Shughuli za biashara zatatizika mtaani Eastleigh baada ya kizaazaa cha maziwa

Shughuli za biashara katika mtaa wa Eastleigh hapa jijini Nairobi zilitatizika mchana kutwa baada ya wafanyibiashara kukabiliana na maafisa wa usalama waliokuwa wakiendesha oparesheni ya kunasa maziwa ya poda. Wafanyibiashara waliojawa na ghadhabu walidai kulengwa na maafisa wa usalama kufuatia oparesheni ambazo zimekuwa zikiendelea tangu mwaka jana.

Пікірлер: 165

  • @abdullwahab39
    @abdullwahab395 ай бұрын

    Hizo Maziwa zimelipiwa ushuru wa wache kusumbua wanabiashara

  • @bellaki4392

    @bellaki4392

    5 ай бұрын

    All fake and poison!!!..

  • @cheferickmathenge4528
    @cheferickmathenge45285 ай бұрын

    I support the government on this coz we consumers are the victims here while the few make millions of money.

  • @AbdiwadudMohamed-gf9br

    @AbdiwadudMohamed-gf9br

    5 ай бұрын

    Ukona wivu na wasomali shenzi sana

  • @Ba.Tricksy_Milader

    @Ba.Tricksy_Milader

    5 ай бұрын

    Ujalazimishwa kubuy kwao enda supermarket

  • @shuaibalula9003

    @shuaibalula9003

    5 ай бұрын

    Wacha roho mbaya

  • @abduljabbarmohammed4188

    @abduljabbarmohammed4188

    5 ай бұрын

    ​@@AbdiwadudMohamed-gf9brHaa wa ruun.

  • @sankofaman4112

    @sankofaman4112

    5 ай бұрын

    Why allow the borders to be porous then come harass your own citizens inside? And once they confiscate the milk, why don't they charge the owners and destroy them in a transparent manner if the product is sub standard. And how sure are you that you are not going to buy the same product under a pseudo name?

  • @jamessila3219
    @jamessila32195 ай бұрын

    Maziwa Nairobi mingi ni fake milk

  • @user-lg1cl7dd3z
    @user-lg1cl7dd3z5 ай бұрын

    Mara yaliingilia port Mombasa, mara ni maziwa ya kutoka Kenya, tuamini lipi? Someone is lying...

  • @carolndungu9307

    @carolndungu9307

    5 ай бұрын

    Hiyo maziwa inatoka majuu

  • @yassinbachu4819

    @yassinbachu4819

    5 ай бұрын

    Wee una tumianga maziwa ya powder? Una wasi wasi ya nini? Ambia kenya bureau of standards wazi shike huko port before ikuje kwa maduka..customer wa hizo milk powder ni watu wa Eastleigh wenyewe..

  • @harun.hussein

    @harun.hussein

    5 ай бұрын

    the powdered milk from kenya is brookside. zile za abroad ni kama hilwa but they were banned because kenyan companies cant compete with them

  • @user-lg1cl7dd3z

    @user-lg1cl7dd3z

    5 ай бұрын

    Definitely

  • @puritymugo8153
    @puritymugo81535 ай бұрын

    Eastleigh is the biggest black market, they even change lebel after expired

  • @AbdiwadudMohamed-gf9br

    @AbdiwadudMohamed-gf9br

    5 ай бұрын

    Ukona wivu na billionaires wasomali shenzi sana

  • @nlgolo

    @nlgolo

    5 ай бұрын

    ​@@AbdiwadudMohamed-gf9bropareshen lazima iendelee. Shinda hapo ukilia wivu.😂

  • @abduljabbarmohammed4188

    @abduljabbarmohammed4188

    5 ай бұрын

    Are they more wakora than wakikuyu.

