Sifa 8 za mke mwema katika Uislamu - Ukht Fatma Mdidi

Hii ni Part 01 ya sehemu ya tano na ya mwisho ya Darasa la ndoa

Пікірлер: 64

  • @FatimaMbeyu-mn7yf
    @FatimaMbeyu-mn7yf6 ай бұрын

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, shukran sana ukhty Fatima kwa Kutujuza mafunzo mema ya Allah Subhanna Tabaraka wa Taala .Na kzr kipewe sifa yke MashaAllah Tabarakallah yan mawaidha yko yaezamfanya mtu akabadilisha matendo yke kutoka kwenye maovu hadi kuja kwenye mema kulingana na imani yke na kumcha Allah Azza wajallah na Allah akulinde na Shari za Dunia na akuzidishie umri mrefu AAMEEN. JUMMAH MUBARAQ KWAKO

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 Жыл бұрын

    Namkubali sana huyu Ukhty Kwa ajili ya ALLAH Mwenyezi MUNGU Numuomba ALLAH Amtunze Duniani na kesho Akhera AMIIN

  • @eddymaphy

    @eddymaphy

    4 ай бұрын

    Aamin yarabbil'alamin

  • @khadijahhamisi1882
    @khadijahhamisi1882 Жыл бұрын

    Inshaallah mungu atatuajalia tuwe miongoni mwa watu wema mashaallah dadaa fathima mungu akuzidishie Inshaallah mungu akipenda na sisi tukingiia kwa ndoa tuweze kujitahidi kwa uwezo wa mungu

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Жыл бұрын

    Masha Allha nakuelewa vizur Ostazati wetu

  • @safiasaif9741
    @safiasaif9741 Жыл бұрын

    Mashaallah ukhty nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @khadijahhamisi1882
    @khadijahhamisi1882 Жыл бұрын

    Ukthi fathima mashaallah nimependa sana hicho kisa cha fatuma na mke wa bilali unayoongea ni kweli dadaa watu wengi wanaishi maisha yakuigiza mungu akulinde popote ulipodadaa waongea na mdada kutoka kenya kwale County

  • @AishaB-gm7to
    @AishaB-gm7to4 ай бұрын

    Mashaa Allah shukran jazakallah

  • @frdosr5794
    @frdosr57949 ай бұрын

    Takbir!MashaAllah tabarakalah!Mafundisho mema kabisa,JazzakAllah khayran fii duniya wal Akhera InshaAllah dada.

  • @allymgombela6927
    @allymgombela6927 Жыл бұрын

    Allah awatie nguvu muwaanze kuwafundisha watt wa kike wanaokuwa ili Baadae waje kuwa wake wema kwa Waume zao,

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Жыл бұрын

    Assalamu alykumu warhatualla wabarakaatuh

  • @user-xh9su4qc6d
    @user-xh9su4qc6d5 ай бұрын

    Maasha Allah tabarakillah ❤❤❤ Allah azidi Kuku hifadhi dada yetu mpendwa .Barakallahu fiiki

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Жыл бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅Kweli kabisa hongera sana 💕💕💕💕💕💕💋

  • @aishabashirbashir-vv9lk
    @aishabashirbashir-vv9lk Жыл бұрын

    Mashallah

  • @mwanzegelekalu7092
    @mwanzegelekalu70927 ай бұрын

    Wallah Allah inshaAllah azijaze nyoyo zetu hima ya kuyatekeleza yoote yq faidha tunayopewa na dadaetu, ukhti wetu fatma. inshaAllah Mola amlipe mema kwa juhudi kubwa aifanyayo...

