Rais Kenyatta apongezwa kwa kusubiri Adhana ipite kabla ya kuendelea na hotuba ya kumuaga Magufuli
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amepongezwa kwa kitendo chake cha kunyamaza kwa muda wakati akihutubia March 22 kwenye mazishi ya kitaifa ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma ili kupisha Adhana iliyokuwa ikisomwa katika msikiti wa jirani
Пікірлер: 255
Mashaalah Leo kwa Mara ya kwnza .Nimefurahi binafsi kwa kuona rahsi wetu .Anaheshimu dini isiyokuwa yake Allah azidi kumuongoza #congratulationRais
@doricemichelle3614
3 жыл бұрын
Wakristo huwa tunaheshimu sana dini za wengine
@MOTHERFLOWERS385
3 жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki kila siku 🙏🙏
@magynzioka1122
3 жыл бұрын
Wewe ujui kama kenya na waisilam ni dungu toka zamani wakenya asili yetu tunaeshim waisilam
@MOTHERFLOWERS385
3 жыл бұрын
Pongezi dadangu💪💪🙏🙏
@salamakaliasi9358
3 жыл бұрын
Allah Akbar x3 mungu amrehem magufuliii
Allah akbar subhanallah nakosa cakusema kwa furaha allah azidi kukuongoza raisi kinyata🤗🤗😭😭😭😭
@surealfredkabasa4518
3 жыл бұрын
ALLAHUMMA AMIN
@kreamagdfsa1697
3 жыл бұрын
Amina yaarabby
@naashabani1574
3 жыл бұрын
Am so happy Walah
@fatmadulla5880
3 жыл бұрын
Amiin
@maryannemwangi168
3 жыл бұрын
Amina
Nimekua mfatiliaji mpya wa kenyata kuanzia leo❤❤❤❤
Pongezi nyingi kwa rais UHURU, God be with u always
@matopeboybomba5732
3 жыл бұрын
Mashaallah rais allah akupe iman zaid
Ma sha Allah Islam ilikuwepo kabla na tangu Allahu Akbar.... much love from Kenya R.I.P Magufuli 🙏🏽🇰🇪
Mashallah tabak Allah,God bless u our president for the respect of sala
Masha Allah hili kwa leo nakupongeza prezzo lakini yengine big no🇰🇪🇰🇪
Mwili umesisimka Allah Allah... Mungu akuzidishie kwa hiki ulichokifanya Uhuru Kenyata.. Mashaa Allah
Ninyi waKenya ni zaidi ya ndugu 🇰🇪🇹🇿🇹🇿
Today is my first time to be hppy abt my President what he has done👏👏
Allah akbar... Mola akufungulie kifua chako uione haki na usilimu ili usalimike siku ambayo Mali na watoto havitamsaidia mtu isipokua moyo uliyo salimika
@kreamagdfsa1697
3 жыл бұрын
Amina rabbal alamina yaarabby takabball duaa allah bariiq
@saadiashariff5377
3 жыл бұрын
Ameen thumaa Ameen
@Majambo_Duniani_Tv
3 жыл бұрын
ahhahahahahaah
@fatmadulla5880
3 жыл бұрын
Amiin
Mashallah uhuru wetu kumbe walijuwa Hilo 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
MashaAllah mashaAllah Allah barik. Hakuna wa kuabudiwa ispokua Allah ❤❤❤love u rais wa kenya unaanza kufuata nyayo za magufuli 💪💪
@kidjhdf7568
3 жыл бұрын
Kabisa mm nipo saudia Arabia basi naona rahaaa ssna naungana naww
@abdulmataka6738
3 жыл бұрын
Many thanks for you uhuru Kenyatta for respecting miathin you are the best intelligent and Wise man
@magynzioka1122
3 жыл бұрын
Raisi wetu ajawi kua mpangani kenya siku zote wanaeshim uwisilam
@kidjhdf7568
3 жыл бұрын
@@magynzioka1122 nice mm pia nipo saudia ila najuwa uhuru anajuwa nn uislam ndio maana yule mtoto mari alisema uhuru yuko na iman karibu saudia
Asante sana Raisi wetu kipenzi cha wa Kenya kwa kuonyesha hofu ya Mungu kwa kutobagua dini kwani wewe ni mkatoliki damu Kama mimi,👏👏👏💪🌞🙏🇰🇪.