  • @idrisabdi1397

    @idrisabdi1397

    5 ай бұрын

    Sisi ni waislamu madam its immoral and bad for business. be serious

  • @nlgolo

    @nlgolo

    5 ай бұрын

    @@idrisabdi1397 haha, umbwa mjinga hata huna haya. Your imams and sheikhs are raping and sodomizing children in madrassa, but kuuza vitu fake is where you draw the line😂😂🚮

  • @English-SomaliTranslationHub
    @English-SomaliTranslationHub5 ай бұрын

    KENYA inataka kutengeneza deal na LATO company from Uganda...they are now producing powdered milk 😢 hakuna bidhaa ghushi hapo

  • @movietheater9866
    @movietheater98665 ай бұрын

    Hizo zilipita kismayu oria muache ujinga buana😂

  • @saidhashi2856

    @saidhashi2856

    5 ай бұрын

    Kismayu kuna ng'ombe? Ama factory ya powdered milk?😂

  • @osmanomohamedadhan1924

    @osmanomohamedadhan1924

    5 ай бұрын

    Wewe ndo ulipitishwa ama changa haijaisha kwa kichwa

  • @adamkitara3014

    @adamkitara3014

    5 ай бұрын

    Kismayo kuna wanajeshi wa kenya pi

  • @AbdiwadudMohamed-gf9br

    @AbdiwadudMohamed-gf9br

    5 ай бұрын

    Oria matako yako ukona wivu

  • @abduljabbarmohammed4188

    @abduljabbarmohammed4188

    5 ай бұрын

    Si wewe pia uende kismayu ulete maziwa. Nani anakuzuia.

  • @francisbarasa5481
    @francisbarasa54815 ай бұрын

    Hii inchi tutanyanyaswa had lin wakenya wenzangu😢😢😢

  • @steuerveronicah9676
    @steuerveronicah96765 ай бұрын

    Mnaharibia. Wakulima. Nyinyi. SOMALIA. BURE. BURE.UNHEALTHY

  • @annengei2885
    @annengei28855 ай бұрын

    Nilikuwa naskia maziwa ya PUNDA ... kumbe ni maziwa ya POWDER 😄

  • @harun.hussein

    @harun.hussein

    5 ай бұрын

    uko very funny

  • @user-lg1cl7dd3z

    @user-lg1cl7dd3z

    5 ай бұрын

    🤣

  • @ceciliahmwangi497
    @ceciliahmwangi4975 ай бұрын

    Shika wao they change labels sd expired date😢😢😢

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv29935 ай бұрын

    😂😂😂😂 cha ajabu zaidi hio bidjaa ghushi wanaeza peleka hio bidhaa makwao nyumbani watoto wao watumie😂😂

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b5 ай бұрын

    Adan duale ako kwa serikali wacheni kulia ,

  • @abduljabbarmohammed4188

    @abduljabbarmohammed4188

    5 ай бұрын

    Is he the president? Ako na nguvu gani?

  • @user-cg3vf2bl6b

    @user-cg3vf2bl6b

    5 ай бұрын

    @@abduljabbarmohammed4188 ako na share huko ,anafaa kusimama na watu wake sio kutumika Tu na huku watu wake wananyanyazwa

  • @danielkaruga7770
    @danielkaruga77705 ай бұрын

    i don't support milk powder, kwanza from outside Kenya, our local farmers must get market for milk, but why are they allowing import if its not allowed?

  • @English-SomaliTranslationHub

    @English-SomaliTranslationHub

    5 ай бұрын

    Unadhani kenya wanatoa wapi milk powder?

  • @danielkaruga7770

    @danielkaruga7770

    5 ай бұрын

    @@English-SomaliTranslationHub I have report tabled in Parliament showing milk records import from Uganda and Brazil other Countries

  • @Mungai_Media
    @Mungai_Media5 ай бұрын

    Wanataka tununue brookside kenya is ponopolly country 😂😂😂

  • @harun.hussein

    @harun.hussein

    5 ай бұрын

    very true

  • @susho1343
    @susho13435 ай бұрын

    Poisonous milk. Kamata hawa wauni

  • @abduljabbarmohammed4188

    @abduljabbarmohammed4188

    5 ай бұрын

    Mhuni ni wewe.

