ROYAL BAND YA OMAN YATUMBUIZA VISIWANI ZANZIBAR

#hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Пікірлер: 120

  • @zenabayzenabay5907
    @zenabayzenabay59076 жыл бұрын

    Raha adi koooni sante oman mnatuniua pia kimaisha huku kwenu ukhaibuni shukran Baloz

  • @f.almansour7240
    @f.almansour72406 жыл бұрын

    Nice to see cmng back to share and celebrate the roots.. Also I think if sultans of Oman had still ruled Zanzibar I'm sure by now Zanzibar would have one of the best and the top modern country in the whole east Africa ... ngekua kama Oman kabisa maendeleo ... but its unfounate our leaders hawana fikira hizo wao nikufkiria maslah Yao tuu waliobakia kaeni chini .. sad indeed ...having said that I'm so happy to see everyone is having a fantastic time! bless all

  • @fifo262
    @fifo2626 жыл бұрын

    maashallah inapendeza sanaa

  • @gangmore9091
    @gangmore90912 жыл бұрын

    Ingekua so chuki y Wengereza na marecani kumtuma nyerere kuizamisha Zanzibar tungekua mbali n kukusanya watu wa mataifa mengi tafauti ❤❤🇴🇲🇴🇲

  • @shuwekhaally6090
    @shuwekhaally60906 жыл бұрын

    Mashalah inshalah tutaondka nao...tutard makwetu..Zanzibar by by...tumechoka mateso

  • @zuweinasalum8452

    @zuweinasalum8452

    6 жыл бұрын

    Shuwekha Ally karibu sana Oman.

  • @sharifahjumaa2605

    @sharifahjumaa2605

    6 жыл бұрын

    Shuwekha Ally dada umechoka kuteseka

  • @farhatfatma12

    @farhatfatma12

    5 жыл бұрын

    Zanzibar ni kwenu kama ulizaliwa na kukulia, si dhani kama ni sahihi kusema utarudi kwenu kwa sababu ya kauli za kibaguzi za viongozi wetu wa zanzibar, na kutojua umuhimu wa wananchi wao. Oman hata ujivune vipi utabakia kua mtu wa kuhamia tu.

  • @TeamKRX
    @TeamKRX6 жыл бұрын

    Mashalaah wamerudi watu wetu

  • @user-ri7ei8zj1g
    @user-ri7ei8zj1g6 жыл бұрын

    فديت زنجبار وعمان 😗😗😗😗

  • @azizamini3226
    @azizamini32265 жыл бұрын

    Mashaallah....M/Mungu awarejeshe kwa Amani jamaa zetu..uzidi kufanana....nimefurahi sn

  • @khalidsindano4747
    @khalidsindano47473 жыл бұрын

    Aaa Zanzibar Raha wallah Zanzibar na oman huwez zitenganisha

  • @niaanthony9588
    @niaanthony95886 жыл бұрын

    Wooow mpo kwetu tupo kwenu umoja Ni nguvu utengano ni udhaifu

  • @amenaafrica7046
    @amenaafrica70464 жыл бұрын

    Nipo oman kikaz ila naipenda sana zanzbar yangu❤

  • @fatmaikopoa34
    @fatmaikopoa346 жыл бұрын

    nice mungu atuunqanishe

  • @salhamm742
    @salhamm7426 жыл бұрын

    Hahaha oooo mashalah Zanzibar yetu

  • @UmmyilhamUmmyilham
    @UmmyilhamUmmyilham4 жыл бұрын

    انا احبك عمان❤ Nimefrahi sana wallah natamani ningekuwepo Tanzania wallah oman na Tanzania ni wamoja 😚😙😍😘

  • @masoudmasoud8138

    @masoudmasoud8138

    4 жыл бұрын

    Aaa leo.hiii.mnataka kurejesha warabu sio

  • @sultansaidy2187

    @sultansaidy2187

    4 жыл бұрын

    Waarabu pale kwawo

  • @sultansaidy2187

    @sultansaidy2187

    4 жыл бұрын

    SIWAGENI KAMA MUNAVYOSEMA

  • @haydarabdallah4955

    @haydarabdallah4955

    2 жыл бұрын

    Mefosi tuu side wazanzibar na oman

  • @haydarabdallah4955

    @haydarabdallah4955

    2 жыл бұрын

    @@masoudmasoud8138 nenda ukoo

  • @user-xw5re3bh5x
    @user-xw5re3bh5x6 жыл бұрын

    safi sana zanzibar na oman allah Kareem

  • @rashidseif6103
    @rashidseif61036 жыл бұрын

    Hata msewe asili yake unatokana na Waarabu. ccm roho zinawauma wakiwaona waungwana. Natamani ningekueko Zanzibar nikashuhudia.

