Sifa 8 za mke mwema katika Uislamu - Ukht Fatma Mdidi
Hii ni Part 01 ya sehemu ya tano na ya mwisho ya Darasa la ndoa
Жүктеу.....
Пікірлер: 64
@FatimaMbeyu-mn7yf6 ай бұрын
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, shukran sana ukhty Fatima kwa Kutujuza mafunzo mema ya Allah Subhanna Tabaraka wa Taala .Na kzr kipewe sifa yke MashaAllah Tabarakallah yan mawaidha yko yaezamfanya mtu akabadilisha matendo yke kutoka kwenye maovu hadi kuja kwenye mema kulingana na imani yke na kumcha Allah Azza wajallah na Allah akulinde na Shari za Dunia na akuzidishie umri mrefu AAMEEN. JUMMAH MUBARAQ KWAKO
@miangijunior4358 Жыл бұрын
Namkubali sana huyu Ukhty Kwa ajili ya ALLAH Mwenyezi MUNGU Numuomba ALLAH Amtunze Duniani na kesho Akhera AMIIN
@eddymaphy
4 ай бұрын
Aamin yarabbil'alamin
@khadijahhamisi1882 Жыл бұрын
Inshaallah mungu atatuajalia tuwe miongoni mwa watu wema mashaallah dadaa fathima mungu akuzidishie Inshaallah mungu akipenda na sisi tukingiia kwa ndoa tuweze kujitahidi kwa uwezo wa mungu
@fatmahemed2189 Жыл бұрын
Masha Allha nakuelewa vizur Ostazati wetu
@safiasaif9741 Жыл бұрын
Mashaallah ukhty nakupenda kwa ajili ya Allah
@khadijahhamisi1882 Жыл бұрын
Ukthi fathima mashaallah nimependa sana hicho kisa cha fatuma na mke wa bilali unayoongea ni kweli dadaa watu wengi wanaishi maisha yakuigiza mungu akulinde popote ulipodadaa waongea na mdada kutoka kenya kwale County
Allah awatie nguvu muwaanze kuwafundisha watt wa kike wanaokuwa ili Baadae waje kuwa wake wema kwa Waume zao,
@azizayassin3623 Жыл бұрын
Assalamu alykumu warhatualla wabarakaatuh
@user-xh9su4qc6d5 ай бұрын
Maasha Allah tabarakillah ❤❤❤ Allah azidi Kuku hifadhi dada yetu mpendwa .Barakallahu fiiki
@hamidaalhabsi8568 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅Kweli kabisa hongera sana 💕💕💕💕💕💕💋
@aishabashirbashir-vv9lk Жыл бұрын
Mashallah
@mwanzegelekalu70927 ай бұрын
Wallah Allah inshaAllah azijaze nyoyo zetu hima ya kuyatekeleza yoote yq faidha tunayopewa na dadaetu, ukhti wetu fatma. inshaAllah Mola amlipe mema kwa juhudi kubwa aifanyayo...
@eddymaphy4 ай бұрын
MashaAllah ❤
@rodgersomar6597 Жыл бұрын
Mashaa Allah ukhty Allah akuzidishie ilimu
@saidiabdi6993 Жыл бұрын
Mashaallah waoe elimu
@twalaataib7337 Жыл бұрын
Mashallah ukhty maneno mzr sana Jazakallah kheri Frm Kenya
@salmachabani3895 Жыл бұрын
Asant san mama💖💖💖💖💖
@ommyjh8225 Жыл бұрын
Tsfadhali Uhkty naomba unitafutie mchumba🙏
@a.856 Жыл бұрын
Jazakallah khayran
@mhamadaldo73385 ай бұрын
Allah atuogoze tuwe wake wema kwa waume zetu
@user-xh9su4qc6d5 ай бұрын
Mimi nina shida ya namba Yako ya sim dada yangu mpendwa ❤ kwa ajili ya Allaah .Naomba
@maimunahhassan5132 Жыл бұрын
Tunashukuru kwa darsa zuri ukht
@SayyedMusungu
7 ай бұрын
Mashaallah
@abdulsimbarakiye41456 ай бұрын
Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh maisha Allah mawadhah mazuri sana
@abdulragmababdulsalam5107 Жыл бұрын
Mashaallah
@zaidahadhieno1171 Жыл бұрын
Ma sha Allah hayo mawaidha jazakallah kheir
@ommyjh8225 Жыл бұрын
As salaam Alaykum warahmatulullahi wabarakaltu Uhkty Fatma
@jolemerci2155 Жыл бұрын
Mimi nakupenda sababu ume towa fundisho vizuli bila ku cheka cheka nafurahi sana lakini tena umenifunza mengi asanteni nakupenda bure umeongea vizuli
@rashidngumbao3346
Жыл бұрын
Asaalam aleikum nashukuru Sana kwa dharsa yako Allah kuongoza kwa njia ilio nyoka na akuzidishie elimu
@user-ss8hr9bz5g4 ай бұрын
Mm nauliza je ipo hukmu ya mke kukataa kuenda ukweni
@mshenzigamer2645 Жыл бұрын
Jazaka Allah kheir.
