RAIS RUTO akalia kiti cha MOTO kwa Maswali Magumu ya WAKENYA wenye HASIRA kwenye Space ya X

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 105

  • @KhamisBeja
    @KhamisBeja4 күн бұрын

    Njaa ni mbaya hakuna vita vya tonge kasaliti GZ wenziwe..

  • @ashaherzog4488
    @ashaherzog44883 күн бұрын

    Wasaliti walimsaliti Yesu kwahiyo sio laajabu!! Gen-Z stay focused and watch out those greedy Judaz around you

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats4 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤endeleeeni kuwa informer 🔥🔥🔥👊Bongo wanaomba ufungiwe😅😅 ndio ujue tupo miaka gani😊

  • @mkoma49
    @mkoma493 күн бұрын

    Kenya wanajitambua sana wanamfanya Rais akumbuke anawatumikia wao sio sisi uku ata kumuuliza tu Rais io nafasi hatupati

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar213 күн бұрын

    Huyu Ruto ameshajiona anangoka ndio anafanya haya lakin tumemchoka Kenya ni inchi tajiri sana lakin pesa yote inaishia kwa mifukoni mwao mabilioni yapesa .waziri analipwa laki 9 lakini kwa mwezi mmoja anatoa mchango makanisani zaidi ya million 50. Wanatoa wapi hii pesa

  • @mr.yahzadochuno7914

    @mr.yahzadochuno7914

    3 күн бұрын

    Ruto must go

  • @shantisam-wo8wj
    @shantisam-wo8wj4 күн бұрын

    Kenyas to the top 🎉

  • @petercley6230
    @petercley6230Күн бұрын

    It is like Kenya is 100 years ahead of East African countries, kudos to Kenyan's and their President!

  • @idrissahaji
    @idrissahaji3 күн бұрын

    Yawezekana anafanya hivyo ili kulinda usalama wake hamjui alipotekwa ametishwa na kushurutishwa kwa masharti gani

  • @daizzmwangi

    @daizzmwangi

    2 күн бұрын

    Ashasalimiwa tukiamuwa nikung'oa jino tunatowa 😂

  • @yasminmustafa2282
    @yasminmustafa22823 күн бұрын

    As of the sons of judas iscariot l think it was expected..more reasons we don't have leaders or tribe....and as we forge shead we woll gain some and loose some...aluta continua

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni95613 күн бұрын

    Tanzania sisi tunaifunga X kwa sabbu inakosoa serikali unajua binadam anakosea ndio maana kuna samahan vijan wa uvisisemu njaa itakuja kuwaua😂😂😂

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi2 күн бұрын

    Fisadi na muuwaji mkubwa Ruto must go

  • @Arrestgptucomedy
    @Arrestgptucomedy3 күн бұрын

    Lakini mbona rahisi wetu anatubeba aki .. imagine our mps Wana drive magari ya 5.7cc na pia bona hawa watu wanapewa hela nyingi hivi like wanakua treated like kings

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno79143 күн бұрын

    Jizi Ruto must go

  • @khadijauthman4802
    @khadijauthman4802Күн бұрын

    Tanzania tuwacheni uchawa kutumiwa kimaslai na wanasiasa vijana wachangamke siasa ndio maisha.

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn3 күн бұрын

    Ila Kenya nyie ni kibokoooooo....yaani mumemtoa jasho rais??????????😂😂😂😂😂😂😂 Ruto Hana hamuuuuuu😊😊😊komesha Marais wa Afrikaans wamezoeaaa kuburuza wanainch

  • @kevicristian2738
    @kevicristian27383 күн бұрын

    Man of the people (I remember this play😂)

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu57653 күн бұрын

    Wasaliti lazima wangekuwepo,

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui863 күн бұрын

    otero alipewa 5 million na ruto

  • @yasminmustafa2282
    @yasminmustafa22823 күн бұрын

    First things first..l commend him for coming online cause that's where our demos are..point of correction..there were a total of 1.6M loggings to the exact space that's how much we eere longing for this...but its true at the actual space at sny given time were sround 1.7k..the space kept giving us errors..so we listened via tik tok and you tube as there were people who were streaming it live