  • @mtoromtoro3338

    @mtoromtoro3338

    6 жыл бұрын

    Rashid Seif unahashuo tupe sumu bas

  • @blacknature7637

    @blacknature7637

    6 жыл бұрын

    Rashid Seif ha umeshinda!! msewe wa warabu ? Toka lini ? Apo umetuvuga

  • @a.856
    @a.8566 жыл бұрын

    Nimependa wanawake katika band wamevaa vizur mashaallah

  • @hdhdbdh26
    @hdhdbdh266 жыл бұрын

    kabisa upo okky

  • @mimanassor3323
    @mimanassor33234 жыл бұрын

    Woooow raha sana.

  • @user-qz2yd5wm2m
    @user-qz2yd5wm2m4 жыл бұрын

    Mashaa ullah nzuri saana.

  • @hajjkadir948
    @hajjkadir9484 жыл бұрын

    Walahh Zanzibar will be at top

  • @thequ33en65
    @thequ33en656 жыл бұрын

    bora warudi hata masikini atakuwa na tv na gari

  • @zahramunir8596
    @zahramunir85966 жыл бұрын

    Mashaallah band ya oman beautiful waaww

  • @asiakheir3846
    @asiakheir38466 жыл бұрын

    Safi

  • @suleimanmohamed4367
    @suleimanmohamed43673 жыл бұрын

    Duh

  • @cautharmhinte6261
    @cautharmhinte62616 жыл бұрын

    nassib mchana umesema kweli kabisa 👍

  • @asiakheir3846
    @asiakheir38466 жыл бұрын

    Seif Ali idd ,unasemaje iko poa?hao ndoo wenyewe,hawana wasi mtu kwao.

  • @yahyaibrahim6934

    @yahyaibrahim6934

    4 жыл бұрын

    Hao ndio wenye kisiwa sio tanzania 😄😄😄😄❤❤❤

  • @hdhdbdh26
    @hdhdbdh266 жыл бұрын

    mashaallah balozi wetu wa omani

  • @zuweinasalum8452

    @zuweinasalum8452

    6 жыл бұрын

    Hdhd Bdh mashaallah Rumh huyo

  • @luluamri370
    @luluamri3704 жыл бұрын

    Mabasha,na mashoga kibao hapo

  • @allymohsmmed8480
    @allymohsmmed84805 жыл бұрын

    Wazanzibari msijisahau

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996
    @hongerakkachawasemewwkzbut49966 жыл бұрын

    tunawakaribisha sana lakini wawakanye watu baadhi wanao taka kuchafua wa tz.

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis82982 жыл бұрын

    mbona zachezwa kama zile za ...........

  • @RidhwanAmar
    @RidhwanAmar6 жыл бұрын

    Muungwana lake rohoni

  • @zahramunir8596
    @zahramunir85966 жыл бұрын

    Hamna muomani alinayebagua watu! una hila zikakubagua.! hebu jitizame jichungue je upo sawa.? kabla hujasema watu.?

  • @abdullykadirdhulfiqaar1312
    @abdullykadirdhulfiqaar13126 жыл бұрын

    yallah

  • @zahramunir8596
    @zahramunir85966 жыл бұрын

    y6 y6 Umeteswa wapi kma upo oman basi kitowe tena huna lazma kukaa kwenye mateso rudi kwenu tena upesi sana...

