Salama Na KALITO Ep 41 | THE ORIGINATOR Part 1

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Carlos Bastos aka Kalito ni moja kati ya wale binadamu ambao hawahitaji ‘kutambulishwa’ na hiyo si kwa sababu ya muonekano wake hata kidogo zaidi ni personality yake, anaongea, anachekesha, anajielewa, anajua nini cha kusema na wapi pa kusema pia. Katika watu ambao namshukuru Mungu kwa kuwafanya wawe rafiki zangu Kalito ni mmoja wapo.
Jinsi ambavyo alifika Tanzania inaweza ikakufanya ujue pia yeye ni mtu wa aina gani haswa, kutoka mwenyewe familia ambayo mtoto wa kiume ni pekee, na pengine alikua na uhakika wa kupata kila anachotaka lakini aliamua kupaki begi na kuchanja mbuga kuja hapa Tanzania. Kusema za ukweli story yake ya maisha ni ya kuamsha sana. Imagine wewe leo unatoka ulikotoka ukaenda zako pa kwenda, ukajimix kwa kuhudumia watu kwa kuwapa burudani na chakula mpaka akapata upenyo wa kufanya yake. Ni wangapi kati yetu wanaweza kufanya hivyo? Najua wengi wetu hatukuzaliwa hapa Dar es Salaam ila tumekuja tukalikita na mpaka sasa Alhamdulillah mambo yanaenda. Ila si wengi wanaweza kusema hivyo. Tunajua huchukua jasho machozi na pengine damu kufikia malengo.
So binafsi haswa nimejifunza au najifunza nini kutoka kwa rafiki yangu huyu kila siku? Cha kwanza ni kuwa MKWELI. Kama unayo unayo, kama unaweza kufanya/kufika utafanya hivyo, kama unaweza kutoa unatoa na kama huwezi UNASEMA. Naamini ndani ya moyo wangu, hiyo ni moja ya silaha kubwa sana kama unataka kufanikiwa, kama unataka MAENDELEO. Cha pili pia ambacho bado kinakaa kwenye UKWELI ni UAMINIFU. Ukikopa pesa RUDISHA maana hii itakupa nafasi ya kuweza kurudi na kukopa tena kama mambo yako yatakua bado sio sukari, sasa imagine hujarudisha na ukapata shida nyengine je utaweza kurudi kukopa tena? Vipi kama alokukopesha nae kashawaambia ma don wenzake kwamba wewe huwa hulipi? Utasogea kweli?... Mwisho wa siku DAWA YA DENI ni KULIPA tu.
Jengine KUBWA zaidi ni kutokua na SIRI nyiiiingi. Mambo ambayo yatakufanya uwe unaweka vitu vingi ndani, ambavyo hauwezi kusema labda kwasababu ya aibu au pengine hauko huru kuviongea nalo ni TATIZO. Ni kweli sote tuna SIRI zetu, ila zikizidi ndo zinaleta msongo wa mawazo. So kuwa muangalifu na kipi unasema na kipi unaweka. Kujijazia mavitu moyoni ki afya si mpango hata kidogo.
Kalito yuko HURU, anaskiliza watu na kujifunza kila siku pia kama mimi na wewe tu, pia ana shida zake ambazo kwa kiasi kikubwa ameweza kuzifanya zisiwe chanzo cha yeye kutokua na furaha au kumpa unyonge. Pengine unaweza kusema ni kwa sababu ana hela au biashara inayomuingizia kipato kila siku ndo maana ni rahisi kwake kucheka kwa yote, ila Amini nikikuambia hata yeye huwa ana kutana na mitihani mikubwa tu, lakini kwasababu yuko POSITIVE muda wote unakuta anamalizana na shida zake kwa roho safi tu. Anakubali pale anapokua kashindwa na kujifunza na anafurahia pia challenges ambazo binafsi anazishinda kwa uzuri tu. Yeye pia ni rafiki nambari MOJA wa wafanyakazi wake karibia WOTE wa Samaki Samaki na sasa Kuku Kuku wa kuwajua mmoja mmoja kwa majina yao. Mpaka mafundi wake wote hao ni familia yake.
Wangu tumekuletea Kalito kwenye meza ili uone mambo kwa utofauti haswa. Ujifunze kutoka kwa watu ambao unawaangalia kila siku na ambao pengine unadhani mambo yao ni SUKARI kila siku iendayo kwa Mungu. Yangu matumaini utaokota mawili matatu humu. Maana ukiachana na biashara pia alizungumza maisha yake. Alivyoumwa, watoto wake na jinsi alivyofika Tanzania na nchi yetu hii na watu wake. Alituambia pia kuhusu mapenzi yake na Bahari na mahusiano yake na watoto wake na Mama yao ambaye hayuko nae tena sasa. Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali kzread.info/dash/bejne/damZk6p7ZMnUfLQ.html
Follow:
Twitter: YahStoneTown
Instagram: YahStoneTown
Facebook: YahStoneTown

Пікірлер: 116

  • @Justareminderr
    @Justareminderr3 жыл бұрын

    TUNAOMBA KABLA YA SEASON KUISHA IWE SALAMA NA SALAMA., NAAMINI ANAMAMBO MAZURI NA MAKUBWA PIA KUSHARE NA WATU.

