SHEIKH QASIM MAFUTA KAFUNGUKA LIVE HUYU HAPA🔴|WENGI HAMJUI KUJITETEA
UKINIPINGA NIPINGE KWA DALILI NA UKINIUNGA MKONO NIUNGE KWA DALILI
#trending
#subscribe
#manhajsalaf
#abuu
#shinyanga
#mawaidha
#khutbah
#masjid
#quran
#quranrecitation
UKINIPINGA NIPINGE KWA DALILI NA UKINIUNGA MKONO NIUNGE KWA DALILI
#trending
#subscribe
#manhajsalaf
#abuu
#shinyanga
#mawaidha
#khutbah
#masjid
#quran
#quranrecitation
Пікірлер: 82
kzread.info/dash/bejne/aJeC17iyiM2xY6Q.html&si=_d20bPQjsHDNpYQM
Jazaakallahu khayran . Allah amlipe kila la kheri na amhifadhi shekh wetu
@abuuruwaydatvTz
Жыл бұрын
Waiyyaka Amiin Amiin
MASHAALLAH ALLAH AKUHIFADHI POPOTE UWAPO ULIMWENGUNI AMINI YARABII SHEKH QASIMU MAFUTA NILITAMANI SANA KUJA KUSOMA PONGWE ILA WAZEE HAWAKUWA UWEZO WA KUNILETA ILA ALHAMDULILLAH NAFUATILIA SANA DARSA ZAKO NYINGI MWISHO SHEKH KATAJA KAULI ZOTE MBILI NA MSIMAMO WAKE SO MHIM KUHESHIMU MSIMAMO WAKE MAANA NYUMA YAKE KUNA WANACHUONI WAKUBWA KAMA ILIVO KUWA WANAO KUBALI KWA MASHRIT KUNA WANAVYUONI WAKUBWA ربنا يبارك فيك ياشيخنا ابو الفاضل قاسم بن مفوت بن قاسم حفظه الله ورعاه
Mashallah mie nimekuelewa maalim Allah akujalie kila la kher
@abuuruwaydatvTz
Жыл бұрын
Tabaraka llahu Amiin Amiin
SHEIKH KAELEZA MSIMAMO WAKE NA HAJA LAZIMISHA MTU AWE KAMA YEYE
Allah amhifadhi shekhe wetu amjalie umri mrefu wenye kheri ndani yake aendelee kutupa faaida hawa ndio vioo vya jamii
Allah ambariki na amuhifadhi sheikh,nimempenda sana aliposema ni mambo ya ikhtilafu kisha akasema msimamo wake na halazimishi mtu kufata msimamo wake.kanena maneno matamu sana
Jazakallah kheryn
Allah akulip kila LA kher na akup umri mref ili utupe elim yny manufaa
@abuuruwaydatvTz
Жыл бұрын
Amiin Kwa sote
Kama yeye kaelewa dini vibaya mlete babayako ambae kaelewa dini vzr aje atufunze na sisi.
❤
Anae sema picha ina uhalali nani na atoe hoja za kielimu tuzisikie au ajibu hoja kielimu sheh allah akuhifaz umeleta mabadiliko makubwa vitu vingi twavifanya bila elimu kuwafata walimu ila wewe unaweka wazi vitabu na unasema mtu akaangalie na unataja chapa namba ili mtu akasome ila bado wengi wanasema ufahamu na wakati jambo lipo wazi
kuhusu picha mawahab ndio hawatak ila mashekhe na wanazuon wetu hawapingi
Yaani mtu anajitolea tu hoja ili kuvuta upande wake anasingizia enza za mtume hakukua na camera wala enzi za imam shafi haya xw lkn anasahau enzi hizo hizo hakukua na microphone wala sim mbn anatumia na hasemi mma ilikua hakuna yaani huu mwngine ni ujuha bora mtu anyamaze tu
Mbona shekh anazungumza vzr na hajamlazimisha mtu kumfata msimamo wake mbona na mashekh wa kisalafiy hapa Tanzania wanachukuliwa video na hajaguswa Kwa chochote
SWALI JEEEEEEE. HIVYO KUJIREKODI AU KUTUMIA MIC AU KIPAZA SAUTI JEEEE INAFAAAA???? MASHEKH WETU WACHENI KUISHI KIUTASHI KWA JAMBO KWENYE DINI
Na kule Makka Je?
@user-qe8xp6ii1u
9 ай бұрын
😂 kwa hyo Makka ni Dalili. Halafu wale wanachukuliwa sas hatujui wanaridhia au Laa Lakin watu tunaowashuhudia huku wanajirekodi wenyewe.
HAPA NA MIMI SIJAELEWA VIZURI. SASA HII HAPA ILIOTUMWA HAPA YUTYUB NI VIDEO PIA NA NI SAUTI. NA VYOTE HAWAKUTUMIA WEEMA WALIOPITA. IKOJE HAPA HUKMU YAKE ???