  • @salmasalim6055
    @salmasalim60556 жыл бұрын

    Wow i mis home😂

  • @rosemarybenjamin4333
    @rosemarybenjamin43336 жыл бұрын

    Undugu jina 😆😆😆woooy dooo karibun lkin sio mbaya ila wamenuna hao no kusmile😂😂

  • @AliBaba-zb3tg
    @AliBaba-zb3tg5 жыл бұрын

    Eeee Mfalm Sultan ana back kidogo kidogo kwa zanzibar yake 😂😂😂😂 Mkalibishen kama otee yanii

  • @abdulazizharthy5627
    @abdulazizharthy56276 жыл бұрын

    Waomani ni waomani tu bwana sifa zao zinajulikana waliijenga zanzibar wakaleta biashara pia kilimo na isitoshe walichanganya damu na mengi tu hayahesabiki

  • @zahramunir8596
    @zahramunir85966 жыл бұрын

    Mnajulikana kwa uvivi watz bara na visiwani mpk raisi Magufuli kawasema raiya wake hmn vya burebure kwa utapeli na punguzeni midomo!! anataka kl mtu afanye kazi ale jasho lake.! and his real..TRUE..!

  • @allymohsmmed8480
    @allymohsmmed84805 жыл бұрын

    Warabuhao wana papatikiwa sanaa eti wanariali

  • @radhiasalum833
    @radhiasalum8336 жыл бұрын

    wenye nchi yao wapo hapo hhehehe

  • @sssshkassim625
    @sssshkassim6256 жыл бұрын

    Hawa siwaarabu ball ni watumwa wa kiengereza hii ni asali ya scotland

  • @yahyaibrahim6934
    @yahyaibrahim69344 жыл бұрын

    Waoman hawataiwacha Zanzibar kwauwezo wamungu kwasbb Zanzibar niyakwaooo ukipeleleza historia yote ya Zanzibar inamuhusu muomani sasa utasema Zanzibar mwenyewe nani wenye wivu wajinyonge muomani akirudi Zanzibar tunampokea kwamikono yote naupendo wakutosha

  • @sheebqpsheebqp8314
    @sheebqpsheebqp83146 жыл бұрын

    Safi sana

  • @meshackayoub9328

    @meshackayoub9328

    6 жыл бұрын

    Eeh mwenyezi Mungu tusaidie! Nikiwaona hawa roho yangu inachafuka kwa jinsi walivyowadhalilisha wazee wetu zamani au wanajikosha? Walitutoboa vicgino,kutufunga minyororo,wanaume kuhasiwa,kubakwa,kutumikishwa ovyo na ukatili mwingi halafu leo wamekuwa malaika? Siwachukii kwa sababu ni bin adamu ila tabia zao na mambo wanayotufanyia huko kwao hawana utu hata kidogo!

  • @saidwayawaya5356

    @saidwayawaya5356

    6 жыл бұрын

    Mm nipo oman ila sijaona mateso yyte yle mpaka muda huu. Naishi kwa Amani.

  • @saidwayawaya5356

    @saidwayawaya5356

    6 жыл бұрын

    Tena naweza kusema. hamna nchi yenye Amani kama oman.

  • @kassimali1943
    @kassimali19434 жыл бұрын

    Ndugu zenu ndio hira mbona mwateswa kwaho oman

  • @blacknature7637
    @blacknature76376 жыл бұрын

    Y6 Y6hg umeniacha nicheke kwa akili yako finyo tabu ya hapa kwetu huwezi ifananisha Na popote pale dudiani

  • @muddaththirhamoud1240
    @muddaththirhamoud12406 жыл бұрын

    ❤️🇴🇲

  • @Suad49309

    @Suad49309

    6 жыл бұрын

    Mumenawar waomani mashaallah

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan13656 жыл бұрын

    Nice

  • @safiajuma1561

    @safiajuma1561

    5 жыл бұрын

    Nimekumis vp usharud tz

  • @zuwenaabdillahzanzibar5670
    @zuwenaabdillahzanzibar56705 жыл бұрын

    Oman ndugu zetu jamaa zetu zanzibar tu na pemba wabongo no sio

  • @khadijarajab8383

    @khadijarajab8383

    2 жыл бұрын

    Nenda kwenu Oman.

  • @ridhiwaniridhiwan4497
    @ridhiwaniridhiwan44975 жыл бұрын

    Lazma waje Zanzibar mana wanajua Oman Zanzibar ni ardhi yao sadkta

  • @zahramunir8596
    @zahramunir85966 жыл бұрын

    Hahaa eti ccm mbona inarudisha ukoloni.? kweli asiejua maana ucmpe maana.! Kiboko yenu ccm imewaanyoosha hapo ni kazi tu.!

