RAMMY GALIS AMCHANA JUX "THAMANI YA GARI ZAKE 2 HAZIFIKII GARI YANGU"/HAWEZI NUNUA HELCOPTER AMEKODI
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 208
Walimwengu mnambo nyiye na mpendaga uyo mkaka anajibu maswali wizuri kweli best interviews 👌♥from 🇸🇦
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
I like the end of the interview 😂👌
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
@LuweviambitionTv
2 жыл бұрын
Me too
Huyu jama muonekano wake niwakistarabu kbs hand vyenye anajibu maswali hadirah ametulia anajib alico ulizwa kbs duh very humble man
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
Safi sana bro umejibu inavyo stahiki maana waandisha hao bwana wanapenda Sana kuweka chumvi
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
@hijahsaidy1562
3 жыл бұрын
Sanaa
Nampenda mtu mwenye kujiamini nakuongeleaa kituu cha u hakikaa hongeraa👏👏👏
Mimi na sema warambu na wasoma na hawachangishi mchango wa harusi hata siku moja family ya mwanamke wakisikia umechangisha Wana kunyima msicha wao ni kitu Cha haimbu sana kwetu 🤣🤣💖🇰🇪🇲🇿🇮🇶🇯🇴🇸🇦🇸🇴🇸🇩🇱🇾🇯🇴🇳🇫🇹🇷
yaani kuhusu magari umeongea vizuri sana tena una uelewa mkubwa sana tena sana wa magari,wengine wanakurupuka tuuu ,wasaniii wanapesa za kawaida tuu eti jux kanunua chopa kweli??kwa pesa gani na show gani anazofanya,yaani wasanii wemehamia kwa magari na sio tena mziki hewa kabisa,bongo wanashindani magari na sio mziki khaaaa,very good dude,u spoken the hit shit man
@mbogofrank1154
3 жыл бұрын
Mbona Kama unapata tabu Sana kwani wwsanii wwnategemea shoo tu wengine wanabiashara zao nzur tu zakuingiza pesa acha ushamba nawewe chee
@abdulrahmansaid7875
3 жыл бұрын
@@mbogofrank1154 anamatatz huyo😂😂😂😂
Jama nakuelewa sana upoo very smart. Unajua ujibu nini ama uzungumze nn...
@ab3ab313
3 жыл бұрын
jama nawerea sana kbs❤🇰🇼
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
Naona wabongo imewauma sana hapo kwenye muonekano😂
Wanahabari ndio huchonganisha wasanii sa wamuuliza issue za magari Kwan yy ni nan si utafute jux mwenyewe fala ww
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
@halima23862
3 жыл бұрын
Waandandishi wa habari ni wagombanishi
Like dis congratulations bro gud answers 👍
ila waandishi wa wasafi wachonganishi xn tn huyo due ndy kbs ila huyu ramy anajua xn kuwajibu hawa waandishi
Asante isitugombanishe uko vzr kaka Rami
Noma sana
Safi sana kaka majibu yako ni sahihi sana
Huyu kaka mstaaarabu sana alichokisema msikifanye ndio mumekifanya kwa kuandika headline Hahaha walai wana habari nyinyi mungu ywawaona
Jamaa anajibu maswali ki movie movie
Shout out kwa duwe santana na thisisaaliyaah na refresh kwa ujumla na wasafi media kwa kazi nzuri🤝👏👏
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
Jamaa smart sana anajua kuongea mbele ya camera👏👏👏
Waandishi nyie wachongashi sana Huyu kaka mbona kajibu vizuri tu hajaongea negative yoyote kuhusu jux😏
@drizzlesly6009
3 жыл бұрын
Kweli kabisa..
@rosemaryuledi6616
3 жыл бұрын
Yn wanakera sn kiukwel utakuta haandk alichoulza anandk alchojbu😂😂😂
@drizzlesly6009
3 жыл бұрын
@@rosemaryuledi6616wamejawa na unafki tu kazi kuchonganisha wasanii
Very smart 👾
Kwa kweli umeongea vizuri sana na umetumia busara sana
Alafu nyie wasafi wachonganishi😁😁😁 mbona heading mlizoandika na vitu anavyosema haviendani
Ooooh unachambua gari vizuri nimependa unayajua magari..
