Kweli Kamanda Mbowe ni Mwamba. Pamoja na Chuma "LISSU" Tunauona ukombozi wa TANGANYIKA HATIMAE TANZANIA ILIYO BORA ZAIDI. Well said Kamanda, Viva kamanda viva.
@prospermalala66362 күн бұрын
Mzee wetu IQ yako IPO juuuu sana ndani ya Taifa letu
@AlphaBarageti-ru5xj17 күн бұрын
Demokrasia ni kura Wanachama wakichagua kiongozi yuleyule ni demokrasia haijalishi ni mara ngapi kiongozi yuleyule atachaguliwa .
@MuhojaMalicho17 күн бұрын
❤❤❤❤ chadema ndo talajio la wengi kuondoa umaskn maana ccm wemesalit ichi yetu ccm kimekuwa chama cha mabepali mabebelu
@simpsonisoe899418 күн бұрын
Msingwa ameniangusha sana,nilikua na muaminisana ki sisiasa ,mudooomoo tu ,njaaa kamupeleka ccm
@judicateurassa78179 күн бұрын
Mbowe hata miaka 50 aongoze mpaka tupate ukombozi kama mandela
@JosefuSwai14 күн бұрын
Iko wazo chadema ni chuo Cha wanasiasa njooni ccm mchukue wahitimi wapo wengi sanasana
@FikiriniMwaluko16 күн бұрын
Baba imeongea vizuri sana
@neemanziku540316 күн бұрын
Kupitia msigwa imenifanya nisimwamini mtu,kweli msigwa Ni msaliti
@donaldmaziku791519 күн бұрын
umeongea point tupu
@MuhojaMalicho17 күн бұрын
❤❤❤❤ chadema ndo talajio la wengi
@daudimaembe336018 күн бұрын
Viongozi waanzilishi wote huongoza vyama vyao kwa muda mrefu.Mfano mwalimu Nyerere,akina Mandela,nk
@ceciliamagalabajimmy439117 күн бұрын
❤ Yaani umesema kweli kabisa. Mimi ni zao lako la kwanza diwani mwanamke wa kuchaguliwa ktk jimbo la Kyela na kanda ya Nyasa. Asante Mungu akubariki na kukulinda mwenyekiti wangu 2015.
@joachimkalungwana865419 күн бұрын
Saaafiiii saaaanaaaa kamanda.Wanataka kumtoa Mbowe Ili waweke mamluki Ili kuudhofisha chdm
@SirajiHamis-pc1kh18 күн бұрын
Mzee uko vizuri sanaa ❤
@user-cw4tr5bn1v18 күн бұрын
Umenena vema sana mzee🙏🙏🙏🙏
@benjamalila99427 күн бұрын
Safi
@mertus.nestory.bishirangon462418 күн бұрын
Good
@bonifacemwanga311516 күн бұрын
MSIGWA UMEAMUA KURUDI (MISRI) umerudi utumwani je utakuwa na ujasiri wa kukibadilisha CCM MAFARAO hawatakuacha, historia inaonyesha ukila matapishi lazima utaarisha/tumbo litakuuma, wakat utazungunza
@user-gr9wc7bc2m10 күн бұрын
Wapigania uhuru hawabadirishi mwenyekiti
@gangan461815 күн бұрын
Chadema ni lichama Imara sana TENA SANA.
@adelinelyaruu3036
15 күн бұрын
Na hiki Chama kinaendelea kusimama imara. Mungu awatangulie
@user-bf7sr1cv1g19 күн бұрын
Mzee unamadini sana wew
@user-bz5ti6op6z15 күн бұрын
Mzee ni wazi mbowe ni Mwenyekiti wa milele
@user-uq5vm2ge4q19 күн бұрын
safi sana
@coolruler682017 күн бұрын
Sijaona wa kumfananisha na mbowe kwenye upinzani, amejaa utulivu, hekima na ni mpends amani na ni mtu asiyeyumbishwa na asiyekata tamaa. Hata wanaomsema kuwa chama ni chake acha wamseme kwani anastahili kuwa kiongozi hadi pale chama kitakapotimiza ndoto ya kuishika dola.
@FrankMwakatundu-cu6bd19 күн бұрын
NI KWELI KABISA MH. MBOWE NDIYE MWAMBA WA SIASA SI SIASA TU SIASA SAFI MBOWE NI MFANO WA KUIGWA, RUSHWA ZA CCM ZIMEGONGA MWAMBA KWA MH. MBOWE!!!! CCM WANA FEDHA CHAFU YA KUVURUGA VYAMA VYA UPINZANI NI CHADEMA PEKEE IMEBAKIA IMARA NCHI NZIMA!!!
