SHILOH DAY 1 | BISHOP DUNSTAN MABOYA AELEZA NJIA RAHISI YA KUJENGA NYUMBA, KUTOKAA NA MANABII WAKO
BISHOP DUNSTAN MABOYA AELEZA NJIA RAHISI YA KUJENGA NYUMBA YAKO, KUTOWAAMIN MANABII KWENYE UZINDUZI WA KONGAMANO LA SHILO (NNEMA IMEFUNULIWA) SIKU YA JUMAPILI 04.12.2022 KATIKA KANISA LA MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B". KONGAMANO HILI LINAENDELEA KILA SIKU KUANZIA ASUBUHI HADI JIONI NA LITAHITIMISHWA SIKU YA JUMAPILI 11.12.2022
Пікірлер: 10
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu nakupenda unanibariki sana
Baba uko juu ubarikiwe mtumishi
Amina
Nabarikiwa sana
Amen
Dady ur amezing❤
Asante sana kwa ku upload somo zuri,tunaendelea kufuatilia shilo
Amina Bishop
Nimefurahi sana sema watu wapone
Nabarikiwa sana