Aachwe jux hajawahi kumsema mtu
Ndo faida ya kukaa darasani nakuelewa sana unajibu kisomi na unachambua kisomi
Safi ramy
Umeongea vizuri sana kaka
Mko sure huyu reporter alifanyiwa interview ya kuajiriwa Wasafi? Mbona anasound ni ka anataka huyu jamaa aongelee Jux vibaya surely, so unprofessional🤨. Alafu hiyo point ya kukosa kunywa maji mbona anasound ni ka ana wivu? I thought ka alitaka kujua ka helicopter ni ya Jux ama magari yake ni which make angetafuta tu Jux amuulize. I'm sure angejibiwa vizuri in detail. He should be fired from Wasafi for his tactlessness na aibu za kujiekea. Besides I don't know about the BMW but nadhani huyu interviewee amekosea kwa make ya hiyo Mercedes. Hata hivyo he's very smart with his answers. Amerealize reporter ana agenda mbaya akamwambia
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
Nc unajuwa kujibu brooo
I like the look at 4:33 😍
Nimeipenda mwisho wa hii interview 😀
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Wandishi wa habari wachane ugombanishi nyooo wapi kamsema jux ebu achani magungu nyoko zenu🤔
@mdyoung5163
3 жыл бұрын
Wanataka views wengi
Wasafi hivi vichwa vya Habari muandike Kiswahili sanifu na kwa ufasaha. KISWAHILI SANIFU . Mfano “MAGARI YAKE” sio GARI ZAKE .
@m.jbluesea2711
3 жыл бұрын
kzread.info/dron/6Bo-UPmgl_GyCwIZdZSLeg.html
@huntgame456
3 жыл бұрын
Gari zake ndio kiswahili sanifu
@flipflop8409
3 жыл бұрын
@@huntgame456 Ndugu yangu unaua lugha yetu, tafadhali.
Wasafi apo mmenikerea kidogo kilicho andikwa na kilicho zungumziwa nitu viwili tofauti msiwe kama mido simba atutaki kuaribikiwa bhana 🤔🤔🤔
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
@alexkalonga3632
3 жыл бұрын
Wasafi nao wanakuwa kama ile chanel inaitwa Kalomba TV
@luisojr3480
3 жыл бұрын
@@alexkalonga3632 😂😂
Duwee anakulizaa Kwa isharaa ya mshangao atiii alfu mbili na tatuuu😂😂😂😂😂
Helicopter ya bei nafu ni dollar 250,000 $ robinson r22 / r44 raven I 3400,000$
Ok
This dude is a savage killed jux pride n make it look like it is softly said...😖 he must be a libra😂😂😂 eti magari yake mawili hayafikii bado m90 ya gari yangu
Htr hiyo
Kweli huku nnje hatuchangi mchango hasa kwenye nnchi za kiarabu hatuchangi
Wasanii fiksi
Kweli kabisa unaenda kuowa ww unataka kuchangiwa siku ukinikuta na mkewako nakwambia tu namm nimechangia niujinga sana kuomba mchango wa harusi
Nyie wasafi nanyie mmesha kua kama wale online tv wambea wasenge wasenge waongo ndio maana mmeshindwa vita na clouds mmekua wadaku kuma la mama zenu
Rammy
4:54 REPORTER HATA ROLLS ROYCE HAJUI KUTAMKA... ETI ROZIROZI
Michango sio muhimu ni sawa kabisa.