  • @euniceschoenfelder3570
    @euniceschoenfelder35705 ай бұрын

    Good job police maziwa ishunguzwe

  • @estherndanu8729
    @estherndanu87295 ай бұрын

    Biashara magedo hapa .mmefunga kwa nini ikiwa ni biashara halali?

  • @AbdiwadudMohamed-gf9br

    @AbdiwadudMohamed-gf9br

    5 ай бұрын

    Punguza bhangi

  • @kelvinnjuguna2903
    @kelvinnjuguna29035 ай бұрын

    if its not Gatete Njoroge, I am not listening

  • @KIM-xl6zs

    @KIM-xl6zs

    5 ай бұрын

    You got it wrong,its gaaaatete njoroge😂😂😂

  • @adanroba1574

    @adanroba1574

    5 ай бұрын

    Kabisaaa😂😂

  • @bornfree1595
    @bornfree15955 ай бұрын

    On this i support pres.ruto

  • @faridarahma4050
    @faridarahma40505 ай бұрын

    Wanaibia watu wezi hawa

  • @user-nx7jd3cf1m
    @user-nx7jd3cf1m5 ай бұрын

    HASBUNALLAHA WA NI'IMAL WAKIIL.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro37645 ай бұрын

    wakubwa wanataka maziwa yap yauzike!! Brookside!!

  • @sankofaman4112

    @sankofaman4112

    5 ай бұрын

    Mtalaumu brookside hata wakati huu wa serikali yenu maHustler? The brookside regime is long gone bro, wake up from your slumber

  • @harun.hussein

    @harun.hussein

    5 ай бұрын

    @@sankofaman4112 brookside and lato are the only powdered milk being sold currently. I used to buy hilwa but they were banned because kenyan companies cant compete with them on prices.

  • @morinemwangi8020
    @morinemwangi80205 ай бұрын

    Ohh my

  • @wambui3862
    @wambui38625 ай бұрын

    Poison

  • @maathaimaathai3395
    @maathaimaathai33955 ай бұрын

    Powder milk ni sumu

  • @georgeodhiambo2118

    @georgeodhiambo2118

    5 ай бұрын

    Mahuslers watafanya kazi gani😂😂😂😂😂

  • @ftclips-qu8sh
    @ftclips-qu8sh5 ай бұрын

    Finya hawa hustlers

  • @rosemarry1274

    @rosemarry1274

    5 ай бұрын

    😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @nicholasmugambi1428
    @nicholasmugambi14285 ай бұрын

    I tasted the teargas.Why was is so concentrated?

  • @jamessila3219
    @jamessila32195 ай бұрын

    Maziwa fake

  • @user-wy3ci6jp4z
    @user-wy3ci6jp4z5 ай бұрын

    Maziwa ya kupima jihadharini nayo ATM milk,mtakufa haraka

  • @kibsnick
    @kibsnick5 ай бұрын

    🤣🤣🤣 mkijua kama ni ya kampuni za kenya ama iliingilia kwa port now you can argue your case

  • @michaelbuyayi8980
    @michaelbuyayi89805 ай бұрын

    The estate of contraband goods

  • @b.3940
    @b.39405 ай бұрын

    Hayo ni maziwa ya ngamia na tumekataa

  • @rosechelangat330

    @rosechelangat330

    5 ай бұрын

    Peleeka somalia buree sana Hawa watu

  • @abduljabbarmohammed4188

    @abduljabbarmohammed4188

    5 ай бұрын

    ​@@rosechelangat330Ruto ni kabila yako . Amekusaidia na nini? Wewe ni maskini tu kama other Kenyans.

  • @samutykuntathebantu8402

    @samutykuntathebantu8402

    5 ай бұрын

    ​@@abduljabbarmohammed4188we mkundu sana other Kenyans ni mamako pereka hiyo umaskini yako somalia huko ndo wamejaa

  • @abduljabbarmohammed4188

    @abduljabbarmohammed4188

    5 ай бұрын

    @@samutykuntathebantu8402 We maskini Sana wachana na Kenya. Jiongelee .