@bulayamoffatmwmbilu575018 күн бұрын
Mbowe msimamo.Wasaliti wrote wataondoka ili wabaki wanamageuzi
@bonifacemwanga311516 күн бұрын
Msigwa kuwa makin, wakishakutumia wanasep na ww huna mahal pakutua wakt utaongea
@rwakyenderajulius386118 күн бұрын
Busara
@desiderihugo570419 күн бұрын
Watoe katiba mpya wasitoe wataondoka tuuu
@user-oy5dz5xl8s19 күн бұрын
Mbowe Tena mbowe Tena mbowe Tena, mbowe Tena. Mbowe tena
@giftkalenge41819 күн бұрын
safi sana Nyerere alikaa miaka 30
@MusaOgwoko19 күн бұрын
Mbowe aongeki
@judicatendengerio-ndossi158318 күн бұрын
Washindani hutumia walinzi au watu wakaribu nae Kiongozi wa juu kummaliza. Lilitokea kwa wafalme, manabii na viongozi wengine. Nixon alisemaga Kila mtu anauzika mradi ufike bei. Maisha ni mafupi wacha anaejiuza ajiuze. Muulizeni aliyebomoa madanguro kinondoni alifanikiwa? Si bado wapo? Siasa ni hivyo hivyo. Kisa cha Shakespear na Brutus Brutus ni hikihiki.
@user-lm3lt7xx6l18 күн бұрын
Na walosalit cuf walikuwa kutoka bara sio znz mana mahakama mpaka mkuu wa siasa police matukio yote bara
@abdalahgunda131917 күн бұрын
Sisi hatuna shida lakini mbowe ni mvumili ila tunamuitaji lisu kuwa raisi ktk taifa hili ili sishooshe nchi bila kuangalia sura za watu aangalie sheria tuu hatutasema kuwa ilipize kisasi hapana Bali sheria
@abdalahgunda1319
17 күн бұрын
Ccm Wana Wana siasa wazuri tuu shida ni sheria hazifuatwi sio kwamba ccm Haina Wana siasa wapo wana siasa wazuri wenye mvuto elimu kubwa wenye PhD shida ya ccm uongo kwa sababu wapo kina bashiru makonda na wengineo ndani ya ccm mm siamimi kuwa ccm Haina Wana ccm wazuri hapa wapo chadema inasimamia haki huo ndio uzuri wa chadema
@adelinelyaruu3036
15 күн бұрын
Vipngozi wote Chadema ni wazuri na wanaweza kuongoza nchi hii kwa haki na utulivu na pia kwa demokrasia endelevu
@camilomassao897117 күн бұрын
Mbona ccm walianzaga kampeni za Magufuli wa Milele? Wanahoji vipi ya CHADEMA ? Hizo ni politics, Mbowe songa mbele
@adelinelyaruu3036
15 күн бұрын
Mungu aendelee kukulinda mwamba wetu❤
@user-lm3lt7xx6l18 күн бұрын
Mbowe km maalim seif alivyokuwa na znz kiufupi anayo yapata mbowe maalim aliyapata mengi.cuf ya zaman haikuwa na kubadilisha yaliyo fanyika cuf mnayajuwa lipumba hakuwa na uwezo kuvunja chama lakin chadema imekuwa km shule ya kufundisha viongozi halafu wanatoka.
@Time-ev3dw
18 күн бұрын
Hakika mbor ni maalim seif wa Tanzania asiache sits mpka kifo
@WilliamMwangwa19 күн бұрын
Huo ndio ukweli. Mwandishi hakujiandaa kwa mahojiano inaonekana maswali yake hayana utafiti wa kiuweledi
@muhsinikoki406019 күн бұрын
uk vr simp😊
@mfwimiekayuki869219 күн бұрын
Ujinga wa CCM wanalia usiku na mchana Mbowe atoke CHADEMA.NEVER,NEVER,NEVER.
@adelinelyaruu3036
15 күн бұрын
AND NEVER AGAIN
@josephbundala147519 күн бұрын
Tuambieni dira yenu kuhusu nchi, achaneni na vimatukio vidogovidogo. Hatujaelewa vyema mtatufanyia nini katika nchi hii mkishika dola.