@rwechunguraissa1394 Жыл бұрын
Siku hizi wanandoa wengi wanaishi kwa maudhui ya tamthilia za kijahili na mitandao potofu ya kijamii.
@MaryamSaid-lj2sz9 ай бұрын
BaarakaAllah
@jamalkishangu Жыл бұрын
Huyo ni sheikhat aliye ujua Uislamu, anawarekebisha wanawake na wanaume, Ili wote wajitazame katika kioo cha Uislam.
@nsabimanasuleyman2008 Жыл бұрын
Hadjati tunashukuru mnoo ila kwa hawa wa leo
@user-oq6hb9hh2b3 ай бұрын
Mimi nilimpa taarifa mme wangu mama yngu amevunjika mguu amelazwa kesemc alikaa kimya. Nkamwomba ruhusa nikamwone. Mama. Yngu amelazwa. Alinijibu huyo siyo mama yngu akanijibu huyo ni mama yko mama yngu ameshafariki kesho yke pamekucha. Nikamkumbusha. Aliyonijibu Jana usiku. Akarudia vilevile alichosema sikuenda kumuona. Mama yngu mpaka alipo toka hospital. Nilipewa taarifa maendeleo y mama Basi nikamwachia mungu
@kalamuMedia
3 ай бұрын
Pole
@allymgombela6927 Жыл бұрын
Ukhty wanawake kama hao kwa karne hii hawapo, Na hawatakuwepo. Mupo wachache sana munaotambua hayo.
@sadasaid7212
Жыл бұрын
Usiseme hivyo akhy, wanawake wema wapo, ifanyike tu juhudi kwa kila mzazi kutengeneza familia Bora itakayowatoa waume na wake wema! Kwa msaada wa Allah pekeyetu sisi hatuwezi
@mkanaonlinetv2994
Жыл бұрын
Allah Karim unajitahidi mno
@allymgombela6927 Жыл бұрын
Wanaume Wengi kwa sasa tunalia Sana Kupata wake wema wanaoweza kufanya hayo lakn ni mtihani kupatikana, Kikubwa wanawake Wengi hawataki kusoma Dini na Kupata Muongozo wa Dini yetu ya Kiislaam
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Njooo unioe mie.
@jamalkishangu
Жыл бұрын
Ni sheikh wangu wanawake wanaofuata mafundisho ya Kiislamu kwa sasa ni wachache sana. Wanapenda kujitambulisha kama Waislamu lakini sio kuufuata Uislamu. Wanawake wa Kiislamu hawaolewa kwa ajili ya dini, wanaolewa kwa kile wanachoita kutoa mkosi.
@sumeyaahmed418711 ай бұрын
Naomba namba ya ukhty fatma mdidi
@jumaamwamajeni19075 ай бұрын
Mashallah Shukran kwa mafunzo mema mazuri mola akuhifadhi na akuzidishe Elmu.
@aliamour49706 ай бұрын
Kwanini kama sauti ya mwmke ni awra mtume akawaruhusu masahaba kwenda kuchukua elimu kwa kijanakike chekundu akimaanisha mama aishaa?
@farmah9685 Жыл бұрын
Pole nani kakuruhusu sauti yako kusikika kwenye mitandao sauti pia ni awra
@aliabdalla9297
Жыл бұрын
Umepata faida au umeangalia uchi
@womar4125
Жыл бұрын
Hapo sasa watu wangapi wamepata faida Alhamdulillah mungu amuweke ukhty wetu
@jamalkishangu
Жыл бұрын
Uislamu ni jambo zito sana. Uislamu haumkatazi mwanamke kufundisha, sio kusikika sauti yake tu anaruhusiwa kukaa na wanaume na kuwafundisha, upo utaratibu wake. Rejea historia ya bi Aisha binti Abubakari swidiki r.a wakati maswahaba wakubwa walipopiga magoti kwake kupokea maarifa ya dini yao. Uislamu ni mwepesi kwa Kila muumini.
