Raha adi koooni sante oman mnatuniua pia kimaisha huku kwenu ukhaibuni shukran Baloz
@f.almansour72406 жыл бұрын
Nice to see cmng back to share and celebrate the roots.. Also I think if sultans of Oman had still ruled Zanzibar I'm sure by now Zanzibar would have one of the best and the top modern country in the whole east Africa ... ngekua kama Oman kabisa maendeleo ... but its unfounate our leaders hawana fikira hizo wao nikufkiria maslah Yao tuu waliobakia kaeni chini .. sad indeed ...having said that I'm so happy to see everyone is having a fantastic time! bless all
@fifo2626 жыл бұрын
maashallah inapendeza sanaa
@gangmore90912 жыл бұрын
Ingekua so chuki y Wengereza na marecani kumtuma nyerere kuizamisha Zanzibar tungekua mbali n kukusanya watu wa mataifa mengi tafauti ❤❤🇴🇲🇴🇲
@shuwekhaally60906 жыл бұрын
Mashalah inshalah tutaondka nao...tutard makwetu..Zanzibar by by...tumechoka mateso
@zuweinasalum8452
6 жыл бұрын
Shuwekha Ally karibu sana Oman.
@sharifahjumaa2605
6 жыл бұрын
Shuwekha Ally dada umechoka kuteseka
@farhatfatma12
5 жыл бұрын
Zanzibar ni kwenu kama ulizaliwa na kukulia, si dhani kama ni sahihi kusema utarudi kwenu kwa sababu ya kauli za kibaguzi za viongozi wetu wa zanzibar, na kutojua umuhimu wa wananchi wao. Oman hata ujivune vipi utabakia kua mtu wa kuhamia tu.
@TeamKRX6 жыл бұрын
Mashalaah wamerudi watu wetu
@user-ri7ei8zj1g6 жыл бұрын
فديت زنجبار وعمان 😗😗😗😗
@azizamini32265 жыл бұрын
Mashaallah....M/Mungu awarejeshe kwa Amani jamaa zetu..uzidi kufanana....nimefurahi sn
@khalidsindano47473 жыл бұрын
Aaa Zanzibar Raha wallah Zanzibar na oman huwez zitenganisha
@niaanthony95886 жыл бұрын
Wooow mpo kwetu tupo kwenu umoja Ni nguvu utengano ni udhaifu
@amenaafrica70464 жыл бұрын
Nipo oman kikaz ila naipenda sana zanzbar yangu❤
@fatmaikopoa346 жыл бұрын
nice mungu atuunqanishe
@salhamm7426 жыл бұрын
Hahaha oooo mashalah Zanzibar yetu
@UmmyilhamUmmyilham4 жыл бұрын
انا احبك عمان❤ Nimefrahi sana wallah natamani ningekuwepo Tanzania wallah oman na Tanzania ni wamoja 😚😙😍😘
@masoudmasoud8138
4 жыл бұрын
Aaa leo.hiii.mnataka kurejesha warabu sio
@sultansaidy2187
4 жыл бұрын
Waarabu pale kwawo
@sultansaidy2187
4 жыл бұрын
SIWAGENI KAMA MUNAVYOSEMA
@haydarabdallah4955
2 жыл бұрын
Mefosi tuu side wazanzibar na oman
@haydarabdallah4955
2 жыл бұрын
@@masoudmasoud8138 nenda ukoo
@user-xw5re3bh5x6 жыл бұрын
safi sana zanzibar na oman allah Kareem
@rashidseif61036 жыл бұрын
Hata msewe asili yake unatokana na Waarabu. ccm roho zinawauma wakiwaona waungwana. Natamani ningekueko Zanzibar nikashuhudia.