@ephraimkalanje7105
18 күн бұрын
Haki, Maendeleo ya watu, Uhuru wa kweli, Utu, Demokrasia makini, Sera ya, majimbo, Katiba mpya ya wananchi, Tume huru ya uchaguzi, Taasisi imara zinazojitegemea (Serikali, Bunge, Mahakama huru), Uchumi imara zaidi, kodi za haki, maslahi bora zaid kwa wafanyakazi wote ( kuondokana na vikokotoo gandamizi; vya hovyo), na menginebmengi tu! Haya yote hayakutoshi? Yote hayo yanapiganiwa na Chadema! Unajitoa ufahamu kwa makusudi au kwa uchawa? Unatafuta uteuzi? Barabara nzuri, mashule, hospitali na miundo mbinu mingine yaweza kujengwa hata na dikteta na watu wasipate furaha nayo. Mkoloni aliacha vitu vingi hapa na bado akatimuliwa! Kwa nini asingeachwa? Hiyo hali niliyoitaja huko juu haikuwepo! Kugawa mapesa kwa watu huku wana hofu ya kutekwa, kuzushiwa kesi za uongo, kupigwa risasi, hakuleti furaha kwa wananchi. Tunahitaji taifa imara kiuchumi, katika haki, usawa na itawala bora wa KIDEMOKRASIA! Piga kazi CHADEMA!
Hakuna mtu yeyote wa CCM anayependa mbowe aondoke mbowe yupo kimaslahi sana kipesa .Hayupo kimaslahi kuwasaidia Watanzania. Miaka 24_nimwenyekiti wa chadema taifa yeye ni chifu hakuna lolote amewaowa wote
@ALESIACHIJOKA
18 күн бұрын
Pole
@user-bx3ko9ft5t
18 күн бұрын
Wewe kazi kuiponda chadema lakini wap nakuambia chadema itadumu mana ni mpango wa mungu
@user-lt1nr4tk9r
15 күн бұрын
Hakuna boya Kama wewe wamepita wangapi kwenye mikon ya mbowe
@reginaldmapunda670219 күн бұрын
Kama ni kweli kwa nini mnahangaika na Msigwa? Hangaikeni na majukunu yenu achaneni na watu waliohama chama. Hata huko ccm wamehama wengi tu mbona hawahangaiki nao? Kuendelea kumfuqtilia Msigwa ni kupoteza muda na ni kumpa kichwa na pengine kuonyesha kuwa anayoyasema ni kweli. Kumbukeni kuwa hata Slaa alitoka ccm na Lowasa , Kingunge, na walipewa madaraka makubwa huko chadema jee ina maana chadema hawana watu?
@ezekielkiduge8730
19 күн бұрын
CCM ndio wanaohangaika Acha uchawa
@reginaldmapunda6702
19 күн бұрын
@@ezekielkiduge8730 Kama CCM inahangaika nyie fanyeni kweli acheni kupoteza muda na Msigwa huyo ashahama . Kuwa chawa sawa lakini ukweli ni ukweli tu uwe imesemwa na mimi chawa au wewe kunguni. Muwe mnakubali ukweli wakati mwingine ,kuwa chadema ni saccos ya mtu mwenye ubabe na ubinafsi na hamuwezi kumwambia wala kumhoji.na ukitaka jaribu uone kitskacho kukuta au kamuulize Mwambe.
@domymerinyo816519 күн бұрын
Msigwa afadhali ameondoka alikua ni kijani.alitaka kukivuruga chama tu
Пікірлер: 58
Kweli Kamanda Mbowe ni Mwamba. Pamoja na Chuma "LISSU" Tunauona ukombozi wa TANGANYIKA HATIMAE TANZANIA ILIYO BORA ZAIDI. Well said Kamanda, Viva kamanda viva.
Mzee wetu IQ yako IPO juuuu sana ndani ya Taifa letu
Demokrasia ni kura Wanachama wakichagua kiongozi yuleyule ni demokrasia haijalishi ni mara ngapi kiongozi yuleyule atachaguliwa .
❤❤❤❤ chadema ndo talajio la wengi kuondoa umaskn maana ccm wemesalit ichi yetu ccm kimekuwa chama cha mabepali mabebelu
Msingwa ameniangusha sana,nilikua na muaminisana ki sisiasa ,mudooomoo tu ,njaaa kamupeleka ccm
Mbowe hata miaka 50 aongoze mpaka tupate ukombozi kama mandela
Iko wazo chadema ni chuo Cha wanasiasa njooni ccm mchukue wahitimi wapo wengi sanasana
Baba imeongea vizuri sana
Kupitia msigwa imenifanya nisimwamini mtu,kweli msigwa Ni msaliti
umeongea point tupu
❤❤❤❤ chadema ndo talajio la wengi
Viongozi waanzilishi wote huongoza vyama vyao kwa muda mrefu.Mfano mwalimu Nyerere,akina Mandela,nk
❤ Yaani umesema kweli kabisa. Mimi ni zao lako la kwanza diwani mwanamke wa kuchaguliwa ktk jimbo la Kyela na kanda ya Nyasa. Asante Mungu akubariki na kukulinda mwenyekiti wangu 2015.
