RECAP: RAYVANNY amewapita ALIKIBA, DIAMOND, HARMONIZE NUMBERS?? HAYA ndio MAFANIKIO yake ya KIMUZIKI
Ойын-сауық
Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Пікірлер: 47
Hujakosea kaka 1.Diamond 2.Rayvanny 3.Harmonize 4.Alikiba
Kwamimi kaka naku unga mkono yaani wakisema tanzania wachukue wasaniii wawili watatoka ni Rayvanny na diamond wengine watabaki kwasababu mimi nafatilia shoo za wasanii kimataifa naona ni wawili tuuuuuuu tafadhali makofi kwaoooooo👏👏👏👏👏
Weye el mando unaongeya point nzuri sana Wangu mungu akubariki sana
Ukweli mtupu ❤❤❤
Vraiment se réel merci beaucoup pour les informations nécessaires 🇨🇩
Nakupendaka kwasababu unawachanaka sana
Tusisahau Rayvanny ft Zuchu number one ina mil93
Ukwer kaka mm nakuunga mkono revyanny kawazid wasanii wengi sana hapa tanzania
Umesema ukweli
Mbona kibyonge we mchane kisturi uyo
Yo brooo I lived in Zimbabwe for more than 15 years wasani wa Tz tuliozea kuwa sikiya Zimbabwe 🇿🇼 I won't lie gyz it's only Simba and Chui...apa juzi juzi kidogo Zuchu na harmo after single again release....nje yamipaka ya Tz Simba na Chui are big trust me gyz...atakaye pinga anamatatizonyake binafsi
Wambie konde gang wanan'gang'ania msanii wao namba moja 😅😅😅😅😅
Tumutowe Alikiba tumuache harmonize , diamond,rayvanny
🙋♂️100%brow🇲🇿
umesahau number one 93m
Huyu jamaa anachukia hamonize sana am from kenya bt huyu ana wivu sana n konde
@feronandsulubu6711
13 күн бұрын
Hata wewe unajua Rayvanny nimkubwa zaidi apa Kenya halafu ndo hana drama
Bosss sikwelewi kabisa kila siku unakosoa wasani
Unauwezo wakuchambuwa bro that's main point chui wanamchukulia poa
🙌
Wanaomshusha ni wanaofuatilia mziki wa ndani tu ndo maana utakuta wanamringanisha ata na kina marioo ambao hata hawana maajabu kimataifa so hatushangai ila watawapandisha ila jamaa atazidi kutembea tu .
Broo ukisema tetema ya bila simba haingefika pale na pia ukitaka kubichunguza ana ngoma gani ingine ? Na pia izo show anaalikwa afanye peke yake. Na pia gramy kama vany yupo basi na simba yupo sababu ngoma wameshirikiana. Na uyo rayvanny ana hit gani ingine😂 kama alivumba kwa iyo moja2
Chapili ,achaa kumukoseya eshima Harmonize mupe mahua yake🎉
Konde boy yuko wappp kileeee nyingiiii nahata nje hajatoka saiii
Hiyo show ya Congo nilikuwepo, yaani hata ma promoters hiyo show haiku promotiwa, ila Rayvanny alijaza Tu sababu ya ukubwa wake, ndomana kila mara hua nasema Kisha Diamond PLATINUMZ Kwa ukubwa anafata Rayvanny, Alikibi sijuwi kwanini bado ana tajwa kwenye A list ya Tanzania, numbers Hana, inje ya Africa mashariki hajulukani, he used to be big olden days but today he's maybe number between number 7 to 10
Bongo5 don't force things the way you see Be professional na uache ushapiki learn things from sns
Bro usicho elewa, kunakukubalika na system na kukubalika na kitaa, harmo nikama kendrik lamar, anakubalika mtaani, Ray nikama drake anakubalika na system, the system can be corrupted but kitaa is always real.
toa alikiba siyo hamo sasa nasisi toka uliza ninani aliye fanyikiwa kualika Raisi kwenye show 😂😂😂😂
Una ongeya ila unatoka toka tena eti konde mwandishi bora tena mario tena mbosso sasa upo wapi. Acha uongo zuchu ata kuwa mkubwa nje nana ongozewa na lebo! Atoke awe pekeyake tuone. Na ray nyimbo yake akiwa na boss wake ingine yawapi kali kuliko
Uki fatilia vizuri Rayvanny ndo Msanii wakwanza Tanzania akisha ana fatia Simba ila kwasababu Simba ndo Ali mtowa rayvanny yeye ndo Msanii wakwanza Tanzania wapili rayvanny
Unasema kweli kaka
Lei ckutukani kw7b ujamgusa alikiba kw ubaya
Alikiba ndo atakiwi kuwepo kabsaa hapo
Kama umependa bc umeptriza
Wewe harmonize unamchukia kwasababu kondeboy ni kipenz cha kitaa
Bro huwezi shinda kumtukuza rayvanny Kwa kigezo kimoja kila siku, atoe wimbo mwingine ufanye maajabu, BET anayo ila makubwa gani amefanya zaidi???? Kwenye show za kualikwa unasema msanii mkubwa?? Si afadhali huyu anaefungua shows kubwa mchana. Rayvanny Hana mapya, ni Yale yale. Ukiongelea dili marekani, ukubwa wa dili tunaongelea thamani. Kwenye big three, diamond platnumz wa kwanza rayvanny wa pili alikiba wa tatu, full stop.
Ww utakuja ni kichaa rayvanny kashafanya show wap au unaangaalia show za kualikwa
@user-dy9tg3bp4w
15 күн бұрын
Kwani show ni nini kaka
Mzik mzur haupimwi na views za michongo za KZread
@joyhylton7901
15 күн бұрын
Yes it is
Kwaiyo wewe unataka kusema nini kuusu hao wasanii sisi tunasemaje number moja na number mbili zina wenyewe hao rayvanny na harmonize watafute number zao sio number moja wala sio number mbili
Wekaka acakuonge uonga hangalia vizuri mbere yakuongeya vitu abavyo habijui
Pck anadai eti Ray alikuwa anaumwa na tumbo! We angalia tapeli ndio promota
Wimbo kubwa east Africa kwenye historia ya spotify ni MWAKI yake nzau ina zaidi ya 100m views spotify. Do your facts right Mr "I think I know it all" wewe unamchukia Sana harmonize and ndo maana unasema wimbo wa harmonize ulio na views wengi ni kwangwaru alafu ya pili ni single again ya 31m which is total lies Kuna nyimbo za harmonize zina views zaidi ya single again... Mpe siifa rayvany bila ya kumkandamiza harmonize...
Unafikili wavutaji wanaelewaga hawanaga fact ckuzote
El mondo kaka ngoja niku tell something my brother I know sometimes you been talking nonsense sana eti rayvanny he have mama tete can you ask your small hakili who the are ft with don’t start talking because you don’t think eti na wewe your talk 😅😅😅😅
Ww ni mwehu inabid ukapimwe fala ww