@mtoromtoro3338
6 жыл бұрын
Rashid Seif unahashuo tupe sumu bas
@blacknature7637
6 жыл бұрын
Rashid Seif ha umeshinda!! msewe wa warabu ? Toka lini ? Apo umetuvuga
@a.8566 жыл бұрын
Nimependa wanawake katika band wamevaa vizur mashaallah
@hdhdbdh266 жыл бұрын
kabisa upo okky
@mimanassor33234 жыл бұрын
Woooow raha sana.
@user-qz2yd5wm2m4 жыл бұрын
Mashaa ullah nzuri saana.
@hajjkadir9484 жыл бұрын
Walahh Zanzibar will be at top
@thequ33en656 жыл бұрын
bora warudi hata masikini atakuwa na tv na gari
@zahramunir85966 жыл бұрын
Mashaallah band ya oman beautiful waaww
@asiakheir38466 жыл бұрын
Safi
@suleimanmohamed43673 жыл бұрын
Duh
@cautharmhinte62616 жыл бұрын
nassib mchana umesema kweli kabisa 👍
@asiakheir38466 жыл бұрын
Seif Ali idd ,unasemaje iko poa?hao ndoo wenyewe,hawana wasi mtu kwao.
@yahyaibrahim6934
4 жыл бұрын
Hao ndio wenye kisiwa sio tanzania 😄😄😄😄❤❤❤
@hdhdbdh266 жыл бұрын
mashaallah balozi wetu wa omani
@zuweinasalum8452
6 жыл бұрын
Hdhd Bdh mashaallah Rumh huyo
@luluamri3704 жыл бұрын
Mabasha,na mashoga kibao hapo
@allymohsmmed84805 жыл бұрын
Wazanzibari msijisahau
@hongerakkachawasemewwkzbut49966 жыл бұрын
tunawakaribisha sana lakini wawakanye watu baadhi wanao taka kuchafua wa tz.
@suleimankhamis82982 жыл бұрын
mbona zachezwa kama zile za ...........
@RidhwanAmar6 жыл бұрын
Muungwana lake rohoni
@zahramunir85966 жыл бұрын
Hamna muomani alinayebagua watu! una hila zikakubagua.! hebu jitizame jichungue je upo sawa.? kabla hujasema watu.?
@abdullykadirdhulfiqaar13126 жыл бұрын
yallah
@zahramunir85966 жыл бұрын
y6 y6 Umeteswa wapi kma upo oman basi kitowe tena huna lazma kukaa kwenye mateso rudi kwenu tena upesi sana...
@salmasalim60556 жыл бұрын
Wow i mis home😂
@rosemarybenjamin43336 жыл бұрын
Undugu jina 😆😆😆woooy dooo karibun lkin sio mbaya ila wamenuna hao no kusmile😂😂
@AliBaba-zb3tg5 жыл бұрын
Eeee Mfalm Sultan ana back kidogo kidogo kwa zanzibar yake 😂😂😂😂 Mkalibishen kama otee yanii
@abdulazizharthy56276 жыл бұрын
Waomani ni waomani tu bwana sifa zao zinajulikana waliijenga zanzibar wakaleta biashara pia kilimo na isitoshe walichanganya damu na mengi tu hayahesabiki
@zahramunir85966 жыл бұрын
Mnajulikana kwa uvivi watz bara na visiwani mpk raisi Magufuli kawasema raiya wake hmn vya burebure kwa utapeli na punguzeni midomo!! anataka kl mtu afanye kazi ale jasho lake.! and his real..TRUE..!