  • @eddymaphy
    @eddymaphy4 ай бұрын

    MashaAllah ❤

  • @rodgersomar6597
    @rodgersomar6597 Жыл бұрын

    Mashaa Allah ukhty Allah akuzidishie ilimu

  • @saidiabdi6993
    @saidiabdi6993 Жыл бұрын

    Mashaallah waoe elimu

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 Жыл бұрын

    Mashallah ukhty maneno mzr sana Jazakallah kheri Frm Kenya

  • @salmachabani3895
    @salmachabani3895 Жыл бұрын

    Asant san mama💖💖💖💖💖

  • @ommyjh8225
    @ommyjh8225 Жыл бұрын

    Tsfadhali Uhkty naomba unitafutie mchumba🙏

  • @a.856
    @a.856 Жыл бұрын

    Jazakallah khayran

  • @mhamadaldo7338
    @mhamadaldo73385 ай бұрын

    Allah atuogoze tuwe wake wema kwa waume zetu

  • @user-xh9su4qc6d
    @user-xh9su4qc6d5 ай бұрын

    Mimi nina shida ya namba Yako ya sim dada yangu mpendwa ❤ kwa ajili ya Allaah .Naomba

  • @maimunahhassan5132
    @maimunahhassan5132 Жыл бұрын

    Tunashukuru kwa darsa zuri ukht

  • @SayyedMusungu

    @SayyedMusungu

    7 ай бұрын

    Mashaallah

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye41456 ай бұрын

    Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh maisha Allah mawadhah mazuri sana

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam5107 Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @zaidahadhieno1171
    @zaidahadhieno1171 Жыл бұрын

    Ma sha Allah hayo mawaidha jazakallah kheir

  • @ommyjh8225
    @ommyjh8225 Жыл бұрын

    As salaam Alaykum warahmatulullahi wabarakaltu Uhkty Fatma

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 Жыл бұрын

    Mimi nakupenda sababu ume towa fundisho vizuli bila ku cheka cheka nafurahi sana lakini tena umenifunza mengi asanteni nakupenda bure umeongea vizuli

  • @rashidngumbao3346

    @rashidngumbao3346

    Жыл бұрын

    Asaalam aleikum nashukuru Sana kwa dharsa yako Allah kuongoza kwa njia ilio nyoka na akuzidishie elimu

  • @user-ss8hr9bz5g
    @user-ss8hr9bz5g4 ай бұрын

    Mm nauliza je ipo hukmu ya mke kukataa kuenda ukweni

  • @mshenzigamer2645
    @mshenzigamer2645 Жыл бұрын

    Jazaka Allah kheir.

  • @rwechunguraissa1394
    @rwechunguraissa1394 Жыл бұрын

    Siku hizi wanandoa wengi wanaishi kwa maudhui ya tamthilia za kijahili na mitandao potofu ya kijamii.

  • @MaryamSaid-lj2sz
    @MaryamSaid-lj2sz9 ай бұрын

    BaarakaAllah

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Жыл бұрын

    Huyo ni sheikhat aliye ujua Uislamu, anawarekebisha wanawake na wanaume, Ili wote wajitazame katika kioo cha Uislam.

  • @nsabimanasuleyman2008
    @nsabimanasuleyman2008 Жыл бұрын

    Hadjati tunashukuru mnoo ila kwa hawa wa leo

  • @user-oq6hb9hh2b
    @user-oq6hb9hh2b3 ай бұрын

    Mimi nilimpa taarifa mme wangu mama yngu amevunjika mguu amelazwa kesemc alikaa kimya. Nkamwomba ruhusa nikamwone. Mama. Yngu amelazwa. Alinijibu huyo siyo mama yngu akanijibu huyo ni mama yko mama yngu ameshafariki kesho yke pamekucha. Nikamkumbusha. Aliyonijibu Jana usiku. Akarudia vilevile alichosema sikuenda kumuona. Mama yngu mpaka alipo toka hospital. Nilipewa taarifa maendeleo y mama Basi nikamwachia mungu

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    3 ай бұрын

    Pole

  • @allymgombela6927
    @allymgombela6927 Жыл бұрын

    Ukhty wanawake kama hao kwa karne hii hawapo, Na hawatakuwepo. Mupo wachache sana munaotambua hayo.

  • @sadasaid7212

    @sadasaid7212

    Жыл бұрын

    Usiseme hivyo akhy, wanawake wema wapo, ifanyike tu juhudi kwa kila mzazi kutengeneza familia Bora itakayowatoa waume na wake wema! Kwa msaada wa Allah pekeyetu sisi hatuwezi

  • @mkanaonlinetv2994

    @mkanaonlinetv2994

    Жыл бұрын

    Allah Karim unajitahidi mno

  • @allymgombela6927
    @allymgombela6927 Жыл бұрын

    Wanaume Wengi kwa sasa tunalia Sana Kupata wake wema wanaoweza kufanya hayo lakn ni mtihani kupatikana, Kikubwa wanawake Wengi hawataki kusoma Dini na Kupata Muongozo wa Dini yetu ya Kiislaam

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    Njooo unioe mie.

