Yebaba wapili yaaaaa
Dah hi album imevunjaaa record .big up sana darasaaaa your veryy genious
Kaka kachemusha moto kwelikweli ....kitu safi kabisaa ..KING forever 💞...mpe like na share out please
Hatarifaya 🔥🇹🇿 kweli ✍️ mzeebaba
Tulio rudilia number 1 baada ya kumaliza kusikiliza album nzima tujuane hapa
Kumfananisha Alikiba na msanii yeyote wa Bongo Fleva ni tusi kubwa sana, Proud of u Ally unajua sana
@msilu_nekta91.
Жыл бұрын
umenena sana
Jamn hii nyimbo ya proud 4u darasa na kiba mmetulia sanaaa kuzidi zotee Alikiba ni fire
Yamotooo💥💥💥 team kiba like zenu km mpo kweliiii
Kama Unasikiliza ngoma Kali huku unasoma comment gonga like hapa Hii Album ni 🔥🔥🔥
@thomasmahama9987
3 жыл бұрын
Umejuaje?
@nondombilizi6624
3 жыл бұрын
Umejuaje
@bengang3265
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/m3islbmikquxh9Y.html
@user-xi1pi4zr3b
3 жыл бұрын
@@nondombilizi6624 😂😂😂 King darasa ajawaikutuangusha
Naiskiza mpaka mwisho hii album moto sana, proud of you is the best ft the king
Kakaya from 254 album imeweza King of rap and King kiba iyo ngoma imeweza nimengoja video kweli ww ndo darasa endelea kuwasomesha jamani💪💪💪💪💪👏👏👏👏👏👏🍓🍓🍓🍓🍓
Naona kama umeniroga Wanasema kwamba umeniroga Naamini hujaniroga. Mganga mashineeeee. Miss this guy
🙌🗣 oyooooooooo wanangu tem kiba
Nikiondoka na segedance na proud of you ni firee noma sana
Usiniletee shida ft femi one iko vizuri
Daaah bonge moja la album asee!! Mr burudani hauna baya haujawahi kuniangushaga mzee baba
Wa Tanzania let support Darasa 🔥🔥🔥🔥✍️
Kwenye kazi zako hujawai koseaga superbly bro
Kiukweli hujakosea hiyo kuiweka namba one broo tam balaa imagn hata nikudensi na densi kwa ilivo bomba👏👏sahiiapa
Darasa Yani ww ninoma kwenye mziki umejuwa kuchakuwa mpk jina la mziki mn mziki wako nidarasa tosha kaka big up sanaaaaa
Najua brother ukikaa kimya unaleta vitu kweli 💪💪🇹🇿🇹🇿
Hadi track zote 21 ziishe,zote nasikiliza,kama unaniunga mkono like twende sawa
@evangunge8348
3 жыл бұрын
Tupoo
@zuberimbua3632
3 жыл бұрын
@@evangunge8348 uhakika boy
@Agnes-qq4np
3 жыл бұрын
Kabisa
@viktamade
3 жыл бұрын
Nakuomba unisapoti kwa kutazama nyimbo yangu na pia usiache kusubscribe maana naamini utabarikiwa.Bonyeza hapa👉👉kzread.info/dash/bejne/foGet5qlis_YnMY.html Mungu akubariki
@viktamade
3 жыл бұрын
@@evangunge8348 Nakuomba unisapoti kwa kutazama nyimbo yangu na pia usiache kusubscribe maana naamini utabarikiwa.Bonyeza hapa👉👉kzread.info/dash/bejne/foGet5qlis_YnMY.html Mungu akubariki
Nani Amekwama No.5👌 Hasongi 6 yuwa repeat 5 ka mimi tujuane hapa Goma kali👌...Mapenzi sio kama pesa bank utampa mtu bunduki akazichukue...👌
🤲 Mola akupe nyimbo zaidi na zaidi kaka. Your music sooths my mind ever👌🇰🇪 Qatar 🇧🇭 twaburudika kwa nyimbo zako.