@allymohsmmed84805 жыл бұрын
Warabuhao wana papatikiwa sanaa eti wanariali
@radhiasalum8336 жыл бұрын
wenye nchi yao wapo hapo hhehehe
@sssshkassim6256 жыл бұрын
Hawa siwaarabu ball ni watumwa wa kiengereza hii ni asali ya scotland
@yahyaibrahim69344 жыл бұрын
Waoman hawataiwacha Zanzibar kwauwezo wamungu kwasbb Zanzibar niyakwaooo ukipeleleza historia yote ya Zanzibar inamuhusu muomani sasa utasema Zanzibar mwenyewe nani wenye wivu wajinyonge muomani akirudi Zanzibar tunampokea kwamikono yote naupendo wakutosha
@sheebqpsheebqp83146 жыл бұрын
Safi sana
@meshackayoub9328
6 жыл бұрын
Eeh mwenyezi Mungu tusaidie! Nikiwaona hawa roho yangu inachafuka kwa jinsi walivyowadhalilisha wazee wetu zamani au wanajikosha? Walitutoboa vicgino,kutufunga minyororo,wanaume kuhasiwa,kubakwa,kutumikishwa ovyo na ukatili mwingi halafu leo wamekuwa malaika? Siwachukii kwa sababu ni bin adamu ila tabia zao na mambo wanayotufanyia huko kwao hawana utu hata kidogo!
@saidwayawaya5356
6 жыл бұрын
Mm nipo oman ila sijaona mateso yyte yle mpaka muda huu. Naishi kwa Amani.
@saidwayawaya5356
6 жыл бұрын
Tena naweza kusema. hamna nchi yenye Amani kama oman.
@kassimali19434 жыл бұрын
Ndugu zenu ndio hira mbona mwateswa kwaho oman
@blacknature76376 жыл бұрын
Y6 Y6hg umeniacha nicheke kwa akili yako finyo tabu ya hapa kwetu huwezi ifananisha Na popote pale dudiani
@muddaththirhamoud12406 жыл бұрын
❤️🇴🇲
@Suad49309
6 жыл бұрын
Mumenawar waomani mashaallah
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Nice
@safiajuma1561
5 жыл бұрын
Nimekumis vp usharud tz
@zuwenaabdillahzanzibar56705 жыл бұрын
Oman ndugu zetu jamaa zetu zanzibar tu na pemba wabongo no sio
@khadijarajab8383
2 жыл бұрын
Nenda kwenu Oman.
@ridhiwaniridhiwan44975 жыл бұрын
Lazma waje Zanzibar mana wanajua Oman Zanzibar ni ardhi yao sadkta
@zahramunir85966 жыл бұрын
Hahaa eti ccm mbona inarudisha ukoloni.? kweli asiejua maana ucmpe maana.! Kiboko yenu ccm imewaanyoosha hapo ni kazi tu.!
@asiakheir38466 жыл бұрын
Nani wanachafua tz ? Waliomuua,shahidi Ali.
@ahmedyoung73006 жыл бұрын
❤
@omarymadad3408
6 жыл бұрын
Ahmed Bob mashallah
@youngbob9761
3 жыл бұрын
Eiwaaa
@suleimansuleiman42055 жыл бұрын
Kama namuona qaboos anavotamani kuwepo znzbr
@aliawam34715 жыл бұрын
Naona watu waza wamekua watoto?
@saidsaid94636 жыл бұрын
Kweli waarabu ni watu amani karibuni tena
@aishaomari18815 жыл бұрын
Wananyabyasa Kwan uongo kinatukalisha ni umasikin tu of coz kula pekeyako kama nyau bguo yako aweza ishika na glops kwa kinyaa wazuri Kama sultan kabus ni wachache
@subehaahaji15046 жыл бұрын
Mbon watangazaji wa zbc hawapo au wamepewa mikwala
@yahyaibrahim6934
4 жыл бұрын
Hahaha
@radhiasalum8336 жыл бұрын
hahahah yangu cheko.ni biashara tu lakin sio kutawala kama zamani muelele hivyo😂😂😂.mrudiiiii hapooooo hahahah
@y6y6hg776 жыл бұрын
Wapeni nchi watutese kama wanavyotutesa kwao
@zeyanaharmisuleiman696
6 жыл бұрын
Hatabara wanatesa wakowapi muwamsho makatili hasa nyamaza
@inuyashasgirlsmao5084
6 жыл бұрын
Y6 Y6hg mwarabu akitaka afrika mashariki nzimaa anachukua..bada ni ardhi zake kwa ushahidi wa dqm ziko wengereza..ila hawataki.nani anataka kuhukum watu wasio elewa ....