  • @Suapa-sb8pd
    @Suapa-sb8pd5 ай бұрын

    Hii no dhuluma kwa wafanya baishara

  • @nathanfrancisondieki6586
    @nathanfrancisondieki65865 ай бұрын

    Mlisema ati hatupangwingwi

  • @bidaarle
    @bidaarle5 ай бұрын

    Maziwa ya ndovu

  • @swalehelshabiby5915
    @swalehelshabiby59155 ай бұрын

    Kenya yaenda wapi hata biashara pia tabu. Wamepata fursa ya kuiba.

  • @itsjustagame4178
    @itsjustagame41785 ай бұрын

    My Versace Tshirt is made in Eastleigh...just 800 Kshs,Tunajenga Kenya pamoja

  • @nadearsmile9675

    @nadearsmile9675

    5 ай бұрын

    😂😂😂I'm telling you. Mimi nishaona shirt ya Dior even though Africa nzima hakuna shop Yao.

  • @itsjustagame4178

    @itsjustagame4178

    5 ай бұрын

    @@nadearsmile9675Welcome to Eastleigh...

  • @user-lg1cl7dd3z

    @user-lg1cl7dd3z

    5 ай бұрын

    😂

  • @totodavis1949
    @totodavis19495 ай бұрын

    Wasiasa nimashetani huyu anonge akijifanya na anajua vizuri hizo plans Ako kwa serikali ya ruto

  • @judithdongi3290
    @judithdongi32905 ай бұрын

    Duale ako wapi

  • @gulftranspoters1762
    @gulftranspoters17625 ай бұрын

    Tuseme nini? Na hii ni Kenya

  • @ezzyvideos8386
    @ezzyvideos83865 ай бұрын

    After that come to Kakuma refugee camp.. Somalia 😂

  • @wesmaelijah8460
    @wesmaelijah84605 ай бұрын

    Hawa alshabab waende Somalia wauze powder huko pahali yake

  • @suleimankidiavai1889

    @suleimankidiavai1889

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @benardondiege1032
    @benardondiege10325 ай бұрын

    This is the president they voted to, they were the target 😂😂😂

  • @mashar4192
    @mashar41925 ай бұрын

    Ndio hiyo government ya mama mboga sasa ??

  • @jameskimani6850
    @jameskimani68505 ай бұрын

    Huko ni Somalia

  • @Chasie2706
    @Chasie27065 ай бұрын

    For those who know. This milk comes through the border chini ya maji. These guys ain't saints

  • @simonmbote30
    @simonmbote305 ай бұрын

    Reporter with the L o n g e s t N a m e

  • @alextercisio
    @alextercisio5 ай бұрын

    Maziwa ya powder nani analeta Kenya ??

  • @English-SomaliTranslationHub

    @English-SomaliTranslationHub

    5 ай бұрын

    Kuna different companies...go and do some research on google

  • @alextercisio

    @alextercisio

    5 ай бұрын

    @@English-SomaliTranslationHub so fake milk importers are in Google?? Kama wewe ulisoma kwa Google si useme ni nani basi

  • @footballfanpage4524
    @footballfanpage45245 ай бұрын

    Ruto

  • @erickdaniel8237
    @erickdaniel82375 ай бұрын

    Why do you import milk? And there’s plenty of milk powder. That will must be poisonous.

  • @picsandvidstv1348

    @picsandvidstv1348

    5 ай бұрын

    They import ‘cheap’/ rejected ones so they can sell it to citizens at a reasonable price. Unafikiria hawa watu ni wajinga. They know what they are selling is not legit.

