RECAP: RAYVANNY amewapita ALIKIBA, DIAMOND, HARMONIZE NUMBERS?? HAYA ndio MAFANIKIO yake ya KIMUZIKI

Ойын-сауық

Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny

Пікірлер: 47

  • @King-bureslepro
    @King-bureslepro15 күн бұрын

    Hujakosea kaka 1.Diamond 2.Rayvanny 3.Harmonize 4.Alikiba

  • @2BRAND_MUSIC
    @2BRAND_MUSIC15 күн бұрын

    Kwamimi kaka naku unga mkono yaani wakisema tanzania wachukue wasaniii wawili watatoka ni Rayvanny na diamond wengine watabaki kwasababu mimi nafatilia shoo za wasanii kimataifa naona ni wawili tuuuuuuu tafadhali makofi kwaoooooo👏👏👏👏👏

  • @user-oe5ze5uq8m
    @user-oe5ze5uq8m15 күн бұрын

    Weye el mando unaongeya point nzuri sana Wangu mungu akubariki sana

  • @user-vx3ud5pq2h
    @user-vx3ud5pq2h14 күн бұрын

    Ukweli mtupu ❤❤❤

  • @HazardHbcomEmmanuelprodduseign
    @HazardHbcomEmmanuelprodduseign14 күн бұрын

    Vraiment se réel merci beaucoup pour les informations nécessaires 🇨🇩

  • @FabriceKihanga-de7rp
    @FabriceKihanga-de7rp15 күн бұрын

    Nakupendaka kwasababu unawachanaka sana

  • @ray45king84
    @ray45king8415 күн бұрын

    Tusisahau Rayvanny ft Zuchu number one ina mil93

  • @mohamedtwalibu7685
    @mohamedtwalibu768510 күн бұрын

    Ukwer kaka mm nakuunga mkono revyanny kawazid wasanii wengi sana hapa tanzania

  • @collinndabi1914
    @collinndabi191413 күн бұрын

    Umesema ukweli

  • @PatricalVevo
    @PatricalVevo14 күн бұрын

    Mbona kibyonge we mchane kisturi uyo

  • @Ommychui
    @Ommychui15 күн бұрын

    Yo brooo I lived in Zimbabwe for more than 15 years wasani wa Tz tuliozea kuwa sikiya Zimbabwe 🇿🇼 I won't lie gyz it's only Simba and Chui...apa juzi juzi kidogo Zuchu na harmo after single again release....nje yamipaka ya Tz Simba na Chui are big trust me gyz...atakaye pinga anamatatizonyake binafsi

  • @user-hm3qm2nf1v
    @user-hm3qm2nf1v15 күн бұрын

    Wambie konde gang wanan'gang'ania msanii wao namba moja 😅😅😅😅😅

  • @josphatsimaye3813
    @josphatsimaye381313 күн бұрын

    Tumutowe Alikiba tumuache harmonize , diamond,rayvanny

  • @NtygaMuaney
    @NtygaMuaney15 күн бұрын

    🙋‍♂️100%brow🇲🇿

  • @emanueldaniel1080
    @emanueldaniel108012 күн бұрын

    umesahau number one 93m

  • @ivannjoro9367
    @ivannjoro936714 күн бұрын

    Huyu jamaa anachukia hamonize sana am from kenya bt huyu ana wivu sana n konde

  • @feronandsulubu6711

    @feronandsulubu6711

    13 күн бұрын

    Hata wewe unajua Rayvanny nimkubwa zaidi apa Kenya halafu ndo hana drama

  • @karaniomoit5259
    @karaniomoit525914 күн бұрын

    Bosss sikwelewi kabisa kila siku unakosoa wasani

  • @Music4785
    @Music478514 күн бұрын

    Unauwezo wakuchambuwa bro that's main point chui wanamchukulia poa

  • @leonarddavid70
    @leonarddavid7015 күн бұрын

    🙌

  • @Obnicenoble14
    @Obnicenoble1414 күн бұрын

    Wanaomshusha ni wanaofuatilia mziki wa ndani tu ndo maana utakuta wanamringanisha ata na kina marioo ambao hata hawana maajabu kimataifa so hatushangai ila watawapandisha ila jamaa atazidi kutembea tu .

  • @barekebavugemasudi3436
    @barekebavugemasudi343614 күн бұрын

    Broo ukisema tetema ya bila simba haingefika pale na pia ukitaka kubichunguza ana ngoma gani ingine ? Na pia izo show anaalikwa afanye peke yake. Na pia gramy kama vany yupo basi na simba yupo sababu ngoma wameshirikiana. Na uyo rayvanny ana hit gani ingine😂 kama alivumba kwa iyo moja2

  • @josphatsimaye3813
    @josphatsimaye381313 күн бұрын

    Chapili ,achaa kumukoseya eshima Harmonize mupe mahua yake🎉

  • @user-xr4dp1cs5b
    @user-xr4dp1cs5b15 күн бұрын

    Konde boy yuko wappp kileeee nyingiiii nahata nje hajatoka saiii

  • @AlfroLyd
    @AlfroLyd14 күн бұрын

    Hiyo show ya Congo nilikuwepo, yaani hata ma promoters hiyo show haiku promotiwa, ila Rayvanny alijaza Tu sababu ya ukubwa wake, ndomana kila mara hua nasema Kisha Diamond PLATINUMZ Kwa ukubwa anafata Rayvanny, Alikibi sijuwi kwanini bado ana tajwa kwenye A list ya Tanzania, numbers Hana, inje ya Africa mashariki hajulukani, he used to be big olden days but today he's maybe number between number 7 to 10

  • @hilarymayende
    @hilarymayende14 күн бұрын

    Bongo5 don't force things the way you see Be professional na uache ushapiki learn things from sns

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa331214 күн бұрын

    Bro usicho elewa, kunakukubalika na system na kukubalika na kitaa, harmo nikama kendrik lamar, anakubalika mtaani, Ray nikama drake anakubalika na system, the system can be corrupted but kitaa is always real.