Subhan'Allah! Allahu Akbaru ❤❤❤🙏
@kreamagdfsa1697
3 жыл бұрын
Allahu akbar
Mungu ampe imani ya kuijua haqi
@halimaramadhan2975
3 жыл бұрын
Amiin yaa Rabb
@nureyna629
3 жыл бұрын
Aaamyn yaarabbal alamyn
Allah akbar! Mungu ampe kheri kenyatta!!
Kwa kweli inamisha hao walikua marafiki wa dhati mungu amubariki prezo wetu +254watching from Dubai 971 tuwe poleni sote majirani zetu.😭😭😭😭
Nimemkubali sana, kwa heshima kubwa aliyoionesha mbele za Mungu kwa kuheshimu Adhana.... Takbiriiiiiii.........✊✊
Soon kenyata anakua muislamu inshallah
@sejw9373
3 жыл бұрын
Inshallah
@doricemichelle3614
3 жыл бұрын
Wakristo huwa tunaheshimu sana Dini za wenzetu hiyo ni kawaida
@vartontv4003
3 жыл бұрын
@@doricemichelle3614 au sio ila skpng
@magynzioka1122
3 жыл бұрын
Mnajua kupinga ngita ukweli ni kua kenya tunaeshim uwisilam na sote ni dugu
@vartontv4003
3 жыл бұрын
@@magynzioka1122 skpng ata sku moja mtu mkbw
Hakika Allah ni kubwa na ndo wakunyenyekea
MASHA-ALLAH Raisi Uhuru kenyatta Allah akuongoze katika njia iliyo ya haki ammina
Masha allah mungu azidi kukubariki inshaallah
Masha Allah Allah Qareem Alhamdulilah
Asante sana rais Kenyatta kwa kutuakilisha wakristo kuonyesha walimwengu kuwa wakristo wanaheshimu sana dini zote za dunia #WellDoneRaisKenyatta🇰🇪❤
Mashallah mashallah nina imani tungekuwa na rais km ww Tanzania mashekhe wetu wangekuwa wameshatoka gerezani
@souvenirweber7169
3 жыл бұрын
Hujitambui wewe kwajiyo rais wetu kipenzi alikuwa na unaguzi wa Dini? Aisee usivuruge akili zetu saa hii tuache tuomboleze.
@sundaymsuya1433
3 жыл бұрын
Watolewe waje watupige mabomu we ubongo umelalia upande
Inshaallah we l Love your Tanzania R.I.P pole sana family Tanzania ❤❤☝️☝️🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Maa Shaa Allah... Allah atujaalie mwisho mwema
sante rais yetu kwakuwa na hofu ya Allah
Kenyatta ukawe Rais wa wanyonge huko KNY ili tuoone umagufuli huko.
@mitchelljohnson5218
3 жыл бұрын
Mmmh ila ss tutauliwa na madeni mwambieni akalipe madeni ya china😑
@sweetmelody1191
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂you made me forget that i was crying
@norahonserio7639
3 жыл бұрын
@@mitchelljohnson5218 😂😂😂
@maryannemwangi168
3 жыл бұрын
@@sweetmelody1191 u made me forget I was crying but all in all he be a good president overall
That's a gentleman's behaviour pongezi raisi wetu kwa kitendo Adhwim 👍
Allah Akbar subhanallah 😭🙏mwili imesisimk kwahich amekifany Allah atuongoz katik njia ilio sahih🤲
God bless you our President God be with you always
I love him for this ❤️❤️❤️❤️❤️ Allah Hu Akbar ❣️❣️❣️
Mashallah ❤️❤️❤️🙏🙏
Mashallah maboork Kenyatta nakupenda kwaajili ya allah🙏🥰🥰🥰🥰
Nahsi kun kitu tumekipata toka kwako mzee
Kikubwa ni imani mm naamini katika dini zote kwasababu mungu wetu ni mmoja
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
kwan umeambiwaje Mana uyu watu wamempongeza kwa kuwa na hofu ya mungu bal yeye ni mkrsto
@irakozejclaude7869
3 жыл бұрын
Vipi na wale wanaoabudu mwezi nao Mungu wetu ni umoja?