@inuyashasgirlsmao5084
6 жыл бұрын
Y6 Y6hg mwarabu hajui kuiba anajua kutoa nyie nini mmefanya cha maana mpaka sasa hivi karibu kiyama kitasimama na hamna mlicho fanya duniani...
@y6y6hg77
6 жыл бұрын
inuyasha's girl smao Mambo mengi tuu tumeyafanya sio hao makafiri wa kiarabu
@oopsm3574
6 жыл бұрын
Wewe dawa yako Amar wagga😂
@inassibmshana61456 жыл бұрын
inapendeza kweli ila nenda Oman ww uone jonsi waarab walivyo na ubaguz
@blacknature7637
6 жыл бұрын
nassib mshana wa Oman usiwasemee uwongo hawana ubaguzi kwanza wengine wamezaliwa Na wa Africa ila Dubai Na saudia pale koma
@inuyashasgirlsmao5084
6 жыл бұрын
nassib mshana wabaguzi ni nyiyi ...mitume walikua warabu na mgekua nyie mna kheri mungu angeleta mitume wafrika ...
@blacknature7637
6 жыл бұрын
inuyasha's girl smao 😂😂😂😂😂ahhh umeshinda 😂😂😂😂
@blacknature7637
6 жыл бұрын
inuyasha's girl smao kawaarabu wabaya mbona waafrica wote wamekuwa waarabu kwa mkorogo 😂😂😂😂
@abdulyally7480
6 жыл бұрын
Hawsbuguwi watu
@fatmakhanii16764 жыл бұрын
Yani waarabu wakicheza huwa nacheka 😀😀😀 mbavu zangu
@mhogomchungu71686 жыл бұрын
CCM mbona mnawarudisha Masultani , au nchi imewashinda mnataka kuturudisha enzi za ukoloni?
@zainabalbahri8085
6 жыл бұрын
Khalid Khalfan wewe wacha maneno ya kijinga Oman hana hajaa na znz sisi ni ndugu
@modiranks7076
6 жыл бұрын
Khalid Khalfan afadhali kuliko utawala wa makafiri.
@blacknature7637
6 жыл бұрын
Khalid Khalfan amka Kaka Sasa sio wakati wa ubaguzi muhimu anaekufaa waarabu Hana haja Na tz nchi ina watu mamilioni waarabu wataiweza wapi ?
@blacknature7637
6 жыл бұрын
Ahmad Musa heko umezungumza kidiplomacy
@inuyashasgirlsmao5084
6 жыл бұрын
Khalid Khalfan kwanza hilo jina lako hata halikufai ...khaled alikua mtu wa maana si wewe.pili mwarabu ni mtoto wa mtume wako mhd naona umesahau warabu ni watoto wa mitume ndo sababu wana kheri mmewauwa na bado wanaonesha upendo ama nyiyi hamba kheri hata kidogo .hasbiallla wanema alwakil..badilisha hili jina.kuanzia leo uitwe joni...
