SHILINGI SERIES, MJUE DAVID NA MICHAEL/ MEDDY WA TREYCE
aongea machache juu ya tamthilia hii ya shilingi
Жүктеу.....
Пікірлер: 64
@aminahhuawei113311 ай бұрын
Asikwambia mtu bwana shilingi ndiyo habari ya mjinii iko poa sana❤❤❤
@kassimebacari2 ай бұрын
Mbona shilingi imebadilika sana
@Mwana85Mwana85-wz1ol11 ай бұрын
Kwaiyo wadau waenzagu mm mbona selewi gutale vp shilingi ndyo imeisha vp Kwa mfano mm sijapenda kweli Hila metufundisha vitu vingi San kweny shilingi Hila bad mnatuweka njia panda San imeisha au vp jamn naliya mmm 😢😢😢😢😢😢😢😢
Jama tunaomba muendelezo kz nzur mungu azidishe talent yenu ❤❤
@user-fs7xc2bb5d
11 ай бұрын
Tunaisubiri 163 kesho huenda ikatumwa
@user-fs7xc2bb5d
11 ай бұрын
Wanaonyesha mwendelezo kwa Roma
@user-pk7rx7gp4t
11 ай бұрын
Okay acha tusubiri kesho huenda ikatumwa
@abdullahkazungu402510 ай бұрын
Shilingi bana ndio thamthilia bora ya mwaka mlicheza poa sana jitahidini msituangushe muimalizie kwa wakati
@fatmamrutty991611 ай бұрын
Tunaomb muendelezo mzur jaman
@selemanishukrnzakaria24903 жыл бұрын
Mlicheza vizur sana kweny shilingi nawakubali mnooooo
@user-ii3rb6uj7g3 ай бұрын
Mbna sijaona maicko
@user-qm3jn1vk2x11 ай бұрын
Maze imeni bamba shilingi nikopamoja mkosawa
@QbaBoy-ew7fc11 ай бұрын
Muendelezo dj
@mymerroger59012 жыл бұрын
Jaman tunaomba mwendelezo ,mmejuwa kucheza vzr sana shilingi
@user-bd3fe4pu4c Жыл бұрын
Shilingi ni nzuri sn hongereni wote mmecheza vizuri sn
@asendejuma Жыл бұрын
Asante sanakwa kazi hii nzuri Hina Tisha sana
@banangewanitila Жыл бұрын
good shililg mumecheza vizur mungu awabark muzidi kufika mbali
@KasiteDominic-bz7rn3 ай бұрын
Tuna omba. Yakuendelea
@aminahhasan15099 ай бұрын
Sajo nimetoka kukpenda Bahan we kutoka kenya 🇰🇪💞
@neemabenjamin3803 жыл бұрын
Jomon mie. Naomba ao mapacha wabaki kuwa wawir jomon
@monicajohn62703 жыл бұрын
Acha kabisa hii series ni balaa kabisa
@mwanamisi-jg6nx11 ай бұрын
Jmni am from Kenya nampenda sna devid tunaomba muendelezo ila msituulie Micheal wetu plz
@MaryWayuuwa12 күн бұрын
Muendelezo pls
@etoosamwel16643 жыл бұрын
Jamaaa wamezingua kweny tv awaonyexh ten
@habibuabuu96099 ай бұрын
Yani mim pich nilizobaki nazikubali shiling matus
@kassimebacari2 ай бұрын
Hata haieleweki
@BLF03326 күн бұрын
Ndio mnafanya vizuli saana niseme.lakini muendelezo wa shilingi mchunge sauti inaenda vibaya.kwa hiyo tunawatakiya kazi njema asanteni .na ningeomba munisaidiye kama ningepata mawasiliano na Hemedi ambaye ni David
Пікірлер: 64
Asikwambia mtu bwana shilingi ndiyo habari ya mjinii iko poa sana❤❤❤
Mbona shilingi imebadilika sana
Kwaiyo wadau waenzagu mm mbona selewi gutale vp shilingi ndyo imeisha vp Kwa mfano mm sijapenda kweli Hila metufundisha vitu vingi San kweny shilingi Hila bad mnatuweka njia panda San imeisha au vp jamn naliya mmm 😢😢😢😢😢😢😢😢
Hii series mambo mbaya
Hivii Dav na maiko ni mapacha au vipii
Nahombo muherereshe shilingi nione maiko kamaemepona
Mmeweza..