  • @juliusngowi952
    @juliusngowi9523 жыл бұрын

    Happy 40 years Salama, nice interview

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem933 жыл бұрын

    Aya wale tuliokuwa tunasubiri hii tujuane

  • @blueskytravel5441

    @blueskytravel5441

    3 жыл бұрын

    Tupo

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥

  • @julianajoseph1248
    @julianajoseph12483 жыл бұрын

    Happy 40th birthday Salama...u aging like fine wine

  • @winfridamdaki5699
    @winfridamdaki56993 жыл бұрын

    Siri ya kufanikiwa ni kuacha kulala, kufanya kazi kwa bidii na kuwa mwaminifu ktk vitu vidogo Asante Salama na Carlos

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @flavianakanga1215
    @flavianakanga12153 жыл бұрын

    Happy birthday Salama.

  • @hanifaally4694
    @hanifaally46943 жыл бұрын

    Happy birthday dear Allah akupe kila la kheri na ww jmb nampenda kalito msalimie 😊

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥

  • @sylivesterjohn6626
    @sylivesterjohn66263 жыл бұрын

    Very Inspiring!

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita3 жыл бұрын

    Salama, Hongera kwa 40! Umejitunza dada sijui kwavile "unamla Kalito" haha...okay, so nilisikiliza podcast and now nimewatch! Investors kama Kalito ndo nawapenda yani matokeo yanajieleza njenje na waziwazi kama ulivyosema Salama, haitaji kujitambulisha. Asante Kalito kwa kutuappreciate Tanzanian ladies!We are beauriiiiiful haha Nimefurahi pia kwasababu Saum mpo nae kwenye kukukuku! Women power! now part 2

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @nancykimaro3845
    @nancykimaro38452 жыл бұрын

    I love Kalito😍

  • @annamichael1433
    @annamichael14333 жыл бұрын

    ilove you carlos ahhaaaaa eti nakuja nakata kona haaaaaaa wanazingua watz na hiyo tunajulikana zaidi nchi nzima

  • @pelvinaydin1381
    @pelvinaydin13813 жыл бұрын

    impressive interview. i like it

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥

  • @soipei3359
    @soipei33593 жыл бұрын

    Tunaomba Professor Jay

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @mfalmegideon3987
    @mfalmegideon3987 Жыл бұрын

    Very Inspiring indeed 👊🏾

  • @manirambonabelysemanirambo5619
    @manirambonabelysemanirambo56193 жыл бұрын

    Salama nakupenda sana unanipa moyo wa kupambana

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @rumibarton2359
    @rumibarton23593 жыл бұрын

    Most important thing in business is honesty -Jay Z

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh3 жыл бұрын

    Hongera kwa kutimiza miaka 40😁👊👏👏

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino673 жыл бұрын

    Tuleteeni Ally kamwe...... Happy 40 aunt cheupe

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @francismsuta109
    @francismsuta1093 жыл бұрын

    Hongera sanaa kwa kutimiza miaka 40 Unajua nn ka bby mbon hatuoni

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @UgandanAllstarTales
    @UgandanAllstarTales3 жыл бұрын

    #SalamaAt40 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @mussachabonga9595
    @mussachabonga95953 жыл бұрын

    Nafuatilia sana kipindi chako upo vizuri, ombi langu tuliletee Master T Tiji Liundi.

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai11403 жыл бұрын

    hizo bei mhh

  • @Djso26
    @Djso263 жыл бұрын

    The originator

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥

  • @asserymmary2696
    @asserymmary26963 жыл бұрын

    Hello cheupe... Happy birthday

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @UgandanAllstarTales
    @UgandanAllstarTales3 жыл бұрын

