Salama Na KALITO Ep 41 | THE ORIGINATOR Part 1
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Carlos Bastos aka Kalito ni moja kati ya wale binadamu ambao hawahitaji ‘kutambulishwa’ na hiyo si kwa sababu ya muonekano wake hata kidogo zaidi ni personality yake, anaongea, anachekesha, anajielewa, anajua nini cha kusema na wapi pa kusema pia. Katika watu ambao namshukuru Mungu kwa kuwafanya wawe rafiki zangu Kalito ni mmoja wapo.
Jinsi ambavyo alifika Tanzania inaweza ikakufanya ujue pia yeye ni mtu wa aina gani haswa, kutoka mwenyewe familia ambayo mtoto wa kiume ni pekee, na pengine alikua na uhakika wa kupata kila anachotaka lakini aliamua kupaki begi na kuchanja mbuga kuja hapa Tanzania. Kusema za ukweli story yake ya maisha ni ya kuamsha sana. Imagine wewe leo unatoka ulikotoka ukaenda zako pa kwenda, ukajimix kwa kuhudumia watu kwa kuwapa burudani na chakula mpaka akapata upenyo wa kufanya yake. Ni wangapi kati yetu wanaweza kufanya hivyo? Najua wengi wetu hatukuzaliwa hapa Dar es Salaam ila tumekuja tukalikita na mpaka sasa Alhamdulillah mambo yanaenda. Ila si wengi wanaweza kusema hivyo. Tunajua huchukua jasho machozi na pengine damu kufikia malengo.
So binafsi haswa nimejifunza au najifunza nini kutoka kwa rafiki yangu huyu kila siku? Cha kwanza ni kuwa MKWELI. Kama unayo unayo, kama unaweza kufanya/kufika utafanya hivyo, kama unaweza kutoa unatoa na kama huwezi UNASEMA. Naamini ndani ya moyo wangu, hiyo ni moja ya silaha kubwa sana kama unataka kufanikiwa, kama unataka MAENDELEO. Cha pili pia ambacho bado kinakaa kwenye UKWELI ni UAMINIFU. Ukikopa pesa RUDISHA maana hii itakupa nafasi ya kuweza kurudi na kukopa tena kama mambo yako yatakua bado sio sukari, sasa imagine hujarudisha na ukapata shida nyengine je utaweza kurudi kukopa tena? Vipi kama alokukopesha nae kashawaambia ma don wenzake kwamba wewe huwa hulipi? Utasogea kweli?... Mwisho wa siku DAWA YA DENI ni KULIPA tu.
Jengine KUBWA zaidi ni kutokua na SIRI nyiiiingi. Mambo ambayo yatakufanya uwe unaweka vitu vingi ndani, ambavyo hauwezi kusema labda kwasababu ya aibu au pengine hauko huru kuviongea nalo ni TATIZO. Ni kweli sote tuna SIRI zetu, ila zikizidi ndo zinaleta msongo wa mawazo. So kuwa muangalifu na kipi unasema na kipi unaweka. Kujijazia mavitu moyoni ki afya si mpango hata kidogo.
Kalito yuko HURU, anaskiliza watu na kujifunza kila siku pia kama mimi na wewe tu, pia ana shida zake ambazo kwa kiasi kikubwa ameweza kuzifanya zisiwe chanzo cha yeye kutokua na furaha au kumpa unyonge. Pengine unaweza kusema ni kwa sababu ana hela au biashara inayomuingizia kipato kila siku ndo maana ni rahisi kwake kucheka kwa yote, ila Amini nikikuambia hata yeye huwa ana kutana na mitihani mikubwa tu, lakini kwasababu yuko POSITIVE muda wote unakuta anamalizana na shida zake kwa roho safi tu. Anakubali pale anapokua kashindwa na kujifunza na anafurahia pia challenges ambazo binafsi anazishinda kwa uzuri tu. Yeye pia ni rafiki nambari MOJA wa wafanyakazi wake karibia WOTE wa Samaki Samaki na sasa Kuku Kuku wa kuwajua mmoja mmoja kwa majina yao. Mpaka mafundi wake wote hao ni familia yake.