  • @variousplaces
    @variousplaces5 ай бұрын

    Kuna mtu hajakula hongo mahali

  • @rippleventures4466
    @rippleventures44665 ай бұрын

    UDA tena mtakufa Pole pole 😅😅😅😅😅we dont Care Ruto tena mpaka 😂😂😂😂😂2060 bado mambo😅😅😅😅

  • @remiomar7154
    @remiomar71545 ай бұрын

    Ruto tano tena😂

  • @georgeodhiambo2118

    @georgeodhiambo2118

    5 ай бұрын

    Hawa watu wa kiosk, watu wa bodaboda na mama mboga serikali ni yetu😂😂😂😂

  • @Boogie7863
    @Boogie78635 ай бұрын

    Ruto Tano Tena😂😂😂😂😂aki wakenya tunateseka sana hii inchi

  • @magicmind6458

    @magicmind6458

    5 ай бұрын

    Maziwa bandia

  • @abduljabbarmohammed4188

    @abduljabbarmohammed4188

    5 ай бұрын

    ​@@magicmind6458Wewe pia uza bandia tuone kama utamake it.

  • @alvinzack
    @alvinzack5 ай бұрын

    deepstate😂

  • @kiruakip6380
    @kiruakip63805 ай бұрын

    Mogadishu😂,,atleast kibera ipumzike

  • @munaelmimohamed9912

    @munaelmimohamed9912

    5 ай бұрын

    Wacha tozee mapema ndio best

  • @thelookout5802
    @thelookout58025 ай бұрын

    This is not right! You cannot just take things from someones shop and go! If indeed the people are guilty, why not take the product, get it checked, let the publicknow the milk is unsafe and ban its selling and use, and take them to court. Sasa hizo maziwa ziko wapi? Ive never heard them destroying powdered milk anywhere in this country. These same people who have taken the milk will find a way to sell it. This country is full of it. So called 'leaders' are letting us down, by not following due process...

  • @LouAgoro_254

    @LouAgoro_254

    5 ай бұрын

    For investigation purposes,huez elewa

  • @rosemarymungai2415
    @rosemarymungai24155 ай бұрын

    Okay this is how they steal from citizen or it's a story for the gava to look bad !! whom will i listen to now if every one is crying.

  • @andallaathman3856
    @andallaathman38565 ай бұрын

    Ruto na gachagwa wanasema lazima wamalize biashara zote nchini kenya

  • @mathekarichard1382

    @mathekarichard1382

    5 ай бұрын

    Uko na moja inamalizwa ama unaamkanga jacaranda

  • @andallaathman3856

    @andallaathman3856

    5 ай бұрын

    @@mathekarichard1382 do I look like jacaranda people ww ni nimjinga lazima ni mkalee huezi ona but asked kikuyus business men now na Somalis will tell biashara iko vipi

  • @mathekarichard1382

    @mathekarichard1382

    5 ай бұрын

    @@andallaathman3856 mjinga uone mjinga mwenzake.....fanya kazi wacha kushinda kublame government......if you were old enough you would have brains and you would be understanding since when moi was president vitu zilikuwa zinapanda na bado even hio 2027 tueke nani vitu zitakuwa ngumu......but a brainwashed fellow like you can't see that but can insult others

  • @andallaathman3856

    @andallaathman3856

    5 ай бұрын

    @@mathekarichard1382 ww ni Fala kal mjinga ati brain wash mpumbavu we ningekua karibu ni ngekuchapa mbao moja Kwanza ushtuke ati brain washed kwahio vitu havijapanda uchumi uko sawa Kenya kweli kuna watu wanafikiria Kwa matako sio akili na ww unafikiria Kwa matako hebu enda ucheki 1 dollar NI ngapi sahii don't compare moi erro no just uhunyee alipotoka Hadi sahii NI ngapi so ujinga uwache hapa

  • @shabankolia8204
    @shabankolia82045 ай бұрын

    Deputy president wanataka kuuza maziwa from central kwa kcc hahahaha

  • @reubenabugah2137
    @reubenabugah21375 ай бұрын

    This milks makes kids diarhoea but its their kids.