Saaafiiii saaaanaaaa kamanda.Wanataka kumtoa Mbowe Ili waweke mamluki Ili kuudhofisha chdm
Mzee uko vizuri sanaa ❤
Umenena vema sana mzee🙏🙏🙏🙏
Safi
Good
MSIGWA UMEAMUA KURUDI (MISRI) umerudi utumwani je utakuwa na ujasiri wa kukibadilisha CCM MAFARAO hawatakuacha, historia inaonyesha ukila matapishi lazima utaarisha/tumbo litakuuma, wakat utazungunza
Wapigania uhuru hawabadirishi mwenyekiti
Chadema ni lichama Imara sana TENA SANA.
@adelinelyaruu3036
15 күн бұрын
Na hiki Chama kinaendelea kusimama imara. Mungu awatangulie
Mzee unamadini sana wew
Mzee ni wazi mbowe ni Mwenyekiti wa milele
safi sana
Sijaona wa kumfananisha na mbowe kwenye upinzani, amejaa utulivu, hekima na ni mpends amani na ni mtu asiyeyumbishwa na asiyekata tamaa. Hata wanaomsema kuwa chama ni chake acha wamseme kwani anastahili kuwa kiongozi hadi pale chama kitakapotimiza ndoto ya kuishika dola.
NI KWELI KABISA MH. MBOWE NDIYE MWAMBA WA SIASA SI SIASA TU SIASA SAFI MBOWE NI MFANO WA KUIGWA, RUSHWA ZA CCM ZIMEGONGA MWAMBA KWA MH. MBOWE!!!! CCM WANA FEDHA CHAFU YA KUVURUGA VYAMA VYA UPINZANI NI CHADEMA PEKEE IMEBAKIA IMARA NCHI NZIMA!!!
Mbowe msimamo.Wasaliti wrote wataondoka ili wabaki wanamageuzi
Msigwa kuwa makin, wakishakutumia wanasep na ww huna mahal pakutua wakt utaongea
Busara
Watoe katiba mpya wasitoe wataondoka tuuu
Mbowe Tena mbowe Tena mbowe Tena, mbowe Tena. Mbowe tena
safi sana Nyerere alikaa miaka 30
Mbowe aongeki
Washindani hutumia walinzi au watu wakaribu nae Kiongozi wa juu kummaliza. Lilitokea kwa wafalme, manabii na viongozi wengine. Nixon alisemaga Kila mtu anauzika mradi ufike bei. Maisha ni mafupi wacha anaejiuza ajiuze. Muulizeni aliyebomoa madanguro kinondoni alifanikiwa? Si bado wapo? Siasa ni hivyo hivyo. Kisa cha Shakespear na Brutus Brutus ni hikihiki.
Na walosalit cuf walikuwa kutoka bara sio znz mana mahakama mpaka mkuu wa siasa police matukio yote bara
Sisi hatuna shida lakini mbowe ni mvumili ila tunamuitaji lisu kuwa raisi ktk taifa hili ili sishooshe nchi bila kuangalia sura za watu aangalie sheria tuu hatutasema kuwa ilipize kisasi hapana Bali sheria
@abdalahgunda1319
17 күн бұрын
Ccm Wana Wana siasa wazuri tuu shida ni sheria hazifuatwi sio kwamba ccm Haina Wana siasa wapo wana siasa wazuri wenye mvuto elimu kubwa wenye PhD shida ya ccm uongo kwa sababu wapo kina bashiru makonda na wengineo ndani ya ccm mm siamimi kuwa ccm Haina Wana ccm wazuri hapa wapo chadema inasimamia haki huo ndio uzuri wa chadema
@adelinelyaruu3036
15 күн бұрын
Vipngozi wote Chadema ni wazuri na wanaweza kuongoza nchi hii kwa haki na utulivu na pia kwa demokrasia endelevu
Mbona ccm walianzaga kampeni za Magufuli wa Milele? Wanahoji vipi ya CHADEMA ? Hizo ni politics, Mbowe songa mbele
@adelinelyaruu3036
15 күн бұрын
Mungu aendelee kukulinda mwamba wetu❤
Mbowe km maalim seif alivyokuwa na znz kiufupi anayo yapata mbowe maalim aliyapata mengi.cuf ya zaman haikuwa na kubadilisha yaliyo fanyika cuf mnayajuwa lipumba hakuwa na uwezo kuvunja chama lakin chadema imekuwa km shule ya kufundisha viongozi halafu wanatoka.