    32:20 she hits me with a #Ugandan phrase munange!!!!!🤣🤣🤣🤣

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥

  • @cleopatrasalha2964
    @cleopatrasalha29643 жыл бұрын

    Dejavu wanaita SIJUI😂😂💪

  • @__thereal_unclechibo_7953
    @__thereal_unclechibo_79533 жыл бұрын

    Goood

  • @MrSABYY
    @MrSABYY3 жыл бұрын

    Je umeagiza GARI 🚘🚗nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent ⚓️🚢gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini 🚢Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza📞Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT 🛫/ CONTAINER & MAGARI🚗 yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa..... ------------------ Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa, Asante 1: IST old - 850,000/= 2: HARRIER New-1,000,000/= 3: HARRIER Old-950,000/= 4: RAV 4 - 950,000/= 5: RAUM - 850,000/= 6: SPACIO - 850,000/= 7: PASSO - 800,000/= 8: VITZ - 800,000/= 9: PREMIO - 850,000/= 10: ALTEZA - 850,000/= 11: SUBARU - 850,000/= 12: CARINA - 850,000/= ---------------------------------------- Gharama hizi zinahusisha malipo ya 1: Port Charges 2: Shipping Line 3: Walfage 4: Agent Fee 5: Plate no ---------------------------------------- ☎️DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876 ☎️Whatsapp +255 653953900 📧 Email: charlessabikazi@gmail.com 📢Marketing by @cairo_promotions 🏢Company: Mofaz movers 📍Location: PSSSF Tower, Samora Avenue Dar es salaam, Tanzania *NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE *NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏 *NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA 🇨🇳 NI BURE🙏

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @opportunities2767
    @opportunities27672 жыл бұрын

    Salama huyu jamaa alipaswa awe na season 200

  • @MissRafikieli
    @MissRafikieli3 жыл бұрын

    Salama, he does not have OCD he has ADD (Attention deficit disorder).

  • @MissRafikieli

    @MissRafikieli

    3 жыл бұрын

    Or ADHD (Attention-deficit/hyperactivity disorder)

  • @kigogospecialjoggingclub7206

    @kigogospecialjoggingclub7206

    3 жыл бұрын

    Explain more

  • @user-wu3ld2ti1k
    @user-wu3ld2ti1k4 ай бұрын

    😂😂😂 wenzentu walivyo huwa awafikilii pesa mbele,,, bali matokeo zaid ndo maana wanafanikiwa

  • @palokuthereza2555
    @palokuthereza25553 жыл бұрын

    Aliyesikia fundi meno gonga like

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @priscapaschal5552
    @priscapaschal55523 жыл бұрын

    Mbona kwenye podcast inakataa kuwadownloaded?

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi10833 жыл бұрын

    Wabongo tumekuwa wavivu wa kufikiri na kuumiza kichwa

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi15503 жыл бұрын

    Kuku mwehu😂😂

  • @tadyinkmussa2530
    @tadyinkmussa25303 жыл бұрын

    Sister salama unafanya poa sana n kipind naomba next interview au hata interview zingine uje na baraka mpenja sauti ya radi

  • @monicanyange2789

    @monicanyange2789

    3 жыл бұрын

    Kwa mara nyingine au?mana mbona alisha kuja

  • @monicanyange2789

    @monicanyange2789

    3 жыл бұрын

    Kwa mara nyingine au?mana mbona alisha kuja

  • @tadyinkmussa2530

    @tadyinkmussa2530

    3 жыл бұрын

    @@monicanyange2789 humu humu kwenye salama na au..?

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Жыл бұрын

    Uaminifu ndiyo mtaji

  • @elliotandrew3540
    @elliotandrew35403 жыл бұрын

    The Russian 💯 vs the new 40 club member

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥

  • @praisem.j.lema1036
    @praisem.j.lema10363 жыл бұрын

    Amenikumbusha......Next awe Bongo Zozo " Fujo isio umiza!

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino673 жыл бұрын

    Jesca wetu tunamtaka😃😃😃

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @nmosha90

    @nmosha90

    3 жыл бұрын

    Na jinsi anapronounce I love it...."Karibu Jesika"

  • @omaryndizeye2030
    @omaryndizeye20303 жыл бұрын

    Tunamutaka simba

  • @sophiaswai3582
    @sophiaswai35823 жыл бұрын

    he has Russian accent

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥

  • @noelmichael9425
    @noelmichael94253 жыл бұрын

    Khaa!! bby mama eti 40yr old pongezi kwako. 💓

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥

  • @bevenmolokwane_tz4643
    @bevenmolokwane_tz46433 жыл бұрын

    Kaduguda arudi tena

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @mwasakafyukasamson
    @mwasakafyukasamson3 жыл бұрын

    Jessica namtafuta jamani

  • @ednamwakalundwa7895

    @ednamwakalundwa7895

    3 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @fahadalismaily9370
    @fahadalismaily93703 жыл бұрын