  • @jamalkishangu

    @jamalkishangu

    Жыл бұрын

    Ni sheikh wangu wanawake wanaofuata mafundisho ya Kiislamu kwa sasa ni wachache sana. Wanapenda kujitambulisha kama Waislamu lakini sio kuufuata Uislamu. Wanawake wa Kiislamu hawaolewa kwa ajili ya dini, wanaolewa kwa kile wanachoita kutoa mkosi.

  • @sumeyaahmed4187
    @sumeyaahmed418711 ай бұрын

    Naomba namba ya ukhty fatma mdidi

  • @jumaamwamajeni1907
    @jumaamwamajeni19075 ай бұрын

    Mashallah Shukran kwa mafunzo mema mazuri mola akuhifadhi na akuzidishe Elmu.

  • @aliamour4970
    @aliamour49706 ай бұрын

    Kwanini kama sauti ya mwmke ni awra mtume akawaruhusu masahaba kwenda kuchukua elimu kwa kijanakike chekundu akimaanisha mama aishaa?

  • @farmah9685
    @farmah9685 Жыл бұрын

    Pole nani kakuruhusu sauti yako kusikika kwenye mitandao sauti pia ni awra

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    Жыл бұрын

    Umepata faida au umeangalia uchi

  • @womar4125

    @womar4125

    Жыл бұрын

    Hapo sasa watu wangapi wamepata faida Alhamdulillah mungu amuweke ukhty wetu

  • @jamalkishangu

    @jamalkishangu

    Жыл бұрын

    Uislamu ni jambo zito sana. Uislamu haumkatazi mwanamke kufundisha, sio kusikika sauti yake tu anaruhusiwa kukaa na wanaume na kuwafundisha, upo utaratibu wake. Rejea historia ya bi Aisha binti Abubakari swidiki r.a wakati maswahaba wakubwa walipopiga magoti kwake kupokea maarifa ya dini yao. Uislamu ni mwepesi kwa Kila muumini.

  • @dhulfikariftikar7736

    @dhulfikariftikar7736

    9 ай бұрын

    Hajasoma uyo na wala haelewi lakini pia na choyo anacho si unajuwa wanawake? Chuki tu hizo na mwanamke kama huyo kibri hata kwa mumewe

  • @BarakaChirume-wn9mi
    @BarakaChirume-wn9mi Жыл бұрын

    Xx

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 Жыл бұрын

    Sisi tu naye ishi huku uarabuni mbona wanawake wa huku hawati hizo tabia za muke mwema wanaitaga wa umewao majina yao hawapikii waume ao chakula hâta nguo hamuandalii ni sisi tu wa fanya kazi njo tunaudumia nyumba nzima wanawake wote huku ni kutazamatu sim ao téléphone nakula

  • @chantalalia4811

    @chantalalia4811

    Жыл бұрын

    Unaongeya vizuri dada yangu nahuko warabuni njokwenye chanzo cha dini mbona umesahau kutandikia kafiri yani boss hhhh wake wawarabuni feki sana Allah awanuru

  • @sadakimwaki9791

    @sadakimwaki9791

    Жыл бұрын

    Huku arabuni ni mtihani

  • @winnieanyango3951

    @winnieanyango3951

    Жыл бұрын

    Pesa zinaongea

  • @ruhaymanllymuhammed2094

    @ruhaymanllymuhammed2094

    Жыл бұрын

    Subhanalla nikweli nduguzetu wamejisahau sana

  • @azizayassin3623

    @azizayassin3623

    Жыл бұрын

    Sio kila muarabu ndio bora laaaa m bora wenu mbele yawenzimungu ni mchamungu sasa wewe fanya wewe kama wewe

  • @MwanaKombo-sh5hf
    @MwanaKombo-sh5hf Жыл бұрын

    Mashallah

Келесі