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha77073 күн бұрын

    2027 utaona .... vile tutachagua mwenye tunataka. Corruption in kenya iko juu sana

  • @ghhj-ij7xs
    @ghhj-ij7xs3 күн бұрын

    Betrayal on the city..money talks..Otero the betrayer😢😢#ruto must go back to sugoi

  • @gchalijabiri3845
    @gchalijabiri38453 күн бұрын

    Wakenya

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj3 күн бұрын

    Mwizi ni mwizi

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno79143 күн бұрын

    Ruto must go

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82413 күн бұрын

    Imagine 3600 open jobs as a start for the youth...thats what am talking aboout. Kenya hawarushwirushwi hivi2..Uchumi wao utapanda kweli..sie Tanzania being lower-middle economy it is yet for her citizens to feel it..wealth is tilted to the few..kazi kweli kweli

  • @noel3290

    @noel3290

    3 күн бұрын

    Did you see those jobs? Who told you the arabic jobs didn’t exist bfr his rule

  • @badarahmed1861
    @badarahmed18613 күн бұрын

    King Ahab

  • @chande2k250
    @chande2k2503 күн бұрын

    Tuclaumu jamani serikali za kiafrika ni Noma uckute jamaa alifinywa na Hiyo Ndio punishment yake Mfano njoeni Bongo wasanii Wengi waliotekwa baada ya kuachiwa Hakuna walichoongea tusubirie sativa nae akitoka hospital alichoongea mpanda na atakachokuja kuongea tena Badae tutafurahi wackilizaji

  • @user-wo1mu3bf4p
    @user-wo1mu3bf4p3 күн бұрын

    This man will not change his leadership he suppose to leave the office

  • @msangitresor2310
    @msangitresor23104 күн бұрын

    Hawajui maana ya Vita

  • @yasminmustafa2282
    @yasminmustafa22823 күн бұрын

    Lakini huyu hutubeba mandazi sana yes the cancer clause was there inder the "specialised treatment tax"it never said cancer directly but isn't cancer under speacilised treatment....heck even dental and optical servises were about to sly rocket

  • @MalikshotelsMalikshotels
    @MalikshotelsMalikshotels3 күн бұрын

    RUTO MUST GO

  • @Qqambaa

    @Qqambaa

    3 күн бұрын

    Tano tena

  • @IbrahDeDonny-lv2lo

    @IbrahDeDonny-lv2lo

    3 күн бұрын

    ​@@QqambaaMamaeee, Tano za wap??

  • @eunicemulaa939
    @eunicemulaa9393 күн бұрын

    So you think he's acting out of free will?

  • @bishweko
    @bishweko3 күн бұрын

    Utekwaji nyara na kuachiwa huru hayomaswala tumuulize Odinga. Anajua yaliyokuwa yanaendelea huko matekani.

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya4383 күн бұрын

    Huyu jamaàa!! Tutaelewana nae tu.

  • @sarafinawanja8549
    @sarafinawanja85493 күн бұрын

    But you said mr president that you congratulate the police for a good job for the anarchist

  • @user-mh9hj3lx7q
    @user-mh9hj3lx7q3 күн бұрын

    Atero njaaaa mbaya broo

  • @djafro8729
    @djafro87293 күн бұрын

    Sky , sma mtu ambae anaupendeleo kwa Ruto

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k3 күн бұрын

    Simulaumu huyo kijana wafrica tunawajua ukitekwa nyara n ufunguliwe hua unapewa mashariti sasa huyo asanaswa hana jinsi zaidi yakusalitii wenzake 😂

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu14033 күн бұрын

    Raisi Ni Raisi2 Kama Amechaguliwa Atabaki Kua Raisi2

  • @ChumanaSusi

    @ChumanaSusi

    2 күн бұрын

    Orongo hawezi baki kama hatumtaki

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda93542 күн бұрын

    Mchezo uliishia pale alipotekwa

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn3 күн бұрын

    😂😂😂 rais halali jamaniii usiku anawaota Genziiiiiii😂😂😂....Kenya nyie kibokoooo...komesha wizi wa Afrika..