Kamaliza kwenye finishing
Mumbea uyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🚶♀️Daaah 2013
Umejibu kibabe na kitaalam kinoma
@carinamatt1031
3 жыл бұрын
Sana
Huyu hata akioa ndoa haidumu
Hiii nmependa sana interview ya akili sana
MKUU NIMEKUBALI UCHAMBUZI WAKO WA MAGARI
@m.jbluesea2711
3 жыл бұрын
kzread.info/dron/6Bo-UPmgl_GyCwIZdZSLeg.html
Hiki kipindi kila knapoenda knapoteza radha sababu mnawapanga watu waseme kitu fran ambacho knawafanya nyie muonekane top
Naomba mkopo
Mambo mengine watangazaji ndio waanzilishi wa chuki baina ya watu maswali yao mengine ni sumu isipokwepa unaweza jikuta umekosa hatawakukupa maji.jama amejibu Kisomi
Usinich tu Ndio maana wasanii Wengi wa bongo maendeleo yao ni negative sifuri ( Negative mind)
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
@jrsaid4270
3 жыл бұрын
@@ovittv808 nimeshasubscribe asee Lete vitu vya maana asee sio huo utopolo tena
Kwel nmeamin wa Tz tunahitaj elimu kubwa sana..yaan kwel watu mmekaa mnasema jux kanunua helicopter..kweeeli😁..daaah
Muonekano my foot...damn it
Eti iyo ya 2003 tuiache kdg uyo jamaa anajua kuoji atari
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
Tazama io title ya hii habar ni uchonganishi tu. Vzur kawambia ukwel mwishon.
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
Rami u are right 🤣
Watangazaji mkoo wachonganishi
Anajua kuongea huyu kaka mpaka basi
Jux anausika nini apo Nyie wachonganishi saana
Mshamba
Yaani kipindi kimetengenezwa kwaajili ya kuwekea mkazo boss wao anahela na si nyau mwingine😂
@agaaah6697
3 жыл бұрын
Kbsa aiseeh
@febnick
3 жыл бұрын
We jamaa ni noma kabisa umewagundua wana akili za kitoto sana asee juma ana pesa nyingi mnooo asee yule jamaa
Nyinyi niwachonganishi sana sasa hapo ame muchana wapi??
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
@allymatilda7519
3 жыл бұрын
Wasenge hawa
@yussufritzy7684
3 жыл бұрын
Wasenge sana kwakweli
daah jamaa anajua saan yuko vzuru saana kujib maswali
Hawa wachafu washakua wanazingua ndonn kugombanisha watu
Wewe usijitetee mwanaume unamfatilia mwanaume mwenzio mbwa kasoro
msomali afu unadai una muonekano na mbwembwe nyiingi 😂👌 unamng'ata African by huku unapuliza ... wasomali wakorofi saana aise
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
@MrNdanguza
3 жыл бұрын
Ubaguzi wakijinga
@hishamally4846
3 жыл бұрын
Kila mtu na mtazamo wake
Wasomali hawachangishi kabisaa
@abdinasirshukri4652
3 жыл бұрын
Hapana tunachaga sisi kuwa sisi
😃😃😃
Mwonekano mzuri😅😅
dunia hii inamb yk meng
Huyu ramy gal hafai kuwa hata msanii.
@binhussain3445
2 жыл бұрын
Kwanini
Mpaka hapo ushaamkaanga mwenzio mwisho unajikosha😏 why kuzungumzia magar ikiwa unaona itakaa kama unam snitch mi bongo movie bhna
@yussufritzy7684
3 жыл бұрын
Kwani si ameulizwa bhana na ww
choko choko
Mbn jamaa wamemuandama Sana. Jux jamaniiiii jux anajua anachokifanya uyo ni mwamba
We jamaa cjawahigi kukuelewa tuu
Bora ulivombia kweli wachonganishi hao
Waandishi wanafiki sana nyinyi
Nice clickbaits for the title
nosecut ndio unaita bodykit
Ndo ujinga mnaoufanya nyie wasanii wa bongo
Et muonekano mzul pesa mzee😎😎😎😎
Si anunue na yeye
Sasa huyu nae anamuonekano ganiii
Mim ckuelewag brooo
@ovittv808
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gqx2tK-jmK-YdKg.html
Rammy bhana eti iyo ya kwake ni millions 60
Expant 😂😂
Akili mingi
Wacha kujisifia kwa uzuri gani mbona wakawaida tu, mnaacha kuuliza maswali yamaana mnatuletea habari ya uzuri, mara magari sijui tushike lipi
Huyu rami ni muslim just asking tu wa tz I lyk him yuko fasaha kbsa
😂😂😂
@frankchilumba5953
3 жыл бұрын
Unacheka nn
@KoreanDramaMoviesKiswahili
3 жыл бұрын
@@frankchilumba5953 usijali ndugu yangu
Ongera san kaka ake
Siku hiz hadi michango ya birthday wanaomba