@mtambile266 жыл бұрын
Anosema anateswa hakulazimishwa kuja oman mbona watu wanakuja na kurudi unateswa ww tu wengine hawateswi
@blacknature7637
6 жыл бұрын
Zeyana Al-anbury dada usi panick bure wa tz kusema Nikawaida yao eti waarabu wanatutesa anavyo tutesa magufuli Ni kidogo ,? Nja nja hapa tunaitamani omani angalao tuweke familia zetu zina adhirika kwa shida mhhh
@y6y6hg77
6 жыл бұрын
Zeyana Al-anbury Akuna anaekuja Oman na akarudia tena washenzi wakubwa siwapendi waarabu
@salimkassim8547
6 жыл бұрын
Hivi tupew heshima gan wa tanzania ndio turidhik oman kwa aliye oman anajua watz wanavyoheshimiwa kwa walio nje sowez kuwalaumu lakin itabak wazanzibar wanatembea kwa kujinafasi oman
@y6y6hg77
6 жыл бұрын
Salim Kassim wewe usidanganye kuna watu wapo Oman wanateswa na waarabu awana heshima ata kidogo hao
@mtambile26
6 жыл бұрын
Usitukane watu hao wana chuki.tu hazijawaisha mbona watu wana furaha tu wakirudi huko wanarudi oman kwani huko hakuna wanaoteswa ni oman tu.mbona kila siku tunaona huko.mateso na mauwaji
@cautharmhinte62616 жыл бұрын
nahisi tutarud katka enzi za ukolon mm siwapendi kabisa warabu
@zainabalbahri8085
6 жыл бұрын
cauthar mhinte mmmmmmm na sie tunakupendaaaaaa ndio mushkila ulokuwepo
@zainabalbahri8085
6 жыл бұрын
cauthar mhinte kama hatuna pa kwenda basi bora akhera
@cautharmhinte6261
6 жыл бұрын
+Zainab Al Bahri ila ndo hivyo tufanyaje yote ni kumuomba tu mg
@zainabalbahri8085
6 жыл бұрын
cauthar mhinte na sisi ndo kama weweeeeeeee unavyosema
Пікірлер: 120
Raha adi koooni sante oman mnatuniua pia kimaisha huku kwenu ukhaibuni shukran Baloz
Nice to see cmng back to share and celebrate the roots.. Also I think if sultans of Oman had still ruled Zanzibar I'm sure by now Zanzibar would have one of the best and the top modern country in the whole east Africa ... ngekua kama Oman kabisa maendeleo ... but its unfounate our leaders hawana fikira hizo wao nikufkiria maslah Yao tuu waliobakia kaeni chini .. sad indeed ...having said that I'm so happy to see everyone is having a fantastic time! bless all
maashallah inapendeza sanaa
Ingekua so chuki y Wengereza na marecani kumtuma nyerere kuizamisha Zanzibar tungekua mbali n kukusanya watu wa mataifa mengi tafauti ❤❤🇴🇲🇴🇲
Mashalah inshalah tutaondka nao...tutard makwetu..Zanzibar by by...tumechoka mateso
@zuweinasalum8452
6 жыл бұрын
Shuwekha Ally karibu sana Oman.
@sharifahjumaa2605
6 жыл бұрын
Shuwekha Ally dada umechoka kuteseka
@farhatfatma12
5 жыл бұрын
Zanzibar ni kwenu kama ulizaliwa na kukulia, si dhani kama ni sahihi kusema utarudi kwenu kwa sababu ya kauli za kibaguzi za viongozi wetu wa zanzibar, na kutojua umuhimu wa wananchi wao. Oman hata ujivune vipi utabakia kua mtu wa kuhamia tu.
Mashalaah wamerudi watu wetu
فديت زنجبار وعمان 😗😗😗😗
Mashaallah....M/Mungu awarejeshe kwa Amani jamaa zetu..uzidi kufanana....nimefurahi sn
Aaa Zanzibar Raha wallah Zanzibar na oman huwez zitenganisha
Wooow mpo kwetu tupo kwenu umoja Ni nguvu utengano ni udhaifu
Nipo oman kikaz ila naipenda sana zanzbar yangu❤
nice mungu atuunqanishe
Hahaha oooo mashalah Zanzibar yetu
انا احبك عمان❤ Nimefrahi sana wallah natamani ningekuwepo Tanzania wallah oman na Tanzania ni wamoja 😚😙😍😘
@masoudmasoud8138
4 жыл бұрын
Aaa leo.hiii.mnataka kurejesha warabu sio
@sultansaidy2187
4 жыл бұрын
Waarabu pale kwawo
@sultansaidy2187
4 жыл бұрын
SIWAGENI KAMA MUNAVYOSEMA
@haydarabdallah4955
2 жыл бұрын
Mefosi tuu side wazanzibar na oman
@haydarabdallah4955
2 жыл бұрын
@@masoudmasoud8138 nenda ukoo
safi sana zanzibar na oman allah Kareem
Hata msewe asili yake unatokana na Waarabu. ccm roho zinawauma wakiwaona waungwana. Natamani ningekueko Zanzibar nikashuhudia.
