SABABU HALISI YA TUNDA HIZI ZA ZANZIBAR KUPENDWA SANA | SHOKISHOKI
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
cc: Hairath Haroub
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 51
Ehhh Babu 😅👍🏼. Napenda unavyo cheka MashaAllah. Mola awajaalie biashara zenu zinawiri. Ameen
Heee! Shokishoki kwa chai😆😆
@kidjhdf7568
4 жыл бұрын
Zena ww
@zenaal-baalawy3262
4 жыл бұрын
@@kidjhdf7568 😄
@kidjhdf7568
4 жыл бұрын
Mm nipo oky
duh hatari sana sio kwa tano hizo mzeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😃😃😃
Iyo tano ya mzee duh hatari sana
Yan mungu akueke mzee wangu umanfarahisha sn
Choki choki kwa chai kuliko andazi hahaha
Mwera ZANZIBAR hizo zimejaa, ila inakatwa hatari kutokana na ujenzi holela..
@truthspeaker2062
5 жыл бұрын
Si kweli .. mm ni mkaazi wa mwera .usieneze uongo
@vitukobongo9841
5 жыл бұрын
@@truthspeaker2062 kama ww ni mkaazi wa mwera mimi ni kwetu kabisa na ndipo nilipo zaliwa na walipo zaliwa wazee wangu na ndipo ninapo tarajiwa kuzikwa, kwa ilo jambo ni kweli, nenda mwera gudini au mwera mtenden ukaangalie jinsi gani wanavo kata miti nakujenga, nahata mwera pongwe pia watu washaanza kuvamia.. So cjuu ipi habar ya uongo wakat ww mwenyew hali unajionea...
@issamohammed2458
4 жыл бұрын
muulize kwao kiboje hawakukata mishoki shoki.....?
Maa shaa Allah Allah ibarik Zanzibar.. Maon kwa serekali I we na mashamba yao hasa ya vitu adim kama ivo ili muuze nnje mpate fedha za kigeni
nilikuwa nazipenda izo wakat naishi huko
Babu noma sana shokishoki kwa chai🤣anasema nyama haitoki na itatoka vp na jino analo moja 🤣
@issamohammed2458
4 жыл бұрын
Chidy umesema naneno mazima huyo mtani wangu sio mlaji wa shoki shoki hana meno atakulaje shoki shoki...? kaja toka kwao pemba keshang'oka meno anakwambia wakati wa juwa yanakuwa makali kasikia wapi juwa zinakuwa kali sio kweli
Vile nimezimisss shokishoki 😋😋😋
Babu cheko la kujidai ilo 😁😁
mtangazaji nimemkubali kutoa 5 y kisugudi
@himidmabrouk8959
5 жыл бұрын
😂😂😂
Yummy Yammy
Da una itamanisha sana aisee
Nimefurahi kugongeana tank
Dah mzeee has freak
Eeeeh banaaaaaeee eehh nipenda tano yako
😋😋😋😋😋😋
Mtuletee na huku dar jmani
@binrashid8671
4 жыл бұрын
Nikutumie utapokea ?
Babu unafurahisha sn
Mtangazaji wa habari nakusalimia
napenda shokishoki jamani nitamu🤑
@shammoha5297
5 жыл бұрын
Tena saaana MashaAllah 😋
@binrashid8671
4 жыл бұрын
Uko wapi nikutumie
Mi nimependa tano hiyo ya babu
@shefaashefaa1930
5 жыл бұрын
Babu yuko vizuri
@amnemkubwa7353
5 жыл бұрын
😂😂😂😁😁
Shoki shoki asili yake China !? Hebu fanya uchunguzi au Thailand na Malaysia ni China ?
@ibrahimhaji214
5 жыл бұрын
Asili yake ni china, China ni maarufu kwa kulima shokishoki ambazo hujuulikana kama lychees lakini hizi za kawaida pia zipo, ila malaysia ndio kinara wa kulima shokishoki duniani.
@alhamdulillah5796
5 жыл бұрын
Shokishoki (rambutan) origin yake ni Malaysia na Indonesia. Lychee nahisi ni matunda tofauti ingawa yanafanana na shokishoki (rambutan) lkn ladha na harufu ni tofauti. Pia kuna longan zinafanana pia na lychee. Halafu hilo neno lenyewe rambutan linatoka kwenye lugha ya Kimaley (rambut-nywele).
Chongoma fuu zabibu shokishoki arijojo yanapotea matunda haya khatari
@zenaal-baalawy3262
5 жыл бұрын
Arijojo sizijui mwenzangu Albassam Jjmali@ juzi nilizotaja zile pilipilidoria zimetoweka nazikimbuka tokea mdogo, hizo nyengine ndio zinakuwepo ila sio sana kama zamani zambarau, kungu, chongoma, fuu na matunda mengine
@albassamjjamali9205
5 жыл бұрын
@@zenaal-baalawy3262 aaaa pilpili doria nazikumbuka sanna izo ndo sizioni asaa atanjian lkni fuu chongoma na zambarau sizion mm pia
@zenaal-baalawy3262
5 жыл бұрын
Albassam Jjmali@ hizo Pilipilidoria kuna mtu nilimuuliza kama zipo zile hata week haifiki nimeziulizia akanijibu zipo, nikamuambia nazitaka pls, akacheka sana akanijibu mie ndio mtu wa porini😆, lakini akaniambia mbona zinakuwepo Marhubi mle kwenye mapori, maana sijaziona miaka mingi tokea nasoma primary nanunua skuli, akakaa kama after 2 or 3 days akanipigia picha akaniambia nimezikuta huku sehem akanipigia picha zipo juu ya mtu bado hazijapea lakini. Na hizo Zambarau kuna kama miaka 2 nyuma nilizikuta zinauzwa lakini Fuu sijaziona pia miaka mingi, Kungu na Chongoma pia ila hizo Pilipilidoria ndio miaka mingi sana sana
@albassamjjamali9205
5 жыл бұрын
@@zenaal-baalawy3262 hahahaha kwann sasa zinatoweka? Zena
@zenaal-baalawy3262
5 жыл бұрын
@@albassamjjamali9205 inasemekana matunda mengine or hiyo miti inatoweka kutokana saivi nyumbani kuhusu kukakata kata miti ovyo na zaidi mambo ya ukataji viwanja ovyo sehemu ambazo pia sio husika miti inatoweka na haindelezwi kupandwa sehemu nyengine indapo inakatwa