Lazima Kuna wale waliosikiliza album yote afu wakarudilia tena kusikiliza nyimbo namba ya #proud of you
King alikiba ni mmoja tu kwenye hii dunia
Uko vzur king🤯
Jamani nampenda sana Darassa. Mob love from Kenya 001
Umetxh darasa piah ujakoxea kumxhrikixha king
Kwel hiy ngom king kiba na kasem ndy mue tixha xan nime xikiliz zot ila kwel kiba na kasum mume tixha
Album ambayo imesimama truck zotee Darassa amewapa somo from no1 to 21 ni🔥🔥🔥🔥
Proud of you imetishaaaaa.like unakubali kazi ya king kiba
Darassa mtunzi mzuri sana hauna kazi mbovu respect broo much love you from Burundi 🇧🇮
Alikiba alichokifanya kwenye hii hiyo Audio ya kwanza, ila ukiachana na Alikiba, kuna mtu anaitwa Ben paul, Billnas, Janjaro, Mario, Nandy, Maua Sama, Baraka De prince, Rich Mavoko na wengine ambao sijawataja kwa hakika wamefanya kazi nzuri sana kwa Hii Album ya Mr Burudani! Hongera Darassa kwa kazi nzuri🙏
@mohammedrashid7735
3 жыл бұрын
Ugumu nliopata kwenye hii album ni kujua upi ni wimbo mkali zaid dah zote on fire
@veronicammary6783
3 жыл бұрын
Daaah Albamu nimeisikia paka mwisho nimefrah cz hakuna maneno Mr burudan ulioy yarudia ila Alio uwa kweny Alibamu yako broo ni Alikiba____king ni noma ila kuna m2 km kasim mganga,Ben pol,bill nass,marioo,nandy, barak d prince,show madjoz,G,boy,dogo Jana pia katisha sana,,na wngn weng km sama na mavoko
@evangunge8348
3 жыл бұрын
Yeah wanastahili pongezi sanaa
Nawashangaa wanaodislike,,,wanaojua mzki mzuri let's go mpk namba ❤
Track number 5 imeweza Sana Loyalty!!!!!
Aisee hii albam ni kali sana nakubali ngoma nkali kupita maelezo
Asante sana Darassa kwa muziki ulio enda shule...mistari zako moto sanaaa
Hongera sana Darasa hizi siku zote ulikuwa kinya nilikuwa najiuliza ulianda wapi na wala uliacha mziki kumbi ulikuwa unatunga sheria Congratulations kwakazi nzuri uzidi ku tuburudisha.
@markpeter7101
3 жыл бұрын
Uyu ni mwamba aisee alafu ni Sheria kweli,🔥🔥🔥🔥eeeeh jamaaa hapewi support ya kutosha na media za tz
Congo 🇨🇩. Ouganda 🇺🇬 Tanzani🇹🇿 Kenya 🇿🇦 like zenyu zaitajika apa
@mrmmare6703
3 жыл бұрын
Kenyan flag ndio hii🇰🇪 aisee, hiyo ingine ni ya S. Africa flag🇿🇦 ila poa tuu, One love❤️❤️
@premicessondirya275
3 жыл бұрын
@@mrmmare6703 asante
Huu wimbo ni moto wa kuotea mbali 👑 king kama 👑 king🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kiba aya wai ni angusha jamani, like APO kutoka Congo
Ngoma Kali saana Darasa (ClassRoom) King meet King.
Oooh from 1 to 21 🔥🔥🔥 sijaja kuchekesha naku elewesha 🙈🤩🙈 jmn Team Darassa like tujuane 😍
Usimchokoze komando kalala akiamka biashara shaghala baghala. Segedance on fire. Mavokoooo
nambie umesikiliza hadi pin la ngapi hadi sasa, ##king class
Dah MARIOO KATISHA SANA, royality is my favorite song and umeniroga ft kassim mganga then proud of you ft alikiba💪🏽💪🏽.🔥🔥🔥
Good music imekubalika hiyoo nawe kama unakubali gonga like hapa usawa ukae saws...