@dhulfikariftikar7736
9 ай бұрын
Hajasoma uyo na wala haelewi lakini pia na choyo anacho si unajuwa wanawake? Chuki tu hizo na mwanamke kama huyo kibri hata kwa mumewe
@BarakaChirume-wn9mi Жыл бұрын
Xx
@jolemerci2155 Жыл бұрын
Sisi tu naye ishi huku uarabuni mbona wanawake wa huku hawati hizo tabia za muke mwema wanaitaga wa umewao majina yao hawapikii waume ao chakula hâta nguo hamuandalii ni sisi tu wa fanya kazi njo tunaudumia nyumba nzima wanawake wote huku ni kutazamatu sim ao téléphone nakula
@chantalalia4811
Жыл бұрын
Unaongeya vizuri dada yangu nahuko warabuni njokwenye chanzo cha dini mbona umesahau kutandikia kafiri yani boss hhhh wake wawarabuni feki sana Allah awanuru
@sadakimwaki9791
Жыл бұрын
Huku arabuni ni mtihani
@winnieanyango3951
Жыл бұрын
Pesa zinaongea
@ruhaymanllymuhammed2094
Жыл бұрын
Subhanalla nikweli nduguzetu wamejisahau sana
@azizayassin3623
Жыл бұрын
Sio kila muarabu ndio bora laaaa m bora wenu mbele yawenzimungu ni mchamungu sasa wewe fanya wewe kama wewe
Пікірлер: 64
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, shukran sana ukhty Fatima kwa Kutujuza mafunzo mema ya Allah Subhanna Tabaraka wa Taala .Na kzr kipewe sifa yke MashaAllah Tabarakallah yan mawaidha yko yaezamfanya mtu akabadilisha matendo yke kutoka kwenye maovu hadi kuja kwenye mema kulingana na imani yke na kumcha Allah Azza wajallah na Allah akulinde na Shari za Dunia na akuzidishie umri mrefu AAMEEN. JUMMAH MUBARAQ KWAKO
Namkubali sana huyu Ukhty Kwa ajili ya ALLAH Mwenyezi MUNGU Numuomba ALLAH Amtunze Duniani na kesho Akhera AMIIN
@eddymaphy
4 ай бұрын
Aamin yarabbil'alamin
Inshaallah mungu atatuajalia tuwe miongoni mwa watu wema mashaallah dadaa fathima mungu akuzidishie Inshaallah mungu akipenda na sisi tukingiia kwa ndoa tuweze kujitahidi kwa uwezo wa mungu
Masha Allha nakuelewa vizur Ostazati wetu
Mashaallah ukhty nakupenda kwa ajili ya Allah
Ukthi fathima mashaallah nimependa sana hicho kisa cha fatuma na mke wa bilali unayoongea ni kweli dadaa watu wengi wanaishi maisha yakuigiza mungu akulinde popote ulipodadaa waongea na mdada kutoka kenya kwale County
Mashaa Allah shukran jazakallah
Takbir!MashaAllah tabarakalah!Mafundisho mema kabisa,JazzakAllah khayran fii duniya wal Akhera InshaAllah dada.
Allah awatie nguvu muwaanze kuwafundisha watt wa kike wanaokuwa ili Baadae waje kuwa wake wema kwa Waume zao,
Assalamu alykumu warhatualla wabarakaatuh
Maasha Allah tabarakillah ❤❤❤ Allah azidi Kuku hifadhi dada yetu mpendwa .Barakallahu fiiki
😅😅😅😅😅😅😅Kweli kabisa hongera sana 💕💕💕💕💕💕💋
Mashallah
Wallah Allah inshaAllah azijaze nyoyo zetu hima ya kuyatekeleza yoote yq faidha tunayopewa na dadaetu, ukhti wetu fatma. inshaAllah Mola amlipe mema kwa juhudi kubwa aifanyayo...
MashaAllah ❤
Mashaa Allah ukhty Allah akuzidishie ilimu
Mashaallah waoe elimu
Mashallah ukhty maneno mzr sana Jazakallah kheri Frm Kenya
Asant san mama💖💖💖💖💖
Tsfadhali Uhkty naomba unitafutie mchumba🙏
Jazakallah khayran
Allah atuogoze tuwe wake wema kwa waume zetu
Mimi nina shida ya namba Yako ya sim dada yangu mpendwa ❤ kwa ajili ya Allaah .Naomba
Tunashukuru kwa darsa zuri ukht
@SayyedMusungu
7 ай бұрын
Mashaallah
Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh maisha Allah mawadhah mazuri sana
Mashaallah
Ma sha Allah hayo mawaidha jazakallah kheir
As salaam Alaykum warahmatulullahi wabarakaltu Uhkty Fatma
Mimi nakupenda sababu ume towa fundisho vizuli bila ku cheka cheka nafurahi sana lakini tena umenifunza mengi asanteni nakupenda bure umeongea vizuli
@rashidngumbao3346
Жыл бұрын
Asaalam aleikum nashukuru Sana kwa dharsa yako Allah kuongoza kwa njia ilio nyoka na akuzidishie elimu
Mm nauliza je ipo hukmu ya mke kukataa kuenda ukweni
Jazaka Allah kheir.