@mtoromtoro3338
6 жыл бұрын
Rashid Seif unahashuo tupe sumu bas
@blacknature7637
6 жыл бұрын
Rashid Seif ha umeshinda!! msewe wa warabu ? Toka lini ? Apo umetuvuga
Nimependa wanawake katika band wamevaa vizur mashaallah
kabisa upo okky
Woooow raha sana.
Mashaa ullah nzuri saana.
Walahh Zanzibar will be at top
bora warudi hata masikini atakuwa na tv na gari
Mashaallah band ya oman beautiful waaww
Safi
Duh
nassib mchana umesema kweli kabisa 👍
Seif Ali idd ,unasemaje iko poa?hao ndoo wenyewe,hawana wasi mtu kwao.
@yahyaibrahim6934
4 жыл бұрын
Hao ndio wenye kisiwa sio tanzania 😄😄😄😄❤❤❤
mashaallah balozi wetu wa omani
@zuweinasalum8452
6 жыл бұрын
Hdhd Bdh mashaallah Rumh huyo
Mabasha,na mashoga kibao hapo
Wazanzibari msijisahau
tunawakaribisha sana lakini wawakanye watu baadhi wanao taka kuchafua wa tz.
mbona zachezwa kama zile za ...........
Muungwana lake rohoni
Hamna muomani alinayebagua watu! una hila zikakubagua.! hebu jitizame jichungue je upo sawa.? kabla hujasema watu.?
yallah
y6 y6 Umeteswa wapi kma upo oman basi kitowe tena huna lazma kukaa kwenye mateso rudi kwenu tena upesi sana...
Wow i mis home😂
Undugu jina 😆😆😆woooy dooo karibun lkin sio mbaya ila wamenuna hao no kusmile😂😂
Eeee Mfalm Sultan ana back kidogo kidogo kwa zanzibar yake 😂😂😂😂 Mkalibishen kama otee yanii
Waomani ni waomani tu bwana sifa zao zinajulikana waliijenga zanzibar wakaleta biashara pia kilimo na isitoshe walichanganya damu na mengi tu hayahesabiki
Mnajulikana kwa uvivi watz bara na visiwani mpk raisi Magufuli kawasema raiya wake hmn vya burebure kwa utapeli na punguzeni midomo!! anataka kl mtu afanye kazi ale jasho lake.! and his real..TRUE..!
Warabuhao wana papatikiwa sanaa eti wanariali
wenye nchi yao wapo hapo hhehehe
Hawa siwaarabu ball ni watumwa wa kiengereza hii ni asali ya scotland
Waoman hawataiwacha Zanzibar kwauwezo wamungu kwasbb Zanzibar niyakwaooo ukipeleleza historia yote ya Zanzibar inamuhusu muomani sasa utasema Zanzibar mwenyewe nani wenye wivu wajinyonge muomani akirudi Zanzibar tunampokea kwamikono yote naupendo wakutosha
Safi sana
@meshackayoub9328
6 жыл бұрын
Eeh mwenyezi Mungu tusaidie! Nikiwaona hawa roho yangu inachafuka kwa jinsi walivyowadhalilisha wazee wetu zamani au wanajikosha? Walitutoboa vicgino,kutufunga minyororo,wanaume kuhasiwa,kubakwa,kutumikishwa ovyo na ukatili mwingi halafu leo wamekuwa malaika? Siwachukii kwa sababu ni bin adamu ila tabia zao na mambo wanayotufanyia huko kwao hawana utu hata kidogo!