  • @tomondiek2839
    @tomondiek28395 ай бұрын

    brookside wanalia

  • @patrickmshila8421
    @patrickmshila84215 ай бұрын

    Ni mimi pekee yangu naona since eastleigh kujengwe ile mall kumekuwa na shida sana huko kusumbuliwa na serikali ama nko jaba

  • @superdemanka5192
    @superdemanka51925 ай бұрын

    Ruto stop nonsense ama kutaharibika kenya

  • @johnnjuguna-uv3nx

    @johnnjuguna-uv3nx

    5 ай бұрын

    labda kwenu nyumbani lakini si KENYA

  • @user-lg1cl7dd3z

    @user-lg1cl7dd3z

    5 ай бұрын

    Kojoa ulale.

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid57755 ай бұрын

    Biashara ya uhuru hawatak maziwa ingie inchini

  • @Ismaelkhaani
    @Ismaelkhaani5 ай бұрын

    Those corrupt government, they don't know what law and enforcement is. We somalis we can't tolerate this discrimination, i swear to god if this discrimination continue we must rebel and declare self republic in North Eastern.

  • @josephkuria4547

    @josephkuria4547

    5 ай бұрын

    What are you saying 😂😂😂😂

  • @abduljabbarmohammed4188

    @abduljabbarmohammed4188

    5 ай бұрын

    ​@@josephkuria4547Yes ako sawa .North eastern NI ya Nani?

  • @allanmureithi8692

    @allanmureithi8692

    5 ай бұрын

    nyamba ukakule wali😂😂😂

  • @josephkuria4547

    @josephkuria4547

    5 ай бұрын

    @@abduljabbarmohammed4188 ni ya Kenya

  • @LouAgoro_254

    @LouAgoro_254

    5 ай бұрын

    Mnaturingia desert,Imejaa mawe na vumbi.haiya declare independence now 😂.

  • @jameskeen8293
    @jameskeen82935 ай бұрын

    Wasomali walifikiria Kenya ni kwao ....hii nikufukuzwa polepole

  • @badarhassan1127

    @badarhassan1127

    5 ай бұрын

    Kenya kama si ya wasomali kucheni tuwafukuzi

  • @abduljabbarmohammed4188

    @abduljabbarmohammed4188

    5 ай бұрын

    I'm aware kufukuzwa tunafukuzwa. Lakini know that Sisi wasomali tukijitoa there will be no more Kenya.

  • @jameskeen8293

    @jameskeen8293

    5 ай бұрын

    Usijidanganye bro ....when you guys came you found a thriving economy and when you leave we will still have a thriving economy

  • @jameskeen8293

    @jameskeen8293

    5 ай бұрын

    Kenyan money is what has made you guys rich otherwise ....I don't know why somalia isn't developed 😂

  • @abduljabbarmohammed4188

    @abduljabbarmohammed4188

    5 ай бұрын

    @@jameskeen8293 Go watch Somalia of the 70's and Kenya of the 70's then come and tell me which coywas more developed. Our country was destroyed by civil war.

  • @mohamedkhalid3382
    @mohamedkhalid33825 ай бұрын

    IF THE GOVERNMENT OF KENYA CANT PRODUCE MILK POWDER THEN LETS OTHER DO, AND KENYANS ARE HAPPY SINCE THEY CANT AFFORD IT 😂 AND THE GOVERNMENT CANT SAY SOMALIA IS PART OF EAST AFRICA AND STILL DO UNNECESSARY ACT TOWARDS GOODS THAT COMES FROM SOMALIA

  • @samutykuntathebantu8402

    @samutykuntathebantu8402

    5 ай бұрын

    We drink pure milk Mr pig. We Kenyans we can afford even to annex your land. We Kenyans we are biggest economy in East Africa we Kenyans we have best country that your schupid magg0ts come to trade here.. we Kenyans we don't boost we live and enjoy. Go ride camel bin laden wannabe

Келесі