@Time-ev3dw
18 күн бұрын
Hakika mbor ni maalim seif wa Tanzania asiache sits mpka kifo
Huo ndio ukweli. Mwandishi hakujiandaa kwa mahojiano inaonekana maswali yake hayana utafiti wa kiuweledi
uk vr simp😊
Ujinga wa CCM wanalia usiku na mchana Mbowe atoke CHADEMA.NEVER,NEVER,NEVER.
@adelinelyaruu3036
15 күн бұрын
AND NEVER AGAIN
Tuambieni dira yenu kuhusu nchi, achaneni na vimatukio vidogovidogo. Hatujaelewa vyema mtatufanyia nini katika nchi hii mkishika dola.
@ephraimkalanje7105
18 күн бұрын
Haki, Maendeleo ya watu, Uhuru wa kweli, Utu, Demokrasia makini, Sera ya, majimbo, Katiba mpya ya wananchi, Tume huru ya uchaguzi, Taasisi imara zinazojitegemea (Serikali, Bunge, Mahakama huru), Uchumi imara zaidi, kodi za haki, maslahi bora zaid kwa wafanyakazi wote ( kuondokana na vikokotoo gandamizi; vya hovyo), na menginebmengi tu! Haya yote hayakutoshi? Yote hayo yanapiganiwa na Chadema! Unajitoa ufahamu kwa makusudi au kwa uchawa? Unatafuta uteuzi? Barabara nzuri, mashule, hospitali na miundo mbinu mingine yaweza kujengwa hata na dikteta na watu wasipate furaha nayo. Mkoloni aliacha vitu vingi hapa na bado akatimuliwa! Kwa nini asingeachwa? Hiyo hali niliyoitaja huko juu haikuwepo! Kugawa mapesa kwa watu huku wana hofu ya kutekwa, kuzushiwa kesi za uongo, kupigwa risasi, hakuleti furaha kwa wananchi. Tunahitaji taifa imara kiuchumi, katika haki, usawa na itawala bora wa KIDEMOKRASIA! Piga kazi CHADEMA!
Chadema lazima kusimama imara. Msisikilize maneno ya watu. Hao wanataka kukidhohofisha chama. .Mawazo yenu ndo sahihi.
Hakuna mtu yeyote wa CCM anayependa mbowe aondoke mbowe yupo kimaslahi sana kipesa .Hayupo kimaslahi kuwasaidia Watanzania. Miaka 24_nimwenyekiti wa chadema taifa yeye ni chifu hakuna lolote amewaowa wote
@ALESIACHIJOKA
18 күн бұрын
Pole
@user-bx3ko9ft5t
18 күн бұрын
Wewe kazi kuiponda chadema lakini wap nakuambia chadema itadumu mana ni mpango wa mungu
@user-lt1nr4tk9r
15 күн бұрын
Hakuna boya Kama wewe wamepita wangapi kwenye mikon ya mbowe
Kama ni kweli kwa nini mnahangaika na Msigwa? Hangaikeni na majukunu yenu achaneni na watu waliohama chama. Hata huko ccm wamehama wengi tu mbona hawahangaiki nao? Kuendelea kumfuqtilia Msigwa ni kupoteza muda na ni kumpa kichwa na pengine kuonyesha kuwa anayoyasema ni kweli. Kumbukeni kuwa hata Slaa alitoka ccm na Lowasa , Kingunge, na walipewa madaraka makubwa huko chadema jee ina maana chadema hawana watu?
@ezekielkiduge8730
19 күн бұрын
CCM ndio wanaohangaika Acha uchawa
@reginaldmapunda6702
19 күн бұрын
@@ezekielkiduge8730 Kama CCM inahangaika nyie fanyeni kweli acheni kupoteza muda na Msigwa huyo ashahama . Kuwa chawa sawa lakini ukweli ni ukweli tu uwe imesemwa na mimi chawa au wewe kunguni. Muwe mnakubali ukweli wakati mwingine ,kuwa chadema ni saccos ya mtu mwenye ubabe na ubinafsi na hamuwezi kumwambia wala kumhoji.na ukitaka jaribu uone kitskacho kukuta au kamuulize Mwambe.
Msigwa afadhali ameondoka alikua ni kijani.alitaka kukivuruga chama tu