@saidwayawaya5356
6 жыл бұрын
Mm nipo oman ila sijaona mateso yyte yle mpaka muda huu. Naishi kwa Amani.
@saidwayawaya5356
6 жыл бұрын
Tena naweza kusema. hamna nchi yenye Amani kama oman.
Ndugu zenu ndio hira mbona mwateswa kwaho oman
Y6 Y6hg umeniacha nicheke kwa akili yako finyo tabu ya hapa kwetu huwezi ifananisha Na popote pale dudiani
❤️🇴🇲
@Suad49309
6 жыл бұрын
Mumenawar waomani mashaallah
Nice
@safiajuma1561
5 жыл бұрын
Nimekumis vp usharud tz
Oman ndugu zetu jamaa zetu zanzibar tu na pemba wabongo no sio
@khadijarajab8383
2 жыл бұрын
Nenda kwenu Oman.
Lazma waje Zanzibar mana wanajua Oman Zanzibar ni ardhi yao sadkta
Hahaa eti ccm mbona inarudisha ukoloni.? kweli asiejua maana ucmpe maana.! Kiboko yenu ccm imewaanyoosha hapo ni kazi tu.!
Nani wanachafua tz ? Waliomuua,shahidi Ali.
❤
@omarymadad3408
6 жыл бұрын
Ahmed Bob mashallah
@youngbob9761
3 жыл бұрын
Eiwaaa
Kama namuona qaboos anavotamani kuwepo znzbr
Naona watu waza wamekua watoto?
Kweli waarabu ni watu amani karibuni tena
Wananyabyasa Kwan uongo kinatukalisha ni umasikin tu of coz kula pekeyako kama nyau bguo yako aweza ishika na glops kwa kinyaa wazuri Kama sultan kabus ni wachache
Mbon watangazaji wa zbc hawapo au wamepewa mikwala
@yahyaibrahim6934
4 жыл бұрын
Hahaha
hahahah yangu cheko.ni biashara tu lakin sio kutawala kama zamani muelele hivyo😂😂😂.mrudiiiii hapooooo hahahah
Wapeni nchi watutese kama wanavyotutesa kwao
@zeyanaharmisuleiman696
6 жыл бұрын
Hatabara wanatesa wakowapi muwamsho makatili hasa nyamaza
@inuyashasgirlsmao5084
6 жыл бұрын
Y6 Y6hg mwarabu akitaka afrika mashariki nzimaa anachukua..bada ni ardhi zake kwa ushahidi wa dqm ziko wengereza..ila hawataki.nani anataka kuhukum watu wasio elewa ....
@inuyashasgirlsmao5084
6 жыл бұрын
Y6 Y6hg mwarabu hajui kuiba anajua kutoa nyie nini mmefanya cha maana mpaka sasa hivi karibu kiyama kitasimama na hamna mlicho fanya duniani...
@y6y6hg77
6 жыл бұрын
inuyasha's girl smao Mambo mengi tuu tumeyafanya sio hao makafiri wa kiarabu
@oopsm3574
6 жыл бұрын
Wewe dawa yako Amar wagga😂
inapendeza kweli ila nenda Oman ww uone jonsi waarab walivyo na ubaguz
@blacknature7637
6 жыл бұрын
nassib mshana wa Oman usiwasemee uwongo hawana ubaguzi kwanza wengine wamezaliwa Na wa Africa ila Dubai Na saudia pale koma
@inuyashasgirlsmao5084
6 жыл бұрын
nassib mshana wabaguzi ni nyiyi ...mitume walikua warabu na mgekua nyie mna kheri mungu angeleta mitume wafrika ...
