Rais Mteule Joe Biden aahidi kuleta utangamano nchini Marekani

Viongozi kutoka mataifa mbalimbali duniani wametoa jumbe za kumpongeza Rais Mteule wa Marekani Joe Biden pamoja na makamu wa rais mteule Kamala Harris aliyeingia kwenye kumbukumbu kama mwanamke wa kwanza kwenye wadhifa huo. Rais Uhuru Kenyatta, Naibu Rais William Ruto, Kiongozi wa ODM Raila Odinga ni miongoni mwa viongozi hapa nchini waliompongeza Biden.

Пікірлер: 4

  • @faidamkambwa4269
    @faidamkambwa42693 жыл бұрын

    Ongera kwa Mr. Biden

  • @odekeakadikor5579
    @odekeakadikor55793 жыл бұрын

    That is great Mr Biden. Good luck president Joe Biden we Kenyans we love you

  • @charlesmaneno10
    @charlesmaneno103 жыл бұрын

    Trump alishinda na ata endelea kama Raisi wa Marekani. Trump in Bingwa wa 5D Sataranji. Hongera kwa POTUS 45 kwa ushindi wake. Mwenyezi Mungu amubariki.

  • @THINK25417

    @THINK25417

    3 жыл бұрын

    Maneno mingi as your name goes , but you know nothing 👎 just useless empty debe make the loudest noise . Bure kabisa.