  • @asiakheir3846
    @asiakheir38466 жыл бұрын

    Nani wanachafua tz ? Waliomuua,shahidi Ali.

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung73006 жыл бұрын

  • @omarymadad3408

    @omarymadad3408

    6 жыл бұрын

    Ahmed Bob mashallah

  • @youngbob9761

    @youngbob9761

    3 жыл бұрын

    Eiwaaa

  • @suleimansuleiman4205
    @suleimansuleiman42055 жыл бұрын

    Kama namuona qaboos anavotamani kuwepo znzbr

  • @aliawam3471
    @aliawam34715 жыл бұрын

    Naona watu waza wamekua watoto?

  • @saidsaid9463
    @saidsaid94636 жыл бұрын

    Kweli waarabu ni watu amani karibuni tena

  • @aishaomari1881
    @aishaomari18815 жыл бұрын

    Wananyabyasa Kwan uongo kinatukalisha ni umasikin tu of coz kula pekeyako kama nyau bguo yako aweza ishika na glops kwa kinyaa wazuri Kama sultan kabus ni wachache

  • @subehaahaji1504
    @subehaahaji15046 жыл бұрын

    Mbon watangazaji wa zbc hawapo au wamepewa mikwala

  • @yahyaibrahim6934

    @yahyaibrahim6934

    4 жыл бұрын

    Hahaha

  • @radhiasalum833
    @radhiasalum8336 жыл бұрын

    hahahah yangu cheko.ni biashara tu lakin sio kutawala kama zamani muelele hivyo😂😂😂.mrudiiiii hapooooo hahahah

  • @y6y6hg77
    @y6y6hg776 жыл бұрын

    Wapeni nchi watutese kama wanavyotutesa kwao

  • @zeyanaharmisuleiman696

    @zeyanaharmisuleiman696

    6 жыл бұрын

    Hatabara wanatesa wakowapi muwamsho makatili hasa nyamaza

  • @inuyashasgirlsmao5084

    @inuyashasgirlsmao5084

    6 жыл бұрын

    Y6 Y6hg mwarabu akitaka afrika mashariki nzimaa anachukua..bada ni ardhi zake kwa ushahidi wa dqm ziko wengereza..ila hawataki.nani anataka kuhukum watu wasio elewa ....

  • @inuyashasgirlsmao5084

    @inuyashasgirlsmao5084

    6 жыл бұрын

    Y6 Y6hg mwarabu hajui kuiba anajua kutoa nyie nini mmefanya cha maana mpaka sasa hivi karibu kiyama kitasimama na hamna mlicho fanya duniani...

  • @y6y6hg77

    @y6y6hg77

    6 жыл бұрын

    inuyasha's girl smao Mambo mengi tuu tumeyafanya sio hao makafiri wa kiarabu

  • @oopsm3574

    @oopsm3574

    6 жыл бұрын

    Wewe dawa yako Amar wagga😂

  • @inassibmshana6145
    @inassibmshana61456 жыл бұрын

    inapendeza kweli ila nenda Oman ww uone jonsi waarab walivyo na ubaguz

  • @blacknature7637

    @blacknature7637

    6 жыл бұрын

    nassib mshana wa Oman usiwasemee uwongo hawana ubaguzi kwanza wengine wamezaliwa Na wa Africa ila Dubai Na saudia pale koma

  • @inuyashasgirlsmao5084

    @inuyashasgirlsmao5084

    6 жыл бұрын

    nassib mshana wabaguzi ni nyiyi ...mitume walikua warabu na mgekua nyie mna kheri mungu angeleta mitume wafrika ...

  • @blacknature7637

    @blacknature7637

    6 жыл бұрын

    inuyasha's girl smao 😂😂😂😂😂ahhh umeshinda 😂😂😂😂

  • @blacknature7637

    @blacknature7637

    6 жыл бұрын

    inuyasha's girl smao kawaarabu wabaya mbona waafrica wote wamekuwa waarabu kwa mkorogo 😂😂😂😂

  • @abdulyally7480

    @abdulyally7480

    6 жыл бұрын

    Hawsbuguwi watu

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii16764 жыл бұрын

    Yani waarabu wakicheza huwa nacheka 😀😀😀 mbavu zangu

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu71686 жыл бұрын

    CCM mbona mnawarudisha Masultani , au nchi imewashinda mnataka kuturudisha enzi za ukoloni?