Siku hizi wanandoa wengi wanaishi kwa maudhui ya tamthilia za kijahili na mitandao potofu ya kijamii.
BaarakaAllah
Huyo ni sheikhat aliye ujua Uislamu, anawarekebisha wanawake na wanaume, Ili wote wajitazame katika kioo cha Uislam.
Hadjati tunashukuru mnoo ila kwa hawa wa leo
Mimi nilimpa taarifa mme wangu mama yngu amevunjika mguu amelazwa kesemc alikaa kimya. Nkamwomba ruhusa nikamwone. Mama. Yngu amelazwa. Alinijibu huyo siyo mama yngu akanijibu huyo ni mama yko mama yngu ameshafariki kesho yke pamekucha. Nikamkumbusha. Aliyonijibu Jana usiku. Akarudia vilevile alichosema sikuenda kumuona. Mama yngu mpaka alipo toka hospital. Nilipewa taarifa maendeleo y mama Basi nikamwachia mungu
@kalamuMedia
3 ай бұрын
Pole
Ukhty wanawake kama hao kwa karne hii hawapo, Na hawatakuwepo. Mupo wachache sana munaotambua hayo.
@sadasaid7212
Жыл бұрын
Usiseme hivyo akhy, wanawake wema wapo, ifanyike tu juhudi kwa kila mzazi kutengeneza familia Bora itakayowatoa waume na wake wema! Kwa msaada wa Allah pekeyetu sisi hatuwezi
@mkanaonlinetv2994
Жыл бұрын
Allah Karim unajitahidi mno
Wanaume Wengi kwa sasa tunalia Sana Kupata wake wema wanaoweza kufanya hayo lakn ni mtihani kupatikana, Kikubwa wanawake Wengi hawataki kusoma Dini na Kupata Muongozo wa Dini yetu ya Kiislaam
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Njooo unioe mie.
@jamalkishangu
Жыл бұрын
Ni sheikh wangu wanawake wanaofuata mafundisho ya Kiislamu kwa sasa ni wachache sana. Wanapenda kujitambulisha kama Waislamu lakini sio kuufuata Uislamu. Wanawake wa Kiislamu hawaolewa kwa ajili ya dini, wanaolewa kwa kile wanachoita kutoa mkosi.
Naomba namba ya ukhty fatma mdidi
Mashallah Shukran kwa mafunzo mema mazuri mola akuhifadhi na akuzidishe Elmu.
Kwanini kama sauti ya mwmke ni awra mtume akawaruhusu masahaba kwenda kuchukua elimu kwa kijanakike chekundu akimaanisha mama aishaa?
Pole nani kakuruhusu sauti yako kusikika kwenye mitandao sauti pia ni awra
@aliabdalla9297
Жыл бұрын
Umepata faida au umeangalia uchi
@womar4125
Жыл бұрын
Hapo sasa watu wangapi wamepata faida Alhamdulillah mungu amuweke ukhty wetu
@jamalkishangu
Жыл бұрын
Uislamu ni jambo zito sana. Uislamu haumkatazi mwanamke kufundisha, sio kusikika sauti yake tu anaruhusiwa kukaa na wanaume na kuwafundisha, upo utaratibu wake. Rejea historia ya bi Aisha binti Abubakari swidiki r.a wakati maswahaba wakubwa walipopiga magoti kwake kupokea maarifa ya dini yao. Uislamu ni mwepesi kwa Kila muumini.
@dhulfikariftikar7736
9 ай бұрын
Hajasoma uyo na wala haelewi lakini pia na choyo anacho si unajuwa wanawake? Chuki tu hizo na mwanamke kama huyo kibri hata kwa mumewe
Xx
Sisi tu naye ishi huku uarabuni mbona wanawake wa huku hawati hizo tabia za muke mwema wanaitaga wa umewao majina yao hawapikii waume ao chakula hâta nguo hamuandalii ni sisi tu wa fanya kazi njo tunaudumia nyumba nzima wanawake wote huku ni kutazamatu sim ao téléphone nakula
@chantalalia4811
Жыл бұрын
Unaongeya vizuri dada yangu nahuko warabuni njokwenye chanzo cha dini mbona umesahau kutandikia kafiri yani boss hhhh wake wawarabuni feki sana Allah awanuru
@sadakimwaki9791
Жыл бұрын
Huku arabuni ni mtihani
@winnieanyango3951
Жыл бұрын
Pesa zinaongea
@ruhaymanllymuhammed2094
Жыл бұрын
Subhanalla nikweli nduguzetu wamejisahau sana
@azizayassin3623
Жыл бұрын
Sio kila muarabu ndio bora laaaa m bora wenu mbele yawenzimungu ni mchamungu sasa wewe fanya wewe kama wewe
Mashallah