@shaazlaptopquality8649
3 жыл бұрын
Mungu wetu ss Waislam ni Allah (sw) na tunamuabudu vile alivo tuamrisha kupitia Mtume wetu Muhammad (S.A.W) usichanganye na kujitetea tu sema mshajua kwamba Dini ya Kiislamu ndio dini ya kweli na haki.
@kreamagdfsa1697
3 жыл бұрын
@@shaazlaptopquality8649 wallahi thumaa wallah uislam ni dini ya khaq jazakallahu lkheir allah bariq
@auntiemylee3157
3 жыл бұрын
Same naamini kwa dini zote sa7 zote umuomba mungu
Mashaallah uyu Rais mungu amuongoze moyo yeye ni mkristo lakini moyo wake unaheshima zote za kiislam mungu akuongoze Rais kenyatta nimekupenda gafra kwaajili ya ALLAH
MashaAllah asnte rais kenyatta kwakuheshimu adhana allah akufanyie wepes kwakila hatua yako president uhuru👏
MashaAllah, Allahu Akbar♥️🇰🇪🙏
Mashallah unazidi kumfungulia magufuli maana kusuburi adhana hiyo mola ampokee rais wawanyonge
@shaazlaptopquality8649
3 жыл бұрын
Mhhh hapana iyo lini yy alimuheshimu na kumtii Allah
@nrwawanndeny7394
3 жыл бұрын
@@shaazlaptopquality8649 Kwani unadhani Mungu wa Magufuli ni huyu anayepigiwa adhana?
@shaazlaptopquality8649
3 жыл бұрын
@@nrwawanndeny7394 Sie na ndio maana yy hakuwahi kuiheshimu adhana na adhana haipigwi kama kengele la kanisani. Nikwambie kitu Uhuru amameaanisha kwamba ayo yoote hayana maana kuliko adhana.
@shaazlaptopquality8649
3 жыл бұрын
Nyi bakini bwana yesu.
@nrwawanndeny7394
3 жыл бұрын
@@shaazlaptopquality8649 Hahaha nakushukuru kwa kulitambua hilo.Nyinyi mna mungu wenu nasi tuna Mungu wetu ubaya unaanza pale mtu anapomlazimisha mwingine kumuabudu mungu wake
My president congratulations too respect musilim🙏
Mashallah
Allahu Akbr Mola akupee moyo huo huo Rsos wetu
Mashallah,our own Mungu azidi kkuongoza uwe na hofu yake na kiongozi mzr kwa wananchi
Ahsante my prezo mola akuongoze... Nivile tu hakuna wakumpeleka msikitini angeswali sala ya adhuhu
MashaAllah❤My president Thank you for respecting our religion🙏And Rip Mr president poleni sana kwa family na jirani wetu Tz❤❤❤
hapo ndo tutajua na tujiulize kama Allah hafundishwi wa kumtia mtu peponi au motoni dini ya uislam ni dini rahisi sana ukijua kuisoma mn hapo kuna waislam adhana wao wanaongea wkt huyu Raisi Dini tofauti kanyamaza na kuipa heshima adhana Allah atujalie mwisho mwema huu ni mfano tosha km ucmuoneshee kidole mtu kutokana na imani alokua nayo Allah ndo muhukumu wa kila kitu kubwa tuombee mwisho mwema ili Allah atupokee akiwa katurizia waja wake
Mashallah hongera rais kenyata mungu akubarik na ambarik marehemu wetu pepote iyo bora kwa wema alotufanyia tz na Africa kwa jumla
Mungu wetunimmoja utofautidini mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 mungu wabariki kenya🇰🇪 mungu ibariki Africa🙏🙏
MashaALLAH Allah akubariki rais Kenyatta Inshaallah
Thanks president Uhuru for your of religion let this be a lesson to others...thnks alot uhuru....you are really a free person with free vision as your name says...