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha82543 күн бұрын

    Ruto amejiikanyaga kujipendekeza marekani na ulaya, wakenya wameipenda hiyo?

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah70793 күн бұрын

    Am proud of you mr president you're very smart up stairs live long king

  • @GENZ.2026

    @GENZ.2026

    3 күн бұрын

    Shidwe pepo mbaya😏😏😏

  • @user-xn2ih2br7y

    @user-xn2ih2br7y

    3 күн бұрын

    Stop being stupid 😠😠

  • @ChumanaSusi

    @ChumanaSusi

    2 күн бұрын

    Urongo . Huyu si smart ni conman mkora na murongo sana

  • @user-yp9el7xp8g
    @user-yp9el7xp8g3 күн бұрын

    Alafu pia tulikwa na wasaliti apa washalipwa pesa

  • @simonmartin5358

    @simonmartin5358

    3 күн бұрын

    Uweni hao hawafai from ughaibun

  • @WILLY_SKY1
    @WILLY_SKY13 күн бұрын

    Osama is a traitor alilipwa

  • @emmosilver6039
    @emmosilver60393 күн бұрын

    Wakenya hamjui mtu mliyekuwa naye,kinachowasumbua ni mabeberu waliopo hapo na changamoto za kurithi.

  • @emmosilver6039

    @emmosilver6039

    3 күн бұрын

    Hanashida kabisa.

  • @simonmartin5358
    @simonmartin53583 күн бұрын

    Uweni wasaliti wote ! Hawafai Kaz iendelee

  • @yasminmustafa2282

    @yasminmustafa2282

    3 күн бұрын

    I pray they live to see that we push ahead and achieve what we started.. Maumbwaa hao

  • @jumashedafa
    @jumashedafa4 күн бұрын

    Umeonesha ukomavu Mr. President huwa nakosoa but today cna tamko

  • @bakariomari24omar21

    @bakariomari24omar21

    3 күн бұрын

    Hana njia nyengine

  • @MuniraShughuli-kc7vj

    @MuniraShughuli-kc7vj

    3 күн бұрын

    Mmh

  • @jumashedafa

    @jumashedafa

    3 күн бұрын

    Ni kwel kbs

  • @mitanakadorho2356
    @mitanakadorho23563 күн бұрын

    Mwizi ni mwizi tuu, yoote haya ni matokeo ya Chebukati na Martha Koome, Mungu okowa Kenya na Zakayo na kundi lake

  • @Qqambaa

    @Qqambaa

    3 күн бұрын

    Akuna mtu mzuri ju pesa huongelesha mtu😂😂 ingia bunge uone ukitoka ukiwa kisaitola ndio utajua mbona ata wenye walikuwa mbona walishindwa kubadilisha so acha ruto afanye mambo yake tano yake ishie lets give the man a chance

  • @sarafinawanja8549

    @sarafinawanja8549

    3 күн бұрын

    You know these Tanzanias they don't know ruto, they talk recklessly, as if they live in Kenya, life is tough in Kenya without a job

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu57653 күн бұрын

    Acha ruto aonge mmoja mmoja uko mafichoni maana hivyo ndivyo alivyozoea lakini huku tunamsubiri alete hizo pesa za wananchi, lakini ajue sio suluhisho

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize49263 күн бұрын

    Huyu ni kiongozi bora, ana maono ya mbali. Nadhani atakuja kueleweka baadae sana akishatoka,

  • @BillyJames-l6x

    @BillyJames-l6x

    3 күн бұрын

    Nyamaza Ww mtu wa Tanzania hujui lolote bwana

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    3 күн бұрын

    ..Rais wao sio mchezo RUTO Rais safi sana mie namkubali huyu jamaa. very calm and collected, the guy is courageous and has a beautiful mind..what he says and if he implements Kenya itaenda mbali sana...Ruto peleka Kenya mawinguni baba ipelekee..sie Jirani tuko nyuma yako mzee wangu