Segedance ft mavoco 🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽ndo kali kuliko zote
Kizazi sana Darassa haujawai niangusha....big up👏👏👏👏👏👏👏👏👏👌
Muziki unavisa vingi kama ndoa ya mgumba, ukiwa na moyo mdogo unaweza ukakuvunja vunja. Hands up nmeielewa xan
@ramadhansalum6800
3 жыл бұрын
Sanaa
@dicksonmajaliwa127
3 жыл бұрын
king kiba atar san unatisha like zenu jamn kwa king
Kuandaa album siyo kitu Cha mchezo congratulations to you bro @darasa @Mr BURUDANI.
Darassa ft Kassim mganga🔥🔥🔥
@ommyakili552
3 жыл бұрын
Huyu mwamba kauwa korasi Kasimu khaa sio powa
@karimchindema9823
3 жыл бұрын
Mmmh! Noma sana
❤❤❤❤🇰🇪👏👏bravo King,,,unajua kupitilizaaaa
A slave becomes king imepita hii vizuri
Nashukuru nimemaliza album zima ila ben pol katisha zaidi. 👏👏👏
Team kiba tujuane 😍😍😍
Nimekua wa kwanza kabisa kucoment mbona nimewahi
Album aliyotoa DARASA saiv ni sawa na nyimbo zoote walizotowa WCB kwa mwaka uhuu mzima🙂🙌.
@allymohando6209
3 жыл бұрын
Naikubali Lp yote hakuna matusi copy paste hakuna ,hongera sana Niko uk hapa nainjoy,
My favorite African artist darassa big up hujai niangusha mziki unaburudisha na unapata knowledge💥💥💥
Kiujumla ngoza zote kali Hakuna ngoma mbovu,hii inaonesha namna gani ulijiandaa big up sanaaa
Noma sana mr burudani mbona me sipati like👇👇
Weeee kiba ume umizaaaa sana
Mr Burudani mawe 21 ngoma zote kali sana, ni hatarii
Ulifanya la maana ft Alkiba kuuweka mwanzonii ungekua mwishoni ningepata shida kuurudiarudia☺
@supertallone1902
3 жыл бұрын
😂😂
@Sabrina-tf9lb
3 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃
My favorite album .. Napendaga unavyoimbaga kaka.. Big up
"Mapenzi yanahitaji uyape Respect,,,commitment,,,Assurance"
Kwa kweli darassa amekuwa mmmh mwezi mzima nasikia hii album daaah media tz mnakosea Sana kutopush vitu real Ka hii album live long darassa from Kenya🔥🤗🤗🤗🙏🙏🙏🙏
Moto juu ya fire wapi nduru ya darasa more likes kwa kuachia bonga la album
Good song Bro You and King👑👑👑👑 You killed
Kassim mganga I really missed that vibe wapi likes za kassim
Best album 🔥🔥 sijasikia ngoma mbovu zote kalii tu
Femi one🇰🇪nkiwa🇶🇦nipeeni likes za femi one wadau
@hamadikassim3091
3 жыл бұрын
Kuja uchukua kutoka bahrain 🇧🇭
@kamaratsalimsafari8838
3 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪Mombasa
@anthonymachora459
3 жыл бұрын
@@kamaratsalimsafari8838 nrii
1) 7) 6) 14) 16 *Top 5 yangu kwenye hii ALBUM*
@mbcgrams5415
3 жыл бұрын
Namba 05 ni 🔥🔥
Alikiba 💯💯💯❣️
@deogratiuschuwa1666
3 жыл бұрын
Kama umeiyelewa (shemeji ) kutoka kwa baraka like zako nyingi hapa naomba.
This one of the best albums i have ever listened yani kila ngoma ni hit nipeni like tu from kenya, mombasa
Kuzaliwa ngalenaro kwangu ni baro...album imeshiba sana....tuendelee kusapoti mziki mzuri....keep good music alive
YEEEEBABA 🔥🔥🤴🤴
Aliemkubali king kiba gonga like
@neemachristian5163
3 жыл бұрын
N duah
Nimetumwa pesa is🔥🔥 Benard Paulo ni 💥💥
Mimi ni WCB fan nasema ivii huu mziki ndo wa kuwaweka wcb sawa manake wanatoaga miziki mizuri afu wakiona wanapendwa wanatoa makorokocho safi sana KIBA