  • @zainabalbahri8085

    @zainabalbahri8085

    6 жыл бұрын

    Khalid Khalfan wewe wacha maneno ya kijinga Oman hana hajaa na znz sisi ni ndugu

  • @modiranks7076

    @modiranks7076

    6 жыл бұрын

    Khalid Khalfan afadhali kuliko utawala wa makafiri.

  • @blacknature7637

    @blacknature7637

    6 жыл бұрын

    Khalid Khalfan amka Kaka Sasa sio wakati wa ubaguzi muhimu anaekufaa waarabu Hana haja Na tz nchi ina watu mamilioni waarabu wataiweza wapi ?

  • @blacknature7637

    @blacknature7637

    6 жыл бұрын

    Ahmad Musa heko umezungumza kidiplomacy

  • @inuyashasgirlsmao5084

    @inuyashasgirlsmao5084

    6 жыл бұрын

    Khalid Khalfan kwanza hilo jina lako hata halikufai ...khaled alikua mtu wa maana si wewe.pili mwarabu ni mtoto wa mtume wako mhd naona umesahau warabu ni watoto wa mitume ndo sababu wana kheri mmewauwa na bado wanaonesha upendo ama nyiyi hamba kheri hata kidogo .hasbiallla wanema alwakil..badilisha hili jina.kuanzia leo uitwe joni...

  • @mtambile26
    @mtambile266 жыл бұрын

    Anosema anateswa hakulazimishwa kuja oman mbona watu wanakuja na kurudi unateswa ww tu wengine hawateswi

  • @blacknature7637

    @blacknature7637

    6 жыл бұрын

    Zeyana Al-anbury dada usi panick bure wa tz kusema Nikawaida yao eti waarabu wanatutesa anavyo tutesa magufuli Ni kidogo ,? Nja nja hapa tunaitamani omani angalao tuweke familia zetu zina adhirika kwa shida mhhh

  • @y6y6hg77

    @y6y6hg77

    6 жыл бұрын

    Zeyana Al-anbury Akuna anaekuja Oman na akarudia tena washenzi wakubwa siwapendi waarabu

  • @salimkassim8547

    @salimkassim8547

    6 жыл бұрын

    Hivi tupew heshima gan wa tanzania ndio turidhik oman kwa aliye oman anajua watz wanavyoheshimiwa kwa walio nje sowez kuwalaumu lakin itabak wazanzibar wanatembea kwa kujinafasi oman

  • @y6y6hg77

    @y6y6hg77

    6 жыл бұрын

    Salim Kassim wewe usidanganye kuna watu wapo Oman wanateswa na waarabu awana heshima ata kidogo hao

  • @mtambile26

    @mtambile26

    6 жыл бұрын

    Usitukane watu hao wana chuki.tu hazijawaisha mbona watu wana furaha tu wakirudi huko wanarudi oman kwani huko hakuna wanaoteswa ni oman tu.mbona kila siku tunaona huko.mateso na mauwaji

  • @cautharmhinte6261
    @cautharmhinte62616 жыл бұрын

    nahisi tutarud katka enzi za ukolon mm siwapendi kabisa warabu

  • @zainabalbahri8085

    @zainabalbahri8085

    6 жыл бұрын

    cauthar mhinte mmmmmmm na sie tunakupendaaaaaa ndio mushkila ulokuwepo

  • @zainabalbahri8085

    @zainabalbahri8085

    6 жыл бұрын

    cauthar mhinte kama hatuna pa kwenda basi bora akhera

  • @cautharmhinte6261

    @cautharmhinte6261

    6 жыл бұрын

    +Zainab Al Bahri ila ndo hivyo tufanyaje yote ni kumuomba tu mg

  • @zainabalbahri8085

    @zainabalbahri8085

    6 жыл бұрын

    cauthar mhinte na sisi ndo kama weweeeeeeee unavyosema

  • @ahmedzahor2975

    @ahmedzahor2975

    3 жыл бұрын

    Nani anataka apendwe na wewe kinyago wa kijijini