  • @BillyJames-l6x

    @BillyJames-l6x

    3 күн бұрын

    @@jedidahbintidaudi8241 Ww mkubali tu vyenye unataka tukishamtoa tutamsafirisha Tanzania mpambane na mwizi mkora muuaji nkt

  • @user-km1dm8et9x

    @user-km1dm8et9x

    3 күн бұрын

    Uyu ndo rais mwenye akili afrika

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    3 күн бұрын

    @@user-km1dm8et9x yaani nakubaliana na wewe asilimia zote...Kenya wamepata!

  • @theoriginals3240
    @theoriginals32403 күн бұрын

    Ruto yuko vizuri sana, wamenya sio wavumilivu tu

  • @Beautiful-Place

    @Beautiful-Place

    3 күн бұрын

    Wewe ni miongoni mwa wakina Ruto waongo sana

  • @oldchild3517

    @oldchild3517

    3 күн бұрын

    Mtu muongo,hajali wananchi,mtu anatoa watu ili wauwe wananchi ..alafu unasema n mtu mzuri!!?? Sikulaumu nalaumu waliokufunza huo ujinga

  • @theoriginals3240

    @theoriginals3240

    3 күн бұрын

    Nawaambia mtamkumbuka huyu jamaa

  • @oldchild3517

    @oldchild3517

    3 күн бұрын

    @@theoriginals3240 utamkumbuja ww na nyanya Yako..umbwa ww

  • @user-re4ve4nf3p

    @user-re4ve4nf3p

    3 күн бұрын

    ​@@theoriginals3240ww ndio utamkumbuka

  • @AnneOtieno-hi8uj
    @AnneOtieno-hi8uj3 күн бұрын

    𝐴𝑐𝑡𝑜𝑟

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x3 күн бұрын

    Kiukweli uyu jamaa ni kichwa yani akuna kama yeye afrika jamaa akili zake mingi

  • @bakariomari24omar21

    @bakariomari24omar21

    3 күн бұрын

    Huyu ni ndugu yake ibiliso humjui ww anaweza hata akatoa machozi hapo na mikamuonea huruma.

  • @venancemartin6734

    @venancemartin6734

    3 күн бұрын

    Hujui kingereza wewe, ndomaana unasema hakuna kama yeye Africa, ungekuwa unajua kile anachokijibu usingejaribu kusema stupid fact kama iyo.

  • @bakariomari24omar21

    @bakariomari24omar21

    3 күн бұрын

    ​@@venancemartin6734nikweli haelewi chochote wanachoongea wakenya

  • @Qqambaa

    @Qqambaa

    3 күн бұрын

    Ukitimiza ata robo,Tano Tena ndio utimize kabisa kura nakupa asubuhi na mapema

  • @aftapat5365
    @aftapat53653 күн бұрын

    hao wengi wao ni malaya wanaoshinda huko xHamstar wakenya wamejazana ndio wanaoandamana biashara imekuwa ngumu

  • @mstaraabusantiago747

    @mstaraabusantiago747

    3 күн бұрын

    U luck brains that's why

  • @omarzinga7046

    @omarzinga7046

    3 күн бұрын

    Malaya wako Instagram x ni ya wasomi

  • @carolinekasiemeka9848

    @carolinekasiemeka9848

    3 күн бұрын

    @aftapat5365 shame on you... Wewe ndiye malaya, mkuu kahaba wa kimataifa. Wewe ndiwe mwalimu wao. Pepo Nyeusi. Ushindwe ! Shetani wewe.

  • @aftapat5365

    @aftapat5365

    3 күн бұрын

    @@carolinekasiemeka9848 Dada sio uongo nenda huko google andika hivi xHamstar kenya live utawakuta tena mpaka ambao unawajua wako live tena mpaka dau wanatangaza hawalali maasa 24 kwani uongo

Келесі