@abuuruwaydatvTz
Жыл бұрын
KWAKUZINGATIA MANENO YAKO NAOMBA UJIULIZE SWALI MOJA PIA SIMU YAKO HAIKUWEPO HATA WAKATI WA IMAMU SHAFII SASA HUKMU YAKE NI IPI⁉️ KISHA NAKUJIBU SWALI LAKO SIO KILA KINACHO ZUKA NI BIDA'A KISHERIA KWAN KUNA BIDA'A KIRUGHA NA HAPO TUNATOA BIDA'A KATIKA VITU MFANO UMEME TAA SUFURIA NK
@nassleydady5783
Жыл бұрын
@@abuuruwaydatvTz ww hujaelew bidaa ni nini bidaa alio zungumzia mtume ni kuengeza kitu au kupunguza kitu kwenye dini mfano maulid mashekhe wanainasibisha na dini yani ni jambo la kidini hiii ndio inaitwa bidaa au ww umeambiwa swali raka 2 ww ukasema haitoshi ukaengea raka 1 hapa umeongeza kitu kwenye dini sio mtu kajenga gorofa lake useme bidaa kwakua enzi za mtume hakujenga hiii co bidaa wala haihucani kabisa
@allylassuh4947
Жыл бұрын
@@abuuruwaydatvTzsisi hatuna shida lkn shida iko kwnue mnatwambia picha haramu na pia mnakataa kma kuna vitu hakufanya mtume lkn cc tunaweza kufanya nyie itikadi yenu kila jmbo nia lazma awe amefanya mtume hivi leo watugeuzia hehehehehehehe eti twaezafanya ambayo hakufany mtume mbn mpya hii kaka hujasahau lkn
@allylassuh4947
Жыл бұрын
@@abuuruwaydatvTzyani kaka tuliwaambia zaman hii dini mnaitia ugumu kiasi ambacho mwsho na nyie mtagonga mwamba mutarudia yale mloyasema mwnzo kuyapinga
@allylassuh4947
Жыл бұрын
@@abuuruwaydatvTzkma kuna kauli bwana mafuta ya kukataza tv kisha awamu nyngine akaruhusu heheheheheh cc tunasema tangu mwnzo ilikua inafaa bali yy elimu yake ilikua ndg baada ya kusoma akapata kujua kwio kila mkisoma mtatoka ganzi la kichwa na mtajua kma kuna mengi mtume na maswahaba hawakufanya lkn cc tunafanya na sio shida ni kiwango cha elimu tu kila ukisoma utazidi kujua mambo pole kaka eti sai ndo wajua kumbe kuna mambo sio lazma awe alifanya mtume cc twajua kitambo kaka endlea kusoma utajua mengi
Mimi naunga mkono video PICHA zote NI HARAMU hazifai
@abuuruwaydatvTz
Жыл бұрын
Sawa pia ukisema hivyo basi sema ila Kwa mlango wa dharura
@allylassuh4947
Жыл бұрын
@@abuuruwaydatvTzheheheheheehe eti dharura unafrahisha kwly kaka
@nusalim3389
3 ай бұрын
Zunguka dharura zote huwez ishinda ya kutoa elimu na kuitoa batili na sintofahamu,nashangaa dharura mmeweka kwny paspot size tu,fungua jukwaa uongee unavyotaka kw kifua Cha juu SI unadai upo kwny haqq? Kwn umeambiw Kila mmoja anachupa mpaka kwny video na picha, mbona Dr islam.hukuti kapiga ikiwa anakula au anaenda shopping anachuma myasmin kwake,zaid ni nyuma ya minbar tu kwsbb anajua lengo lake
Mtu anakwambia picha haifai ila nyumbani kwake ana bonge la TV 80" lap top, Sim Samsung galax, muda wote yuko kwenye kubadili chanel akitohi anaingia hii, sijui wanaingiaje kwenye chanel nyengine bila kuangalia picha, hao hao ndo wamwanzo kukwambia Makkah wame swali taraweikh ama eidd live hii hapa na wanaagalia, Sasa uharamu uko kwenye kupiga tu? Kuangalia sio haramu? Jamani tuweni na inwaf, Mtu anakwambia picha haifa ila ana Sim kubwa, laptop, na tv
@Abuu_Asfiya-Salafy
26 күн бұрын
naona labda bado haujafahamu kinachozungumziwa hapa,, kuwa na simu,laptop,tv kubwaa si hoja. au nikuulize kwanza dalili iliyokuja kuhusiana na mas'ala ya kutengeneza mapicha unaijua??au unaifahamu ?? yaani umielewa inazungumzia nini?? inataka nini?? unadhani kilichoongelewa katika hadith hiyo ni kitu gani khasa? rejea kwanza hadith sahihi zilizokuja kuhusiana na mas'ala haya,, uzielewa kwa ufahamu wa wema waliotangulia kisha urudi uje kwenye maneno yako haya uliyoweka hapo.
😂😂😂😂😂 kama haya mafuta ya Meri yananuka acha upuuz w
Wacheni fitna mumemfahamu shekh au nikugeuza geuza na chuki zenu za kijahil!? Shekh ataja masaaili kiyelimu na nyinyi mnakuja kusema mawahabi !!!!!!!