  • @kasereka-vy3mw
    @kasereka-vy3mw14 күн бұрын

    toa alikiba siyo hamo sasa nasisi toka uliza ninani aliye fanyikiwa kualika Raisi kwenye show 😂😂😂😂

  • @AkonJacquesAkonkwa
    @AkonJacquesAkonkwa14 күн бұрын

    Una ongeya ila unatoka toka tena eti konde mwandishi bora tena mario tena mbosso sasa upo wapi. Acha uongo zuchu ata kuwa mkubwa nje nana ongozewa na lebo! Atoke awe pekeyake tuone. Na ray nyimbo yake akiwa na boss wake ingine yawapi kali kuliko

  • @InayotafutwaStation
    @InayotafutwaStation14 күн бұрын

    Uki fatilia vizuri Rayvanny ndo Msanii wakwanza Tanzania akisha ana fatia Simba ila kwasababu Simba ndo Ali mtowa rayvanny yeye ndo Msanii wakwanza Tanzania wapili rayvanny

  • @BenjaminMardoche-dk8tn
    @BenjaminMardoche-dk8tn15 күн бұрын

    Unasema kweli kaka

  • @jastinedaudi-qi9vr
    @jastinedaudi-qi9vr15 күн бұрын

    Lei ckutukani kw7b ujamgusa alikiba kw ubaya

  • @collinndabi1914
    @collinndabi191413 күн бұрын

    Alikiba ndo atakiwi kuwepo kabsaa hapo

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm11 күн бұрын

    Kama umependa bc umeptriza

  • @aliadremanengolilo6378
    @aliadremanengolilo637814 күн бұрын

    Wewe harmonize unamchukia kwasababu kondeboy ni kipenz cha kitaa

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma776414 күн бұрын

    Bro huwezi shinda kumtukuza rayvanny Kwa kigezo kimoja kila siku, atoe wimbo mwingine ufanye maajabu, BET anayo ila makubwa gani amefanya zaidi???? Kwenye show za kualikwa unasema msanii mkubwa?? Si afadhali huyu anaefungua shows kubwa mchana. Rayvanny Hana mapya, ni Yale yale. Ukiongelea dili marekani, ukubwa wa dili tunaongelea thamani. Kwenye big three, diamond platnumz wa kwanza rayvanny wa pili alikiba wa tatu, full stop.

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi15 күн бұрын

    Ww utakuja ni kichaa rayvanny kashafanya show wap au unaangaalia show za kualikwa

  • @user-dy9tg3bp4w

    @user-dy9tg3bp4w

    15 күн бұрын

    Kwani show ni nini kaka

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi15 күн бұрын

    Mzik mzur haupimwi na views za michongo za KZread

  • @joyhylton7901

    @joyhylton7901

    15 күн бұрын

    Yes it is

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx14 күн бұрын

    Kwaiyo wewe unataka kusema nini kuusu hao wasanii sisi tunasemaje number moja na number mbili zina wenyewe hao rayvanny na harmonize watafute number zao sio number moja wala sio number mbili

  • @alimasndayikeza
    @alimasndayikeza15 күн бұрын

    Wekaka acakuonge uonga hangalia vizuri mbere yakuongeya vitu abavyo habijui

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo2115 күн бұрын

    Pck anadai eti Ray alikuwa anaumwa na tumbo! We angalia tapeli ndio promota

  • @abdulmalikali9063
    @abdulmalikali906310 күн бұрын

    Wimbo kubwa east Africa kwenye historia ya spotify ni MWAKI yake nzau ina zaidi ya 100m views spotify. Do your facts right Mr "I think I know it all" wewe unamchukia Sana harmonize and ndo maana unasema wimbo wa harmonize ulio na views wengi ni kwangwaru alafu ya pili ni single again ya 31m which is total lies Kuna nyimbo za harmonize zina views zaidi ya single again... Mpe siifa rayvany bila ya kumkandamiza harmonize...

  • @chrispinmkanda6097
    @chrispinmkanda609715 күн бұрын

    Unafikili wavutaji wanaelewaga hawanaga fact ckuzote

  • @KakaKitis
    @KakaKitis14 күн бұрын

    El mondo kaka ngoja niku tell something my brother I know sometimes you been talking nonsense sana eti rayvanny he have mama tete can you ask your small hakili who the are ft with don’t start talking because you don’t think eti na wewe your talk 😅😅😅😅

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi15 күн бұрын

    Ww ni mwehu inabid ukapimwe fala ww

Келесі