Wangu tumekuletea Kalito kwenye meza ili uone mambo kwa utofauti haswa. Ujifunze kutoka kwa watu ambao unawaangalia kila siku na ambao pengine unadhani mambo yao ni SUKARI kila siku iendayo kwa Mungu. Yangu matumaini utaokota mawili matatu humu. Maana ukiachana na biashara pia alizungumza maisha yake. Alivyoumwa, watoto wake na jinsi alivyofika Tanzania na nchi yetu hii na watu wake. Alituambia pia kuhusu mapenzi yake na Bahari na mahusiano yake na watoto wake na Mama yao ambaye hayuko nae tena sasa. Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali kzread.info/dash/bejne/damZk6p7ZMnUfLQ.html
Follow:
Twitter: YahStoneTown
Instagram: YahStoneTown
Facebook: YahStoneTown
Пікірлер: 116
TUNAOMBA KABLA YA SEASON KUISHA IWE SALAMA NA SALAMA., NAAMINI ANAMAMBO MAZURI NA MAKUBWA PIA KUSHARE NA WATU.
Happy 40 years Salama, nice interview
Aya wale tuliokuwa tunasubiri hii tujuane
@blueskytravel5441
3 жыл бұрын
Tupo
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Happy 40th birthday Salama...u aging like fine wine
Siri ya kufanikiwa ni kuacha kulala, kufanya kazi kwa bidii na kuwa mwaminifu ktk vitu vidogo Asante Salama na Carlos
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
Happy birthday Salama.
Happy birthday dear Allah akupe kila la kheri na ww jmb nampenda kalito msalimie 😊
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Very Inspiring!
Salama, Hongera kwa 40! Umejitunza dada sijui kwavile "unamla Kalito" haha...okay, so nilisikiliza podcast and now nimewatch! Investors kama Kalito ndo nawapenda yani matokeo yanajieleza njenje na waziwazi kama ulivyosema Salama, haitaji kujitambulisha. Asante Kalito kwa kutuappreciate Tanzanian ladies!We are beauriiiiiful haha Nimefurahi pia kwasababu Saum mpo nae kwenye kukukuku! Women power! now part 2
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
I love Kalito😍
ilove you carlos ahhaaaaa eti nakuja nakata kona haaaaaaa wanazingua watz na hiyo tunajulikana zaidi nchi nzima
impressive interview. i like it
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Tunaomba Professor Jay
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
Very Inspiring indeed 👊🏾
Salama nakupenda sana unanipa moyo wa kupambana
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
Most important thing in business is honesty -Jay Z
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
Hongera kwa kutimiza miaka 40😁👊👏👏
Tuleteeni Ally kamwe...... Happy 40 aunt cheupe
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
Hongera sanaa kwa kutimiza miaka 40 Unajua nn ka bby mbon hatuoni
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
#SalamaAt40 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
Nafuatilia sana kipindi chako upo vizuri, ombi langu tuliletee Master T Tiji Liundi.
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
hizo bei mhh
The originator
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Hello cheupe... Happy birthday
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
32:20 she hits me with a #Ugandan phrase munange!!!!!🤣🤣🤣🤣
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Dejavu wanaita SIJUI😂😂💪
Goood
Je umeagiza GARI 🚘🚗nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent ⚓️🚢gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini 🚢Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza📞Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT 🛫/ CONTAINER & MAGARI🚗 yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa..... ------------------ Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa, Asante 1: IST old - 850,000/= 2: HARRIER New-1,000,000/= 3: HARRIER Old-950,000/= 4: RAV 4 - 950,000/= 5: RAUM - 850,000/= 6: SPACIO - 850,000/= 7: PASSO - 800,000/= 8: VITZ - 800,000/= 9: PREMIO - 850,000/= 10: ALTEZA - 850,000/= 11: SUBARU - 850,000/= 12: CARINA - 850,000/= ---------------------------------------- Gharama hizi zinahusisha malipo ya 1: Port Charges 2: Shipping Line 3: Walfage 4: Agent Fee 5: Plate no ---------------------------------------- ☎️DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876 ☎️Whatsapp +255 653953900 📧 Email: charlessabikazi@gmail.com 📢Marketing by @cairo_promotions 🏢Company: Mofaz movers 📍Location: PSSSF Tower, Samora Avenue Dar es salaam, Tanzania *NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE *NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏 *NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA 🇨🇳 NI BURE🙏
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
Salama huyu jamaa alipaswa awe na season 200
Salama, he does not have OCD he has ADD (Attention deficit disorder).
@MissRafikieli
3 жыл бұрын
Or ADHD (Attention-deficit/hyperactivity disorder)
@kigogospecialjoggingclub7206
3 жыл бұрын
Explain more
😂😂😂 wenzentu walivyo huwa awafikilii pesa mbele,,, bali matokeo zaid ndo maana wanafanikiwa
Aliyesikia fundi meno gonga like
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
Mbona kwenye podcast inakataa kuwadownloaded?