Allah Akbal Subhan'Allah Rais wa Kenya Allah akuhongoze🙏🙏🙏
Manshaallah , TAKBIRRRR
Mashallah mashallah mungu akupe umri mrefu Inshallah
Kwafuraha nilionao wallah machozi yanidondok😭ALLAH akbar masha ALLAH ALLAH akuongoz raisi wa kenya
Mashaallah
Dah somo kubwa ili
@zou7470
3 жыл бұрын
Sana
Ma shaa Allah Allah akuongoze kwenye dini ya haki my prezzo❤️
Allah akubarik Inshaallah
Mashaallaaaaah
MashaAllah MashaAllah 💗💗💗
👏👏👏👏🙏
Mashallah...mwenye enzi mungu akuongoze inshallah..
Mashallah ❤❤
MashAllah
Hongera my Prezzo.Uhuru.❤❤❤❤💪🏻💪🏻🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿kusimqmq n watanzania na kuwaakilisha wakenya kwa ujumla
Masha Allah
Allahu akbar ❤
Hii imekaa vzur saf Kenyata Allah ambarik
MashaaAllah Allah bless you uhuru kinyata
Mashallah mashallah Allah akuongoze zaid
Mashaallah My president ❤️❤️💥☝🏾
Barakalahufik rais kenyata
SUBHANNALLAH ALLAH AKBAR
ALLAHU akbar my Allah be our strength in every thing
🇺🇸/🇹🇿 Allahu Akbar lailah haillah! Allah MKuuu. Sisi waislamu ukizaliwa tu ni kitu cha kwanza kuaziniwa sikioni kwa Azan na wazee na kupewa Jina la kislam. Na ukifa lazima laila haillah ikusindikizee Duh! Huyu J.P.M Ana Mema Yake Kwa Mola. Kwani pia tutalipwa kwa matendo yetu na hufutiwa mabaya kwa mema.. Who Know Allah knows.To me This is s.thing people!!! 💔😭We all belong to God we shall be returning. Akhsante kwa heshima hii kumbwa uliyoipisha hapa President Kenyetta wa Kenya 🇰🇪 lovely stunning 😍👏👏👏🙏
Allah akbar sik moja utaukuta ujira wako ni mmkubwa mmmno hutaamin
TAKBIR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR, DAM ZIMENISISIMKA KWA KWELI
Allah akbar.. Mashaallah 💝💝❤❤
May the almighty Allah be with you my president uhuru kenyatta
Kafanya vizuri adhana inapotoka inatakiwa kunyamanza kama alivyo fanya👏👏👏
@amukoaletshavefun8859
3 жыл бұрын
Exactly u need to respect each and everyone who praising God at any given point. Allah awajalie nyinyi wote. Amin
Mungu ambaliki sana
Binafsi pia nimekoshwa na hilo Allah amzidishie kheri kwa hilo alilolifanya.
Mashallah Allahu Akbar....!!!!
Allahu Akbar
Mashaallah mungu akuzidishie uongoz wako na akufanyie wepes katika kz yako umefany vzr San mungu akulinde na mabaya
Maashallah Rais wetu
🇰🇪 Masha Allah, Allah akbar
Kabisa winie mungu wetu ni mmoja
Masha Allah baba kenyata💕❤️
Uhuru wetu tunakupenda and thanks for representing us
Mashallh kheri tupu
Mashallah mashallah
Manxhallah
Mashaallah ametii amri ya Allah
Allah akubariki akupe afya na muono uliokuwa nao .km sio wewe kazazi chako kione haki na kuwa waislam
MashaAllah that's my president from +254 🇰🇪
May God bless u Baba!