@blacknature7637
6 жыл бұрын
inuyasha's girl smao 😂😂😂😂😂ahhh umeshinda 😂😂😂😂
@blacknature7637
6 жыл бұрын
inuyasha's girl smao kawaarabu wabaya mbona waafrica wote wamekuwa waarabu kwa mkorogo 😂😂😂😂
@abdulyally7480
6 жыл бұрын
Hawsbuguwi watu
Yani waarabu wakicheza huwa nacheka 😀😀😀 mbavu zangu
CCM mbona mnawarudisha Masultani , au nchi imewashinda mnataka kuturudisha enzi za ukoloni?
@zainabalbahri8085
6 жыл бұрын
Khalid Khalfan wewe wacha maneno ya kijinga Oman hana hajaa na znz sisi ni ndugu
@modiranks7076
6 жыл бұрын
Khalid Khalfan afadhali kuliko utawala wa makafiri.
@blacknature7637
6 жыл бұрын
Khalid Khalfan amka Kaka Sasa sio wakati wa ubaguzi muhimu anaekufaa waarabu Hana haja Na tz nchi ina watu mamilioni waarabu wataiweza wapi ?
@blacknature7637
6 жыл бұрын
Ahmad Musa heko umezungumza kidiplomacy
@inuyashasgirlsmao5084
6 жыл бұрын
Khalid Khalfan kwanza hilo jina lako hata halikufai ...khaled alikua mtu wa maana si wewe.pili mwarabu ni mtoto wa mtume wako mhd naona umesahau warabu ni watoto wa mitume ndo sababu wana kheri mmewauwa na bado wanaonesha upendo ama nyiyi hamba kheri hata kidogo .hasbiallla wanema alwakil..badilisha hili jina.kuanzia leo uitwe joni...
Anosema anateswa hakulazimishwa kuja oman mbona watu wanakuja na kurudi unateswa ww tu wengine hawateswi
@blacknature7637
6 жыл бұрын
Zeyana Al-anbury dada usi panick bure wa tz kusema Nikawaida yao eti waarabu wanatutesa anavyo tutesa magufuli Ni kidogo ,? Nja nja hapa tunaitamani omani angalao tuweke familia zetu zina adhirika kwa shida mhhh
@y6y6hg77
6 жыл бұрын
Zeyana Al-anbury Akuna anaekuja Oman na akarudia tena washenzi wakubwa siwapendi waarabu
@salimkassim8547
6 жыл бұрын
Hivi tupew heshima gan wa tanzania ndio turidhik oman kwa aliye oman anajua watz wanavyoheshimiwa kwa walio nje sowez kuwalaumu lakin itabak wazanzibar wanatembea kwa kujinafasi oman
@y6y6hg77
6 жыл бұрын
Salim Kassim wewe usidanganye kuna watu wapo Oman wanateswa na waarabu awana heshima ata kidogo hao
@mtambile26
6 жыл бұрын
Usitukane watu hao wana chuki.tu hazijawaisha mbona watu wana furaha tu wakirudi huko wanarudi oman kwani huko hakuna wanaoteswa ni oman tu.mbona kila siku tunaona huko.mateso na mauwaji
nahisi tutarud katka enzi za ukolon mm siwapendi kabisa warabu
@zainabalbahri8085
6 жыл бұрын
cauthar mhinte mmmmmmm na sie tunakupendaaaaaa ndio mushkila ulokuwepo
@zainabalbahri8085
6 жыл бұрын
cauthar mhinte kama hatuna pa kwenda basi bora akhera
@cautharmhinte6261
6 жыл бұрын
+Zainab Al Bahri ila ndo hivyo tufanyaje yote ni kumuomba tu mg
@zainabalbahri8085
6 жыл бұрын
cauthar mhinte na sisi ndo kama weweeeeeeee unavyosema
@ahmedzahor2975
3 жыл бұрын
Nani anataka apendwe na wewe kinyago wa kijijini