Wabongo tumekuwa wavivu wa kufikiri na kuumiza kichwa
Kuku mwehu😂😂
Sister salama unafanya poa sana n kipind naomba next interview au hata interview zingine uje na baraka mpenja sauti ya radi
@monicanyange2789
3 жыл бұрын
Kwa mara nyingine au?mana mbona alisha kuja
@monicanyange2789
3 жыл бұрын
Kwa mara nyingine au?mana mbona alisha kuja
@tadyinkmussa2530
3 жыл бұрын
@@monicanyange2789 humu humu kwenye salama na au..?
Uaminifu ndiyo mtaji
The Russian 💯 vs the new 40 club member
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Amenikumbusha......Next awe Bongo Zozo " Fujo isio umiza!
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
Jesca wetu tunamtaka😃😃😃
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
@nmosha90
3 жыл бұрын
Na jinsi anapronounce I love it...."Karibu Jesika"
Tunamutaka simba
he has Russian accent
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Khaa!! bby mama eti 40yr old pongezi kwako. 💓
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Kaduguda arudi tena
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
Jessica namtafuta jamani
@ednamwakalundwa7895
3 жыл бұрын
Hahahaha
Walete alikiba na ommy dimpoz
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
nauli ya spain nenda rudi mara tata usiwe tajiri
Hbd da Cheupe, tuletee Ally Choki mzee wa farasi
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
Salama una miaka 40? Au unatulisha matango pori 😂 unaoneka Mdogo
Wee salama weuw etiii......... Wachaaaa umetisha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Salama jitahid uwe namtoto umri umeenda
@highthemetv7857
3 жыл бұрын
😢
Salama mlete Rayc nimemmithi....
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Salama umekua mkubwa 40 ongera uyu jamaa nae atari
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
So I’m asking please in a very kind way salama can u speak luganda because i have hard you saying munange
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
kalito hawezi kutamka Z na anaeleweka tu, sisi watu wa nyanda za juu kusini hatuwezi kutamka R ila mnavotunanga sasa 😂😂😂😂😂
@sweetie6934
3 жыл бұрын
Yeye ni m Spanish na hao watu Z inawashinda kutamka kwa hiyo poa tu tena amejitahidi sana kuongea lugha asozaliwa nayo ila nyie ni watanzania wazawa lakini kinachowashinda R na L sijui nini
@iskiji1240
3 жыл бұрын
@@sweetie6934 imetushinda kwa sababu katika lugha zetu mama hatuna R, kiswahili ni lugha yetu ya pili. kwahiyo na mimi usinishangae maana wanyakyusa hatuna herufi R katika lugha yetu, so kama ulivyomchukulia huyo poa na mie nichukulie poa
@sweetie6934
3 жыл бұрын
@@iskiji1240 nina marafiki wanyakyusa na wanaongea poa tu kama umezaliwa na kukulia Mbeya sawa ila kama umezaliwa na kukulia Dar aah acha maskhara yako
@iskiji1240
3 жыл бұрын
@@sweetie6934 ishu sio kabila ila ni ipi lugha yako mama, hao waliokulia dar lugha yao ya kwanza ni kiswahili ndio maana unaona wanaongea vizuri. mimi ni msomi kwahiyo naweza kutamka vizuri lakini wale mama zangu wakikosea siwezi kuwalaumu maana naelewa ni kwanini. wanaopaswa kulaumiwa ni wale jamaa wa 'hanakuja' badala ya 'anakuja'
@sweetie6934
3 жыл бұрын
@@iskiji1240 ok nimekuelewa
Mmmm c kwa mipuli hyo na michoro mume wewe samahani
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
Huyu jamaa ni wa wapi?
@ms_caramel2688
3 жыл бұрын
Spain
Kalito, lafudhi la kimasai, Z ni S
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
@kingbashar4293
3 жыл бұрын
Katika ki Spanish z Ina semwa s. Mfano hernandez ina semwa hernandes, that why!!
@nahyialetomia9284
3 жыл бұрын
@@kingbashar4293, pia kimasai tunasema ‘masiwa’ for maziwa
Fundi meno?🤣🤣🤣🤣
@nasmafarmsltd9146
3 жыл бұрын
watu huwa wanajua watu weupe wanajua English
@samoocoolingsystem93
3 жыл бұрын
Noma
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
Jamani kalitooo alete samaki samaki mwanza na musoma
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥
@hawahassan835
3 жыл бұрын
@@WASHATube na ww unaishi au