Jama tunaomba muendelezo kz nzur mungu azidishe talent yenu ❤❤
@user-fs7xc2bb5d
11 ай бұрын
Tunaisubiri 163 kesho huenda ikatumwa
@user-fs7xc2bb5d
11 ай бұрын
Wanaonyesha mwendelezo kwa Roma
@user-pk7rx7gp4t
11 ай бұрын
Okay acha tusubiri kesho huenda ikatumwa
Shilingi bana ndio thamthilia bora ya mwaka mlicheza poa sana jitahidini msituangushe muimalizie kwa wakati
Tunaomb muendelezo mzur jaman
Mlicheza vizur sana kweny shilingi nawakubali mnooooo
Mbna sijaona maicko
Maze imeni bamba shilingi nikopamoja mkosawa
Muendelezo dj
Jaman tunaomba mwendelezo ,mmejuwa kucheza vzr sana shilingi
Shilingi ni nzuri sn hongereni wote mmecheza vizuri sn
Asante sanakwa kazi hii nzuri Hina Tisha sana
good shililg mumecheza vizur mungu awabark muzidi kufika mbali
Tuna omba. Yakuendelea
Sajo nimetoka kukpenda Bahan we kutoka kenya 🇰🇪💞
Jomon mie. Naomba ao mapacha wabaki kuwa wawir jomon
Acha kabisa hii series ni balaa kabisa
Jmni am from Kenya nampenda sna devid tunaomba muendelezo ila msituulie Micheal wetu plz
Muendelezo pls
Jamaaa wamezingua kweny tv awaonyexh ten
Yani mim pich nilizobaki nazikubali shiling matus
Hata haieleweki
Ndio mnafanya vizuli saana niseme.lakini muendelezo wa shilingi mchunge sauti inaenda vibaya.kwa hiyo tunawatakiya kazi njema asanteni .na ningeomba munisaidiye kama ningepata mawasiliano na Hemedi ambaye ni David
tunaomba mwenderezo washiringi mposawa tunawampenda
Naipenda sana shilingi nimuhimu
Duh nawakubali kinyama mimi nilizani David Na Michael ni pacha waukweli😮😮 kwa hii shiling mmepatia
Vipi kuna David na Maiko wala la
Shilingi kwani iliisha mbona
Nataka 63 64
Shilingi nzuri xana jamani
Thamthilia ya shilling hakuisha vizuri madebe
Malizieni basi shilingi ikovizuri sana yani
waandishi masuala yenu bado ,
Shilling turudiashieni Azam jamani dah
Jitahidi filamu yenu ya shiling kuiweka uzuri upande wa sauti bado mko vibaya kwenye sauti vipande vingi vinakata sanaa
Jamani shiringi mbona sielewi kilichotokea imekatishwa au vipi?nakupenda sana
Acheni uswaili mnaaza kuturudisha kwenye vyakwetu lakini naona niyaleyale tu mwisho haurleweki kwann haiendelei mshaawai kuona mov ya kikorea ikakosa mwisho?? Mbona mnataka turudi kulekule Tena??
Tunaomba ep 165
163 kaka
Making cana
Nakubali sana mkuu
Tunataka shilling imaliziwe
Mkovizur sana
Jamani sinema zetu tunaomba shilingi imaliziwe
Sasa shilingi mbona haiendeleye
nampenda devi❤❤❤
sawa nilipenda kujuwa David na maick nima pasa ao ikoje ?
tupe mwedelezo
Jamani sinema zetu tunaomba mludishe shilingi
@rehemadumbalume7657
3 жыл бұрын
Waludishe shiringi
@asharashid6109
3 жыл бұрын
Malizieni jamani
@renatharwezaula9961
3 жыл бұрын
Simazetu twekeeni shilingi iendelee Jaman tumeimiss
@renatharwezaula9961
3 жыл бұрын
Shilingi iendelee big up sinema xe2
@catherinejocktan3692
3 жыл бұрын
Jaman tunaomba shilingi muipeleke ata dstv isnze upya imaliziwe plz😓😪
Tunaomba ep 15