    Walete alikiba na ommy dimpoz

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @shangwehubert5838
    @shangwehubert58383 жыл бұрын

    nauli ya spain nenda rudi mara tata usiwe tajiri

  • @mbwanadavid4371
    @mbwanadavid43713 жыл бұрын

    Hbd da Cheupe, tuletee Ally Choki mzee wa farasi

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @mwanaidimuhindi6671
    @mwanaidimuhindi66713 жыл бұрын

    Salama una miaka 40? Au unatulisha matango pori 😂 unaoneka Mdogo

  • @andrewmalekela3577
    @andrewmalekela35773 жыл бұрын

    Wee salama weuw etiii......... Wachaaaa umetisha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sesyurio7609
    @sesyurio76093 жыл бұрын

    Salama jitahid uwe namtoto umri umeenda

  • @highthemetv7857

    @highthemetv7857

    3 жыл бұрын

    😢

  • @ujudiabdull9442
    @ujudiabdull94423 жыл бұрын

    Salama mlete Rayc nimemmithi....

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie74433 жыл бұрын

    Salama umekua mkubwa 40 ongera uyu jamaa nae atari

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @kiakae1819
    @kiakae18193 жыл бұрын

    So I’m asking please in a very kind way salama can u speak luganda because i have hard you saying munange

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥

  • @iskiji1240
    @iskiji12403 жыл бұрын

    kalito hawezi kutamka Z na anaeleweka tu, sisi watu wa nyanda za juu kusini hatuwezi kutamka R ila mnavotunanga sasa 😂😂😂😂😂

  • @sweetie6934

    @sweetie6934

    3 жыл бұрын

    Yeye ni m Spanish na hao watu Z inawashinda kutamka kwa hiyo poa tu tena amejitahidi sana kuongea lugha asozaliwa nayo ila nyie ni watanzania wazawa lakini kinachowashinda R na L sijui nini

  • @iskiji1240

    @iskiji1240

    3 жыл бұрын

    @@sweetie6934 imetushinda kwa sababu katika lugha zetu mama hatuna R, kiswahili ni lugha yetu ya pili. kwahiyo na mimi usinishangae maana wanyakyusa hatuna herufi R katika lugha yetu, so kama ulivyomchukulia huyo poa na mie nichukulie poa

  • @sweetie6934

    @sweetie6934

    3 жыл бұрын

    @@iskiji1240 nina marafiki wanyakyusa na wanaongea poa tu kama umezaliwa na kukulia Mbeya sawa ila kama umezaliwa na kukulia Dar aah acha maskhara yako

  • @iskiji1240

    @iskiji1240

    3 жыл бұрын

    @@sweetie6934 ishu sio kabila ila ni ipi lugha yako mama, hao waliokulia dar lugha yao ya kwanza ni kiswahili ndio maana unaona wanaongea vizuri. mimi ni msomi kwahiyo naweza kutamka vizuri lakini wale mama zangu wakikosea siwezi kuwalaumu maana naelewa ni kwanini. wanaopaswa kulaumiwa ni wale jamaa wa 'hanakuja' badala ya 'anakuja'

  • @sweetie6934

    @sweetie6934

    3 жыл бұрын

    @@iskiji1240 ok nimekuelewa

  • @aminasaid7657
    @aminasaid76573 жыл бұрын

    Mmmm c kwa mipuli hyo na michoro mume wewe samahani

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @josephmayunga2879
    @josephmayunga28793 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni wa wapi?

  • @ms_caramel2688

    @ms_caramel2688

    3 жыл бұрын

    Spain

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia92843 жыл бұрын

    Kalito, lafudhi la kimasai, Z ni S

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥

  • @kingbashar4293

    @kingbashar4293

    3 жыл бұрын

    Katika ki Spanish z Ina semwa s. Mfano hernandez ina semwa hernandes, that why!!

  • @nahyialetomia9284

    @nahyialetomia9284

    3 жыл бұрын

    @@kingbashar4293, pia kimasai tunasema ‘masiwa’ for maziwa

  • @oyay2821
    @oyay28213 жыл бұрын

    Fundi meno?🤣🤣🤣🤣

  • @nasmafarmsltd9146

    @nasmafarmsltd9146

    3 жыл бұрын

    watu huwa wanajua watu weupe wanajua English

  • @samoocoolingsystem93

    @samoocoolingsystem93

    3 жыл бұрын

    Noma

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @hawahassan835
    @hawahassan8353 жыл бұрын

    Jamani kalitooo alete samaki samaki mwanza na musoma

  • @WASHATube

    @WASHATube

    3 жыл бұрын

    HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥

  • @hawahassan835

    @hawahassan835

    3 жыл бұрын

    @@WASHATube na ww unaishi au