Ahhh nyie bana mnajizonga wallah yani nyie ni sawa na banii israel wallah mnajitia tabu wenyewe wakati vitu hivo vipo kabisa wazi acheni tabu na ziki jamani dini nyepesi hii na kila ataefanya uzito itamshinda mwenyewe
Hatuna haja ya kumjua huyu mwehu
@user-ks4hh8jb6k
Ай бұрын
Yaani we ni umelishwa machuki sasa unamtukana muislamu kwa hiyo makafiri ndio jamaa zako acha UPUMBAVU mi mwenyewe situhumu mtu bila sababu
hiv mawahab kazi yenu ni kuwakosoa tu mashekhe?? kwanin usiwafundishe watu uwahab wenu tu muachane na wanazuoni wetu
Eti malaika haingii nyumba wewe ndio unamtuma malaika wewe nani
Ww binafsi sjaelew apo
@abuuruwaydatvTz
Жыл бұрын
Jambo hili lina khilafu Kwa wanachuoni na msimamo wa sheikh hapigi picha Wala hachukuliwi video
@ayububakari9942
Жыл бұрын
HAPO KWENYE BINAFSI NDIO HUJAELEWA VIPI ALIVOSEMA ANAEGEMEA KWENYE DALILI,... PILI KASEMA JAMBO LINA KHILAAFU... KWA HIYO YEYE BINAFSI KAENDA MSIMAMO WA KUTOKUJUZU... ...
@wazirihamisi6484
Жыл бұрын
Kama kiziwi uwezi kuelewa
@allylassuh4947
Жыл бұрын
@@abuuruwaydatvTzlkn ajabu walomsomesha wanafanya kila kitu hehehehehehe dah mtihani kwa kwly simlaumu lkn kila akiendelea kusoma atazinduka maana tunajua bwna mafuta elimu yake bado kaenda kusoma mpk saudi arabia lkn fahamu yake ilikua finyu na mpk matokea yake hyakua mazur walosoma nae wanalijua hili msione naongopa muulizeni mpk shekh dedesi kamchana live mbele za watu kua kafeli alikokwenda kusoma na hakupinga hilo bwana mafuta maana watu wanamjua kwaio kika akizidi kusoma atazidi kutasuka bongo
@abdallahjuma1494
10 ай бұрын
Acha chuki akh izo ni chuki sasa
Naona kama Sheikh Mafuta anazunguka. Kama jambo halikuwepo wakati wa Mtume, Mswahaba, Tabiina, Taabi Taabiina, pia haikuwepo hata wakati wa Mohamned Abdulwahab kwa Mujibu wa Mafuta hiyo ni Bidaa! Kama ni bidaa mbona anaiwekea mazingira ya kufaa? Kumbe kuna bidaa zinazofaa?
@maalimhamad1297
10 ай бұрын
Bidaa ni ile inayozushwa katika dini sio sio katika mabo ya mubaha maulidi nibidaa kwasababu mumeyaweka kika dini kwani aliekwambia picha ni dini nani
Mwambie uyo mufti wa pongwe aaacheee kuzunguka Atoe dalili
@abuuruwaydatvTz
Жыл бұрын
Unataka dalili ya nini
@mussamsuya8595
Жыл бұрын
Sawa
@Abuuabdillah259
Жыл бұрын
Ww khawarij fumba Domo lako
@sadikikazembe8883
Жыл бұрын
Unataka dalili gani wakati dalili zinazungumzwa apo
Shekh Qassim nikweli unavyo sema, ila hili jambo lina hitaji maelezo mazuri zaidi
@abuuruwaydatvTz
Жыл бұрын
Mashaallah sheikh kazungumzia Kwa upande wake na msimamo alio shika
@ayububakari9942
Жыл бұрын
Maelezo mazuri zaidi ni weye kufuata msimamo unaokukinaisha kwa dalili
@allylassuh4947
Жыл бұрын
@@abuuruwaydatvTzjambo mtuqnye inswaa haongelei kwa upande wake tu mtu huongea misimamo yote ilivo au madhehebu yote yanavosema kuhusu ilo jmbo kisha mwsho ndo ukasema lkn mm nimependelea msimamo flani hivyo ndo wenye elimu wanavoaema kma wavutia upande wako tu bc innaalillaah
Umeelewa dini vibaya usipotoshe watu
@abuuruwaydatvTz
Жыл бұрын
Wewe ulie elewa tueleweshe hapa hapa Alafu ukiweza weka namba zako nikutumie na pesa ya pongezi
@selemankishema5780
Жыл бұрын
@@abuuruwaydatvTz nyie mnajulikana ujahili wenu hakuna asiewajua endeleeni na upumbavu wenu.
@abuuruwaydatvTz
Жыл бұрын
Sawa ila bado sijaona uwelewa wako
@ayububakari9942
Жыл бұрын
@@selemankishema5780 sasa mbona watukana !"??
@abuuruwaydatvTz
Жыл бұрын
@@ayububakari9942 kaka huyu Hana ajualo manake nimemwambia atueleweshe yeye si ndio anaelimu anaanza kutukana ni dhahiru anachuki binafsi